WEWE MSELA WA MELI GANI ACHA UJINGA- SHEIKH NYUNDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #subscribe
    #hajionlinetv
    #mawaidha

Комментарии • 16

  • @ramadhaniluoga5491
    @ramadhaniluoga5491 5 дней назад

    Mwenyezi mungu tunakuomba mpokee shekh wetu inshallah

  • @haikananyaro285
    @haikananyaro285 2 месяца назад +9

    Mimi mkristo lakini kama ni mafunzo baba unayo. Napenda sana nasaha zako . Maneno yako ni mapya kila kukicha. Mungu akulaze pema😢

    • @gameroom4769
      @gameroom4769 10 часов назад

      Haikukujia imani ukajua kuwa uislamu ndo dini ya haki, dini ya uislam haina kasoro hata moja.
      Hakika Allah(S.W) hatokubali dini yoyote siku ya kiama ispokua uislam, wangapi walikua wema lakini hawataingia peponi kwasabab ya dini yao, Hakika Allah(S.W) anasamehe makosa yote anoyafanya mwanaadamu kwahiyo mda bado unao wa kutubu.
      Allah akujaalie moyo safi

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад +3

    Tulikupenda sana lakini Mungu zaidi

  • @husseinmaingo5009
    @husseinmaingo5009 День назад

    Allahuma firlahuu warhmnahu nafsljanaah

  • @user-ff4zb2qn1l
    @user-ff4zb2qn1l Месяц назад +1

    Allah mlipe zaidi yamema sheik wetu nyundo

  • @AishaAisha-vt3ng
    @AishaAisha-vt3ng Месяц назад +2

    Barakallah

  • @jumasaid106
    @jumasaid106 Месяц назад +1

    Allah akurehemu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад +1

    Mungu akulinde uliko shee

  • @SoudShuraim
    @SoudShuraim 3 месяца назад +2

    Nyundo kashatangulia mbele ya haki miaka 4 km sikosei sasa,

    • @radhakikoko
      @radhakikoko 2 месяца назад +3

      Amerudi kwa Mola wake usiku wa kuamkia tarehe 16 March 2020

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 3 месяца назад +1

    Tuwekeeni sheikh nyundo asemaje...kuhusu Dr Sule na majini.

    • @user-ip4ie7pt6i
      @user-ip4ie7pt6i 3 месяца назад

      sheikh nyundo amesha tangulia mbele za haki Allah amlaze pema halafu ata kuhusu suala la Pete sheikh nyundo alili zungumzia kipindi yuko Hai tafuta record za nyuma utaona

    • @radhakikoko
      @radhakikoko Месяц назад

      Licha ya kutangulia mbele ya haki toka tarehe 16 Machi 2020 ila yapo mawaidha akiwaonya wavaa mapete ya majini,

  • @hafsa118ll
    @hafsa118ll 3 месяца назад +1

    😂

  • @AishaAisha-vt3ng
    @AishaAisha-vt3ng Месяц назад +1

    Allah akurehemu