Wacheni kucomment ujinga. Tanzania ina rais mwanamke kuna uzito gani kuwa na fundi umeme? Body guards wa Colonel Gaddafi wote walikuwa wanawake. Big up sister, unaweza.
Mashallah wanawake n sie tunazidi kuwapa hamasa wanawake wenzet jins y kujituma n kutafut rizk z halali wengi wanadanga nd wapate kipato kaz zipo tena kaz km hizi ambazo wamezoelewa wanaume akifanya mwanamke anapata vibarua vingi zaid
Salmin mimi nigekuomba katika pirika zako za utangazaji uge wapigia kelele Sana mafundi Hawa wa umeme wanapo Maliza kusoma mafunzo ya a Mali wapate ajira au wapewe kibali Shirika La umeme waweze kifanya kazi zote
Wacheni kujifanya kua wapemba ni watakatifu kumbe kama watu wengine wenye makosa na tabia mbaya na nzuri , hapa unguja kuna wanawake wengi ni mafundi wala hamujawahi kuwatangaza
Dada angu, InshaAllah mungu atakusaidia utafanikiwa. Na hao wasiowapenda wapemba watakufa kwa chuki na mbaya, wapemba tumefundishwa kutafuta sio kutafutiwa, hata TANZANIA mzima inatambua hilo. Acheni roho mbaya.
naona munatucheki kwa woga wanawake hebu tuchanganyishiyeni macho . mimi mwanamke maisha yote napaint nyumba yangu mwenyewe . tena huwa nawashauri watu wanakushangaa utasikia mwanamke atafuta fundi wa rangi kijana mzima na yuko na mumewe ni suala lakushirikiana tu na mumewe na wanaume wetu wengine hawapendi kujishuhulisha , kitu kidogo ndani anamwita mtu wanaume lazima muwe watundu .
hiyo ndio feminism na masculine . maana inaonekana km mwanamke ni kiumbe dhaifu kazi zake ni jikoni na kitandani tu . na hiyo kusema ajabu hakuna cha ajabu hapo . hiyo ndio tukisema haki sawa tunamaanisha hayo . na sio kuzaa .
No sio mumelegea , tatizo kila kitu mnakipeleka katika dinii , hapotuu , ndipo mnapokosea, enzi za nyuma huyo kwa ilivokuwa Pemba angeambiwa muhunituu na hata hio suruali alio ivaa Ila kwa Sasa tumeamka Alhamdulillah . Mutuachietuu tufanyekazii lakini mtuhimize tusifanye kazi ambazo zitatutoa katika dinii ( namaanisha zitatufanya tukiuke maadili ya dini, Kama kwenda uchii na kutokusali, )
Chuo cha ufundi kengeja ni chuo kinachotoa wanafunzi wenye taaluma ya ufundi wa umeme na Civil karibuni👍
Big up
Hata injinia wa Hospital wa Mnazi Moja anae simamia umeme ni Bi Fatma Omar Said Ma Shaa ALLAH
MashaAllah... Da Shufaa, Allah aibarik kazi ya mikono yako na akupe mafanikio ya jasho lako ili uweze kuisaidia familia yako na jamii kwa jumla...
Mashaallah
Mashaallah Allah Akuzidishie Ujuzi zaidi Allah Akukinge na watu wabaya Wayne choyo
hizi ndio ndoto tunazozihitaji kuziona ktk jamii zetu hongereni sana Introsoft Production
Masha Allah tabaraq Allah mungetuekea namba zake za mawasiliano
Mashallahu chezeya wapemba ww hapana chezeya tuko vzur klasekta nakupenda momi Mungu akubarki love 😁💕👍
Hahaaaa wapemba wa siku hizi wajiinua sio wale barafu kwao walokuwa wakizikaanga🤣
Number zake mbona hatujazipata akihitajika atapatikanaje?
Wapemba oyeee tunaweza
MashaAllah
Masha Allah Allah amfanyie wepesi na amuepushie na hasadi na amjaalie kipato cha halali
Masha allah
Wacheni kucomment ujinga. Tanzania ina rais mwanamke kuna uzito gani kuwa na fundi umeme?
Body guards wa Colonel Gaddafi wote walikuwa wanawake. Big up sister, unaweza.
Da lailat msabah nitafute mm ni da salama
Mashallah wanawake n sie tunazidi kuwapa hamasa wanawake wenzet jins y kujituma n kutafut rizk z halali wengi wanadanga nd wapate kipato kaz zipo tena kaz km hizi ambazo wamezoelewa wanaume akifanya mwanamke anapata vibarua vingi zaid
Mashaallah...Dada Shufaa Allah azidi kufanayia wepesi kila penye uzito uzidi kufikia malengo yako
Ujinga mtupu
Mashallah chezea mpemba we
Lkn kwa mwanamke kdg ni changamoto kuhusu mipaka ya dini tukufu ya allah
Kivipi
Salmin mimi nigekuomba katika pirika zako za utangazaji uge wapigia kelele Sana mafundi Hawa wa umeme wanapo Maliza kusoma mafunzo ya a Mali wapate ajira au wapewe kibali Shirika La umeme waweze kifanya kazi zote
Na vilemba vinavyovaliwa saiv visiwani si ktk hijabu ya kisheria
Wacheni kujifanya kua wapemba ni watakatifu kumbe kama watu wengine wenye makosa na tabia mbaya na nzuri , hapa unguja kuna wanawake wengi ni mafundi wala hamujawahi kuwatangaza
Ww km una tabia mbaya ni zakwako tuu kwani mtu kutafuta maisha kwa upande anaohisi ni vibaya km limekuchoma kunywa sumu baba
Kunywa sumu km limekuchomaaaa
@@saidali460 Anza ww
@@saidali460 lazima ukweli usemwe hata ukichukia
@@abuanmarabubakar Kwani Unguja hamna watangazaji?
nice job
Kazi nzuri ila tu awe makini vijana wacje wakamwita geto wakamwambia kunahitilafu ya umeme
Mpizi kweli wewe 😂😂😂
Labda kwa Afrika ndio ajabu kwa nchi nyingine nje huko wapo tele mpaka waendesha malori
Dada angu, InshaAllah mungu atakusaidia utafanikiwa. Na hao wasiowapenda wapemba watakufa kwa chuki na mbaya, wapemba tumefundishwa kutafuta sio kutafutiwa, hata TANZANIA mzima inatambua hilo. Acheni roho mbaya.
Huyu jamaa ni jenious wa kuuliza maswali hongera
nice hii
Well Da Shuuu.
naona munatucheki kwa woga wanawake hebu tuchanganyishiyeni macho . mimi mwanamke maisha yote napaint nyumba yangu mwenyewe . tena huwa nawashauri watu wanakushangaa utasikia mwanamke atafuta fundi wa rangi kijana mzima na yuko na mumewe ni suala lakushirikiana tu na mumewe na wanaume wetu wengine hawapendi kujishuhulisha , kitu kidogo ndani anamwita mtu wanaume lazima muwe watundu .
Maa shaa Allah
Mm kiupandewangu nimshauri shufaa ktk mipangoyake afunguwe wakshop kwaajiliyakuwafunza wanawakeambao bado akilizao zimelala
Jamani sio wa kwanza nilisoma na binti mmoja miaka ya 80 Mkongwe Ramadhani kutoka Pemba alikuwa fundi umeme mzuri tuu sijui aliishiaga wapi!
Hongera dada kazi kazi
limbani 💥🔥🔥
Naomba No: zake za cm
Mashallah
Kama kweli wew mwanamke unaweza kazi zote basi endesha mkokoteni kufua wazi
Sio kumuonyesha
Ni KUMUONESHA
KUNA ONYA NA ONA
ONYESHA NA ONESHA
Ndio ukasema tukamuone
Hongera kipez inshallah Allah akupe kila la kher tuombe ee na sisi tuweze kufanya Kaz
Umefikia Hadi daraja la ngapi 3,2,1
Mashallah Mwanangu Shufaa keep it up Allah akujaaliye akuwezeshe atufikishe katika kilele cha malengo yako. Amin
Masha Allah dadangu Allah akujaalie kila la khery insha Allah akufungulie milango ya Khery nd mume muelewa nd vizazy vyema
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakat,kwa kweli mtangazaji wa kiume Mashaallah anamkumbusha maadili ya kiislam
hiyo ndio feminism na masculine . maana inaonekana km mwanamke ni kiumbe dhaifu kazi zake ni jikoni na kitandani tu . na hiyo kusema ajabu hakuna cha ajabu hapo . hiyo ndio tukisema haki sawa tunamaanisha hayo . na sio kuzaa .
Usiseme huna familia Dada hata wazazizi wako na jamaa zako waliokuzunguka ni familia yako kwani hakuna mwanadamu ambae hana familia sema tu hujaolewa
Muulize shufaa ameshaolewa
wewe km unahisi unaota , mwambie akunyukuwe huyo shufaa hapo. .
asipande nguzo vip na yeye ni mwanamke
Jivunie kufanya kazi ktk sehemu yako uliosoma wengi wanasoma na wanafaidika wengine
Asante dada
Maashallah...nmependa.jamni.
Iyo ndo product ya pemba bhana maana Wanatudharau Sana wenzetu watuona wapemba hatuwezi Jambo tumelegea.
No sio mumelegea , tatizo kila kitu mnakipeleka katika dinii , hapotuu , ndipo mnapokosea, enzi za nyuma huyo kwa ilivokuwa Pemba angeambiwa muhunituu na hata hio suruali alio ivaa Ila kwa Sasa tumeamka Alhamdulillah . Mutuachietuu tufanyekazii lakini mtuhimize tusifanye kazi ambazo zitatutoa katika dinii ( namaanisha zitatufanya tukiuke maadili ya dini, Kama kwenda uchii na kutokusali, )
Dashufaa usiondoke pemba
Wanao tamani kupata namba za shufaa gonga like tujuane
Shuu nakukumbuk tulipokuw chuo pmj
Mashalla
Hongera lati
Hongera sana
MaashaaALLAAH
KAZI nzuri
Mashaallah tabaraka rahman
Salmeen
Unaipanda kweli nguzo wewe
Tunahitaj namba yake ya simu