Комментарии •

  • @valsulu6756
    @valsulu6756 3 года назад

    Chuo cha ufundi kengeja ni chuo kinachotoa wanafunzi wenye taaluma ya ufundi wa umeme na Civil karibuni👍

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Год назад

    Big up

  • @pilykingo
    @pilykingo 4 месяца назад +1

    Hata injinia wa Hospital wa Mnazi Moja anae simamia umeme ni Bi Fatma Omar Said Ma Shaa ALLAH

  • @Binkhator
    @Binkhator 4 года назад +6

    MashaAllah... Da Shufaa, Allah aibarik kazi ya mikono yako na akupe mafanikio ya jasho lako ili uweze kuisaidia familia yako na jamii kwa jumla...

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 4 года назад +4

    Mashaallah Allah Akuzidishie Ujuzi zaidi Allah Akukinge na watu wabaya Wayne choyo

  • @ablamymussa5556
    @ablamymussa5556 4 года назад +4

    hizi ndio ndoto tunazozihitaji kuziona ktk jamii zetu hongereni sana Introsoft Production

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 3 месяца назад

    Masha Allah tabaraq Allah mungetuekea namba zake za mawasiliano

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 4 года назад +3

    Mashallahu chezeya wapemba ww hapana chezeya tuko vzur klasekta nakupenda momi Mungu akubarki love 😁💕👍

    • @thehonesty6765
      @thehonesty6765 4 года назад

      Hahaaaa wapemba wa siku hizi wajiinua sio wale barafu kwao walokuwa wakizikaanga🤣

  • @moha8620
    @moha8620 Год назад

    Number zake mbona hatujazipata akihitajika atapatikanaje?

  • @mgeniali941
    @mgeniali941 3 года назад +2

    Wapemba oyeee tunaweza

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Месяц назад

    MashaAllah

  • @aishasuleiman7692
    @aishasuleiman7692 4 года назад +3

    Masha Allah Allah amfanyie wepesi na amuepushie na hasadi na amjaalie kipato cha halali

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 года назад +1

    Wacheni kucomment ujinga. Tanzania ina rais mwanamke kuna uzito gani kuwa na fundi umeme?
    Body guards wa Colonel Gaddafi wote walikuwa wanawake. Big up sister, unaweza.

  • @SalamaMohammed-gv6my
    @SalamaMohammed-gv6my 5 месяцев назад

    Da lailat msabah nitafute mm ni da salama

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 4 года назад +2

    Mashallah wanawake n sie tunazidi kuwapa hamasa wanawake wenzet jins y kujituma n kutafut rizk z halali wengi wanadanga nd wapate kipato kaz zipo tena kaz km hizi ambazo wamezoelewa wanaume akifanya mwanamke anapata vibarua vingi zaid

  • @alisalim4926
    @alisalim4926 4 года назад +2

    Mashaallah...Dada Shufaa Allah azidi kufanayia wepesi kila penye uzito uzidi kufikia malengo yako

  • @IssaIra-j9u
    @IssaIra-j9u Месяц назад

    Ujinga mtupu

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 года назад +2

    Mashallah chezea mpemba we

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv2615 4 года назад +2

    Lkn kwa mwanamke kdg ni changamoto kuhusu mipaka ya dini tukufu ya allah

  • @jumasaid3228
    @jumasaid3228 4 года назад +1

    Salmin mimi nigekuomba katika pirika zako za utangazaji uge wapigia kelele Sana mafundi Hawa wa umeme wanapo Maliza kusoma mafunzo ya a Mali wapate ajira au wapewe kibali Shirika La umeme waweze kifanya kazi zote

  • @ukwelinauwazitv2615
    @ukwelinauwazitv2615 4 года назад +1

    Na vilemba vinavyovaliwa saiv visiwani si ktk hijabu ya kisheria

  • @abuanmarabubakar
    @abuanmarabubakar 4 года назад +2

    Wacheni kujifanya kua wapemba ni watakatifu kumbe kama watu wengine wenye makosa na tabia mbaya na nzuri , hapa unguja kuna wanawake wengi ni mafundi wala hamujawahi kuwatangaza

    • @saidali460
      @saidali460 4 года назад +3

      Ww km una tabia mbaya ni zakwako tuu kwani mtu kutafuta maisha kwa upande anaohisi ni vibaya km limekuchoma kunywa sumu baba

    • @saidali460
      @saidali460 4 года назад +2

      Kunywa sumu km limekuchomaaaa

    • @abuanmarabubakar
      @abuanmarabubakar 4 года назад

      @@saidali460 Anza ww

    • @abuanmarabubakar
      @abuanmarabubakar 4 года назад

      @@saidali460 lazima ukweli usemwe hata ukichukia

    • @mbuyutv8271
      @mbuyutv8271 3 года назад

      @@abuanmarabubakar Kwani Unguja hamna watangazaji?

  • @bahariakassim8089
    @bahariakassim8089 3 года назад +1

    nice job

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 4 года назад +1

    Kazi nzuri ila tu awe makini vijana wacje wakamwita geto wakamwambia kunahitilafu ya umeme

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 3 года назад

      Mpizi kweli wewe 😂😂😂

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 9 месяцев назад

    Labda kwa Afrika ndio ajabu kwa nchi nyingine nje huko wapo tele mpaka waendesha malori

  • @SaalAly
    @SaalAly Год назад

    Dada angu, InshaAllah mungu atakusaidia utafanikiwa. Na hao wasiowapenda wapemba watakufa kwa chuki na mbaya, wapemba tumefundishwa kutafuta sio kutafutiwa, hata TANZANIA mzima inatambua hilo. Acheni roho mbaya.

  • @issayakuti7511
    @issayakuti7511 4 года назад +1

    Huyu jamaa ni jenious wa kuuliza maswali hongera

  • @ablamymussa5556
    @ablamymussa5556 4 года назад +2

    nice hii

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад

    naona munatucheki kwa woga wanawake hebu tuchanganyishiyeni macho . mimi mwanamke maisha yote napaint nyumba yangu mwenyewe . tena huwa nawashauri watu wanakushangaa utasikia mwanamke atafuta fundi wa rangi kijana mzima na yuko na mumewe ni suala lakushirikiana tu na mumewe na wanaume wetu wengine hawapendi kujishuhulisha , kitu kidogo ndani anamwita mtu wanaume lazima muwe watundu .

  • @aishasaid5702
    @aishasaid5702 4 года назад +2

    Maa shaa Allah

    • @kandawest7997
      @kandawest7997 3 года назад

      Mm kiupandewangu nimshauri shufaa ktk mipangoyake afunguwe wakshop kwaajiliyakuwafunza wanawakeambao bado akilizao zimelala

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Год назад

    Jamani sio wa kwanza nilisoma na binti mmoja miaka ya 80 Mkongwe Ramadhani kutoka Pemba alikuwa fundi umeme mzuri tuu sijui aliishiaga wapi!

  • @almandroo8258
    @almandroo8258 4 года назад +1

    Hongera dada kazi kazi

  • @nassorsaid4930
    @nassorsaid4930 2 года назад +1

    limbani 💥🔥🔥

  • @dullafarsiy1230
    @dullafarsiy1230 4 года назад +1

    Naomba No: zake za cm

  • @sasbinjuma518
    @sasbinjuma518 4 года назад +1

    Mashallah

  • @fesalsoftware9014
    @fesalsoftware9014 Год назад

    Kama kweli wew mwanamke unaweza kazi zote basi endesha mkokoteni kufua wazi

  • @chiefzumo1688
    @chiefzumo1688 4 года назад

    Sio kumuonyesha
    Ni KUMUONESHA
    KUNA ONYA NA ONA
    ONYESHA NA ONESHA
    Ndio ukasema tukamuone

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 года назад

    Hongera kipez inshallah Allah akupe kila la kher tuombe ee na sisi tuweze kufanya Kaz

  • @mahamudabdullahi7506
    @mahamudabdullahi7506 2 года назад

    Umefikia Hadi daraja la ngapi 3,2,1

  • @abdulrahimsalum5549
    @abdulrahimsalum5549 3 года назад

    Mashallah Mwanangu Shufaa keep it up Allah akujaaliye akuwezeshe atufikishe katika kilele cha malengo yako. Amin

  • @looqmanmw8190
    @looqmanmw8190 3 года назад

    Masha Allah dadangu Allah akujaalie kila la khery insha Allah akufungulie milango ya Khery nd mume muelewa nd vizazy vyema

  • @M7md-e9j
    @M7md-e9j 2 года назад

    Asalaam alaykum warahmatullah wabarakat,kwa kweli mtangazaji wa kiume Mashaallah anamkumbusha maadili ya kiislam

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад

    hiyo ndio feminism na masculine . maana inaonekana km mwanamke ni kiumbe dhaifu kazi zake ni jikoni na kitandani tu . na hiyo kusema ajabu hakuna cha ajabu hapo . hiyo ndio tukisema haki sawa tunamaanisha hayo . na sio kuzaa .

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 3 года назад

    Usiseme huna familia Dada hata wazazizi wako na jamaa zako waliokuzunguka ni familia yako kwani hakuna mwanadamu ambae hana familia sema tu hujaolewa

  • @fakihaji9195
    @fakihaji9195 9 месяцев назад

    Muulize shufaa ameshaolewa

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад

    wewe km unahisi unaota , mwambie akunyukuwe huyo shufaa hapo. .

  • @chalulumanyenga1151
    @chalulumanyenga1151 3 года назад

    asipande nguzo vip na yeye ni mwanamke

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 4 года назад

    Jivunie kufanya kazi ktk sehemu yako uliosoma wengi wanasoma na wanafaidika wengine

  • @jumahamadomar9124
    @jumahamadomar9124 3 года назад

    Asante dada

  • @fatmayagunga3754
    @fatmayagunga3754 3 года назад

    Maashallah...nmependa.jamni.

  • @sabihaabdallah1631
    @sabihaabdallah1631 3 года назад

    Iyo ndo product ya pemba bhana maana Wanatudharau Sana wenzetu watuona wapemba hatuwezi Jambo tumelegea.

    • @ramadhantahila9131
      @ramadhantahila9131 3 года назад

      No sio mumelegea , tatizo kila kitu mnakipeleka katika dinii , hapotuu , ndipo mnapokosea, enzi za nyuma huyo kwa ilivokuwa Pemba angeambiwa muhunituu na hata hio suruali alio ivaa Ila kwa Sasa tumeamka Alhamdulillah . Mutuachietuu tufanyekazii lakini mtuhimize tusifanye kazi ambazo zitatutoa katika dinii ( namaanisha zitatufanya tukiuke maadili ya dini, Kama kwenda uchii na kutokusali, )

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 4 года назад

    Dashufaa usiondoke pemba

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад

    Wanao tamani kupata namba za shufaa gonga like tujuane

    • @alisleyyum248
      @alisleyyum248 3 года назад

      Shuu nakukumbuk tulipokuw chuo pmj

  • @mehboobmoledina8173
    @mehboobmoledina8173 2 года назад

    Mashalla

  • @adilhabibu7958
    @adilhabibu7958 4 года назад

    Hongera lati

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 4 года назад

    Hongera sana

  • @chiefzumo1688
    @chiefzumo1688 4 года назад

    MaashaaALLAAH
    KAZI nzuri

  • @latifaally8257
    @latifaally8257 3 года назад

    Mashaallah tabaraka rahman

  • @aliy3303
    @aliy3303 4 года назад

    Salmeen

  • @alinassor391
    @alinassor391 3 года назад

    Unaipanda kweli nguzo wewe

  • @aliymaulid8941
    @aliymaulid8941 4 года назад

    Tunahitaj namba yake ya simu