USIJE UKASHANGAA UKIFIKA PEMBA, ''CHAKULA CHAO, USAFIRI WANAOTUMIA, NUNGWI KUNA BALAA''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 131

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.4127 4 года назад +25

    Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.

  • @andrewsekei8895
    @andrewsekei8895 4 года назад +13

    Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba

    • @salhanassor1077
      @salhanassor1077 3 года назад +1

      Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 года назад +1

      shukran kwa kuliona hilo .

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 2 года назад

      xhukran ndugu

    • @MaulidFakiKhamis
      @MaulidFakiKhamis 3 месяца назад

      Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 года назад +16

    Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani2450 4 года назад +18

    Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍

    • @omarsaid4661
      @omarsaid4661 3 года назад +2

      Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.

  • @omarsaid4661
    @omarsaid4661 3 года назад +4

    Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.

  • @hamisunited4489
    @hamisunited4489 4 года назад +12

    Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka

  • @MahmoudMohamed-ct8no
    @MahmoudMohamed-ct8no 4 года назад +11

    Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah
    Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 3 года назад +3

    Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk8373 4 года назад +9

    nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...

  • @sichaguisibaguitv6643
    @sichaguisibaguitv6643 4 года назад +14

    Asikuambie MTU Pemba kuzuri

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 4 года назад +1

      naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 3 года назад +4

    kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum663 3 года назад +5

    Najivunia kuzaliwa pemba

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret 4 года назад +8

    Mashaallaaaaa

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 года назад +7

    Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔

  • @عبداللهالإسماعيلي-ظ6ن

    Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 3 года назад +4

    Maa shaa Allah

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 года назад +6

    Thanks to Millard Ayo for sharing this with us

  • @mimiapa8436
    @mimiapa8436 4 года назад +4

    Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba

  • @idrisabakar7928
    @idrisabakar7928 4 года назад +5

    Proud my father

  • @barakakihaga6481
    @barakakihaga6481 3 года назад +4

    Nimefurahi sana millard oyooo😍😍

  • @salhanassor1077
    @salhanassor1077 3 года назад +3

    My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 года назад +2

    Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏

  • @salhanassor1077
    @salhanassor1077 3 года назад +3

    Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani

  • @fatmaabdulla9518
    @fatmaabdulla9518 4 года назад +9

    Home sweet home 💕

  • @majidimansury3751
    @majidimansury3751 4 года назад +5

    my sweet home pemba

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 4 года назад +8

    Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣

  • @husseinali9760
    @husseinali9760 3 года назад +3

    Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba

  • @nahirhamidu-ms3lq
    @nahirhamidu-ms3lq 18 дней назад

    Najivunia pemba yetu ❤

  • @rashidally1149
    @rashidally1149 4 года назад +7

    Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee

    • @bisunmwamini6993
      @bisunmwamini6993 4 года назад +1

      Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!

  • @yassirmohd3069
    @yassirmohd3069 3 года назад +4

    Proud pemba boi

  • @sulaimanead8060
    @sulaimanead8060 4 года назад +5

    Pemba kwetu

  • @chicagousa2695
    @chicagousa2695 4 года назад +7

    Sweet Home♥♥♥♥♥♥

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 4 года назад +8

    Hahahaha 😂 wambie hawajua hao

  • @mulhazinzibar6912
    @mulhazinzibar6912 3 года назад +3

    Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂

  • @kambinikichokochwe-we4xn
    @kambinikichokochwe-we4xn Год назад +1

    Ilove you pemba💜💜💜

  • @yahyakasunga186
    @yahyakasunga186 4 года назад +12

    Wakwanza naombeni like zenu wapendwa

  • @abuufaki2814
    @abuufaki2814 2 года назад

    Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 4 месяца назад

    Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks

  • @hajjmohd3602
    @hajjmohd3602 3 года назад +1

    Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Год назад

    Mashaallah umejieleza vizur

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 года назад +1

    Sio jamuri sem nch y Zanzibar

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 2 года назад

    Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah

  • @abuuamourmuhamed1934
    @abuuamourmuhamed1934 Год назад

    Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 года назад +1

    Hatarieti twalaliya shiba hatulali bofulo jamani pemba raha kwaza wanasifa zote

    • @MbaroukKhalifa
      @MbaroukKhalifa 6 месяцев назад

      Dah asikwambie mtu Pemba Raha sana na tunaipenda sana

  • @LatifAmars
    @LatifAmars 4 года назад +2

    Nimeipenda hii tamthilia

  • @sahilnaass5090
    @sahilnaass5090 4 года назад +5

    Wabongo wafujaji wa misamiat ya pemba . Fyuuuuuuu

    • @bisunmwamini6993
      @bisunmwamini6993 4 года назад +2

      Kisiwa kizur sana ila kasoro moja tu!mna ubaguzi wa kishamba sana!

    • @khulayfnassor6938
      @khulayfnassor6938 3 года назад

      @@bisunmwamini6993 wee hufirwii mpumbavu iyo kujiona umetoka katika ujinga uliona nao mshukuru sana mpemba mbwawee

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Год назад

      Sema acheni maneno maneno hapo hamna mbongo ati apo ushamba Tu umewajaa

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 3 года назад +3

    Pemba nkuzurii

  • @is.hakaomar1630
    @is.hakaomar1630 3 года назад +1

    Hm pemba

  • @fumuali1605
    @fumuali1605 3 года назад +2

    Furaha yetu

  • @yussufhamad1268
    @yussufhamad1268 3 года назад +2

    Nimecheka sana unawaeka kofia yako borido

  • @sharifaabdull8913
    @sharifaabdull8913 2 года назад

    Asante 🙏🙏🙏

  • @mwalimusaid5095
    @mwalimusaid5095 3 года назад +1

    Saw

  • @yussufmohd5281
    @yussufmohd5281 4 года назад +2

    Ndy ukatuona Twangara

    • @fatmasaid9765
      @fatmasaid9765 3 года назад

      Eti ndio ukatuona twangara hahahahah

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 4 года назад +5

    ,,hahahahahahaha papatikaaaa

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 5 месяцев назад

    Nkweli wapemba hatugongewi mwiko

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 года назад

    Home sweet home

  • @feifei9620
    @feifei9620 3 года назад +1

    Yakheee 😀

  • @waheedawaheeda152
    @waheedawaheeda152 3 года назад +2

    Mbn watu wanasem wabaguzi

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Год назад

    Vp ishu ya ubaguzi shekh ,,kwa cc watu wa bara?

  • @munirazenji9819
    @munirazenji9819 4 года назад +2

    😃😃😃

  • @ashaherezi7488
    @ashaherezi7488 3 года назад +1

    Kyannakannaka!!!

  • @boyyaechi4957
    @boyyaechi4957 3 года назад

    Ok

  • @tushmakka2912
    @tushmakka2912 3 года назад +2

    Lve my hom pba

  • @ulipoulipotupo7564
    @ulipoulipotupo7564 3 года назад

    Home sweet hime

  • @idrisaali4934
    @idrisaali4934 3 года назад

    hahaha upapatike kuku achinjwae aisee nyumbani kutamuuuuu wallah narudi nyumbani

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 5 месяцев назад

    Pemba nkwetu

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 месяцев назад

    😂😂😂 mkisifu ila siji ngoo

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu1556 4 года назад +2

    Tayari 😂😃

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Год назад

    NIPO PEMBA.HIZI GARI KWA SASA ABIRIA HAWAZIPENDI MAANA SIKU HIZI WENGI NI WAFANYABIASHARA SIO ZA MAZAO.WATOFAUTISHE ABIRIA NA MAZAO

  • @nicksonnewton1991
    @nicksonnewton1991 4 года назад +2

    Wakojani hao

  • @sahilnaass5090
    @sahilnaass5090 4 года назад

    Ubaguz gn

  • @kihogonitv7627
    @kihogonitv7627 2 года назад

    Fanya ufike na pemba kusini sasa

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani2450 4 года назад +2

    Jmn imeisha harakaa

  • @josej9888
    @josej9888 4 года назад +4

    Chai maharage

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 года назад +1

      Masha Allah Jazira Ipovizuri Allah Ibariki Pemba Yetu Na Watu Wake ila anayehojiwa Alikuwa Baharia Huyo Kk

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 года назад

      Masha Allah Wa Micheweni Mupo Juu Kwa Pemba Yetu Nawakubali Kwenye Misosi 😂🤣🤝🤝

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 года назад

      Kung'ara mwilini si kwasababuyakula viyazi na sheli la Piki ni maumbile tu hayo kk ya kibina adamu tu

    • @sasha-ri7tf
      @sasha-ri7tf 3 года назад

      Corona company.

  • @mohdsalum4066
    @mohdsalum4066 Год назад

    Pemba

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 4 года назад +2

    Swafi

  • @seifelbusaidy9967
    @seifelbusaidy9967 4 года назад +4

    Home sweet home ❤❤❤❤❤

  • @adamsaid5772
    @adamsaid5772 4 года назад +14

    Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.

  • @AbdulWaqqas
    @AbdulWaqqas 3 года назад +1

    Kyannakannaka!!!

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud7734 3 года назад +8

    Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.

  • @yahyakasunga186
    @yahyakasunga186 4 года назад +10

    Wapili naombeni like zenu wapendwa

  • @suleimanalkindy6502
    @suleimanalkindy6502 3 года назад +3

    Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.

  • @aipysaleh5647
    @aipysaleh5647 3 года назад +2

    Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu

  • @diznoles882
    @diznoles882 4 года назад +4

    Gari
    ruclips.net/video/r37SGXWQOtI/видео.html

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 4 года назад +7

    Usafiri wa chai maharage

  • @sultansaidy2187
    @sultansaidy2187 3 года назад +1

    Wambie hawoo wabongo amiy ngomastarehe sikupapatika

  • @saidmohammed6385
    @saidmohammed6385 3 года назад +2

    Hahahaha pemba

  • @ramazubery2641
    @ramazubery2641 4 года назад +2

    Tayari eee😂😂😂

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Год назад

    NUNGWI CHINA YA OCEAN KUTAKUWA KUNA Oceanic trench YANI BONDE AU TUITE SHIMO NI HATARI SANA

  • @nassorchollo4708
    @nassorchollo4708 3 года назад +1

    Home sweat home

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 года назад +2

    Sisi twala hasaa,,,, twanlalia shiba