Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba
Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya
Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌
kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria
Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔
Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee
Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.
Hatamiminajivunia Kua mpemba
me too
اسنتا 👏👏👏
Me ni mpemba baba mama yani mpemba fyoko
Looh😂
Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba
Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua
shukran kwa kuliona hilo .
xhukran ndugu
Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi
Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya
Amin 🙏
Amin in shaa Allah
Aamiyn yaa rabbal a'lamiyn 🤲
Allah akidumishe daimu katika ile adili uzurii, nasikia raha sana
Amiin
Amin
Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍
Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.
Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.
Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka
Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah
Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa
Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌
nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...
Asikuambie MTU Pemba kuzuri
naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.
kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria
Najivunia kuzaliwa pemba
KUZALIWA PEMBA NI DEGREE TOSHA
Mashaallaaaaa
Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔
Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika
Maa shaa Allah
Thanks to Millard Ayo for sharing this with us
Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba
Proud my father
Nimefurahi sana millard oyooo😍😍
My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu
wakaa wapi ww
upo pemba sehem gani
@@abdul-bz1cy chake
@@abdul-bz1cy vp kushawah kufika chakechake
Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏
Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani
Home sweet home 💕
Kabisa
my sweet home pemba
Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣
Home sweet home
Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba
Vp brooo kwema
Najivunia pemba yetu ❤
Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee
Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!
Proud pemba boi
Pemba kwetu
Sweet Home♥♥♥♥♥♥
Hahahaha 😂 wambie hawajua hao
Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂
Ilove you pemba💜💜💜
Wakwanza naombeni like zenu wapendwa
Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)
Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks
Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK
Mashaallah umejieleza vizur
Sio jamuri sem nch y Zanzibar
Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah
Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani
Hatarieti twalaliya shiba hatulali bofulo jamani pemba raha kwaza wanasifa zote
Dah asikwambie mtu Pemba Raha sana na tunaipenda sana
Nimeipenda hii tamthilia
Wabongo wafujaji wa misamiat ya pemba . Fyuuuuuuu
Kisiwa kizur sana ila kasoro moja tu!mna ubaguzi wa kishamba sana!
@@bisunmwamini6993 wee hufirwii mpumbavu iyo kujiona umetoka katika ujinga uliona nao mshukuru sana mpemba mbwawee
Sema acheni maneno maneno hapo hamna mbongo ati apo ushamba Tu umewajaa
Pemba nkuzurii
Hm pemba
Furaha yetu
Nimecheka sana unawaeka kofia yako borido
Asante 🙏🙏🙏
Saw
Ndy ukatuona Twangara
Eti ndio ukatuona twangara hahahahah
,,hahahahahahaha papatikaaaa
Nkweli wapemba hatugongewi mwiko
Home sweet home
Yakheee 😀
Mbn watu wanasem wabaguzi
Viumbe hatuezi kosa la kusema
Vp ishu ya ubaguzi shekh ,,kwa cc watu wa bara?
😃😃😃
Kyannakannaka!!!
Ok
Lve my hom pba
Home sweet hime
hahaha upapatike kuku achinjwae aisee nyumbani kutamuuuuu wallah narudi nyumbani
Pemba nkwetu
😂😂😂 mkisifu ila siji ngoo
Tayari 😂😃
NIPO PEMBA.HIZI GARI KWA SASA ABIRIA HAWAZIPENDI MAANA SIKU HIZI WENGI NI WAFANYABIASHARA SIO ZA MAZAO.WATOFAUTISHE ABIRIA NA MAZAO
Kwema kaka?
Wakojani hao
tunajivunia makabila na asili zetu
Hahaha😆kwa uchafu
Ubaguz gn
Fanya ufike na pemba kusini sasa
Jmn imeisha harakaa
Chai maharage
Masha Allah Jazira Ipovizuri Allah Ibariki Pemba Yetu Na Watu Wake ila anayehojiwa Alikuwa Baharia Huyo Kk
Masha Allah Wa Micheweni Mupo Juu Kwa Pemba Yetu Nawakubali Kwenye Misosi 😂🤣🤝🤝
Kung'ara mwilini si kwasababuyakula viyazi na sheli la Piki ni maumbile tu hayo kk ya kibina adamu tu
Corona company.
Pemba
Swafi
Hakuna kama zanzibar yetu
Home sweet home ❤❤❤❤❤
Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.
Kyannakannaka!!!
Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.
Wapili naombeni like zenu wapendwa
Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.
Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu
Gari
ruclips.net/video/r37SGXWQOtI/видео.html
Usafiri wa chai maharage
Wambie hawoo wabongo amiy ngomastarehe sikupapatika
Hahahaha pemba
Tayari eee😂😂😂
NUNGWI CHINA YA OCEAN KUTAKUWA KUNA Oceanic trench YANI BONDE AU TUITE SHIMO NI HATARI SANA
Home sweat home
Sisi twala hasaa,,,, twanlalia shiba