Chake Chake Pemba maeneo ya mjini sokoni na stand ya daladala @DiscoverZanzibar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #discoverzanzibar
    #zanzibar
    #zanzibartowns

Комментарии • 33

  • @f66_vortex95
    @f66_vortex95 Год назад +2

    asante sana leo nimekuona chake bado kidogo ufike nyumbani kwetu mimi naishi kibirizi mashaallah allah akufanyiye wepesi kila hatuwa

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k Год назад +1

    Maashaallah Pemba itabaki na upemba wake Alhamdulillah twajivinia na miji ya kisiwani Pemba ...asante

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp 10 месяцев назад +1

    Mashallah tabarakahllah hongera hpo sawa kamera BRAVO

  • @asmaabeid1246
    @asmaabeid1246 Год назад +2

    Sweet home 🏡😄

  • @salmaomar5050
    @salmaomar5050 Год назад +3

    Nimepamis mji wa chake chake mm jmn

  • @mitundafmoni7699
    @mitundafmoni7699 Год назад +2

    from oman nice home pemba

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 3 месяца назад +1

    Kamera yako mbaya

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 7 месяцев назад +1

    😂😂 oya noma kama Chaani tu Kwa huku na Chaani pia nzur watu wamesizi mchana😂

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 4 месяца назад +1

    Mh

  • @nurudinjafferji
    @nurudinjafferji Год назад +1

    The town look very well developed . What is the economy of Pemba it looks like is very well developed.

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 7 месяцев назад +1

    Uguja Town. Bongo Town ❤

  • @jikelasimba4178
    @jikelasimba4178 10 месяцев назад +1

    kweli kisiwa cha pemba kimekaa songombingo

  • @jifunzemengi1620
    @jifunzemengi1620 Год назад

    Karibu pemba

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 7 месяцев назад +1

    Apo ndo mjini naona vurugu tu Pesa zote walizokuwa wanajitapa Ovyo haww jamaa bwana bora Sudan

  • @abdullasuleiman
    @abdullasuleiman 7 месяцев назад +1

    duh, mtu kwao nimepamiss nyumbani msingni,nimesoma shule ya msingi michakain na secondar skuli ya shamiani😢

  • @yassirgiya6743
    @yassirgiya6743 Год назад

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui Год назад

    Mji mkuu wa ........

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz 7 месяцев назад +1

    Washamba wakija Unguja kama wako Ulaya akina Bahamadi wababe wao wao ndo wanajua kila kitu kumbe sisi tunawaona washamba tu tumetulia tunawaangalia tu wakivuka mipaka tunawaambia oya oya waoga hao Tuacheni bwana ati chake chake kwao hawataki kwenda ovyo

    • @MussaMussa-v4x
      @MussaMussa-v4x 7 месяцев назад

      Huku unguja kunauzuri gani?Maana hapo kisiwandui panuka Mara watapika kwa mikaro ety ndio mjini hapo