Washamba wakija Unguja kama wako Ulaya akina Bahamadi wababe wao wao ndo wanajua kila kitu kumbe sisi tunawaona washamba tu tumetulia tunawaangalia tu wakivuka mipaka tunawaambia oya oya waoga hao Tuacheni bwana ati chake chake kwao hawataki kwenda ovyo
asante sana leo nimekuona chake bado kidogo ufike nyumbani kwetu mimi naishi kibirizi mashaallah allah akufanyiye wepesi kila hatuwa
Ameen na tunakushukuru kwa kutuunga mkono.
Sio kibirinzi
Ni Tibirinzi
Maashaallah Pemba itabaki na upemba wake Alhamdulillah twajivinia na miji ya kisiwani Pemba ...asante
Karibu sana
Mashallah tabarakahllah hongera hpo sawa kamera BRAVO
Shukran sana kaka
Sweet home 🏡😄
Nimepamis mji wa chake chake mm jmn
karibu sana
from oman nice home pemba
Ahsante kwa kufatilia channel yetu.
Kamera yako mbaya
Hahaha kweli ahsante
😂😂 oya noma kama Chaani tu Kwa huku na Chaani pia nzur watu wamesizi mchana😂
Mh
The town look very well developed . What is the economy of Pemba it looks like is very well developed.
Pemba is changed and it's growing brother.
Uguja Town. Bongo Town ❤
Pemba je
kweli kisiwa cha pemba kimekaa songombingo
Karibu pemba
Ahsante sana
Apo ndo mjini naona vurugu tu Pesa zote walizokuwa wanajitapa Ovyo haww jamaa bwana bora Sudan
duh, mtu kwao nimepamiss nyumbani msingni,nimesoma shule ya msingi michakain na secondar skuli ya shamiani😢
Karibu tena nyumbani kaka
Msingini sehem gani namie kwetu msingini
❤
Mji mkuu wa ........
Pemba
Washamba wakija Unguja kama wako Ulaya akina Bahamadi wababe wao wao ndo wanajua kila kitu kumbe sisi tunawaona washamba tu tumetulia tunawaangalia tu wakivuka mipaka tunawaambia oya oya waoga hao Tuacheni bwana ati chake chake kwao hawataki kwenda ovyo
Huku unguja kunauzuri gani?Maana hapo kisiwandui panuka Mara watapika kwa mikaro ety ndio mjini hapo