KUTOKA COMORO: Uko tayari kukaa ktk nyumba ya WIFE? maisha yao je?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 фев 2017
  • Inawezekana kabisa upo Tanzania au popote pale duniani lakini umekua tu ukisikia kuna sehemu inaitwa Comoro lakini hujawahi kufika wala kujua pakoje na tamaduni zao.
    Camera ya AyoTV ipo na wewe time hii kutoka Moroni kukuelezea na kukuonyesha upande huo ukoje.

Комментарии • 143

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 лет назад +13

    Kuzuri kwa kutembea huko. My next holiday destination is Comoro .😎

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Год назад +2

    Comoro mm nishaenda kwel mtandao shida Sana kumetulia Sana mji upo kimya Ila chakula Chao sio vizur Sana Ila hela yao inasaman

  • @harounali1626
    @harounali1626 7 лет назад +3

    Kuhusu sim siajabu hata sisi tulianza hivyo hivyo
    Ningekuomba ufanye Tour na hivyo visiwa vingine.
    Mimi gari yangu ya kwanza ilikuwa ni Renault Clio CUMPAS nime ziona hapo nime furahi sana kuona hapo zina tumika Taxi
    Tatizo Afrika kupata kiongozi anae jali wananchi ndiyo maendeleo yana kuja sisi watanzania tumshukuru Allaah pia mzee Rukhsa kwa kutufumbuwa macho

  • @attoumanemouayad6509
    @attoumanemouayad6509 5 лет назад +2

    I'm about to cry😅😅😅illa ni nna imani kwamba kunasiku mungu atatusaidia

  • @fetysaleh5022
    @fetysaleh5022 5 лет назад +14

    wakomoro wote gonga like hapa

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 7 лет назад +4

    kaka millard huko ni nomaa ukinunua ki2 mpaka balozi ajueee nimishidaaa hakufai huko...💃💃💃💃

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +1

    Wahoji wacomoro, sasa umekazana kumhoji mtanzania! Huo uduanzi

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 3 года назад +1

    Comores ni nchi ambayo inaanza kutoka katika mashîmo makubwa but let' us going slowly

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 7 лет назад +7

    Ila nasikia wanawake wa kikomoro wanaheshima sana

    • @khadigaomri8747
      @khadigaomri8747 7 лет назад +1

      Kweli kabisa

    • @malota2138
      @malota2138 3 года назад +1

      itabidi nikatafute mchumba uko

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 3 года назад

      Hata mm km napata mwenyeji huko niko tayari nikaoe please

  • @ramadhanpakei2766
    @ramadhanpakei2766 7 лет назад

    nakukubali san millard ayo napanda san kaz zako ni nzuur san nakukubali nami nahtaji siku moja niwe kama wew

  • @zingahassan5851
    @zingahassan5851 5 лет назад +3

    Nice and fine place to be in vacation..how much you need to spend in comoro for week

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 5 лет назад +3

    Comoro n kama zanzibar

    • @karthala6676
      @karthala6676 3 года назад +1

      Zanzibar is prettier than Comoros.

  • @mudrik1852
    @mudrik1852 Год назад

    Safi sana kutujuza taarifa kama hizi

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 Месяц назад

    " The results of decades os communisim! They must understand communism is the source of chaos and poverty!! They must open their country to investors otherwise "Umasikini hautoki kwao!!

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 2 года назад +1

    Comores! Home sweet home!

  • @abdallahkawambwa9041
    @abdallahkawambwa9041 3 года назад

    Napatan kweli inshallah tutafika tu.

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 7 лет назад

    Ahsante

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 3 года назад

    Karibuni COMORE island Ni nchi yenye Amani na watu wa huruma.na pia hewa nzuri.

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 3 месяца назад

    Ina jina kuuuuubwaaa lakn kumbe n nch maskn sana!!

  • @lalasheloisheye1154
    @lalasheloisheye1154 Год назад

    Nimeenda sana. Mij.huu

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 2 года назад +2

    Shilling alf5 ni zaidi yaalf20 bongo sasa kwa nn hela ya comoro inathamani zaidi ya dola na paund wakati dola 100 tu ni zaidi ya laki

  • @mariamushi1529
    @mariamushi1529 7 лет назад

    duh aisee ..huko ni kuzuri sana kufanya tours ..kwa kweli

  • @maryamsinganomaryamsingano7938
    @maryamsinganomaryamsingano7938 7 лет назад

    asante millard ayo huko wakonyuma sana daa nahizo sheria za mwisho mungu azidikukupa uwezo zaidi iliutulee habari mbalimbali

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 7 лет назад +2

    Kama umewahi kufika Zanzibar basi Utakuwa huna tofauti na Ayo. Hakuna tofauti kati ya Zenji na Comoro.

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 7 лет назад

      Kihanda Tv kweli ni sawa na zanzibar mji mkuu darajaani😅😅loooh lakini ndio home love zanzibar

  • @salmasaid7254
    @salmasaid7254 7 лет назад

    asante ayo tuletee mechi ya jana burundi le mesenger ngoz& kvz kama itawezekana

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 7 лет назад +1

    duh huko kuko nyuma snaaa

  • @dseven7094
    @dseven7094 9 месяцев назад

    mbona vts nyingi sna

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад +2

    Ni Moroni, Millard.. Si Moron! Haha! That's ma home, buddy!

  • @fatmayussuf6125
    @fatmayussuf6125 6 лет назад +1

    home

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 4 года назад

    Huko Comoros ninoma wanadari kam wahindi mwanaume kuolewa khaa sikuwez huko pia maish yao mitihani na matumiz ni makubwa khaa

  • @user-fy6dc6zb8w
    @user-fy6dc6zb8w 3 месяца назад

    Wow

  • @nassorjabry5655
    @nassorjabry5655 7 лет назад

    Hahaha haha ayo huko siomchezo yani full utelezi ukioa unakaa kwa mkee dwaaaaaax sema nn ukibahatika kwenda tena wambie waongeze sheria namatumizi ataoe mkee ntanunua BMW hihihihi vitz zimezidi 😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee Месяц назад

      😂😂😂Mnapenda vya bure mhh

  • @minzamabula3551
    @minzamabula3551 7 лет назад

    ahahahaaaa et linbwata jamani lakini bado wako nyuma bwana

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 3 года назад

      Usiali.baada miaka.utaskia tu tupo mstari wambele.tunaanza chini kwenda juu.

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u 4 месяца назад

    Ukitaka kufanya biashara na kuishi vizuri msingi unatalkiwa uwe na bei gani

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 7 лет назад

    Bas wanaume woote wata owa ma fast born kwa kupenda kutafuniwa na atakae zaliwa mwisho mwisho imekula kwake kaazehekea home ocz wanaume woote watakimbilia Kula ma fast born

  • @frankiedebrilliant
    @frankiedebrilliant 5 лет назад

    Vizuti Sana

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g 4 месяца назад

    Taifa ili ukienda kuanzisha maisha unatoboa chap

  • @hadjiabassi9649
    @hadjiabassi9649 6 лет назад

    Kisiwa cha Mayotte ni kisiwa cha Ufaransa nasi cha comoro 😉

  • @vigezo
    @vigezo 5 лет назад +1

    It is three islands Mayotte is part of France

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 7 лет назад

    hapo ndio waahaendelea ao

  • @kingroller5456
    @kingroller5456 7 лет назад

    usafiri ukoje kutoka dar mpaka comoro? unasafiri kwanjia gani ?

    • @dodomikleni9299
      @dodomikleni9299 7 лет назад

      king roller ndege ..meli pia

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 2 года назад

      Unakwenda kwa kuogelea ukijitosa baharini utazamkia Moroni

  • @chayamhicham7202
    @chayamhicham7202 4 года назад

    Huyu siyo mtanzania hâta kiswahili chake bado huyu tunamjuwa vizuri sio mtanzania

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 3 года назад +1

      Huyo mwanamke anae JIBU Ni mfanya biashara Moroni Ni TZ.BUT SIO MKOMORO .LAKIN ANATUFAHAMU SIE WAKOMORO VIZURI SANA.YUPO COMORE MIAKA MINGI KWA BIASHARA.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 года назад

      Ukienda rorya au usukumani ndio utajua huyu Ni Mtanzania

  • @YamunguYb
    @YamunguYb 7 лет назад +1

    Da!! huo ndio mji mkuu!!
    kama Bukoba

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад

    Mazingira yake kama Zanzibar

  • @abdillahabdubakar9336
    @abdillahabdubakar9336 7 лет назад +1

    uko home comoro

  • @famffamf40
    @famffamf40 7 лет назад

    She's not the first Why didn't ask the first

  • @user-sm5tt3fv9z
    @user-sm5tt3fv9z 4 месяца назад

    Mayotte ni sehemu ya Ufaransa

  • @karthala6676
    @karthala6676 7 лет назад +2

    Ahsante sana Mylard kwa kwenya Comoro. Nimekuliya huko na nimefurahi koona Moroni kidogo. What you said about the wedding is absolutely true. Left Moroni 40years ago and thank you for going there

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 лет назад

      comoro

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 лет назад

      thanks Karthala

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 лет назад

      Mimi siyo mutanzania ila napenda sanaa kipindi cako sanaaa .na napenda sanaa wasana watanzania sana sana muigizaji Wema

    • @rahmasaid7747
      @rahmasaid7747 7 лет назад +1

      Namupenda sanaa Wema sepetu

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 5 лет назад

      +Rahma Said wema yupo n mke wa daimond

  • @altamyanfane9850
    @altamyanfane9850 Год назад

    Magorofa ya tanzania nia waarabu pemba na wahindi

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 7 лет назад

    Hapo kwenye thamani ya pesa ndo panatakiwa kuwa darasa kwa Magu. Aje huko apewe darasa.

  • @QuartierNord13015
    @QuartierNord13015 6 лет назад +1

    Komori

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 4 года назад

    vits za kutosha huko

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 7 лет назад

    Ni kwetu kwa mamanguuu

    • @binaliy6456
      @binaliy6456 4 года назад

      Hikma Haji kumbe

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 3 года назад

      Naomba uenyeji ili nitembelee kujifunza huko nakufanya daawa alau hata week 2 0717519111 wasap cjui upo wapi ndugu?

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 3 года назад

    Wajaclia mali mpo hapo. Fursa hio comoro kuna neema.

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 7 лет назад +2

    Nimeyapenda sana mazingira yake ila sio kwa vits zile 😋😋😋😋 ukiwa na vogue lazima uitambulishe jamhuri

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 лет назад +2

      hahahahhahah umenichekesha sana

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 7 лет назад

      Yan documentary nzima sijaona hata Prado....kweli hiyo ni COMMORO hhahahahha

    • @islamnurdin389
      @islamnurdin389 6 лет назад +1

      Millard Ayo uyo dada anawadanganya kidogo sijuw kiswahili kinamsumbuwa

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 лет назад

      Yah lazima jamhuri yamagu ijulishwe

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 лет назад

      Millard Ayo tafuta mzaliwa wa comoro sio mpita njia halafu mtu mwenyewe haeleweki anakurupuka tu. Sisi hapa tangu tuanze kutumia simu zamkononi lazima ufike ofisini na kitambulisho chako ukasajiliwe halafu ndio upewe line.huko tz line watu walikuwa nawanunua barabarani kama unanunua nyanaya tu unanunuwa unaweka kwenye simu yako. Ilikuwa 2009 ndio mlioanza taratibu zaku sajili.
      Mimi nilipitia hiyo ishu.

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 7 лет назад

    Milady nauli ya tz kwenda huko sh ngap?

    • @lydiampayo597
      @lydiampayo597 5 месяцев назад

      1mil. Kwa ndege
      Go and return

  • @mkemkwama2362
    @mkemkwama2362 2 года назад

    Mimi nahitaji kufika naomba uongoz

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 7 лет назад +5

    Comoro hata kwa limbwata siwezi kuishi.

    • @attoumanemouayad6509
      @attoumanemouayad6509 5 лет назад

      Hayo maneno yamenuumiza sana sana....😢😢😢😢😢

    • @samwa9496
      @samwa9496 Год назад

      Usiseme huenda mwanao akawaoa huko au kuolewa

  • @mgenisana7610
    @mgenisana7610 7 лет назад

    Pesa yetu kweli karatasi😂😂

  • @user-zm5wq1gk8k
    @user-zm5wq1gk8k 4 года назад

    duuuh

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 7 лет назад +1

    upande wa mama yangu

  • @alawithebestconcept231
    @alawithebestconcept231 2 года назад

    Please go back to making a video nowadays because something it's readying change 🇰🇲🇰🇲😁😁

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale 7 лет назад

    Jazirat maut....

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 лет назад

      Hata dubai wanao jiweza wanamitandao miwili nyinyi mmeanza kusajili simu juzi juzi
      Line mtu ulikuwa unanunua barabarani kama unanunua karanga.

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 4 года назад

    tutajie fursa za huko tuje kufanya biashara

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 18 часов назад

    Bc kuzuri uko

  • @decodesttz
    @decodesttz Год назад

    sasa uko s wawaachie tu samak waish

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk 7 месяцев назад

    Mh

  • @shabanramadhan3940
    @shabanramadhan3940 7 лет назад

    Yaaan nyuma tena sanaaa

  • @islamnurdin389
    @islamnurdin389 6 лет назад +1

    comores hamna dala dala muini ndio maana unaona izo gari ndogo afu uyu dada anae hojiwa hapa ni muongo sijuw kiswahili kinamsumbuwa au

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 6 лет назад

      Islam Nurdin anakurupuka tu

    • @sadikimgassa4215
      @sadikimgassa4215 5 лет назад

      Islam Nurdin Dada anae hojiwa anaitwa mwanjuma Ismael ni mcomoro mwenye makazi Yale dar es salaam Tz,na anaishi Kigamboni,na ameolewa na mwanaume Wa kicomoro anayeishi ufaransa

    • @hooswengosha2985
      @hooswengosha2985 3 года назад

      Tupe kweli yko

    • @lydiampayo597
      @lydiampayo597 5 месяцев назад

      Yupo facts,,ila ww ndo hujui

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад

    Hii interview ya kipuuzi ni sawa na historia ya jamii fulani, kuandikwa na jamii tofauti, mwandishi ilitakiwa a wahoji wenyeji, huwezi ukaja kwetu wanyakyusa, ati ukataka historia yetu kule busokelo ati ukaanza kuwahoji wahehe wa iringa! Idiots

  • @philipomakanamabilikaathum6394
    @philipomakanamabilikaathum6394 7 лет назад

    hiyo nchi bado inatecnelojia ndogo inamitandao Miwili daah noumer

  • @shabanidigalu6683
    @shabanidigalu6683 2 года назад

    Vitz kama bodaboda

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 7 лет назад

    Wame tawala Wafaransa huko hivyo marndeleo ni big issue. Waambie kuhusu ADA, Millard. Kwa Comoro kwa mke ndo kwenye familia na si kwa mume.

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 4 года назад

    Hakufai uko

  • @fatimayoussouf4878
    @fatimayoussouf4878 6 лет назад +4

    Halafu wewe ayo,huyo dada nimuongo, kwanza ukitaka kujuwa vizuri katika nchi yoyote unatafuta mzaliwa sio mtu ambae anaishi. hata kama aliishi miaka 100 hawezi kukwambia ukweli halafu hilo dada muongo kabisa anajifanya mjuaji mtu mwenyewe hajui chochote kuhusu mila na desturi za comoro anakurupuka kuelezea asioyajuwa . Eti lazima mwanaume aishi kwa mkewe.
    Mboba kuna wanaume wanajenga nyumbazao na wana wachukuwa wakezao wanaishi pope .
    Cha pili wewe ayo kila kitu kinachofanyika nchi yoyote kuna kuwa na hikma ndani yake yake
    Kwanini hujamuulizia hikma yakuwa mwanamke anajengewa?
    Ndio mana nilisema pale awali kwamba ungetafuta mzaliwa, sio mtu wakuiishi.
    Hayo magorofa mnayo yavunia
    Moroni tuna papenda kama valivyo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      Je wewe ni mkomoro

    • @decodesttz
      @decodesttz Год назад

      kubaya bwana hyp nchi mlitakiwa muwaachie samak nao waishi so kwakuish watu huko😊✌KUBAYAAAA

    • @lovenessmushendwa1230
      @lovenessmushendwa1230 Год назад

      Ni kweli: yupo sahihi

    • @JanethMadios-oe5ue
      @JanethMadios-oe5ue 8 месяцев назад

      Mbona imekuuma dada, kubaya ndio kwani uongo???? Tena kubaya haswaaaa hapo mjini kwenu ndo kama kijijini kwetu tuu ni kubaya kubaya kubaya hata kama mnajivunia lazima mjivunie ndo kwenu tena ila kiuhalisia ni kamji kabaya afu kanatisha sijui kapoje kapoje mimi siwezi ishi huko bora niende nikaishi kijijini kwetu tuu

    • @abedysteven4930
      @abedysteven4930 3 месяца назад

      ​@Janethhahaha🤣🤣🤣🤣Madios-oe5ue

  • @faidasemitende8147
    @faidasemitende8147 Год назад +1

    Broo mm Niko huku

    • @dseven7094
      @dseven7094 9 месяцев назад

      mzee natka nije nitembee huko niandae kam bei gani hivi