KIJANA ALIYELAWITIWA NA WATU 60 ZANZIBAR ATOA USHUHUDA (Episode 02)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 фев 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 231

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge Год назад +8

    Alla atakuongoza madhali umeshutuka ALLA atakusaidia. Asante sana mm amini kazi kubwa unayoifanya. Allah akuongezee imani na afya

  • @jojomohamed3418
    @jojomohamed3418 4 месяца назад +1

    Subhanallah mtihani wallhi inasikitisha sanaaa🥹😭😭

  • @abkhamsalshamte429
    @abkhamsalshamte429 Год назад +4

    yani nyinyi ccm mungu anawaona na mungu ata kuadhibuni duniani na akhera na rais wetu usilinyamazie kimy kisa na ww ni ccm. mungu anakuona dr.

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 Год назад +29

    SubhanaAllah huu ni mtihani mkubwa uliyoikumba zanzibar lazima turudishe dini yetu ya kiislam zanzibar

    • @Awatee
      @Awatee Год назад +8

      Dini ndio mfumo mzima wa maisha ya mwanadam

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +4

      Naam lazima viongozi warudishwe mfumo mzima wa dini na maadil bila ya viongozi kazi bure wao ndio kichwa lkn tukisema tuu koo zitagoma kutoa sauti mahoteli mengi na hayafati maadil kwasababu viongozi hawajafanya mfumo mzur wa maadil narejea tena kila sekta lazima uwekwe mfumo mzima wa dini na maadil ninani wa kutoa amr hio ni viongozi na lazima ufatwe bila ya hivo tutapata tabu sana.

    • @hawamohammed9740
      @hawamohammed9740 Год назад +3

      Zanzibar dini ipo Ila Imani ndio imepotea kwa Sasa maana kama Imani ipo basi wasingejaribu kuharibu watoto wa wenzao kwa makusudi bila ya kujali kua mzee wa huyo kijana au vijana wataumiaje chukulia wewe unaemfanyia mtoto wa mwenzako kama hivo jee akifanyiwa wako utajihisije
      Lkn wakumbuke kama tadinu tudani

    • @omanlovemirbat7572
      @omanlovemirbat7572 Год назад

      jamani kabisa mtihani

    • @omanlovemirbat7572
      @omanlovemirbat7572 Год назад

      pole sana Kaka yangu

  • @suleimanbadru819
    @suleimanbadru819 Год назад +11

    Kama halbadiri ipo na msomaji yupo naisomwe wapukutike wote wanaoharibu watoto wetu

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад +8

    Dah imeniuma wallah jmn 😭😭😭 bi amina mungu akueke

  • @hadhaminfadhwil-rab287
    @hadhaminfadhwil-rab287 Год назад +4

    Yaa Rab tuondolee madhwalim znz 😭😭😭 unyama gani huu jmn, Yaa Rab tusaidie wazanzibar, tuhifadhie watoto wetu minkuli-hal yaa Rab, Subhanallah Subhanallah Subhanallah

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Год назад +5

    Mama mungu akutangulie kwa hili kuokoa vijana wa taifa la kesho hakika atakupa nguvu zaidi unafanya jambo la maana sana na utu

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y Год назад +13

    Mama Amina Mungu ampe umri mrefu in Sha Allah

  • @josephmnzavas9747
    @josephmnzavas9747 Год назад +2

    Kwa nini asiwataje wafiraji wote waliomlala?tukiwajua na wao tuwaweke hadharani kwamba hao tunaoamini ni viongozi wetu kumbe wanaongoza na gizani pia,tuwajue na wao wajue sasa wanajulikana na wake zao wajue na watoto pia wajue kuwa baba yangu ni basha.itakua poa sana

  • @babuantar8215
    @babuantar8215 Год назад +4

    Inauma sana dah!...Allah ndio mlipaji ...watu wanatumia uwezo..madaraka kuwaharibu vijana ..mtihani ..inauma sana sana..

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 Год назад +6

    Ni masikitiko makubwa. Allah ndie atakaye watosha in shaa Allah

  • @sarahsalumu7792
    @sarahsalumu7792 Год назад +3

    Pole sana kaka VP afya yako iko salama maana duu!

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Год назад +6

    😭😭😭😭 Allah akbar Allah akbar Yaa Rabbi wasimamie vijana wetu wakinge na janga hili waonfoshee Yaa Rabbi jaman viongozi wa serikali hii muko wapi wtt wakiume munawaharibu sana kwa kuwaruburubuni kwa vijesenti
    Hussein liangalie kwa jicho la huruma hili

  • @ruwaidaal-ismaily9099
    @ruwaidaal-ismaily9099 Год назад +18

    Raisi Wetu ulione hili Zanzibar yetu imearibika Sana tunakuomba Waongozi Wakubwa katika chama ndy wanaharibu Zanzibar.

  • @mwatimaabdallahaji2452
    @mwatimaabdallahaji2452 Год назад +5

    Wallah tunapoenda wala sio mbali kila mtu atahukumiwa na lake wallah ALLAH atawahukumu kuanzia hpa hpa dunian insha ALLAH tunawaamn kumbe chui wanafiki munavaa ngoz ya kondoo

  • @dottohami
    @dottohami Год назад +4

    Subhanallah huu ni mtihani mkubwa sana Alhamdulillah mungu kamjalia katoka kwenye hiyo kazi

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 Год назад +2

    Hizi nafasi kwenye taasisi zimeharibu watu wengi Sana jamani haswa vijana wadogo na hii ni kwakuwa Kuna umasikini na tamaa za maisha mazuri Allah tunusuru sote

  • @kombohamad5615
    @kombohamad5615 Год назад +3

    Wallah huu nimtihani na laana kubwa bila kuamuwa kwa vitendo basi hatujuwi Allah adhabu gani atatupa

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 Год назад +6

    Dahhh mthn, unasisimkaa wallah. Allah atuogoze na vizazi vyetu. 😭😭😭

  • @zakiahaji17
    @zakiahaji17 Год назад +3

    Wallah inasisimuwaaa nimeliaaa watu makatiliiii humu Allah tulindeee vizazi vyetu na wenzentuuu zanzibarr hakurudikiiii kwa ukatiliii huuuuuuuuu

  • @machetebogota4218
    @machetebogota4218 Год назад +14

    Sema Zanzibar imekuwa ovyo sana c sehemu salama kabisa yote ni huu tunaoita utalii usio na faida wanakuja wazungu kuleta tamaduni zao mungu awaangamize wote wanaofanya Aya mambo

    • @husnaally7964
      @husnaally7964 Год назад

      AMIIN AMIIN kwa kwel mtihan mkubwa

    • @nicedavid8536
      @nicedavid8536 Год назад +1

      Hayo mambo ya warabu hata msisingizie utalii, mbona Arusha watalii kibao

    • @petromachanga5538
      @petromachanga5538 Год назад +1

      @@nicedavid8536 hahaha

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Год назад +1

      @@nicedavid8536 wanalaana wao wenyewe hao

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Год назад +3

      Sio kweli hakuna mzungu anaye fundisha mtu kufika utaliu haupo Zanzibar pekee usikimbie tatizo Tanzania Kuna Serengeti,chuga,Moro kote wanakuja wazungu mbona ushoga haupo Kama huko kwenu,dar,pwani,Zanzibar,Mombasa ndio maeneo ushoga umekisiri na kote ipo jamiiyenu

  • @nadiahassan7993
    @nadiahassan7993 Год назад +5

    Yule basha wa kenya raia wa uiengereza anayekuja zanzibar kuwalawiti vijana aitwa Dr.Amkeni. hivi yuko jela la shimo la tewa

  • @hajiharoub8125
    @hajiharoub8125 Год назад +2

    Dah sio poa kwakwel mtihani,
    Allah atuhifadh na haya majanga ya ubarazul

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Год назад

    Heeeee Hatar wallah vijana tuache tamaa za kisenge senge turidhike na maisha

  • @amoursalum8266
    @amoursalum8266 Год назад +9

    Mtihani mzito.. sana Allah atustiri sisi na vizazi vyetu..

  • @Sunnah1212
    @Sunnah1212 Год назад +1

    Haya mambo hayatokei bahati mbaya ni yakupangwa kabisa haya na yanalelewa na viongozi wakubwa sana ndio maana hayawezi kuisha

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Год назад +1

    Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu awa shinde yaarab kwa uwezo wake Allah SWT

  • @user-fh3np5yk9g
    @user-fh3np5yk9g Месяц назад

    Daah duh Allah atunusuru na watoto wetu wakiume

  • @ThaniaNassoro-yo3hb
    @ThaniaNassoro-yo3hb Год назад +1

    Viongozi wanajua kila kituu wallh Allah atunusuru

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Год назад +3

    Subukhanallah yaaaaarab tuongoe sie wajaa wk sie yaarab.. rohoo inaumaa 😭😭😭😭😭

  • @mwanaishaabubakar5013
    @mwanaishaabubakar5013 Год назад +2

    Allah akuhifadhi wewe na vizazi vyetu vyote. Lakini kwenye makundi ya hao ya shangwe hasa kwenye vyama vijana wengi wanaharibika wakike na wa kiume. Hii ndio maana wakisha jishirikisha humo, wanavuta bangi, wanalewa, wanalawitiana, wasagana na wanafanya mengi yasiyo faaa. Mzigo huu unarudi kwa viongozi. Kesho kuna masuala ya kujibu mbele ya Allah.

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 3 месяца назад

    Kwamuonekano niwatu waImani nzur tu ila nikama laana furani Allah tuongoze kwaMazur

  • @mohammadhassan-hu9jt
    @mohammadhassan-hu9jt Год назад +1

    Lailaha ila waallah kwann Allah tustiri pole Allah atakuongoza amiin

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 Год назад +4

    Subhanaallah Allah akuhidi inshaallah yaarab na azidi kukupa moyo huohuo inshaallah kesho uwe baba na wtt wako Allah akuhifadhi

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 Год назад +1

    Subhanallah oooh Allah tunaelekea wapi sisi? 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @stonetown578
    @stonetown578 Год назад +4

    Pole sana Allah atakufanyia wepesi, Insha'Allah Mwenyezi Mungu atakulipia.

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +1

    Huu ushetani inatakiwa wananchi "tutumie nguvu ikibidi hata kuwaua wote hawa washenzi" kabla taifa halijapotea

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Год назад +1

    Uuuuwiii! Mungu tusaidie na Watoto wetu! Ila wanao wafanyia watoto wa wenzao hukumu inawasubiri kwa Mungu! Inabidi viongozi wa dini na wazazi tuwe karibu sana na watoto! Mafunzo ya shule na dini yawe ya kina

  • @seifhamed2605
    @seifhamed2605 11 месяцев назад

    Allah akuvushe hili na jengine mwanangu

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 Год назад +1

    innahlillah wainnah illah rajioun Allah atupe stara dunian na kesho akheera

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 Год назад +2

    Asalam alaykum Rashid mwambie bi Amina tusomeni dua

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 Год назад +1

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @mamuumamuu1623
    @mamuumamuu1623 Год назад +4

    😭😭😭😭😭Jaman nimelia nilivo msikia huyu kijana

  • @aliyissa9857
    @aliyissa9857 2 месяца назад

    Pole sana. Allah akuhidi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +2

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭tz imajin ni viongozi na wana wake zao, ila mahakama ya hakki ni kwa الله 2 . Inasikitisha kwakweli😭😭😭😭😭. Jamani ajitokeze kiongozi mmoja mwaadilifu hawa mahasibiya لله waniimal wakiil wakamatwe na wapandshwe kizimbani. Vizazi vinateketea, enyi wenye madaraka. Madaraka ni dhima.

  • @Salhiya-hr7dy
    @Salhiya-hr7dy Год назад +1

    Loooooh subhanaallah Allah atustir na vizaz vyet Allah atustir na vizaz vya wenzet Allah atujaalie vizazi vyeny kuelewa ya Ya Allah tusaidie na nchi yet Ya Rahman 🥺🥺🥺🥺🥺🥺😥😥😥😥😥

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад +2

    Inauma sana pole sana

  • @faza4023
    @faza4023 Год назад

    Pole Sana Mama na kijana.
    Karibu kwa Yesu anaokoa

  • @masoudamohamed-4959
    @masoudamohamed-4959 Год назад +1

    Pole san Allah atakulipiy kwayt n Allah atakusameh makosa yko inish Allah

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 Год назад +1

    Pole ALLAH akuhifadhi

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 Год назад +3

    Kwakweli hawa viongozi wa CCM ni laana tupu,hawa ndio chanza cha mattizo yote yanayowasibu vijanana kama hawa,yaani huwezi kushika nafasi ta uongozi kama tupu yako ta nyuma hujaisabilia kwa safu viongozi wao wajuu.

  • @fatemazanzibar877
    @fatemazanzibar877 Год назад +1

    Mtihani Zanzibar wanaongoza kwa mchezo uwo toka zamani ila mm naumia sana nikiona mwanaume kafanyiwa Ivo naumia

  • @fatmarashid8163
    @fatmarashid8163 Год назад +1

    SubhanAllah mungu atulindie vizazi vyetu

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад +1

    Jmn, 😳😢😢😢😢😢zanzibar mung ana waona jamn kutoka kondoa 🇹🇿

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 Год назад

    Mama mungu akulipe peponi iwe makazi yako wallah mwenyezi mungu awalaani wotee wanao wafundisha mabaya namachafu wachache ndio wanaichafua znz hizo nguvu wanazo tumiya kuharibu watu zitawagalim mbeleza mungu

  • @eliasjanuary5941
    @eliasjanuary5941 9 месяцев назад

    Aiseeeeee inauma Sana Sana Sana Sana Sana Sana Sana Sana nimejikuta nalia

  • @shamsumajura5849
    @shamsumajura5849 Год назад +1

    Hii ifike kwa rais

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Год назад

    Allah akulinde na Akuhifadh na Akuweke ktk Twaa yke

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Год назад +1

    Mtihani kweli duh zanziber imefikia hatua hii.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Год назад +5

    Lahaula walaakuwat ilabilah😭😭😭😭😭😭

  • @rahmasalum1317
    @rahmasalum1317 Год назад

    Na lipigwe marufuku ya nguvu ushoga serikali liipe mkazo sihivo nibalaa tupu Allah atuhifadhi na atuongoze njia nzr amin

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame5304 Год назад +2

    Hii ni hadithi ya kutishaa sana

  • @alitunu3086
    @alitunu3086 Год назад +1

    Duh pole Sana allah akutie nguvu

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 Год назад +3

    Rabbi tuhifadhie Watt wetu

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 Год назад +2

    Dahhh jmniii, Allah awalaaani viogz washenzi,,😭

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 Год назад +4

    Subhna allah rais wetu tunakuomba ulisikie hili sis tunaobeba mimba ndo tunaangamia

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Год назад

    Mwenyezi mungu akuzidishie umri mlefu

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад +6

    Innalillah wainnailaih rajiun 😱😭😭😭😭😭Hasbunallah waniimalwakil

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 Год назад +1

    Allah akuhifadhi.

  • @suleimanrajabhaji3653
    @suleimanrajabhaji3653 Год назад

    Hilaki kubwa inayoiandama jamii yetu. Masikini Zansibar. Wanangojea lengine mpaka Mwenyezi Mungu awafikie na malaika wake ikiwa ni mchana kweupe ama usiku wamelala?
    Wawache wachukulie mzaha adhabu za kudhalilisha ziliwashukia walokua nyuma na inatosha kua ni onyo kali kutoka kwa Muumba.
    Mwenyezi Mungu tunakuomba utuongoze ktk njia ilonyooka

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +1

    Hicho kisiwa ipo siku kitazamishwa na bahari

  • @ashrafbunu2371
    @ashrafbunu2371 Год назад +4

    Very sad story to our ummah

  • @seifhamed2605
    @seifhamed2605 11 месяцев назад

    Mtangazaji usimwambie kuungia kwenye ubaradhuli mwambie umeingia kwenye mtihani huu

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Год назад

    Pole Sana munqu akuifadhi

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Год назад

    Wananchi tuamkeni wenyewe tupamambe kila mwenye familia yake anae jua huyu nishoga katika familia yake au anaejua huyu nimfilaji wote nikuuwa kuuwa kupo sehem nyingi najua ukiuwa hiv hiv selikali kwakua inapenda hay mambo utapewa kes za ajabu tuteuwe watu wasio julikana wawafatilie na wawaue

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 Год назад +3

    huyu muathirika afadhali ahamiye nje ya nchi akibaki znz watamdhuru +namwomba rais mwinyi ateu kamati ya uchunguzi na katika hiyo kamati wajumbe wawe kutoka taasisi ya watu binafsi

  • @rahmamosa2320
    @rahmamosa2320 Год назад +2

    😢😢😢 imeniuma sana

  • @yuzasivyussuph6087
    @yuzasivyussuph6087 Год назад +2

    So sad,Allah atakuhifadhi

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t 2 месяца назад

    Subhana llah yarabi

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 Год назад

    Kweli mambo ya chama wengi wameharibika kuna mmoja mungu saehe na amefariki alikuwa hivhivo baradhuli

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Год назад

    Kwa hivyo viongozi ndio mabahasha wakubwa ,halafu tunatarajia ndio wapaze sauti kukemea ushetani huu

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 Год назад

    Ta maa nayo sio nzuri jamni

  • @yayeissa4128
    @yayeissa4128 Год назад

    Allah atustiri, mtihani umetukabili.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Год назад +1

    CCM OYEE

  • @sharaful-anaam138
    @sharaful-anaam138 Год назад

    Allah azidi kukuongoa ndugu yetu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад

    Na huyo viongozi wakamatwe wote ndomaana kesi hizi hazisikilizwi kwa sababu wanaofanya ni viongozi ndo wenyewe shughuli hizi

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад

    Rais usifungie macho wakubwa ndo wanaoharibu watoto wakamatwe wote na wafungwe kifungo cha maisha au wakubwa watazid ndo vijana wanaharibika wakubwa ndo mnawaharibu watoto wa wezenu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад +1

    Ilikuwaje maana mnajifanyaga watakatifu

  • @fatmaalbeity9097
    @fatmaalbeity9097 11 дней назад

    Hawa viongozi nilazima watajwe ilikunusuru wavulana wa zanzibar.

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 Год назад +3

    Subuhannallah 😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😢😢😢

  • @hassanalkinanga
    @hassanalkinanga Год назад

    Je mtu kama hyo atakuwa na uwezo wa kuzalisha kweli ,wataalamu naombeni jibu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад

    Kwanini wasikamatwe huyo aliyomuazisha na mpaka kupemleka kwa wote hao wakubwa ndomaa kesi ukizishitaki kumbe wao ndo wanaotaka wakubwa

  • @user-ev8qe1uf2f
    @user-ev8qe1uf2f 9 месяцев назад

    We kijana Kwa Tamaaa ya kupata cheo ndio uuze utu wako uwe kama mwanmke Wal hukulazimishwa ulifany kw hiari yko , daaah we kijana sikumalizii maneno ila umefeli sana Yan umeboa sabb ulifany kw hiari hujabakwa

  • @saidyusuph2907
    @saidyusuph2907 Год назад

    Hakika Ghadhabu za Allah hatutozikwepa..inalilah waina ilayh rajuun

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад

    Mama mungu akupe subra

  • @shakhbut9525
    @shakhbut9525 Год назад

    Allah atuhifadhi sisi na familia zenu na vizazi vyetu kwa kweli mtihani wallah

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Год назад +1

    Hao watu wote fiinaar jahanam, Na namuomba Allah Kwa wote wenye tabia kama hizo za kuharibu vijana wa watu walaaniwe

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Год назад +1

    Subhannallah 😭😭

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura Год назад +2

    Inna Lilahi Wa Inna ilayhi rajiuun