MOTO WAHESHIMIWA WAPANDISHIANA SAUTI BARAZAN KISA MAJI PEMBA MPAKA SPIKA ASHINDWA KAMUA KUINGILIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Комментарии • 29

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 3 месяца назад +5

    Huyo waziri mm binapsi niliomba umeme nilikaa miezi 6 tangu kuomba nikamfuwata yeye aka nambia nyie wapemba munshida kwli mukijenga kichumba kimoja mwataka umeme kwli nilisikitika sna

  • @karamahfoudh8
    @karamahfoudh8 3 месяца назад +2

    Shida maneno bila vitendo

  • @SulemanAli-s9k
    @SulemanAli-s9k 13 дней назад

    abdul mbarouk acha kusema usioyajua

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 3 месяца назад +3

    Miaka 60 bado watu wanajadili maji tu

    • @EdiMchubila-kn9ks
      @EdiMchubila-kn9ks 3 месяца назад

      Maji na bara bara tu alo usiseme maendeleo hamna

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm 2 месяца назад

    Watu wengine sijui uwaziri wameupata vipi

  • @rahimahamad1016
    @rahimahamad1016 3 месяца назад

    Hasara ya kuchagua waeskilishi walio na elimu finyu. Waziri uwe na elimu ya problem solving otherwise utadhalilika.

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 3 месяца назад

      We una firwa kweli kwan si wajbu kufikishiwa uo umeme nynyi wanguja ni wa binafsi sna

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 3 месяца назад +1

    Hawa ndio mawaziri wa Serikali ya CCM na majibu ya kihuni kyltk Chombo muhimu ktk nchi

  • @Pemba680
    @Pemba680 3 месяца назад +3

    Waziri kimeo hata majibu hana

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 3 месяца назад +1

    Hayo matatizo ya maji Pemba ni ya makurdi,maana maji Pemba yako kwa wingi,mpaka baharini maji safi yako.Tatizo kubwa ni uwajibikaji.Mpaka hii Leo hapo Wete wananchi wanapata taabu ya maji.

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 3 месяца назад +2

    Hawana maji hao kama huu mwaka wa 5 kila siku keshokesho

  • @IbnuAlly-wm8il
    @IbnuAlly-wm8il 3 месяца назад +1

    Kajibu vizur lakin tatizo ni kuwa hawatekelezi ndio chanzo cha huu mvutano

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 3 месяца назад +1

    Yani badala muongee apo munachimba hamuchimbi munasema wakakae nyinyi vp acheni mambo ya kizamani watu wanapa tabu

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 3 месяца назад +1

    Huyo waziri nimjeuri sana hawezj kusema wwnyeakili zao inamaanatupo wengune hawana akili hatutaki malumbano peleka majj safi nasalama ww unaweza ishi bila yamaji umeyavulianguo yakogetu

  • @kitosio
    @kitosio 3 месяца назад +1

    Safi sanaaaaaa

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 3 месяца назад +1

    Kakosea sana Waziri kusema wenye akili zao.
    Hapo sisi tunafahamu kua Waziri kamaanisha kua wengine hawana akili akiwemo Muheshimiwa Suleimani!!
    Daaah...majibu mengine hayaa

  • @jombadulla
    @jombadulla 3 месяца назад

    kwani lazima wachimbe apo,ciwayatoe sehemu nyengne wayapeleke,mbona rahsi tu,yandika mabomba ata wete muyapeleke kichungwani,mnakosea wapi serikali

  • @kitosio
    @kitosio 3 месяца назад

    Kijana hongera sana sana. Ahadi hewa hawa. Hawamsaidii Raisi kwa nguvu moja.

  • @kitosio
    @kitosio 3 месяца назад

    Ee slelemani we sele sele. Baba sele tunakukubali sanaaaaa

  • @zuwenasaid9707
    @zuwenasaid9707 3 месяца назад

    Maigizo plus ,tembo na nyani na simba .

  • @jumasabour5886
    @jumasabour5886 3 месяца назад

    Suala la maji limekua kero ila mm najiuliza. Kwan hatuwezi kuyatransorform hard water to soft water. Ukizingatia tumezngukwa na bahar.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 3 месяца назад

      Juma,hilo wazo ni zuri lakini kwa Zanzibar,mpaka sasa,sio lazima.Maji safi yapo kwa wingi ila hakuna nia dhati ya kuondoa kero hilo

  • @abdulkadirmbarouk5634
    @abdulkadirmbarouk5634 3 месяца назад

    Kauli ya mheshimiwa kusema watu wennye akili zao wanajuwa hajakusudia uwenda wazimu Kwa nilivyo mfahamu kakusudia watu wenye uelewa wasomi,wataalam Wa kijiji cha michungwani .sio kma kijiji kizima ndio wana elimu na uelewa huo

  • @SaidAli-sg1qd
    @SaidAli-sg1qd 3 месяца назад

    Huyu jamaa kiboko

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki 3 месяца назад

    Dah mtihani

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 3 месяца назад

    Hatabado

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid 3 месяца назад

    Wao kw wao wavutana