MOTO BARAZAN WAPEMBA WAJA JUU DK KHALID PEMBA MNALETA INGINIA WABOVU ROHO IMEUMBWA NA CHOYO
HTML-код
- Опубликовано: 29 май 2024
- TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Wapuuzi sana Hawa,kwanza uyu nadir ni mpuuzi kushinda ao wapuuzi wenzake ,kazi yake porojo, kwani sikweli Pemba munakuangusha kusudi hamuna lolote, kazi ufisadi
Ni chakula cha wakubwa uyo nadiri ndio maan anaongea bila woga msege uyo alafu n naibu waziri kisha mpaguzi
Wapemba tunazarauliwa sana na smz
Tena sana
Washenzi hao Wana ubaguzi sisi wapemba wanatubaguwa
𝙆𝙖𝙗𝙞𝙨𝙨𝙖 𝙝𝙞𝙞 𝙣𝙞 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞
@@user-gs6pr7ny2k ipo-siku
Daàaaah
Sisi wapemba tuna mungu atatulipa endelezeni zulma zenu mulizoziasisi tokea mwanzo
Utawala ulioko madarakani hawako tayari kuiyona pemba inaimarika kiuchumi na wanaogopa kutengeneza miundombinu ya Pemba mana kutakuwa kwakupiga mfano afrika nzima
Tikiendelea kubaguana iiiiiiiii titakuwa na Wazanzibari, Wazanzibara na Wadanganyika 🤣😂 😂😂🤣👎🦴 jifunzeni toka Danganyika 🙏 mbona huku tuna makabila zaidi ya 120 bado tu kitu kimoja 🤔 lkn tarafa wanaumana, wanabaguana, wanachukiana 🤣🤣 chetu ni chenu 😭 chenu ni chenu Kwa nn 😭 Kadiba mmmaa 👍👍👍
Pemba haithaminiwi Kwa chochote Kwa lolote, Kila kitu kinajengwa unguja, maendeleo yote yanafanywa unguja, unguja mabara bara kibao tena mazuri, Pemba hakuna Jambo
Pema inatuuma kwli ila mungu anatupenda tukikosa kw serekali tutapata kw mungu pemba tunakushana kodi kuliko unguja ila maendeleo hatuna
Huyu anafaa kua rais wa Zanzibar 😊
Nilienda Pemba january 2024 mara ya mwisho nilienda 2019
Sikujua nilipita barabara mpya nikapita mzambarauni yaani nilijua gari ya rafiki yangu nimeazima itavunjika
Ni mahandaki
Kufika wete ndio ndugu zangu wakaniambia pitia barabara inayoenda konde upite pandani
Nilipotea kifogo lakini hio barabara ni nzuri
Mkoani chakechake barabara ni balaaa
Umesema kweli
Pemba kweli shidaa Allah atainusuru
Baba Asante nakuunga mkono
Hawa hawana haja na Wapemba hawataki kabisa Wapemba kwanza ni Wapinzani ndio maana hawayaleti Pemba Maendeleo
Hayo hayahitaji tochi,ni kweli kabisa
Ata wafanyaje wapemba sie hatuwataji
Ujumbe umefika waache wajenge unguja tu pemba wameifanya mkia wa n,gombe,ilaipo ck inshallah hakuna lisilo na mwisho😮
Nakupa mauwa Yako ndugu yangu
Mmh. Mie napita tu ,🏃🏃sina ata mia ya kumpa wakili
Happy that they've started to realize the truth, that for long deny!
Kweli kbsaa
Sisi wapemba tunadharaulika kwkweli tumekosa Bahati ss unguja uzi nilienda yani kunamaendeleo sna
Daah yan huyu jamaa kanikata mbavu 😂😂😂
hongera muheshimiwa
Barabara Pia ni hayo2. Meko na mawasiliano ndio wajengaji. Haya mambo tunamuomba Raisi atusaidie mwenyewe kusimamia. Yeye ndio ana uwezo wa kudhibiti ubora. Vingenevo mtihani
Hahahaaaa. Sema weye Bora.
Hakuna 🎉 tena kufta
Huyu mjumbe musijali anatoka chama kipi mpene kura m kwa mara nyingine
Kutokana na ugumu wa usafiri,wafanya biashara wanagharamika kwa kiwango kikubwa,na mwishoe bei za bidhaa zinakuwa juu sana mpaka wanunuzi wanashindwa.
Kiufupi kauli iliyokuwa Sawa Sawa ni kwamba Pemba inatengwa haithaminiwi Kwa chochote Kwa lolote
Umesema kweli
Sas km pemba ni wapizanj ndio kabisa tutazidi kua wapizani maana km yule mke km hutimizi sidhani km atakusamini uliza kujenga mijengo mazur sisi wanamchi tunadhalilika km ssi ni haki zetu wananchi wakwanza mm sisamehee
Mwakilishi hongera
2025 tutakuchagua tena In Shaa Allah
Hongra sana
😂😂😂😂😂 yan hd raha 😂😂
Safi sana jamaa kaongea
Apo sasa umefanya jambo la msingi kuliko kuhubiri siasa na muungano wakati wenzenu kile kilichopo mnachokiona kidogo wanakitumia kujinufaisha wao kwanza
Wana tudharau sana
Hao watu wa unguja hawapo tayari kutengeneza pemba ni maneno tu mpaka mtu anamaliza muda wake basi ahadi tu ni ahadi tu
Abaa nkweli watudharao nno
Kwa mecco kweli hakuna kitu mwenyewe nimepita juz chake wete wameshindwa kweki
Viongozi wengi hawana uadilifu kuwaunganisha watu kwa porojo na kuwagawa kwa vitend ndo kipao mbele chao
Ipo siku .pemba .tutagawa. mbao.
Good
Tunajenga huku unguja ndo mliko
Acha ujinga ww hakuna anayependa aondoke kwao, kwan mungelijenga miundo mbinu mizur kule angelikuja mtu huku? ila kinachoonekana saiv ni ubabaishaji tu
Kwan hakuna waunguja waliojenga dar au na kila kitu kifanywe dar Zanzibar isifanyiwe kitu kwa7bu dar watu ni weng kuliko Zanzibar kwaiyo sehem ikiwa na watu kidog haitak maendeleo na miundo mbinu mizur kwa7bu watu ni wachache ukisema hivyo unatukosea sana wapemba na mbna zao la karafuu linazalishwa sana pemba kuliko unguja au umesahau kama pemba ndio kwenye raslima nyie watu wa unguja ni wabaguz sana huu ubaguz ulikua ufanywe na watanganyika na sio mzanzibar kumfanyia mzanzibar mwenziwe
Wapemba watakiwa kwa kodi kubwa tu na ikifika kipindi cha uchafuzi wauliwe hakuna jengine Alhaji Goya alisema hali ya pemba inasikitisha
Wapemba wanatuzarau sana
HUO USAWA UNAOMBA ANZA NA WEWE. KABLA HUJAMALIZA MIAKA 5 OMBA MKUTANO MMOJA KIJACHO CHA BAJETI KIFONYIKE PEMBA. HUWEZI HATA SIKU MOJA KUSEMA UTABAKIA PEMBA KWETU NA UNGUJA KWETU . HAPA UNGUJA HIZO SEMI TRAILER ZINAZOBEBA CONTAINER HAZINA ESCORT VEHICLE WALA TAA ZA KIMURIMURI ZA TAHADHARI KUWA MKWELI
Bandari tumejengewa njia za miguu watu watatu mukifuwatna muna pigan vikumbo 😊
Wakilishi wapemba wengi ni vilaza
makamo wa pili huna lolote unashindwa kutupigania wapemba wenzako unawakumbatia hao wabaguzi ss tuko tiar kujitenga
Maneno matamu Asante mwakilishi 😁😁😁
Gari liliinqia paka hahahaaaaaa
Alaf eti makamo wa pili yupo haoni
🤣🤣🤣
Huo ukweli usiofichika kazi kinachoendelea ubaguz tu
Hakuna tena kofta
Jamaa anafaa kuw rais uyuu
Nadir ww mwnyw umemekimbia lndia uko wachen ubaguzi uo
Mimi nimezaliwa chakechake
Jengine ni kwanini hivi videge vyetu vikafuta safari za pemba kwenda tanga
Mada ni usafiri sio kujenga
Pemba ya 1990 ni sawa na ya 2024 ? Umeenda kuiona
KWA TAKWIMU ZA MHE. NADRI CONTAINER 188 TEU KWA MWEZI SAWA NA 2250 TEU KWA MWAKA ZA MCHELE KWELI BANDARI HIYO ITALIPA KWELI?
We msenge kwli kwan hiyo sio nchi moja iyo pemba lazma ijengwe
Hata sijui wanaenda kuzungumza nini. Haya hayo mambo ya Pemba peremba ndio yatasaidia nini? Yaani sijui tusemeje
Tumia kauli Mzur
Wapemba mnatubagua. pemba mmekufanya vutuni huku
Chukueni karafuu zao mupate pesa za kigeni Wapemba ni wajinga wao
Kweli ndugu, wajinga ndio waliwaoo
Wamesahau ya kwamba pemba ndio kwenye maslahi ya serikal tukiamua kusema karafuu tuuze nje ya jiran ni rahis kuliko unguja na tutapata faida kubwa sana ila wanasahau awa mahashuo wa unguja kama bila wapemba hawal ndiz wala cha shamban
wapemba tujitenge unguja kwao na sisi kwetu kilammja kwao
Mutaweza naona nyote mupo unguja au baniani mbaya kiatu chake dawa
@@user-kq7mp8qz9ealaf tukisema wapemba tukae kwetu unahis uko unguja kuna muunguja halis asilimia ngap maana asilimia 70 unguja ni wapemba sasa iyo asilimia 30 kwenye 70 inakaaje nyinyi mnaojifanya watu wa unguja munadharau sana wapemba wakat pemba ndio inawalisha nyau ww😂
@@user-mm5zq7sf1h ndugu jielewe wanao tamka kujitenga ninyny wapemba xyo sisi waunguja ndio maana tunakuulizeni mutaweza nanyny hamutulishi anaetulisha niallah
@@user-mm5zq7sf1h mtu hajifaharishi kwenye mijiyawatu anajifagharisha kwao hv kwnn pemba mnapakimbia hebu itikezee kweli mujitenge ndio tunaomba ilimzizi wafitna ukatike
Hautatuacha salama...kuna maneno julius aliyasema
Ni ukabila unaotengenezwa na viongozi wao kwa kuwafanya hawa bora kuliko wale au hapa bora kuliko pale km fir'aun alivyowagawa watu wake
Nyie wenyewe wapemba munajidharau maana nyote munajenga Unguja na dar es salaam. Jengeni Pemba hata matajiri wasilete biashara zao Pemba
Umeenda chakechake ukaiona tulivoijenga , usafiri wa ndege tuulete sisi watu wa pemba , kuwa unguja sio kosa
Nyinyi pemba mnakimbia nn atengeneza.
Kukimbia kwetu haimaanishi kuwa hakuishi watu mbwa weeee
Alaf uwe na adab ww paka
Sele mkweli
Selemanii eeee, selee
Apo sasa umefanya jambo la msingi kuliko kuhubiri siasa na muungano wakati wenzenu kile kilichopo mnachokiona kidogo wanakitumia kujinufaisha wao kwanza