Serikali ya Dk. Mwinyi yafanya yale yale kwa Wapemba

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 18

  • @harithmohd6318
    @harithmohd6318 3 месяца назад +2

    Inshaallah wataondoka t wahoo maharamia wakiccm tuipaganie Nch wanzanzibar PBE and UGJ

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 3 месяца назад +2

    Zanzibar watu wote ni Wanasiasa. Suluhisho ni kugawana visiwa kimamlaka.

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 3 месяца назад +2

    Mimi naamini bado tupo wengi sana na Wapo CCM wengi wanatuunga mkono Wallah uchaguzi huu utakaokuja ni mtamu sana

    • @AhmedAli-gh1lm
      @AhmedAli-gh1lm 3 месяца назад +1

      Uchaguzi hautakuwa na lolote, ni vile vile ilivyozoeleka. Zinapigwa kura ambazo kimsingi hazina maana yoyote. Tume inaamua nani kashinda na sio idadi ya kura inavyoamua. Kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi zilivyo sasa, tayari CCM ishashinda hata kabla ya uchaguzi. Nchi kama hizi chaguzi ni geresha tu kuwadanganya wajinga kuwa kuna uchaguzi wa kidemkrasia.

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 3 месяца назад +1

    Watu wote walio serikali ni watu wa siasa .kwa kua wanaongozwa na chama tawala .iyo ni kauli tu mh

  • @aliabdalla9297
    @aliabdalla9297 3 месяца назад +2

    Umetisha sana OMO

    • @mchagagaspar6649
      @mchagagaspar6649 3 месяца назад

      WANA CCM KUMBUKENI UTU NAMJIPE UBINAADAMU ACHENI DHULMA HIO NIINCHIYENU NYOTE MSIWE MFANO WAWA KURDI NA WA PALESTINA ( ABBAS ) ANAKULA MADIMBI NDUGUZE WANAUWAWA KWELI ,NCHI INAKWENDA KWELI HIVYOOOOOO.

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 3 месяца назад +1

    dhulma ni nying sana na maneno ya miskitini yoote yale kua akidhukumiwa mtu mmoja tu ana dhima yako wapi leo

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 3 месяца назад

    Ni mwendelezo wa siasa chafu zilizoanzishwa kwa makurdi toka miaka 50 ya nyuma.

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 3 месяца назад

    Iv rais mwny kwa nn Hawa wananch hawapat hik kitambulisho .kwa rais ww huendani na iyo kauli Kama haki yao wapeni .sio Kuna baaz ya watu kukuchafulia

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 3 месяца назад

    Jamani ni kweli Nchi za njee wanaletewa ID card mpaka nyumbani. Inategemiye wewe vipi unataka. Zanzibar wako nyuma sana bado.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 месяца назад

      Ni UONGO, utaratibu wa duniani nzima kitambulisho na passport huombwa hata kama baadae utaletewa nyumbani. Tatizo la Zanzibar mtu nyumbani kwao Muyuni amehamia Mahonda bila kufuata utaratibu anapoomba Kitambulisho Mahonda atapata tabu hebu na akaombee Muyuni kwao.

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db 3 месяца назад

    Kakaangu wewe kisuwahili wakifahamu ... lakn nakusihini lugha nyepesi ni mtihani kwenu.

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 3 месяца назад

      Mpeleke mama yako matako wewe akazungumze kiswahili

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 3 месяца назад +1

    Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa Baraza la taifa na mkoa kwa nn asiwe mwanasiasa

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 3 месяца назад

    Hawa wazee wetu nawaonea huruma wallahi.

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 3 месяца назад

    ZAN. ID NI KITEGO CHA KUIBIA KURA.