Ukisikia maajabu ya Dunia ndo haya Sasa. Huyu ni mwanaume lakini kaweza kuigiza sauti ya Samia. Hiki ni zaidi ya kipaji. Mungu akusimamie ili ukanufaike kupitia talent yako
Mmmmmmh kijana ni zaidi ya kipaji. Kwa kweli unastahili kupakuliwa minyama ya kutosha😅. Mama ukiwa na zarura inayokuzuia kufika, huyu kijana ataweza kukuwakilisha vizuri bila tofauti kwa sauti yako. ❤
What a wonderful young man .really talented .As your kenyan neighbour I salute you young man .
Umeweza kijana ! Mama mwenyewe akisikiwa❤️❤️❤️❤️
😮
❤
Ukisikia maajabu ya Dunia ndo haya Sasa. Huyu ni mwanaume lakini kaweza kuigiza sauti ya Samia. Hiki ni zaidi ya kipaji. Mungu akusimamie ili ukanufaike kupitia talent yako
Hahahaa ni hatar sana
Dogo Anakipaj tu!
Hongera Yake
🤣🤣🤣saut aigizeee na vyoteeee zidii kumuombeaaaa
ukisikiza bila kuangalia utaamini ni mama kweli
@@siamnyone8403😂😂😂
Watching from Kenya, pure talent
Much love from Nairobi capital city of kenya...Greetings to you and all our neighbours raw talent
Good talent kaka👍👍
Balikiwa mnooo mwenyz mngu akulinde na akuzidishie kipaji Zaid🙏🏽
Balikiwa ❌ Barikiwa✅
Jitahidi kwenye matamshi ya Ra na la,usimix ili uwe sawia na mama ,ila uko vzur sana its a pure talent
Hakika arekebishe hapo tu
@@deograciakashaigili5973accent comes natural, there's nothing he can do about it
Ni kweli yupo vizuri,
ajitahidi na re na le
Exactly.
Ww jamaa umetisha kuliko wote wanaoigiza sauti
The voice, tone and rhythm is Samia's... watching from Kenya🇰🇪
😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪👌👌
I tell you lol 🇹🇿
He is a very talented boy
Watching from Kenya this is pure talent and it reminds me of Baraka Magufuli
Shukuru Mungu kijana ndo namna ya kubarikiwa, sasa ulienda kwa waganga kupata kipaji sawa na hicho!
Mungu anabakia Mungu
Hongera sana kwa hotuba yako nzuri, serikali ikupe nafasi nzuri
Greetings to our brothers of Tanzania, watching from Nairobi,Kenya.
Pure talent.
Much love from Kenya.
Hongeraa Sana kijana,umeupiga mwingiii,sauti na namna ulivyopangilia hotuba yako....... great😊
Da Yuko vizuri jamani Mungu fundi
Wa2 wanatalanta ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉...mungu wa ajabu
Tayaŕi kijana katoboa. Ni zamu yake hii baada ya Miso Misondo na wazee wa makoti kujipatia umarufu. Hongera sana kijana
Samia hasemi Wazili bali ni Waziri
Umeambiwa anaigiza sasa kuigiza huwezi kufaulu kilakitu
@@frankhoffa8356😂🤲🏾
@@salimkhamis3638anaiga sauti sio matamshi bna
@@salimkhamis3638kaigiza sauti so lafudhi zingatia sauti brother
Mweee hii ndo Tanzania yetu kila kukicha ni mpya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watching from Kenya...much love❤❤❤
❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Big up kwakwelii, kipaji amazing
Nimependa❤️
Watching from Kenya. Raw talent!
Nice boy ,uyo kijna anastahiki kupewa mauwa yake 🎉
Watching from🇰🇪🇰🇪🇰🇪 good talent 👏👏👏😂😂😂
Watching from Kenya,much love boy,umeweza
Jamaa anaweza sema ajitande achukue ualisia vizuri
Baada ya kujitanda utataka aige kengine zaidi😅
Si vyema kujitanda kwa mtoto wa kiume. Ameweza ameweza sana kama alivyo
Hongera kijana wetu unatuwakilisha vyema wanakilolo
😂😂😂😂😂 kugeza saut ya mwanamke na ww n mwanaume ni ngumu wallah Ila ww umewezaaaaa bila vitaa❤❤❤
Watching from Mombasa Kenya, congrats kijana wetu unastahili muigizaji shupavi, hata unadhania mama Samiya mwenyewe hongera sana
So talented❤❤❤❤❤❤
Watching from USA, this reminds me about Baraka Magufuli
Kweli upewe mauaaaaa🎉🎉🎉🎉! This is creativity
Hongera sana kijana unaweza mnoooooo
Isipokya L kwenye R, ndio inamwangusha 😄
Wawawawa,He talks exactly like her.,.
WOW
Congratulation brather unaigiza vizuri sana🎉
This is wonderful, very wonderful, mungu akubaliki zaidi na zaidi.
Kijana unaweza sana tena
Mama lazima akufungulie TV
Masha Allah 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hongera kijana.Kipaji unacho.❤❤❤.
Wow! Very talented guy
Wow what a beautiful talent 👏👏👏👏👏👏👏👏
Hapo kwe( la) na (Ra)rekebisha,ila unajua aiseee👏👏👏👏👏👏
jamani mfuatilie Rais mwenyewe ndo hua anaingea hivyo badala ya R A WEKA L
Love from kenya
Dogo umeweza sana mama anakuona atakuita kwenye mikutano huko
😂
Hongera kwa kipaji hatari kweli. Watching from Kenya
😂😂😂😂umeweza tena umeweza Big up kijana.
🔥🔥🔥 Respect Large from Kenya
Hongera sana kijana wetu mtanzania
MashaALLAH mweshimiwa Rais Dr Samia Salim kuza talanta ya kijana
Umeweza umetisha
Watu Wana vipaji jamani'!!!!!' Mashaallah'❤️❤️❤️
Mhmhmh!
Wallah umetisha maanshallah
Watching from Kenya wonderful voice
Talent hatari ❤
Mungu akutangulie ❤
He is talented ❤❤😊
Kipaji kipo kweli. Hongera brother
Very talented guy
Indeed 🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂♥️
Huyo n yeye kabisa kkngu nkubali I congratulate you it's like ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashallah tabarakallah Allah taala uko n kipaji kkngu
Hongera lakini jitahidi kutamka vizur R ikae sehemu yke....
Good you have a talent keep it i like this👍👍👍
Kaka uko vizuri
Ahahaaa😂😂😂🙏🙏🙏 Mungu akuinue zaidi
Mmmmmmh kijana ni zaidi ya kipaji.
Kwa kweli unastahili kupakuliwa minyama ya kutosha😅.
Mama ukiwa na zarura inayokuzuia kufika, huyu kijana ataweza kukuwakilisha vizuri bila tofauti kwa sauti yako.
❤
❤❤ mashaaalaah unaweza jazaka Laah🎉🎉
Upo vizuri ❤❤
Mwanaume kaigiza sauti yamwanamke PURE TALENT
😂😂😂, amempita mpaka mama samia mwenyewe..
Hahahaaaa
Umeona ee😂mm hapana hajampatia😂
Kwanza rais Samia anazungumza kiswahili fasaha😂lkn uyu anaongea kama bata.
Anajitahidi ila akazane R na L asichanganya @@ajfanofly7944
Waaah hongera sana kaka 🇰🇪🇰🇪
Anajitaidi Hanaukanjanja Huyu jamaa Nisauti ya Muheshimiwa kabisaa🤣🤣🤔
Jamani mungu waweee safi sanaaaaaa Amina waaaaau
Anaweza Sana ila ajifunze tu kutofautisha R na L
Wow it's amazing.
Dogo umetisha sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila kitu on point ispokuwa herufi R na L.. Mama Samia hayuko na hiyo tatizo😅
This is pure talent wawawa
Hongera sana kijana❤❤❤
Umeweza good talent
Nime barikiwa sana❤❤❤❤❤
Tanzania tunavibaji sana jamani huu jamaa noma
Duh huyo nama kabisa❤❤
Leo ndio nimekuwa wa kwanza na mie kukomenti eeeh😊😂😂
😂😂😂😂😂😂Mungu azidi kukuinua kijana.u can say mama samia uyo,watching from Kenya,much ❤.
Kijana anajua masha'allah mngu akujaalie ktk character yako
Kweli umeweza bb hongera
Anaweza sana nimejua kweli Raisi wetu
Hongera sana kaka, umetisha sana
😂😂😂😂 very talented i love this.
Watching from Nairobi Kenya
This is talent.
Masha Allah , waooooooo
🤣🤣🤣
Umetisha Sana 🙏🤲
Very eloquent, Samia mwenyewe
Kuna Kodi kanazipatia kweliiiii😂😂😂 kongole kwake kijana wetu
Kafiti hatoki kwenye key wala note
Watching from kenya pure talent,❤❤❤❤
Walahi kumbe Watu wako talented 😂😂😂😂
Ameweza 🎉🎉🎉🎉Hongera ❤️❤️❤️❤️❤️👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Umeipatia kabisa sauti ya mama, ila rekebisha L, na R basi. Kwenye serekali usiweke selekali na baadhi ya maneno. Lakini kila kitu uko 🔥
Tumewaza pamoja hiyo changamoto
Da! Kijana kazi safi🇰🇪🇬🇧