Ukisikia maajabu ya Dunia ndo haya Sasa. Huyu ni mwanaume lakini kaweza kuigiza sauti ya Samia. Hiki ni zaidi ya kipaji. Mungu akusimamie ili ukanufaike kupitia talent yako
Mmmmmmh kijana ni zaidi ya kipaji. Kwa kweli unastahili kupakuliwa minyama ya kutosha😅. Mama ukiwa na zarura inayokuzuia kufika, huyu kijana ataweza kukuwakilisha vizuri bila tofauti kwa sauti yako. ❤
Ee bana eeh...hapo kwenye R...na... L....hata viongozi wengi sana hujipata wakiburuza wakienda....ni sawa na wanaosema zambi,,,instead of dhambi...nk...but bora tunaelewa😊😊...kijana yupo tu sawa,kipaji anacho....kongole kwake..
What a wonderful young man .really talented .As your kenyan neighbour I salute you young man .
Ukisikia maajabu ya Dunia ndo haya Sasa. Huyu ni mwanaume lakini kaweza kuigiza sauti ya Samia. Hiki ni zaidi ya kipaji. Mungu akusimamie ili ukanufaike kupitia talent yako
Hahahaa ni hatar sana
Dogo Anakipaj tu!
Hongera Yake
🤣🤣🤣saut aigizeee na vyoteeee zidii kumuombeaaaa
ukisikiza bila kuangalia utaamini ni mama kweli
@@siamnyone8403😂😂😂
Good talent kaka👍👍
Balikiwa mnooo mwenyz mngu akulinde na akuzidishie kipaji Zaid🙏🏽
Balikiwa ❌ Barikiwa✅
Hongera sana kwa hotuba yako nzuri, serikali ikupe nafasi nzuri
Shukuru Mungu kijana ndo namna ya kubarikiwa, sasa ulienda kwa waganga kupata kipaji sawa na hicho!
Mungu anabakia Mungu
The voice, tone and rhythm is Samia's... watching from Kenya🇰🇪
😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪👌👌
I tell you lol 🇹🇿
Jitahidi kwenye matamshi ya Ra na la,usimix ili uwe sawia na mama ,ila uko vzur sana its a pure talent
Hakika arekebishe hapo tu
@@deograciakashaigili5973accent comes natural, there's nothing he can do about it
Ni kweli yupo vizuri,
ajitahidi na re na le
Exactly.
Labda ni mtoto wa m.t kenya
Watching from Kenya, pure talent
Lagini genya yetu natawalia na mwenta wasimu, mfisandi muuwachi, muogo!! Luto lasima akwede mbwa hii!!
Umeweza kijana ! Mama mwenyewe akisikiwa❤️❤️❤️❤️
😮
❤
Much love from Nairobi capital city of kenya...Greetings to you and all our neighbours raw talent
Ww jamaa umetisha kuliko wote wanaoigiza sauti
Da Yuko vizuri jamani Mungu fundi
Kila kitu on point ispokuwa herufi R na L.. Mama Samia hayuko na hiyo tatizo😅
Tatizo yetu Wakikuyu hiyo. Never imagined the 'disease' can be beyond our borders.
Mweee hii ndo Tanzania yetu kila kukicha ni mpya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Hongeraa Sana kijana,umeupiga mwingiii,sauti na namna ulivyopangilia hotuba yako....... great😊
Tayaŕi kijana katoboa. Ni zamu yake hii baada ya Miso Misondo na wazee wa makoti kujipatia umarufu. Hongera sana kijana
Samia hasemi Wazili bali ni Waziri
Umeambiwa anaigiza sasa kuigiza huwezi kufaulu kilakitu
@@frankhoffa8356😂🤲🏾
@@salimkhamis3638anaiga sauti sio matamshi bna
@@salimkhamis3638kaigiza sauti so lafudhi zingatia sauti brother
He is a very talented boy
MashaALLAH mweshimiwa Rais Dr Samia Salim kuza talanta ya kijana
Watching from Kenya. Raw talent!
Hongera Sana kijana kwa kwel umeupga mwingi Sana ✊✊✊✊
Asiyempenda mama mwambie Andika taraka mwenyewe achane na dunia..
✍️ Mabetu &Co
Jamaa anaweza sema ajitande achukue ualisia vizuri
Baada ya kujitanda utataka aige kengine zaidi😅
Si vyema kujitanda kwa mtoto wa kiume. Ameweza ameweza sana kama alivyo
Lafudh tu kdg
Wa2 wanatalanta ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉...mungu wa ajabu
Watching from🇰🇪🇰🇪🇰🇪 good talent 👏👏👏😂😂😂
Watching from Kenya,much love boy,umeweza
Watching from Kenya...much love❤❤❤
❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Congratulation brather unaigiza vizuri sana🎉
Nice boy ,uyo kijna anastahiki kupewa mauwa yake 🎉
Hongera kijana.Kipaji unacho.❤❤❤.
Watching from Kenya this is pure talent and it reminds me of Baraka Magufuli
Kweli upewe mauaaaaa🎉🎉🎉🎉! This is creativity
Greetings to our brothers of Tanzania, watching from Nairobi,Kenya.
Big up kwakwelii, kipaji amazing
Nimependa❤️
😂😂😂, amempita mpaka mama samia mwenyewe..
Hahahaaaa
Umeona ee😂mm hapana hajampatia😂
Kwanza rais Samia anazungumza kiswahili fasaha😂lkn uyu anaongea kama bata.
Anajitahidi ila akazane R na L asichanganya @@ajfanofly7944
@@ajfanofly7944😂😂😂😂😂😂😂
Hongera kwa kipaji hatari kweli. Watching from Kenya
Kijana unaweza sana tena
Mama lazima akufungulie TV
🔥🔥🔥 Respect Large from Kenya
Anajitaidi Hanaukanjanja Huyu jamaa Nisauti ya Muheshimiwa kabisaa🤣🤣🤔
Wow what a beautiful talent 👏👏👏👏👏👏👏👏
Umeweza umetisha
Watching from USA, this reminds me about Baraka Magufuli
😂😂😂😂😂 kugeza saut ya mwanamke na ww n mwanaume ni ngumu wallah Ila ww umewezaaaaa bila vitaa❤❤❤
Watu Wana vipaji jamani'!!!!!' Mashaallah'❤️❤️❤️
Mhmhmh!
So talented❤❤❤❤❤❤
Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤❤
Dogo umeweza sana mama anakuona atakuita kwenye mikutano huko
😂
Mwanaume kaigiza sauti yamwanamke PURE TALENT
This is wonderful, very wonderful, mungu akubaliki zaidi na zaidi.
Nime barikiwa sana❤❤❤❤❤
Hongera sana kijana unaweza mnoooooo
Isipokya L kwenye R, ndio inamwangusha 😄
Kipaji kipo kweli. Hongera brother
Hapo kwe( la) na (Ra)rekebisha,ila unajua aiseee👏👏👏👏👏👏
jamani mfuatilie Rais mwenyewe ndo hua anaingea hivyo badala ya R A WEKA L
Watching from Mombasa Kenya, congrats kijana wetu unastahili muigizaji shupavi, hata unadhania mama Samiya mwenyewe hongera sana
Hongera kijana wetu unatuwakilisha vyema wanakilolo
Hongera hongera...talanta nzuri hiyo👏👏
Hongera lakini jitahidi kutamka vizur R ikae sehemu yke....
Huyo n yeye kabisa kkngu nkubali I congratulate you it's like ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashallah tabarakallah Allah taala uko n kipaji kkngu
😂😂😂😂umeweza tena umeweza Big up kijana.
Amejaribu, lakini rais hatamki i r kuwa l
Masha Allah 🎉🎉🎉❤❤❤❤
Waaah hongera sana kaka 🇰🇪🇰🇪
Dogo umetisha sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤ mashaaalaah unaweza jazaka Laah🎉🎉
Wawawawa,He talks exactly like her.,.
WOW
Ahahaaa😂😂😂🙏🙏🙏 Mungu akuinue zaidi
Wallah umetisha maanshallah
Shda inafata maelekezo big up brother ❤❤❤❤
Hongera sana kijana wetu mtanzania
This one tanzanian support this boy supper talent 😂😂🎉 exactly
Talent hatari ❤
Safi sana , ajiweke sawa kwenye R na L na H. Jamuuli = JAMUHURI
Wow! Very talented guy
Jazakha Allahu khayrah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤I
Kaka uko vizuri
umetisha👋👋👋👋
He is talented ❤❤😊
Wueeeee❤❤❤❤❤❤❤ kenya nimefurahi sana Kazimierz nzuri kijana
Pure talent.
Much love from Kenya.
Hongera sana kaka, umetisha sana
Upo vizuri ❤❤
❤❤❤❤❤❤ waoooo hongera umeipatia haswaaa
Mmmmmmh kijana ni zaidi ya kipaji.
Kwa kweli unastahili kupakuliwa minyama ya kutosha😅.
Mama ukiwa na zarura inayokuzuia kufika, huyu kijana ataweza kukuwakilisha vizuri bila tofauti kwa sauti yako.
❤
Mama Samiya hasemi L kuita R hujamuiga vizuri hasemi kalibuni karibuni jaman
Muige ww sas tukuskie
@@innocentchristopher7571 wewe mjinga nenda huko mkiambiwa ukweli wenu mnaumia Kinga hovo
Kuna Kodi kanazipatia kweliiiii😂😂😂 kongole kwake kijana wetu
Kafiti hatoki kwenye key wala note
From kenya hongera kijana
Walahi kumbe Watu wako talented 😂😂😂😂
Mungu abariki kipaji chako hongera sana kaka
Leo ndio nimekuwa wa kwanza na mie kukomenti eeeh😊😂😂
Watching from Kenya wonderful voice
🤣🤣🤣
Umetisha Sana 🙏🤲
Watching from kenya pure talent,❤❤❤❤
Anaweza Sana ila ajifunze tu kutofautisha R na L
Thanks 👍 preso akupe kazi
Pamoja na changamoto za L na R. Ila umewezaa mno 🎉🎉🎉
Ee bana eeh...hapo kwenye R...na... L....hata viongozi wengi sana hujipata wakiburuza wakienda....ni sawa na wanaosema zambi,,,instead of dhambi...nk...but bora tunaelewa😊😊...kijana yupo tu sawa,kipaji anacho....kongole kwake..
Uko vizuri sana kaka angu❤❤❤❤❤ love
Umeipatia kabisa sauti ya mama, ila rekebisha L, na R basi. Kwenye serekali usiweke selekali na baadhi ya maneno. Lakini kila kitu uko 🔥
Tumewaza pamoja hiyo changamoto
AISEE WEWE KIPAJI UNACHO
DAAAAA BONGE LA TALENTED
Kweli vipaji mtaan vipo
WEWE NI ZAIDI YA #JKCOMEDIAN ZAIDI YA #OSCAR #BARAKAMAGUFULI
#NA WENGINEO
😂😂😂😂 huyu jamaaa hatariii
Kaka hongera sana kwa talent
Jitahidi ila mzee Hafidhi akikusikia akikushika mkono utajijua
😂😂😂😂 ila wazenj hatuna mambo ayo
@@khajumkhamis7910 Afande Hamza alishinda kesi mahakamani
Watching from Nairobi Kenya