MWAKILISHI WA MTAMBWE BAADA YA KUULIZA SUALA LA MBWA BANDARIN MH NADIL AMJIBU HIVI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 12

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo 3 месяца назад

    Huyu ni shida kweli kweli maana uwezo wake ni finyu sana kavishwa viatu virefu!

  • @utaani1
    @utaani1 3 месяца назад

    Kumbe Nadir hana elimu anadodosa hata kwenye kusoma na hajui hata kujibu akiulizwa maswala sijui kwanini serikali imempa nafasi kwenye serikali wakati hana elimu wala experiences yoyote ile

  • @SuleymanSeifHaji
    @SuleymanSeifHaji 3 месяца назад

    Hawoo mbwaa kawekee kwako wakulindaa

  • @mrok284
    @mrok284 4 месяца назад

    Majibwa kweli ni kero.

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 4 месяца назад

      Miradi ya barabara walipeni watu haki zao au ondoweni zuiyo la mdomo watu waendelee kujenga na kupanda vipandovv

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 4 месяца назад

    Nadir majibu yake sio mazur

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 4 месяца назад

      Subirini uchaguzi mutupige marungu hilo uhakika mwaliweza

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 3 месяца назад

      Baiya anakiburi wengi wamekalia kiti hicho sasa unakalia wewe na wewe utaondoka utakiacha

  • @bakarsuleiman3989
    @bakarsuleiman3989 4 месяца назад +1

    Huyu jamaa ni jeuri na kiburi sana anajiona kama hatokufa jinga sana

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 4 месяца назад

      Wahindi wengi ndivyo walivyo lakini

    • @zahiribrahim8319
      @zahiribrahim8319 4 месяца назад

      Eheee nkweli abaa kama jusa 😂

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 3 месяца назад

      Bara liliulizwa Suali kama hilo na lilijibiwa uzuri na hatua zikachukuliwa lkn Baiya mabega yamezidi kichwa