KUTANA NA MTANZANIA ALIYEMTENGENEZEA RAIS SAMIA KEKI YENYE KUFANANA NAYE, YAPIKWA MTURUKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 янв 2022

Комментарии • 70

  • @azizimgaza8
    @azizimgaza8 2 месяца назад

    Big up dada akiri nyingi kwa ubunifu mungu abariki kazi zako,.

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 2 года назад +5

    Kwa hiyo maana yake in nn? Ukianza kula inamaana una mla nani? MTU! Du sidhani kama ni nzuri kumtengeneza MTU hasa kiongozi mkubwa mawazo Yangu lakini ,acha nipite hivi

  • @navongelysrlynsozsye8494
    @navongelysrlynsozsye8494 2 года назад +1

    Eti hivi kumbe mungu alipata shida kutuumba....asee mungu awafungue na hiyo laana..mnatengenezaje sura ya mtu na mnakula....msifanye mchezo na shetani hiyo hata kimaandiko ni makosa

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 5 месяцев назад

    Hii haijakaa vizuri kwa mtazamo wangu .☑️📌

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 2 года назад +3

    Ssa ubinadamu gani mkate pua yake mule macho kisha mumemfanya wakuchoka zaidi kwenye mashavu mjue hawezi kufurahia japo hatowaonyesha

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 2 года назад +12

    Mifano yakutengeza keki imeisha mpaka mnathubutu kutengeneza sura ya MTU mnatufundisha kula watu sisi sio wachawi pelekeni mawzo yakishetani huko

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 2 года назад +3

    Daa waharibu kazi yko kwakuchonga masanamu kama nguo tu ikiwa na picha ya mtu ama ya mnyama ukiswali nayo ni haramu Leo itawezaje kuna picha ya mtu??

  • @sarahkelvin4845
    @sarahkelvin4845 2 года назад +1

    Hao waturuk wamemuua kipendw we2 kuma wao,birthday yak nn anyokoo

  • @earthmoves_
    @earthmoves_ 2 года назад +1

    Tutamuangalia rais wetu kama kama ni mtu wa Imani au hapana usile kabisa

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 2 года назад +2

    Huyu dada ni fighter yupo city mall

  • @hadijamandanje6189
    @hadijamandanje6189 2 года назад

    Du Eti Mungu alipata kazi daa Mwenyezi Mungu tusamehe

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 2 года назад +2

    Iwe ukumbusho wake ila rais usile hiyo keki kwanza imeshikwa shikwahujaona maandalizi yake msijemkamsababishia foodpoinzening mama akahalisha rais wetu

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 2 года назад +2

    Ataikubali!? Yaani mtu ajikule mwenyewe!!??🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @aminamnyaruge8574
      @aminamnyaruge8574 2 года назад

      Eti hata mimi nimewaza hivyo hivyo 😂😂😂Na Imani za kidini Tena ni mtihani kwa kweli 😔😔

  • @abeidmohamed9142
    @abeidmohamed9142 2 года назад +1

    Kwanza hiyo dhambi huwezi kutengeza mtu kwa chakula

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +1

    Mmevuka mipaka.... Mmmh...
    Sanamu nayo eti keki....éee..
    Kibaya zaidi inashangiliwa eti chakula ..sura ya Mtu... !?.. mmmh..Mambo ya kuiga tusiyo jua maana yake..wacha Mungu tuyaepuke.. yatatukosanisha na Mungu.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 2 года назад +1

    Anahusika rais kuwapa zawadi Hawa watu iyo kweri inafaa kuwa makumbusho lkn pia watu muache ushamba mnao tukana eti keki la sura mbona mnakula jina likiandikwa

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 2 года назад +1

    Wachawi hawa mmebugi kutengeneza keki ya mtu mmekosea sana katika ulimwengu wa loho mnakula

  • @mwigaramadhani3687
    @mwigaramadhani3687 2 года назад +1

    Eti hiyo keki ni expensive jamani kwani kumeongezeka Nini sasa hapo zaidi ya hicho kinguo 🙌😀☹️🤣🏃

    • @liliankessy1255
      @liliankessy1255 2 года назад

      Mwenzangu😂😂Kma ingredients cyo ngano na mayai kma zngine

  • @allykambi7687
    @allykambi7687 2 года назад +1

    Asichukue na wala asile kabisa

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 года назад +1

    Wanawake huwa mnawaza kuliwatu,mlishindwa kubuni kitu kingingine,

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 2 года назад +3

    Hiyo hatuwezi kumlisha Rais wetu mpendwa,tutaiweka makumbusho .

  • @aishashaibu4772
    @aishashaibu4772 2 года назад

    Kwani rais wetu kataka keki

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 11 месяцев назад

    Cjaipenda😢

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад

    Keki sio vitu vya kula mara kwa mara ni inaongeza sukari mwilini na kunenepeana ovyo ovyo , ni sawa na soda kama diet soda na majuice

  • @joyceassey2347
    @joyceassey2347 2 года назад

    Hatariiii

  • @alhmdulilah1187
    @alhmdulilah1187 2 года назад +1

    Wow nice ☺️☺️👍

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 2 года назад

      Yaan anastahil pongez asee rais akiiona hii amuarike hata ikulu maana amefanya kaz kubwa sana

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад

    Huyu mtengenezaji wa keki ya mama ni ukorofi huo anamchokoza mama , itabidi tuendamane

  • @earthmoves_
    @earthmoves_ 2 года назад

    Yani nitashangaa sanaa rais akila keki ya sura yake kwa kama ni mtu mwenye Imani Haina haja ya kufikilia sanà ni kwamba akila bas utakua umekula binadam mwenzio sio nzuli labda kumbukumbu

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 2 года назад +1

    Cake zina sukari na butter mnooo kuna ugonjwa wa ki sukari

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 2 года назад +1

    Kuna CAKE ZA KIUTAMADUNI ZA WACHAGGA ZINAITWA SHIROO NA INGINE INAITWA NGANDE ATAPENDA HIZO ZA KITAMADUNI ZA NCHI YETU GHARANA KUTENGENEZA ELFU ISHIRINI TUUUU HAZINA SUKARI WALA BUTTER KUJIFUNZA BURE

  • @alimakame9215
    @alimakame9215 2 года назад

    Mnakufuru sana hamjujuwitu

  • @brycemoshi2122
    @brycemoshi2122 2 года назад

    Iyooo cake

  • @husnabow8662
    @husnabow8662 2 года назад

    Mmhh hii sasa kufuru hii

  • @mamalaozphilemon.8800
    @mamalaozphilemon.8800 2 года назад

    tena eti mmetumia akili🤣🤣

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 года назад

    Anaetengeza leki za kisanamu ya mtu halafu analisha watu, uislam unasemaje ?

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 2 года назад

    Cha ajabu hapo ninii kuna cake already watu hapa wanatengeneza za ma bus za eroplane za pikipiki nyingi tuuu

  • @fahmaali8945
    @fahmaali8945 2 года назад +2

    Jamani keki ukatie sura ya binandamu jamani tumuongope mungu da tunakwenda wapi jamani.ewemwenyenzi mungu tusameh makosa yetu tuyafanyayo kwa adaa as ulimwèngu

  • @apostlebonnyjames5426
    @apostlebonnyjames5426 2 года назад

    Nice

  • @theeyechannel8601
    @theeyechannel8601 2 года назад

    Kwahiyo vijana watamula rais?

  • @nancyhassan8290
    @nancyhassan8290 2 года назад

    Huyo baunsa sasa, anavo taka camera immulike...

  • @hassanjongo4309
    @hassanjongo4309 2 года назад

    Like

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 2 года назад

    Mbona hafanani nayo

  • @erickimambo4544
    @erickimambo4544 2 года назад

    Wacha watu wamle

  • @alhmdulilah1187
    @alhmdulilah1187 2 года назад

    Ahsante Esha buheti❤️❤️

    • @kiehbhzh7044
      @kiehbhzh7044 2 года назад

      Mungu atunusuru na hii dunia hawa ndio watu qariotengeza keki siku ya maulidi ya mtume s.a.w ni kufuru kwakqwri

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    🙄🙄🙄🙄🙄Saw

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 года назад

    Dada hongear namm nichoree 🍰 yasur yangu

  • @selemaniselemani2863
    @selemaniselemani2863 2 года назад

    Eti vido watu wanakukata na wanakukula😅😅

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 2 года назад +1

      🤔😏🤪🤭🤭🤭🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 года назад

    DAWA YA KULIPWA MADENI
    m.ruclips.net/video/NzCJvpVkxHI/видео.html

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 2 года назад

    Atapikiwa Machalary

  • @allykambi7687
    @allykambi7687 2 года назад

    Ujinga tu msile keki iyo upuuzi tu

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 2 года назад +1

    Nimeipenda ilo darasa hongereni sana

    • @zainabmapezi5730
      @zainabmapezi5730 2 года назад +1

      Mbona Keki zinatengenezwa hata za kiatu, gari, Ng'ombe nakadhalika.

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 Год назад

      Mbona haifanani kabsaaa