Kwa hiyo maana yake in nn? Ukianza kula inamaana una mla nani? MTU! Du sidhani kama ni nzuri kumtengeneza MTU hasa kiongozi mkubwa mawazo Yangu lakini ,acha nipite hivi
Eti hivi kumbe mungu alipata shida kutuumba....asee mungu awafungue na hiyo laana..mnatengenezaje sura ya mtu na mnakula....msifanye mchezo na shetani hiyo hata kimaandiko ni makosa
Iwe ukumbusho wake ila rais usile hiyo keki kwanza imeshikwa shikwahujaona maandalizi yake msijemkamsababishia foodpoinzening mama akahalisha rais wetu
Mmevuka mipaka.... Mmmh... Sanamu nayo eti keki....éee.. Kibaya zaidi inashangiliwa eti chakula ..sura ya Mtu... !?.. mmmh..Mambo ya kuiga tusiyo jua maana yake..wacha Mungu tuyaepuke.. yatatukosanisha na Mungu.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Anahusika rais kuwapa zawadi Hawa watu iyo kweri inafaa kuwa makumbusho lkn pia watu muache ushamba mnao tukana eti keki la sura mbona mnakula jina likiandikwa
Yani nitashangaa sanaa rais akila keki ya sura yake kwa kama ni mtu mwenye Imani Haina haja ya kufikilia sanà ni kwamba akila bas utakua umekula binadam mwenzio sio nzuli labda kumbukumbu
Kuna CAKE ZA KIUTAMADUNI ZA WACHAGGA ZINAITWA SHIROO NA INGINE INAITWA NGANDE ATAPENDA HIZO ZA KITAMADUNI ZA NCHI YETU GHARANA KUTENGENEZA ELFU ISHIRINI TUUUU HAZINA SUKARI WALA BUTTER KUJIFUNZA BURE
Jamani keki ukatie sura ya binandamu jamani tumuongope mungu da tunakwenda wapi jamani.ewemwenyenzi mungu tusameh makosa yetu tuyafanyayo kwa adaa as ulimwèngu
Big up dada akiri nyingi kwa ubunifu mungu abariki kazi zako,.
Kwa hiyo maana yake in nn? Ukianza kula inamaana una mla nani? MTU! Du sidhani kama ni nzuri kumtengeneza MTU hasa kiongozi mkubwa mawazo Yangu lakini ,acha nipite hivi
Eti hivi kumbe mungu alipata shida kutuumba....asee mungu awafungue na hiyo laana..mnatengenezaje sura ya mtu na mnakula....msifanye mchezo na shetani hiyo hata kimaandiko ni makosa
Hii haijakaa vizuri kwa mtazamo wangu .☑️📌
Ssa ubinadamu gani mkate pua yake mule macho kisha mumemfanya wakuchoka zaidi kwenye mashavu mjue hawezi kufurahia japo hatowaonyesha
Mifano yakutengeza keki imeisha mpaka mnathubutu kutengeneza sura ya MTU mnatufundisha kula watu sisi sio wachawi pelekeni mawzo yakishetani huko
😃😃😃😃😃watz na comment
Mi mwnywe cwez kumla Rais
😂😂😂
😁😁😁😁😁
Acha roho mbaya😏 mwenzako anakipaji🍰
Daa waharibu kazi yko kwakuchonga masanamu kama nguo tu ikiwa na picha ya mtu ama ya mnyama ukiswali nayo ni haramu Leo itawezaje kuna picha ya mtu??
Hao waturuk wamemuua kipendw we2 kuma wao,birthday yak nn anyokoo
Tutamuangalia rais wetu kama kama ni mtu wa Imani au hapana usile kabisa
Huyu dada ni fighter yupo city mall
Du Eti Mungu alipata kazi daa Mwenyezi Mungu tusamehe
Hakika atusamehe kwa kwelii
Iwe ukumbusho wake ila rais usile hiyo keki kwanza imeshikwa shikwahujaona maandalizi yake msijemkamsababishia foodpoinzening mama akahalisha rais wetu
hawezi kula mn kulikua hakuna askari
Ataikubali!? Yaani mtu ajikule mwenyewe!!??🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Eti hata mimi nimewaza hivyo hivyo 😂😂😂Na Imani za kidini Tena ni mtihani kwa kweli 😔😔
Kwanza hiyo dhambi huwezi kutengeza mtu kwa chakula
Mmevuka mipaka.... Mmmh...
Sanamu nayo eti keki....éee..
Kibaya zaidi inashangiliwa eti chakula ..sura ya Mtu... !?.. mmmh..Mambo ya kuiga tusiyo jua maana yake..wacha Mungu tuyaepuke.. yatatukosanisha na Mungu.... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Anahusika rais kuwapa zawadi Hawa watu iyo kweri inafaa kuwa makumbusho lkn pia watu muache ushamba mnao tukana eti keki la sura mbona mnakula jina likiandikwa
Wachawi hawa mmebugi kutengeneza keki ya mtu mmekosea sana katika ulimwengu wa loho mnakula
Eti hiyo keki ni expensive jamani kwani kumeongezeka Nini sasa hapo zaidi ya hicho kinguo 🙌😀☹️🤣🏃
Mwenzangu😂😂Kma ingredients cyo ngano na mayai kma zngine
Asichukue na wala asile kabisa
Wanawake huwa mnawaza kuliwatu,mlishindwa kubuni kitu kingingine,
Hiyo hatuwezi kumlisha Rais wetu mpendwa,tutaiweka makumbusho .
Kwani rais wetu kataka keki
Cjaipenda😢
Keki sio vitu vya kula mara kwa mara ni inaongeza sukari mwilini na kunenepeana ovyo ovyo , ni sawa na soda kama diet soda na majuice
Hatariiii
Wow nice ☺️☺️👍
Yaan anastahil pongez asee rais akiiona hii amuarike hata ikulu maana amefanya kaz kubwa sana
Huyu mtengenezaji wa keki ya mama ni ukorofi huo anamchokoza mama , itabidi tuendamane
Yani nitashangaa sanaa rais akila keki ya sura yake kwa kama ni mtu mwenye Imani Haina haja ya kufikilia sanà ni kwamba akila bas utakua umekula binadam mwenzio sio nzuli labda kumbukumbu
Cake zina sukari na butter mnooo kuna ugonjwa wa ki sukari
Kwanza mchanganyiko wa sukari na butter ndiyo hatari kabisaa
Kuna CAKE ZA KIUTAMADUNI ZA WACHAGGA ZINAITWA SHIROO NA INGINE INAITWA NGANDE ATAPENDA HIZO ZA KITAMADUNI ZA NCHI YETU GHARANA KUTENGENEZA ELFU ISHIRINI TUUUU HAZINA SUKARI WALA BUTTER KUJIFUNZA BURE
🤣🤣 kali hiyo.
Mnakufuru sana hamjujuwitu
Huo niuharibifu wapesa 2
Iyooo cake
Mmhh hii sasa kufuru hii
tena eti mmetumia akili🤣🤣
Anaetengeza leki za kisanamu ya mtu halafu analisha watu, uislam unasemaje ?
Cha ajabu hapo ninii kuna cake already watu hapa wanatengeneza za ma bus za eroplane za pikipiki nyingi tuuu
Jamani keki ukatie sura ya binandamu jamani tumuongope mungu da tunakwenda wapi jamani.ewemwenyenzi mungu tusameh makosa yetu tuyafanyayo kwa adaa as ulimwèngu
Nice
Kwahiyo vijana watamula rais?
Huyo baunsa sasa, anavo taka camera immulike...
Like
Mbona hafanani nayo
Wacha watu wamle
Ahsante Esha buheti❤️❤️
Mungu atunusuru na hii dunia hawa ndio watu qariotengeza keki siku ya maulidi ya mtume s.a.w ni kufuru kwakqwri
🙄🙄🙄🙄🙄Saw
Dada hongear namm nichoree 🍰 yasur yangu
Eti vido watu wanakukata na wanakukula😅😅
🤔😏🤪🤭🤭🤭🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
DAWA YA KULIPWA MADENI
m.ruclips.net/video/NzCJvpVkxHI/видео.html
Atapikiwa Machalary
Ujinga tu msile keki iyo upuuzi tu
Nimeipenda ilo darasa hongereni sana
Mbona Keki zinatengenezwa hata za kiatu, gari, Ng'ombe nakadhalika.
Mbona haifanani kabsaaa