HIZI NI DAKIKA 8 ZA MANJONZI KWA KILA MWENYE IMANII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 46

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Год назад +5

    Mtihani mkubwa huo masikini kuwa masikini mupo wapi zanzibar tukipata kitu tuwatumie mtihani nitawambia warabu wangu oman kama watakubali watotowa ishaalah rais hawezi kuwapa chochote ni mtihani hii mungu atawasaidia ishaalah

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +2

      Asiwape kitu rais basi hata huduma ya afya kuiweka vizur mtu akiumwa awe na amani ya moyo kuwa napata matibabu lkn mpk matibabu watu waombewe misaada jamani hee mtihani mkubwa huu mana baada ya kusaidia mengine usaidie matibabu tutasikia kuna maendeleo uchumi wa blue mtihani mkubwa huu zanzibar

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Год назад +1

      ​@@nailamohd7693ah kwa kweli mtihani tu huko kwetu hakuna chochote kinafanywa na serekali ambachi kinawafaidisha wanannchi

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +1

      @@shamsahaji6202 wallahy mtihani nchi nzima inanuka njaa na umaskini nani atamsaidia mwenziwe hayupo na watu bado wanatoa misaada lkn maskini ni wengi hakitoshi mbali na umaskini kuna michango ya wagonjwa sasa hapo sasa basi hata afya serikali kuweka mazingira mazuri aibu kubwa ah Allah anarehma zake.

  • @salem9874
    @salem9874 Год назад +3

    Mashallah Alfatah Mungu Awajazie pale palipokuwa na Pungufu

  • @izdihaarsleyum3643
    @izdihaarsleyum3643 Год назад +4

    Subhanallah! Allah awafanyie wepesi

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад +1

    Sisi tunaona juhudi yako Ila ndugu yako Bado Niko kwenye masomo nahitaji kusaida lakini nashindwa kutoka na mazingira

  • @mudathirrashid8503
    @mudathirrashid8503 Год назад +2

    alfatha mnapokwend sehem tunapend kujuw ni wapi piya ni sehem gani

    • @nailamohd7693
      @nailamohd7693 Год назад +2

      Hawataki wenyewe wanafanya siri 😮

    • @alhudhaify7810
      @alhudhaify7810 Год назад

      @@nailamohd7693 siku nyengine wanapitikiwa tu , kwn video ngp wanazitaja sehemu

    • @juma2979
      @juma2979 Год назад

      Gamba

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Год назад +2

    Subbuhanallah 😓

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Год назад +2

    Subhanallah

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 Год назад

    Watu wako kutukananana kuhusu barzanji..wengne wako kutafuta maskini wawasaidie....pepo wataiona watukanananao?

  • @husnaali1610
    @husnaali1610 Год назад

    Asalam alekum nnimeguswa sana aowatoto yati maombakujua.nikijiji Gani naombanijue

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn Год назад +2

    Mashaallah alifataa allah awajaalie maisha marefu

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад +1

    Kiukweli tatizo Hilo ninatibika maalim hata baba yangu mzazi alitibiwa mkoa wa pwani na kapoa alhamdulilah dah!mtihani yanatuliza sana hayo mambo

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 Год назад

    Mbona amtuonyeshi nyumba aliyo jengea

  • @husnaali1610
    @husnaali1610 Год назад

    Husna Ali said.kutoka Oman imenigusa sana naomba nambazao

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Wallah kwakila aliejaaliwa mali n akazibania sikuya qiyama anamengi yakujibu. Inasikitisha sana

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Год назад +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @amoursaid3190
    @amoursaid3190 Год назад +2

    Ni katika kijijini gani hicho kipo wapi

    • @juma2979
      @juma2979 Год назад

      Gamba mkoa wa kaskazini A

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Год назад +1

    Pamoja na waislam wote lakini wenye mamlaka wayaone haya,,niaminivyo mimi hayapiti bure haya lazima watakwenda ulizwa siku ya kiama,,,wao wamejimilikisha neema kubwa kubwa wao na jamaa zao ,,lakini umma uliochini yao unateketea kama hivi,,wamejifungia maofisini na viyoyozi wakizungukwa na wafanyakazi na walinzi wengi wa kila aina ,,
    Kamwe hawazukuru kutafuta shida za watu kama hivi,,basi ndio yapite tu hivi hivi ,,imani yangu inaniambia pasingelikua na mantiki ya kuishi,,kama mmoja iwe haki yake kuneemeka,,na mwengine iwe ni haki yake kudhulumika,,hapana lazim Allah atayahukumu kiamani inshaallah

  • @rahmambarouk7613
    @rahmambarouk7613 4 месяца назад

    Allah atafanya wepesi inshallah 😥

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Год назад +1

    Asalaam aleiykum sehem Gani huko jamani

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад

    Mbona hamjaacha namba z cm japo za ndugu wa huyo mzee.?

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад +1

    Allah akulipe maalim mambo unayo yafanya ni makubwa sana

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Год назад +1

    Subhanallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад +1

    Allah Akbar

  • @stonetown578
    @stonetown578 Год назад +1

    SubhanaAllah

  • @mwanaidatkhamis5310
    @mwanaidatkhamis5310 Год назад

    Mashallah Allah azidi kuwapa nguvu alfatah ili muweze kusaidia watu wasio jiweza😭😭😭inasikitisha kwa kweli Kuna hizi Hali.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад +1

    Duuh

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 Год назад

    Maskni

  • @salamaali4726
    @salamaali4726 Год назад

    Subhallah allah awape wepes ila je ni sehem gani hii ndg mtangazaji inafaa uwe unatuambia sehem

  • @abuuhafswamunsheedu5790
    @abuuhafswamunsheedu5790 Год назад +2

    Subhaanallah

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад

    Subhanalha naomba namba zao hili niweze kuwasaidia

  • @aminarama1633
    @aminarama1633 Год назад

    SubhanaAllah

  • @aminarama1633
    @aminarama1633 Год назад

    Maalim Allah akuzidishie

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 Год назад

    Sheikh Rashid salim Allah akulipe

  • @sheikhanasser4714
    @sheikhanasser4714 Год назад

    Allah awafunike kwenye mikono yake

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад

    Mashaallah mashaallah

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Год назад

    Subhanallah!!!!

  • @ramadhantahila9131
    @ramadhantahila9131 Год назад

    subhana Allan

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад

    🥺🥺