Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

HISTORIA YA SHEIKH MSLEM HADI KUINGIA GEREZANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 авг 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 137

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 11 месяцев назад +16

    Huyu sheikh mselem nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 11 месяцев назад +22

    Leo shekh rashid umenikosha sana ,,umemleta mtu ambaye nampenda sana kwa ajili ya Allah,,allah akubariki sana

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 10 месяцев назад +5

    Huyu mja wa Allah nampenda snaaaaaaaa , juzi nilienda kupiga picha nikakutana nae harusini anatoa mawaidha kuhusu ndoa Wallah maneno yanakuingia , nilitaman asimalize kuongea , anaongea kwa utulivu , bashasha , Allah amempenda sna ,Allah amdumishe yeye na sisi katika imani thabit. Ya Allah hakika unasikia na unaona chochote kile mwanadamu anachokifnya na hata kile asichokifanya kilichomo tu kwenye nafsi yake , nakuomba mola wangu unipe ucha Mungu mimi na waislamu wengine , na utufufue hali ya kuwa nyuso zetu zina nuru yako Mola wetu mtukufu, Amiin. 10:14

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 11 месяцев назад +13

    Mashallah Asante sheikh Rashid Allah akulipe kher kwa kutuletea Shekh mselem 😢Dah kwakwel mim siwez kusahau nipo Mdog nasikia tu mama angu kila siku akilia Bas akiwekwa mawaidhsa yake shekh msellem uone askitika jaman Siku izi wanatukosesha darsa za sheikh msellem Yaan Mpaka amenifanya na mimi Nimpende Allah akupe umr mrefu sheikh Msellem akuepushe na shar za binaadam na majini😢🤲🤲

  • @hamadsuleimaan802
    @hamadsuleimaan802 11 месяцев назад +5

    Ktk mashekh nnaowakubali huyu ni namba moja Nampenda sana shekh Msellem Aliy

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 11 месяцев назад +5

    Mashaallah sheikh mselem Allah akuhifadhi, akupe umri mrefu wenyew kher naww.

  • @muhidinsuleiman4315
    @muhidinsuleiman4315 11 месяцев назад +2

    Asante sana sh Rashind.
    Sheikh Msellem nampenda sana na Allah amueke tuzid kusoma kupitia yy inshaallah.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 11 месяцев назад +13

    Huyu mtu namkubali Sana Allah ampe afya njema

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 11 месяцев назад +6

    Mashaallah Allah akupe pepo ya juu sheikh mselem

  • @stevenmichaelmaganga4828
    @stevenmichaelmaganga4828 10 месяцев назад +4

    My favorite shekh watch him everyday

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 11 месяцев назад +12

    Mashaallah huyu Sh, Msellem ni mtu muhimu kwenye jamii ana tawadhui kubwa

  • @ibugharib389
    @ibugharib389 11 месяцев назад +8

    MASHAALLAH, JAZZAKALLAH kher.wallah sura yake na bashasha zake anapocheka unajua huyu sheikh yuko vizur Allah akuzidishie ELMU YENYE manufaa. Bega kwa bega mpaka Firdaus

    • @twahaabrahman-ev8co
      @twahaabrahman-ev8co 11 месяцев назад

      Bega kwa bega Mpaka firdaus Pole Sana Ndugu

    • @ibugharib389
      @ibugharib389 11 месяцев назад +1

      @@twahaabrahman-ev8co POLE ya nini

  • @mirajimohamed7606
    @mirajimohamed7606 10 месяцев назад +2

    Masha Allah alhamdulillah nakupenda shk Mselem bin Ally kwa aajiri ya Allah napenda ambavyo una present mada zako na hauna upande kama mashekh wengine

  • @user-ns2br3me2n
    @user-ns2br3me2n 10 месяцев назад +1

    Allah akuweke sheikh mselem nakupenda sna kama mtu hakufahamu uyo haelewi popote

  • @selemanimlahagwa6942
    @selemanimlahagwa6942 5 месяцев назад +1

    Shekhe wng mselem ally nakupenda sana kwaajir ya Allah . Allah hakupe maisha marefu insha'Allah

    • @user-wy7jl3do3c
      @user-wy7jl3do3c 3 месяца назад

      Sheikh Allah akupe afya njema uzidi kutuonesha nuru ya Allah

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 10 месяцев назад +2

    Masha Allah. Sheikh Mselem ni fundi wa kuongea na Fasaha san hatoki nje ya mada ni mtulivu mno. Allah amhifadhia na husda za mahasidi.

  • @ahmadjuma-xx5nd
    @ahmadjuma-xx5nd 11 месяцев назад +1

    Mashaa allah sheh mselem allah azid kukuhifadh

  • @khamishaji-fw1km
    @khamishaji-fw1km 11 месяцев назад +1

    Namkubal sana maalim nashukuru sana shehe MUNGU azid kukulinda sana

  • @is-hakaame
    @is-hakaame 11 месяцев назад +2

    Mashaallah Allah amjaalie husnil lhatma sheikh Mselem yeye pamoja na sisi🙏

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 11 месяцев назад +2

    Maa shaa allah shekh langu hili nampenda sana kwaajil ya allah allah aendelee kumlinda na kumuhifadhi

  • @JemzMaalim
    @JemzMaalim 11 месяцев назад +1

    Maaashllh ALLH SW amhifadhi shekhe wetu

  • @floramateru
    @floramateru 11 месяцев назад +1

    Masha ALLAH maalim yuko vizuri ALLAH SW AMUHIFADHI

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 4 месяца назад

    MashaAllahu al imaam Sheikh Mselem ❤

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Месяц назад

    Ma sha allah
    Sheikh msel
    Allah akuhifadhi

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 11 месяцев назад +1

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @user-yl1mx8cu1x
    @user-yl1mx8cu1x 10 месяцев назад +1

    Mashallah shekh wetu,mungu akupe upeo zaidi wa kuyuongoza

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 11 месяцев назад +1

    Allah atuwekee viongozi wetu Hawa wazidi kutuelimisha

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 11 месяцев назад +3

    Alhamdulillah tunashkuru sana Sheikh Rashid hakika tumefarajika sana kupa history ya Sheikh Mselem wengi tulikuwa tunabambanyana juu ya historia yake Allah amzidishie umri mrefu aweze kutuelimisha zaid na pia Tunamuomba Allah aizidishie muangaza alfatah tv iweze kutuletea mazuri zaidi

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 11 месяцев назад +3

    mashallah mwalim wetu shekh mselem bin ally allah akujalie umri mrefu wenye kheri ili tuzidi kunufaika na elimu yako.allah akulinde na kila shari.

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 11 месяцев назад +4

    Asalaam Alaikum Warahmatullah Wabarakatu A¿huyu Mzee Allah amemjaalia akili za elimu he's very wise Sheikh I really really love him..💯👌

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 11 месяцев назад +1

    MashaAllah Tabaraka Allah

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 11 месяцев назад +1

    SHEIKH MSELEM ,ALLA AKUWEKE PEMA IMANI YANGU WEWE UNARADHI NA UNA KHERI KATIKA UCHAMUNGUWAKO ,WAZAZI WAKO ALLAH AWAVIKE TAJI DUNIANI NA AKHERA ,ULI PATA RADHI ZA MTUME ,SIO KAMA HAWA WANAJIVUNIA VYETI VYAKUJITOA KINYESI WAKOSEFU WA ADABU .

  • @abiiajmi2399
    @abiiajmi2399 11 месяцев назад +1

    Mashaallh wewe ni wangu hasa ❤❤❤ mungu amekujalia hekma

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 11 месяцев назад +2

    Kwa ajili ya Allah sheikh nakukubali sana

  • @fatumahussein6399
    @fatumahussein6399 11 месяцев назад +1

    Masha Allah!!! Shk Mselemu Allah amhifadhi. Ni miongoni mwa mashk nnao wakubali Sana.

  • @binloufy454
    @binloufy454 11 месяцев назад +2

    Ma sha allah hii ni hazina ytu katka ulimwengu wetu allah atuekee na azidi kutuekea ktika elimu ya kubwa ya dunia na akhera Tunakupenda sana kipenzi chetu sheikh mselem bin allay

  • @user-lx2wg4je3t
    @user-lx2wg4je3t 3 месяца назад

    Allah. Mjalie kila la kher sheh wetu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 11 месяцев назад +2

    Mash Allah Shekhe Mselemo Allah akupe umri wenye wenye manufaa kwetu sote Amiin Rabbil Alaamin.

  • @omarmsuya5373
    @omarmsuya5373 11 месяцев назад +1

    Maashallah
    Allah amfanyie shekhe wetu wepesi

  • @MaliganyaWilson-ef3pk
    @MaliganyaWilson-ef3pk 11 месяцев назад +2

    Nampenda sana huyu sheikh mungu amrahisishie pepo yake.

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 11 месяцев назад +1

    Nampenda sheikh Mselem bin Ally mno wallah allah atuekee mwanazuoni wetu biidhinillah

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 11 месяцев назад +1

    ماشاء الله الله يحفظك ويبارك فيك

  • @husseinbudaga2953
    @husseinbudaga2953 11 месяцев назад +1

    Allah akujaalieni saana..

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 11 месяцев назад +1

    Namkubali Sana Allahu Akuhifadhi wewe ni Mzanzibari Hasa umechanganya Damu kwa kila Kisiwa 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ZUHURAKHALFAN-mc8nd
    @ZUHURAKHALFAN-mc8nd 11 месяцев назад +1

    Allah akuhifadhi SHEIKH Mselem AKULINDE NA SHARI

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 11 месяцев назад +1

    Mashaa الله leo tuna mgeni mkubwa sana. Mashaa الله ...الله akuhifadhi abuyi.

  • @user-gn2we2tp4c
    @user-gn2we2tp4c 11 месяцев назад

    Allah akujali heri na uendele kutupa Eli ya ahera

  • @mussamgonola3983
    @mussamgonola3983 11 месяцев назад +1

    MashaAllah MashaAllah Allah akupe umri mrefu ya sheikh

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 11 месяцев назад +1

    Mashallah Allah awajaze kheri mashekh wetu

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 11 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akulinde na kila shari na atukutanishe sote peponi. Najua umejishusha kuhusu elimu lkn mm na jamii ya wengi naamini tunakuchukulia kuwa ni mwenye elimu na muono mpana. Allah akuhifadhi.

  • @hajikhamis6544
    @hajikhamis6544 11 месяцев назад +3

    Mashallah Yani shekh elimu alionayo anasema hajasoma sijui engesoma ingekuaje leo Mt anapitia kitabu kimoja anaaza kuandaa mijadala duh

  • @Amirshamte
    @Amirshamte 4 месяца назад

    Mashallah sheikh maelem nakupend sana kwa ajili ya Allah mungu akulinde na kwa pamoja mungu atupe mwisho mwema inshallah

  • @profesamakame5179
    @profesamakame5179 11 месяцев назад +2

    Asalam Alaykum sheikh Rashid kweli wasomi mara zote c wenye kujisifu hz ndio hekma za sheikh wetu

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 11 месяцев назад +1

    Mash ALLAH tupo pamoja

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 11 месяцев назад +1

    Shekh mselem ni kipenzi chetu,
    Wewe ni adui kwa ccm,adui kwa makafiri na adui kwa masalafi,
    Allah atakuhifadhi na maadui hao

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 11 месяцев назад

      Kipenzi,kumbe unalala nae wewe,kafiri na shoga ni wazazi wako,by the way Mselem your smart guy,may Allah protect you.

  • @DirectorOne.t
    @DirectorOne.t 11 месяцев назад +1

    SH rashid salim #LEO umeikonga nyoyo yangu

  • @asiamohamedy2643
    @asiamohamedy2643 10 месяцев назад

    Mashallah shekh wetu yaan maneno yako huwa matamu ya hekma na huachi kitu kwenye ukwel unasema hufumbii jicho chochote nikwel semen ukwel japo wapo wtu watakasrka kulingana na ukweli huo lkn unakuwa ushaufikisha ALLAH akupe afya njema shekh wetu

  • @user-jv8ki9ut2p
    @user-jv8ki9ut2p 10 месяцев назад

    Mashallah Allah akulinde akuepushe na kila baya nakupenda kwaajil y ALLAH

  • @FathimaZubair-jt4cg
    @FathimaZubair-jt4cg 10 месяцев назад

    مشاءالله ❤️

  • @user-gs9bb8rs5p
    @user-gs9bb8rs5p 10 месяцев назад

    Mashaalah best shekh

  • @user-pi5sf5qz1j
    @user-pi5sf5qz1j 10 месяцев назад

    Ishaahla mungu akubariki milele

  • @marischidy63
    @marischidy63 11 месяцев назад +1

    Masha.alla.tunaomba.sehemu.yapili

  • @abdallaomarkhamiskhamis9656
    @abdallaomarkhamiskhamis9656 11 месяцев назад

    Mashallah

  • @Abuu_Mundhiri
    @Abuu_Mundhiri 11 месяцев назад

    Mwendelezo tafadhali

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 10 месяцев назад

    Alhamdulillah shekh wetu

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 11 месяцев назад +2

    ‏ما شاء الله

  • @jumamkali8307
    @jumamkali8307 11 месяцев назад +1

    ❤ Masha Allah

  • @user-ck8xn9md3h
    @user-ck8xn9md3h 10 месяцев назад

    Mashaallah shekh wangu

  • @nasrimswaki4824
    @nasrimswaki4824 11 месяцев назад +1

    naam maashallah

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 11 месяцев назад +1

    POLE SANA SHEIKH,KUHUDHURIA MIKUTANO ISIWE SABABU YA KUWEKWA JELA..ANAESHUKIWA HUFATILIWA muda hadi kuwa na UKWELI NDANI YAKE,kisha kushtakiwa hapo

  • @AbubakarKumbwani-yq5vg
    @AbubakarKumbwani-yq5vg 10 месяцев назад

    Sheikh Mselem wewe una elimu kubwa ila hauna vyeti,elimu na vyeti ni vitu viwili tofauti ndio mana kuna watu wana vyeti lakini elimu hawana au elimu yao ndogo haiendani na ukubwa wa vyeti vyao.ALLAH akujaalie umri mrefu na siha njema ili uzidi kutoa elimu.

  • @zainabhassan1514
    @zainabhassan1514 11 месяцев назад +1

    Tunaomba sehem ya pili inshaalah

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 11 месяцев назад +1

    Mashaa Allah sheikh hatujuwani Lakini inaonesha no msomi na anajuwa akisemacho... Na kipindi hichi ni Safi Sana tu.. History ni Tamu iwapo itakuwa ya kweli na sh ndio ni mtu wa ukweli

  • @AbubakarKumbwani-yq5vg
    @AbubakarKumbwani-yq5vg 10 месяцев назад

    Halafu kuna genge la watawala wahuni wakamzushia kesi ya uongo ya ugaidi,ALLAH awaangamize wahuni wale.

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 11 месяцев назад

    Me nimesoma comments za watu wengi nimeona bora nitoe Rai alfatah muweke darsa za Tafsiri za sheikh kutoka suratul baqra au muendeleze suratu nisai alipofika pale msikiti wa Radio anour daraja bovu

  • @hamissalum6023
    @hamissalum6023 11 месяцев назад +1

    🙏🙏

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV
    @SHEIKHMWAIPOPOTV 11 месяцев назад

    Waislamu wengi tunaroho mbaya sana igeni wenzetu wakristo wanamaalifa sana sisi ni mazuzu walahi tupunguze fitna kama alikosea si basi tupunguze unafiki waislamu

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV 11 месяцев назад

      Sasa mselemu munamtukana hapo kakosea nini kama alikosea mbona selekali imemachia tunakosea sana huyo ni kiongozi ndio maana tunalanika waislamu kutukana viongozi wa dini ya mungu mselemu kafanya kazi ya mungu inchi hii

  • @ussiamini2868
    @ussiamini2868 11 месяцев назад

    Mm mwenyewe nakukubalisanaa shehe mselemu

  • @user-es9dz2bc2w
    @user-es9dz2bc2w 2 месяца назад

    Kwa majina naitwa Sheikh JUMA RASHIDI maoni yang ni kwamb Sheikh Mselem Bin Ally ni Mwanazuoni wa kizazi chetu aliye na msimamo wa kuigwa kwa waislamu katika nchi hii

  • @abdulhamidjabu6530
    @abdulhamidjabu6530 11 месяцев назад

    kichwa cha habari tofauti na maelezo

  • @awadhabed
    @awadhabed 11 месяцев назад +1

    Asalamu Alleikum..Nitafurahi na nitashukuru kupata number ya Sheikh Rashid ya Whatsap kwa kufanya kheri zaidi kupitia yeye.Shukran.Allah aitie Qaboul Ujumbe wangu Umfikie.

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 11 месяцев назад

    Makhawariji wa zanzibar( muamsho mulitusababishia maafaa kweli ) hivyo bc mupate funzo dini sio vita dini ni kusoma na kufundisha sw Iko ivyo namuomba allah awaondoshe tabia za ukhawariji murudi ktk mstari wa sawa sawa ammin

    • @AllyMassud
      @AllyMassud 11 месяцев назад +1

      Mafa gani yalio fanywa na mwasho

    • @saidyussuf2291
      @saidyussuf2291 11 месяцев назад

      Kawafate uwanusuru ndugu zako watoke , usitake kufungua mdomo wako hapa ujione una elimu kubwa wakati hata kutawadha hujui , sioni kama busara kuanza kuwaambia watu wasojua ataa maana ya khawaarij , tumia njia za kielimu ukamuongoze , maana hapa hutopata faida zaidi ya kufanya izo sifa zako za kipumbavu , NA UWE MAKINI ALLAH ANAJUA KAMA UNATAKA KUTENGENEZA AU UNATAFUTA SIFA KWASABABU ANAJUA DHAMIRA YAKO

    • @zahormohd
      @zahormohd 11 месяцев назад +1

      Wewe punda kama wale wa mwembe makumbi

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 11 месяцев назад +1

    Tunasubiri shehemu ya pili

  • @ZaynabSeiph-me5nr
    @ZaynabSeiph-me5nr 11 месяцев назад

    Allah Akbar nimejifunza kitu,,kusoma sio madgrii na vyeti, mashekh igeni kutoka kwa shekhe uislam sio kuwa mfuas wa kundi fulani

  • @user-fo1sf4og7f
    @user-fo1sf4og7f 11 месяцев назад +1

    Shee mselem naitaji niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia

  • @maryammachanoomarymachano951
    @maryammachanoomarymachano951 11 месяцев назад +1

    Nime frahi kuskia history ya shekh Mselem

  • @salimobeid1470
    @salimobeid1470 11 месяцев назад +2

    Huyu ni sh mselem bin Ally ni mkweli na muwazi na hana majibuni ni mtu ambae anajua kua siku baada ya hii leo nayo kutakua na kila neno linahukumiwa

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 11 месяцев назад

    Watu wengi waona mumeonewa kumbe sio kweli mulitaka kuonewa mulilinganiwa sana muache vujo lkini mulijikuta wababe kilicho tokea munakijuwa nyinyi Rudi ni ktk haki

  • @adamaliali2206
    @adamaliali2206 11 месяцев назад +1

    Kuingizwa gerezani

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 11 месяцев назад

    Ukweli waumwa sana nasaha humfa mwenye kuamini hata ukanifokea ukweli ndio huuo

  • @alisalum7036
    @alisalum7036 11 месяцев назад

    Hawa masheikh wa bidaah kweli hawajasoma lkan ukiwa ni mchache wa elimu utadanganyika nao. Tumuombe Allah atuongoze kwenye Haki

    • @azruntravel4306
      @azruntravel4306 11 месяцев назад +1

      Jifunze kutohukumu watu si katika Manhaj yetu

    • @Waytozanzibar
      @Waytozanzibar 11 месяцев назад +1

      Kasome wewe Sasa 😅

    • @suleimanhamad2396
      @suleimanhamad2396 4 месяца назад

      Muogope allah kijan hiki ulichoandik kinahifadhiw kweny kitab chak

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 10 месяцев назад

    Mbona imemaliza fupi?

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 11 месяцев назад

    Hawa walifanya fujo ndio wakafungwa walitaka kuchafua amani ya nchi hawakuonewa Bali ni haki Yao kufungwa na tegemea wamejifunza kitu hawato rejea Tena ,Not heshimu watawala ktk nchi yko usifanye vujo dini sio fujo dini nikusoma

    • @rashidomar2771
      @rashidomar2771 11 месяцев назад +1

      Wewe inaonyesha ni muakilishi wa ibilisi na shetani ,pamoja na wenzenu firiaun na hamana,,Allah azivize fikra zenu inshaallah,akakulipeni mnachostahiki kwa maudhi na mateso mnayoyafanya kwa viumbe wenzenu inshaallah

    • @zahormohd
      @zahormohd 11 месяцев назад +1

      Hawa hawakufanya fujo bali walitumia haki yao ya kikatiba wacha kupotosha jamii

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 11 месяцев назад

      Hili jamaaa nyamwezi ccm nmelishtukizia shoga

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 11 месяцев назад

    Ana akili mpaka nyengine zinapukutika

  • @user-ey3bk3pl6k
    @user-ey3bk3pl6k 10 месяцев назад

    Degree sio kitu mbele ya Allah wewe upo juu ya hata mbele ya maprofessa

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi1647 11 месяцев назад

    tunaomba mselem aje huku kwetu Moshi atupe dawa

  • @twahaabrahman-ev8co
    @twahaabrahman-ev8co 11 месяцев назад

    Sheikh Msellem kumbe umesoma mpaka kwa MASHIA ndomana unaruhusu dini Mseto

    • @hashimseif1194
      @hashimseif1194 11 месяцев назад +2

      Nadhani pale alipomtaja Abdillahinasir kipindi kile alikuwa bado hajawa shia ,alikuwa kule kwao Mombasa akipinga bidaa na hapa unguja alikuwa Sheikh Nassor Bachu na Darusalama alikuwa Mayunga ,Sheikh Kingaru ,Sheikh Pori, Sheikh Doga.Baadae Mayunga naAbdillahi Nassir wakaingia ushiani.Hivyo alikuwa Abdillahi Nassir alikuwa akija kutoka Mombasa alikuwa akija hata Tanga akipinga maulid ,khitma kunuti na akisema Allah ataonekana akhera,l akini kwa masikitiko baadae waliingia ushiani.

    • @suleimanhamad2396
      @suleimanhamad2396 4 месяца назад

      Muogop allah

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 11 месяцев назад

    Fundi huyu

  • @user-tb5mc2wm1z
    @user-tb5mc2wm1z 11 месяцев назад

    Wewe ni zaidi yahaa walosoma..shule

  • @Abuumuqbil4994
    @Abuumuqbil4994 11 месяцев назад

    Naam tupate funzo kwamba kupambana na watawala ni jambo ambalo halipo na kufanya maandamano sio Sheria na misingi ya uislamu hivyo basi wezetu wamejifunza kitu kuwa watawala htuwawezi tunatakiwa tuwatii ktk mambo ya kheri na Wala tusiwakhalifu hebu tuwatiie watawala tuone Raha Note dini sio vita na maandamano dini ni kwa kusoma