HISTORIA YA SHEIKH MSELEM HADI KUINGIA GEREZANI (EPISODE 2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 55

  • @amourmohamedfaki4506
    @amourmohamedfaki4506 Год назад +16

    Wallahi nampenda shekh mselem bin Ally nikimuona nahisi kama namuona baba yangu mzazi Allah akupe khusnul hatima in sha Allah

    • @ZeProfesa
      @ZeProfesa 7 месяцев назад +1

      amin. atupe sote mwisho mwema

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Год назад +10

    Allah akulipe pepo wewe na sisi kwan hakika mmepitia mazito mno. Twamuomba Allah pia akutilie alama ya ndio kwa mtihani wako huu wewe na wenzako na awapandishe daraja na pepo za juu Akhera. Kwan hakika dunia ni mapito.

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Год назад +6

    Ni kweli sheikh wetu,,, waislam tunakandamizwa ktk nchi hii,,,,ila wacha tu sote tutakufa

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 Год назад +1

      Na kinachosababisha ni tumefarakana sana tumeiacha Qur'an na sunna tukazusha mambo ktk dini Kisha tukapigwa udhalili lakin tukirud ktk dini sawasawa tutapata izza

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Год назад +5

    Yaliyo pitasindwele tugange ya jayo tufanye ibada ili tutafute radhi za Allah basi tukifa upate malipo mema peponi Inshallah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +3

    Allah atawalipa Shekhe Mselemo hapa Duniani na kesho mbele ya haki In shaa Allah.

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 Год назад +3

    Allah Akbar sheh wetu ana juwa Sana

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Год назад +2

    MashaAllah Shekh Msellem Allah akuhifadhi 🤲

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma8900 Год назад +2

    Allah Subhaana akulipeni kheri na ahadi ya Kheri ni kweli tutakutana yotee

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 11 месяцев назад

    Allah akulinde sheikh Mselem Bin Aly. Allah akupe afya njema

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Год назад +3

    Dah! Allahu-akbar

  • @jumangosho7569
    @jumangosho7569 11 месяцев назад

    Allah akupe kila lilo la kheri sheikh wetu mimi ni shabiki yako wallahi

  • @vich2mussa997
    @vich2mussa997 Год назад +3

    Mwenyezimungu ni mueza wakila kitu

  • @jaafarmanhekman
    @jaafarmanhekman 6 месяцев назад +1

    The only sheikh i know !!

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 Год назад +2

    MaashaAllah sheikh wetu

  • @allyidrissa2912
    @allyidrissa2912 11 месяцев назад

    Nakukubali sana shekh mselem.. na malim rashid mi napenda kukuita mzaire tuwekee vitu vizuri zaidi ya hivi

    • @husseinbougers8275
      @husseinbougers8275 11 месяцев назад

      Atavitolea wapi vilivyo vizuri zaidi ya hivi?
      Au amlete Nani atakae kua fasaha wa maneno kuliko mtuhuyu anae hojiwa hapa? Una hiqidi moyoni jitakase

  • @user-fo1sf4og7f
    @user-fo1sf4og7f Год назад

    Allha akujalie Shee wangu natamani siku moja niwe mwanafunzi wako nipo dar unaweza nisaidia Shee

  • @makamekhamis1501
    @makamekhamis1501 Год назад +3

    MashaAllah

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 Год назад +1

    Jazakumullahu khair Shekh Rashid kutuletea Shekh wetu mpendwa na kumfaham.

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 11 месяцев назад

    Allah akupe kila la kheri duniani na akhera Shkh.Mselem bin Ally, aya ya mwisho uliomalizia mahojiano nathubutu kusema imebeba ujumbe mzito na hata km ingkw kipindi kizima umeizungumzia hiyo tu bac ingetosha kabbisa. جزاك الله الخيروبعدالخيرجناةالنعيم،امين ثم امين ثم امين

  • @ZapharaniSwaburi
    @ZapharaniSwaburi 15 дней назад

    Allah akuhifaafh

  • @marvelousofzanzibar9556
    @marvelousofzanzibar9556 Год назад +1

    MashaAllah Allah aipe nguvu idhaa yetu hii Allah ampe umri mrefu sheikh wetu huyu ila naomba kaka Rashid utuletee sheikh Othman Maalim tupate historia yake na yeye inshaAllah

  • @mbarouksalim1568
    @mbarouksalim1568 Год назад +1

    Tunamuomba Allah Akubari shekhe

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Год назад

    Allah akupe kheri uitarajiayo na usiyoitarajia kwa wema huu wakutuletea wasifu wa mtu huyu wengi tumpendae ,,nikimsikiliza mara nyingi moyo wangu hupata furaha kidogo,lakini huzuni hua kubwa nikikumbuka madhila waliofanyiwa ,,binadamu wenzetu,,waislam wenzetu na mashehe wetu hawa

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 Год назад

    Allah amjaze kheir Sheikh Mselem na Allah akulipeni la kheir alfatah tv online

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Год назад +4

    Sheikh Rashid tunamuomba tena sheikh Mselem please tufkirie hilo

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma7308 11 месяцев назад

    Allah akubariki sana katika maisha yako
    Sheikh mselem Ali

  • @user-lx2wg4je3t
    @user-lx2wg4je3t 4 месяца назад

    Wazanzibar nawapenda munamsimamo sana

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Год назад +2

    Masha Allah,,, Allahu-akbar

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Месяц назад

    Tunakupenda shekhe mselem mmungu akupe umri amin.

  • @khairatsalum5183
    @khairatsalum5183 Год назад

    Mashaalah Allah akulipe pepo Sheikh

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm Год назад +2

    Allah azidi kuwahfadhi

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 5 месяцев назад

    Jazakallah kheir

  • @HusnaKhamis-bf9sm
    @HusnaKhamis-bf9sm Год назад +2

    Akasema wameufyata

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Год назад +1

    Nchii hii waislam ndio wanaotolewa kafara lkn wakatolik kina slaa na wenziwe sasa wanapiga kelele za uchochozi lkn wametiwandani sikutatu wakapewa dhamana

  • @AbdiSilva-mt6xs
    @AbdiSilva-mt6xs 10 месяцев назад

    Allah atakulipa ujira mwema shekhe moselem bin aly

    • @AbdiSilva-mt6xs
      @AbdiSilva-mt6xs 10 месяцев назад

      Allah atakulipen hapa dunian na kesh yauml kiama shekh wet mselem bin aliy tunakupenden sanaa

  • @hajisalumomari3460
    @hajisalumomari3460 7 месяцев назад

    Tunaomba pia mahojiano na sheikh farid

  • @HumudJumaa
    @HumudJumaa Год назад

    Wallwahi chozi limenitoka mselem hanabaya

  • @asilclub
    @asilclub Год назад +1

    ماشاء الله تبارك الله الشيخ وضح وطبق ما تعلمه حفظه الله
    اما انصار كارومي المجرم ويصفقونه ويرقصون له سيلقون ما يستحقون يوم القيامه

    • @ebrahimahanifaatrash5534
      @ebrahimahanifaatrash5534 11 месяцев назад

      و الله تمنيت أن أر ما جرى في الماضي و خاصة عنما يقول معلمنا شيخ بن علي

  • @abdillahomar4541
    @abdillahomar4541 11 месяцев назад

    Mashaallah naomba number ya shekh mselem

  • @abubakaralliy8435
    @abubakaralliy8435 Год назад

    Tunaomba utuletee na sheikh othman maalim

  • @zuzadomikano3765
    @zuzadomikano3765 Год назад +1

    KIKWETE NDIE FONDESHEN NYINYI MUBAKI MAGEREZA NA SHENI AKISAIDIA NA DR. MWINYI NA MASAUNI NA SEIF ALI IDDI CHONGO JICHO NA ZAIDI ILANI YA ccm KUHAKIKISHA URITHI WA NYERERE ,AUWAWE ATAE DAI ZANZIBA IWE HURU !

  • @JiiniazJiiniaz
    @JiiniazJiiniaz 5 месяцев назад

    naomba nipate nafax

  • @nuhukenny7183
    @nuhukenny7183 Год назад +2

    Shukran, Pole sana Sheikh. Watupe number zake

  • @ramadhanimwasi1647
    @ramadhanimwasi1647 Год назад

    aje huku kwetu moshi mselem atupe mawaidha

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад

    Ulikuwa usimuulize swali kuhusu
    UAMSHO
    Ayo yashapita kwa nn uyarejeshe

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Год назад

    Muungu akulipe heri

  • @ramadhankhamis1363
    @ramadhankhamis1363 Год назад +1

    Hizi video naweza kuzipata vp?