Allah (S.W) hamtupi mja wake,hakuna mkamilifu n umetenda uliyojaliwa kadri uwezavyo .Hiyo n Mitihani y hapa Dunia.Na Uislam n Dini inayoongozwa n Kitabu Kitukufu Quraan,matendo yote y Mitume wetu Muhammad (S.W) n Quraan.Hivyo Mitume walipewa Wahyi n walifundishwa Kw kupitia Malika Jibril.
Asalaam aleikum Sheikh umeeleza vizuri sana lakini ulipotafsir "Ayat kursii" pale hakuna mtu wa kuombea ila. Muombaji apate radhi za Allah SUBHANA WATAALAH, "naomba mniweke sawa. Hapo
"HISIA ZAKO ZIPO CHINI SANA, COZ KWANI WEWE NI NANI ALIYEKWAMBIA DUNIANI KUNA RAHA KUIPITA AKHERA،wewe hutouweza uislam mpaka unakwenda KABURINI.. TAMBUA KUWA uislam sio DINI ya Raha za Dunia maana ni dini inayomuandaa mja na KHERI za akhera tuu, hivyo toka toka toka UPESI sana kabla hujafia huku maana wewe huku hupawezi.. mshenzi wewe..... MWALIM MSELLEM Lete MANENO hayyoooooo!!
Kwa jibu hili, NAMAANISHA kuwa PENDA DINI USIIPENDE DUNIA, NA UWE TAYARI KUIPENDA NA KUITETEA DINI, NA DINI NI KUPAMBANA NA MATATIZO YOOTE YA KI-DUNIA TENA YALE MAZITO MAZITO NA MAKALI MAKALI, HIVYO UKIIPENDA DINI LAZIMA HAYO YATAKUJA TUU, NA KAMA HUTAKI MATATIZO YA KI-DUNIA BASI WEWE YAMKINI UTAKUWA HUITAKI NA HUIPENDI DINI HIVYO PENDA DINI,PATA MATESO,UENDE PEPONI,LAASIVYO KAMA HUTAKI,ACHA WANAHARAKATI WAPAMBANIE KOMBE INSHAA-ALLAH.@@selemankishema5780
Mimi nikupe pole sana lakini kwa jela sio waislam tu ni mfumo uliopo jela kuna watu wa usalma wanakuepo ktk makundi wana kuwa wafungwa au mahabusu na wakati mwingine hata mkuu wa gereza na askar awajui kwaiyo ni ngumu kufanya jumuia au kitu cha umoja ukiwa jela ila inshallah tumefahamu
UNAONGEA VIZUR SHEKHE, LAKINI NAOMBA UNAPOZUNGUMZIA NENO MAKAFIRI HEBU TOFAUTISHA NA KUITAJA DINI YA KIKRISTO , KWA KUWA MAKAFIRI NI WAPO, NA HAO MAKAFIRI SIO WAKRISTO WALA SIO WAISLAMU, kwa sababu ukafiri ni uovu Au ubaya, mbona sisi tunauhrshim uislam?
Mahana ya kafika ni mpinzani yani ni mtu yoyote anayepinga manenonya Mwenyezi Mungu ndoanaitwa kafili na kutaka wakilsto ni kuwasifia kwa umoja wao tofauti na waislam wameshindwa kuwa na umoja kama wakatoliki
Tatizo linakuja kwa makundi fulani,kuupinga uongozi Saudi Arabia,na kuupiga vita na kuufitinisha utawala huu kwa waislamu,na hapa ndio mwanzo wa yote hayo,kuna wanaouzulia utawala huo ni wa kiyahudi,na mengine,na hilo Allah analishudia,jee Lina ukweli au Ndo tunamkasirisha Allah,Makka na Madina zipo Saudia,kuimarika kwa miji hiyo kunajionesha wazi,jamani hizi fitna ni za nini waislamu?tujiulize tawal ngapi zimepita,waislamu wanataka mtawala gani??.
Ss usichokijuwa ww hapo ni nn?.kwani Al SAUD uwo ufalme waliupataje km sio Kupora kwa banii Hashiim kwa msaada WA Marekani na kuwafukuza Lebanon.na mpaka Leo wanalindwa za jeshi la Marekani nchini Saudi Arabia."AL IMRAAN 29 _verse "mlioamini msiwafanye wasioamini kuwa washirika wenu na atakaefanya hivyo.......".ilaa aakhir aaya
Kama wale wanaojitoa kwenye uongozi wa Demokrasia Ni Ukhawaariji, na wale wanao jitowa kwenye uongozi wa Kiislamu wanaitwaje? Acha kutia Shubha kwenye Akili za watu. Walioitwa Khawaariij waliitwa kwa kujitoa kwenye uongozi wa Alii na Mua'wiyah ambao walikuwa wakiongoza kwa kitabu na Sunnah. Je hawa viongozi wenu wa nchi wanahukumu kwa kitabu na Sunnah? Mpaka muwaite watu Khawaariij kwa kujitoa kwenye uongozi wao. Kama kujitoa chini ya kiongozi Kafiri haifai, mbona Mtume na Maswahaba walijitoa kwenye uongozi wa Abu jahl Makkah ? Si angebaki Makkah tu? Tatizo lenu hamjalifahamu suala la Utawala na kubaki chini ya watawala katika Uislamu .Mtawala ambaye ukitoka chini ya Utawala wake Mtu huwa Khaarij, Ni Mtawala Muislamu, sio Hawa Makuffaar na Martadiin.
Kwa wao Wanavyoambiwa na mashekh zao Tanzania ni nchi ya kislam na wamekubali mashekh wanawafanya Kama mitume hawakosei Wana ushabik mwingi na majivuno kaz yao kubwa ni kuowa na kuacha wanawazazalisha mabinti za watu
Ww deus sikulaumu kwani ww huna elimu hata muisilamu anaweza akawa kafiri sio mkristo tu mungu atakufanyia wepesi na ww utaenda jela kama ni vizuri kumtakia mwenzio abaki jela
Polen sanaaa shekhe wetu inshallaa Allah akulipeni pepo tena frdausi
Pole sana Sheikh wetu,
Kila Mahala Masalafiya jadidah ni mtiani sana
Allah akuhifadhi hapa duniyani na akupe pepo ya juu kwa rehema zake
Shehe wetu bado tunakuelewa sana ALLAH atatulipia
Wape dozi masheikh kula😊😊😊😊😊😊
Allah (S.W) hamtupi mja wake,hakuna mkamilifu n umetenda uliyojaliwa kadri uwezavyo .Hiyo n Mitihani y hapa Dunia.Na Uislam n Dini inayoongozwa n Kitabu Kitukufu Quraan,matendo yote y Mitume wetu Muhammad (S.W) n Quraan.Hivyo Mitume walipewa Wahyi n walifundishwa Kw kupitia Malika Jibril.
Rekebisha hapo bro Mtume wetu ni (S.A.W) sio S.W tafadhali kaka.
Pole sana sheikh mselem Allah atakusaidia
Allah akulipe sheh wetu
Poleni sana masheikh wetu
Mungu awaoneshe na wao hao walio watia ndan bila ya sababu yyote mungu awaoneshe hapahapa dunian Kila Alie shiriki kufanya hvyo
Allah akubarik sheikh
الله يحفظكم يافضيلة الشيخ مسليم علي وهكذ المسلمون داءما مختلفون.
Assalam aleiykum Warahmatullaah Wabarakatul.
Allah akulipe mema saidi, akuondolee wabaya woote wauuni.
Amiin
Amiin
Asante sana sheikh
Asalaam aleikum Sheikh umeeleza vizuri sana lakini ulipotafsir "Ayat kursii" pale hakuna mtu wa kuombea ila. Muombaji apate radhi za Allah SUBHANA WATAALAH, "naomba mniweke sawa. Hapo
Do!!! Yaani uliyokutananayo ndio maisha yetu waislam dunia nzima wallahi hii NI adhabu toka kwa Allah kwa kuwacha dini. Yaani umenipa funzo.
"HISIA ZAKO ZIPO CHINI SANA, COZ KWANI WEWE NI NANI ALIYEKWAMBIA DUNIANI KUNA RAHA KUIPITA AKHERA،wewe hutouweza uislam mpaka unakwenda KABURINI..
TAMBUA KUWA uislam sio DINI ya Raha za Dunia maana ni dini inayomuandaa mja na KHERI za akhera tuu, hivyo toka toka toka UPESI sana kabla hujafia huku maana wewe huku hupawezi.. mshenzi wewe..... MWALIM MSELLEM Lete MANENO hayyoooooo!!
@@RashidMuhunzi-pr5xj umeniambia ya ukweli kabisa lakini inshallah utatoka wewe sio mie
Kwa jibu hili, NAMAANISHA kuwa PENDA DINI USIIPENDE DUNIA, NA UWE TAYARI KUIPENDA NA KUITETEA DINI, NA DINI NI KUPAMBANA NA MATATIZO YOOTE YA KI-DUNIA TENA YALE MAZITO MAZITO NA MAKALI MAKALI, HIVYO UKIIPENDA DINI LAZIMA HAYO YATAKUJA TUU, NA KAMA HUTAKI MATATIZO YA KI-DUNIA BASI WEWE YAMKINI UTAKUWA HUITAKI NA HUIPENDI DINI HIVYO PENDA DINI,PATA MATESO,UENDE PEPONI,LAASIVYO KAMA HUTAKI,ACHA WANAHARAKATI WAPAMBANIE KOMBE INSHAA-ALLAH.@@selemankishema5780
Asant sana sheikh kwa kusema ukweli
Hakika dunia ni chumba cha mtihani kwa muumini.Allh atawangaza wetesi kwa waumini.
Allah in shaa Allah atakulipeni
Shukran
Allah akulipeni
Ndio tatizo letu waislamu uongo ndio sera zetu.kichwa cha habari umetuambia ni historia kamili.Je ni kweli?
ATI Kisha tunatarajia nusra
Muongo weee na baba yako mulo wafunga mashekh wetu allah awakusameheni na akuongozeni
Huna lolote wewe abuu mjinga
Mashaallah
Allah atakulipa
Mimi nikupe pole sana lakini kwa jela sio waislam tu ni mfumo uliopo jela kuna watu wa usalma wanakuepo ktk makundi wana kuwa wafungwa au mahabusu na wakati mwingine hata mkuu wa gereza na askar awajui kwaiyo ni ngumu kufanya jumuia au kitu cha umoja ukiwa jela ila inshallah tumefahamu
Shukran. Al Akh Adil Abd. Ila mbona sio historia kamili kama tulivyotarajia
Subhana Allah
Eeeeeh mungu tulinde ss waja wko
Shari yako ioo dunian ndio her yko akhera na akher ndo itayobakia Allah ukulipe Pepo yote atayasahau Allah akudimishe ktka twaa
Allah akupe malipo mema
ALLAH awavuwe hilii na jengineee
Amyn yaarabby😢😢
Yaa rabbi nisamehe makosa yangu
❤❤❤
Allah Akbar
Shekh Andika Kitabu#
Asa unasemaje makafiri wew 😢 wakristo sio makafiri boya ww
Dahhh! hatari sana jamani
Vichwa vigumu popote vipo !!ndio maana tunapata shida
Sheikh Fareed yuko wp
Allah ni mlipaji wa yote
A alaykum naomba namba ya huyu shekh kwa aliyekuwa nayo japo nimpe pole
punguza maandishi kwenye hizi klip boss wangu yanakera wanzio wanaweka neno moja tu au mstari mmoja tu hapo chini ya klipu
Sikiza sheikh tu, ndio bora,
Zuchu
Nyimbo
Mpya
Mashehe wetu múngu atawalipa
Ndo maisha.
Danlood
Dola Haichezewi,
UNAONGEA VIZUR SHEKHE, LAKINI NAOMBA UNAPOZUNGUMZIA NENO MAKAFIRI HEBU TOFAUTISHA NA KUITAJA DINI YA KIKRISTO , KWA KUWA MAKAFIRI NI WAPO, NA HAO MAKAFIRI SIO WAKRISTO WALA SIO WAISLAMU, kwa sababu ukafiri ni uovu Au ubaya, mbona sisi tunauhrshim uislam?
NIMEONGEA IVO KWA SABABU UMESEMA MAKAFIRI UKAUTAJA NA UKATOLIKI
Kafiri nikafir2 awe nimkirsto au laa wote nikufaar
Tujitahidi kuitafuta sheria ya alotuumba. Mtu asjihukumu kuwa yeye si kafiri pasi na kuheshimu muongozo wa Mwenyezi Mungu.
Mahana ya kafika ni mpinzani yani ni mtu yoyote anayepinga manenonya Mwenyezi Mungu ndoanaitwa kafili na kutaka wakilsto ni kuwasifia kwa umoja wao tofauti na waislam wameshindwa kuwa na umoja kama wakatoliki
😂😂😂😂😂pole saana
Mayokeo
Yaani kumbe weye hujitambui itikadi yako niyaikhiwaanu msilimiina, inawezekanaje tuungane na mashia napote ambayo yanakwenda kinyume na Ahlu sunnat wal- jamaa?
Daah Hyyu kumbe mshia?
kwani mtume hakuunganisha waislamu wadunia nzima....shia no zao LA mgawanyo
Wewe chenga
Pooole
Nani mshia weee mhuni sheha mselem ahlu sunna waljamaa
Tatizo linakuja kwa makundi fulani,kuupinga uongozi Saudi Arabia,na kuupiga vita na kuufitinisha utawala huu kwa waislamu,na hapa ndio mwanzo wa yote hayo,kuna wanaouzulia utawala huo ni wa kiyahudi,na mengine,na hilo Allah analishudia,jee Lina ukweli au Ndo tunamkasirisha Allah,Makka na Madina zipo Saudia,kuimarika kwa miji hiyo kunajionesha wazi,jamani hizi fitna ni za nini waislamu?tujiulize tawal ngapi zimepita,waislamu wanataka mtawala gani??.
Ss usichokijuwa ww hapo ni nn?.kwani Al SAUD uwo ufalme waliupataje km sio Kupora kwa banii Hashiim kwa msaada WA Marekani na kuwafukuza Lebanon.na mpaka Leo wanalindwa za jeshi la Marekani nchini Saudi Arabia."AL IMRAAN 29 _verse "mlioamini msiwafanye wasioamini kuwa washirika wenu na atakaefanya hivyo.......".ilaa aakhir aaya
Oya
Icho kitu hakiwexekani ata sikuu mojaa sunn hawexi kukaa nashia tena ixo fikira mxiondoshe kabisa fkra za kighawargy
Ulishawahi kwenda akhera ukaona huko uliko uko sasa mungu ndo mjuzi zaidi
Pole sana sheikh
Pole sana sheikh
Kweli wasomi wasio na maarifa mazuri wapo
Rudini katika manhaj ya Salafus swaalih acheni fikra za kikhawaarij
Kama wale wanaojitoa kwenye uongozi wa Demokrasia Ni Ukhawaariji, na wale wanao jitowa kwenye uongozi wa Kiislamu wanaitwaje?
Acha kutia Shubha kwenye Akili za watu. Walioitwa Khawaariij waliitwa kwa kujitoa kwenye uongozi wa Alii na Mua'wiyah ambao walikuwa wakiongoza kwa kitabu na Sunnah. Je hawa viongozi wenu wa nchi wanahukumu kwa kitabu na Sunnah? Mpaka muwaite watu Khawaariij kwa kujitoa kwenye uongozi wao.
Kama kujitoa chini ya kiongozi Kafiri haifai, mbona Mtume na Maswahaba walijitoa kwenye uongozi wa Abu jahl Makkah ? Si angebaki Makkah tu?
Tatizo lenu hamjalifahamu suala la Utawala na kubaki chini ya watawala katika Uislamu .Mtawala ambaye ukitoka chini ya Utawala wake Mtu huwa Khaarij, Ni Mtawala Muislamu, sio Hawa Makuffaar na Martadiin.
Kwa wao Wanavyoambiwa na mashekh zao Tanzania ni nchi ya kislam na wamekubali mashekh wanawafanya Kama mitume hawakosei Wana ushabik mwingi na majivuno kaz yao kubwa ni kuowa na kuacha wanawazazalisha mabinti za watu
@@karimulahiabdullahi6816 umeongea kitaalamu sana#
Mayahudi wametuletea masalafi ili kuwagawa waislamu na kwasasa wamefanikiwa kwa hilo.
Watu unawaita kafiri, unauhakika gani kwa mungu Bora ukafungwe Tena ili ujifunze
Kafiri inamaana pana wewe unachojua ni mkristo si uache kusikiliza
Ww deus sikulaumu kwani ww huna elimu hata muisilamu anaweza akawa kafiri sio mkristo tu mungu atakufanyia wepesi na ww utaenda jela kama ni vizuri kumtakia mwenzio abaki jela
😡😡😡😡😡😡
Huy deus ataka makwaju mshenz uyo
Sheikh wetu ataka arudshwe tena gerezani we deus mpuuzi nin NENDA ww uko gerezani!! Mshenz ww!!
Allah atakulipa