SHEIKH:MSELEM BIN ALY HII NDIO HISTORIA KAMILI YA MAISHA YANGU YA GEREZANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 93

  • @salummajigamajiga2870
    @salummajigamajiga2870 3 года назад +12

    Polen sanaaa shekhe wetu inshallaa Allah akulipeni pepo tena frdausi

  • @shabaniumande
    @shabaniumande Год назад +2

    Pole sana Sheikh wetu,
    Kila Mahala Masalafiya jadidah ni mtiani sana

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Год назад +2

    Allah akuhifadhi hapa duniyani na akupe pepo ya juu kwa rehema zake

  • @haroubsamir9450
    @haroubsamir9450 3 года назад +9

    Shehe wetu bado tunakuelewa sana ALLAH atatulipia

  • @makameSlima
    @makameSlima 9 месяцев назад +1

    Wape dozi masheikh kula😊😊😊😊😊😊

  • @OmaryHassan-e1x
    @OmaryHassan-e1x 8 месяцев назад +1

    Allah (S.W) hamtupi mja wake,hakuna mkamilifu n umetenda uliyojaliwa kadri uwezavyo .Hiyo n Mitihani y hapa Dunia.Na Uislam n Dini inayoongozwa n Kitabu Kitukufu Quraan,matendo yote y Mitume wetu Muhammad (S.W) n Quraan.Hivyo Mitume walipewa Wahyi n walifundishwa Kw kupitia Malika Jibril.

    • @mustafarashid2484
      @mustafarashid2484 7 месяцев назад

      Rekebisha hapo bro Mtume wetu ni (S.A.W) sio S.W tafadhali kaka.

  • @KhalidiMsuya-h6o
    @KhalidiMsuya-h6o Год назад +1

    Pole sana sheikh mselem Allah atakusaidia

  • @iddyally7471
    @iddyally7471 3 года назад +4

    Allah akulipe sheh wetu

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 3 года назад +4

    Poleni sana masheikh wetu

  • @MohdAbdalla-uq4pe
    @MohdAbdalla-uq4pe 6 месяцев назад

    Mungu awaoneshe na wao hao walio watia ndan bila ya sababu yyote mungu awaoneshe hapahapa dunian Kila Alie shiriki kufanya hvyo

  • @makameSlima
    @makameSlima 9 месяцев назад

    Allah akubarik sheikh

  • @rukundoibrahim807
    @rukundoibrahim807 3 года назад +7

    الله يحفظكم يافضيلة الشيخ مسليم علي وهكذ المسلمون داءما مختلفون.

  • @OmaryHassan-e1x
    @OmaryHassan-e1x 8 месяцев назад +1

    Assalam aleiykum Warahmatullaah Wabarakatul.

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 года назад +4

    Allah akulipe mema saidi, akuondolee wabaya woote wauuni.

  • @makameSlima
    @makameSlima 9 месяцев назад

    Asante sana sheikh

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 2 года назад +2

    Asalaam aleikum Sheikh umeeleza vizuri sana lakini ulipotafsir "Ayat kursii" pale hakuna mtu wa kuombea ila. Muombaji apate radhi za Allah SUBHANA WATAALAH, "naomba mniweke sawa. Hapo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 3 года назад +4

    Do!!! Yaani uliyokutananayo ndio maisha yetu waislam dunia nzima wallahi hii NI adhabu toka kwa Allah kwa kuwacha dini. Yaani umenipa funzo.

    • @RashidMuhunzi-pr5xj
      @RashidMuhunzi-pr5xj 8 дней назад

      "HISIA ZAKO ZIPO CHINI SANA, COZ KWANI WEWE NI NANI ALIYEKWAMBIA DUNIANI KUNA RAHA KUIPITA AKHERA،wewe hutouweza uislam mpaka unakwenda KABURINI..
      TAMBUA KUWA uislam sio DINI ya Raha za Dunia maana ni dini inayomuandaa mja na KHERI za akhera tuu, hivyo toka toka toka UPESI sana kabla hujafia huku maana wewe huku hupawezi.. mshenzi wewe..... MWALIM MSELLEM Lete MANENO hayyoooooo!!

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 8 дней назад

      @@RashidMuhunzi-pr5xj umeniambia ya ukweli kabisa lakini inshallah utatoka wewe sio mie

    • @RashidMuhunzi-pr5xj
      @RashidMuhunzi-pr5xj 8 дней назад

      Kwa jibu hili, NAMAANISHA kuwa PENDA DINI USIIPENDE DUNIA, NA UWE TAYARI KUIPENDA NA KUITETEA DINI, NA DINI NI KUPAMBANA NA MATATIZO YOOTE YA KI-DUNIA TENA YALE MAZITO MAZITO NA MAKALI MAKALI, HIVYO UKIIPENDA DINI LAZIMA HAYO YATAKUJA TUU, NA KAMA HUTAKI MATATIZO YA KI-DUNIA BASI WEWE YAMKINI UTAKUWA HUITAKI NA HUIPENDI DINI HIVYO PENDA DINI,PATA MATESO,UENDE PEPONI,LAASIVYO KAMA HUTAKI,ACHA WANAHARAKATI WAPAMBANIE KOMBE INSHAA-ALLAH.@@selemankishema5780

  • @makameSlima
    @makameSlima 9 месяцев назад

    Asant sana sheikh kwa kusema ukweli

  • @hassanaloisi3643
    @hassanaloisi3643 3 года назад +5

    Hakika dunia ni chumba cha mtihani kwa muumini.Allh atawangaza wetesi kwa waumini.

  • @YussufHaji-go6tk
    @YussufHaji-go6tk 4 месяца назад

    Allah in shaa Allah atakulipeni

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 3 года назад +3

    Shukran

  • @YussufHaji-go6tk
    @YussufHaji-go6tk 4 месяца назад

    Allah akulipeni

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +13

    Ndio tatizo letu waislamu uongo ndio sera zetu.kichwa cha habari umetuambia ni historia kamili.Je ni kweli?

    • @mim9607
      @mim9607 2 года назад +1

      ATI Kisha tunatarajia nusra

    • @JabirHaji-vj2nf
      @JabirHaji-vj2nf Год назад

      Muongo weee na baba yako mulo wafunga mashekh wetu allah awakusameheni na akuongozeni

    • @JabirHaji-vj2nf
      @JabirHaji-vj2nf Год назад

      Huna lolote wewe abuu mjinga

  • @is-hakabinruweikh3833
    @is-hakabinruweikh3833 Год назад +1

    Mashaallah

  • @khamismombo
    @khamismombo 5 месяцев назад

    Allah atakulipa

  • @HamisiAmri-p4d
    @HamisiAmri-p4d 7 месяцев назад

    Mimi nikupe pole sana lakini kwa jela sio waislam tu ni mfumo uliopo jela kuna watu wa usalma wanakuepo ktk makundi wana kuwa wafungwa au mahabusu na wakati mwingine hata mkuu wa gereza na askar awajui kwaiyo ni ngumu kufanya jumuia au kitu cha umoja ukiwa jela ila inshallah tumefahamu

  • @rahimmbezi9936
    @rahimmbezi9936 3 года назад +6

    Shukran. Al Akh Adil Abd. Ila mbona sio historia kamili kama tulivyotarajia

  • @zainabzanzibar1518
    @zainabzanzibar1518 3 года назад +5

    Subhana Allah

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 3 года назад +3

    Eeeeeh mungu tulinde ss waja wko

  • @RamadhaniMapalala
    @RamadhaniMapalala 7 месяцев назад

    Shari yako ioo dunian ndio her yko akhera na akher ndo itayobakia Allah ukulipe Pepo yote atayasahau Allah akudimishe ktka twaa

  • @makameSlima
    @makameSlima 9 месяцев назад

    Allah akupe malipo mema

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 3 года назад +2

    ALLAH awavuwe hilii na jengineee

  • @KhalidiMsuya-h6o
    @KhalidiMsuya-h6o Год назад

    Yaa rabbi nisamehe makosa yangu

  • @KhatibMakame-dp1mn
    @KhatibMakame-dp1mn Год назад

    ❤❤❤

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 3 года назад +3

    Allah Akbar

  • @xmathematics_
    @xmathematics_ 2 года назад

    Shekh Andika Kitabu#

  • @rehemaanyosisye5791
    @rehemaanyosisye5791 10 месяцев назад

    Asa unasemaje makafiri wew 😢 wakristo sio makafiri boya ww

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 года назад +3

    Dahhh! hatari sana jamani

  • @saidmuhsin2446
    @saidmuhsin2446 3 года назад +6

    Vichwa vigumu popote vipo !!ndio maana tunapata shida

  • @aliy3303
    @aliy3303 3 года назад +3

    Sheikh Fareed yuko wp

  • @haifaichongachonga8775
    @haifaichongachonga8775 2 года назад +1

    Allah ni mlipaji wa yote

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 3 года назад +1

    A alaykum naomba namba ya huyu shekh kwa aliyekuwa nayo japo nimpe pole

  • @salumkarim69
    @salumkarim69 3 года назад +2

    punguza maandishi kwenye hizi klip boss wangu yanakera wanzio wanaweka neno moja tu au mstari mmoja tu hapo chini ya klipu

  • @abdilahimusa3777
    @abdilahimusa3777 3 года назад +2

    Ndo maisha.

  • @HalimaSamwel-md1uz
    @HalimaSamwel-md1uz Год назад +1

    Danlood

  • @twahaabrahman-ev8co
    @twahaabrahman-ev8co Год назад

    Dola Haichezewi,

  • @hosannainternationaloutrea7491
    @hosannainternationaloutrea7491 3 года назад +1

    UNAONGEA VIZUR SHEKHE, LAKINI NAOMBA UNAPOZUNGUMZIA NENO MAKAFIRI HEBU TOFAUTISHA NA KUITAJA DINI YA KIKRISTO , KWA KUWA MAKAFIRI NI WAPO, NA HAO MAKAFIRI SIO WAKRISTO WALA SIO WAISLAMU, kwa sababu ukafiri ni uovu Au ubaya, mbona sisi tunauhrshim uislam?

    • @hosannainternationaloutrea7491
      @hosannainternationaloutrea7491 3 года назад

      NIMEONGEA IVO KWA SABABU UMESEMA MAKAFIRI UKAUTAJA NA UKATOLIKI

    • @yunusramadhan2546
      @yunusramadhan2546 3 года назад

      Kafiri nikafir2 awe nimkirsto au laa wote nikufaar

    • @salimharrasy7047
      @salimharrasy7047 3 года назад

      Tujitahidi kuitafuta sheria ya alotuumba. Mtu asjihukumu kuwa yeye si kafiri pasi na kuheshimu muongozo wa Mwenyezi Mungu.

    • @ismailothman8063
      @ismailothman8063 2 года назад

      Mahana ya kafika ni mpinzani yani ni mtu yoyote anayepinga manenonya Mwenyezi Mungu ndoanaitwa kafili na kutaka wakilsto ni kuwasifia kwa umoja wao tofauti na waislam wameshindwa kuwa na umoja kama wakatoliki

    • @JabirHaji-vj2nf
      @JabirHaji-vj2nf Год назад

      😂😂😂😂😂pole saana

  • @HdhsHhshd-dc7vt
    @HdhsHhshd-dc7vt 11 месяцев назад

    Mayokeo

  • @أبوجعفرالسلفي-ف7ك
    @أبوجعفرالسلفي-ف7ك 3 года назад +3

    Yaani kumbe weye hujitambui itikadi yako niyaikhiwaanu msilimiina, inawezekanaje tuungane na mashia napote ambayo yanakwenda kinyume na Ahlu sunnat wal- jamaa?

  • @sabraham5308
    @sabraham5308 2 года назад

    Tatizo linakuja kwa makundi fulani,kuupinga uongozi Saudi Arabia,na kuupiga vita na kuufitinisha utawala huu kwa waislamu,na hapa ndio mwanzo wa yote hayo,kuna wanaouzulia utawala huo ni wa kiyahudi,na mengine,na hilo Allah analishudia,jee Lina ukweli au Ndo tunamkasirisha Allah,Makka na Madina zipo Saudia,kuimarika kwa miji hiyo kunajionesha wazi,jamani hizi fitna ni za nini waislamu?tujiulize tawal ngapi zimepita,waislamu wanataka mtawala gani??.

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 22 дня назад

      Ss usichokijuwa ww hapo ni nn?.kwani Al SAUD uwo ufalme waliupataje km sio Kupora kwa banii Hashiim kwa msaada WA Marekani na kuwafukuza Lebanon.na mpaka Leo wanalindwa za jeshi la Marekani nchini Saudi Arabia."AL IMRAAN 29 _verse "mlioamini msiwafanye wasioamini kuwa washirika wenu na atakaefanya hivyo.......".ilaa aakhir aaya

  • @suleimansalum.7816
    @suleimansalum.7816 2 года назад

    Oya

  • @swaf-wanyahya7657
    @swaf-wanyahya7657 3 года назад +2

    Icho kitu hakiwexekani ata sikuu mojaa sunn hawexi kukaa nashia tena ixo fikira mxiondoshe kabisa fkra za kighawargy

    • @kitwanaabuu809
      @kitwanaabuu809 2 года назад

      Ulishawahi kwenda akhera ukaona huko uliko uko sasa mungu ndo mjuzi zaidi

    • @makameSlima
      @makameSlima 9 месяцев назад

      Pole sana sheikh

    • @makameSlima
      @makameSlima 9 месяцев назад

      Pole sana sheikh

    • @makameSlima
      @makameSlima 9 месяцев назад

      Kweli wasomi wasio na maarifa mazuri wapo

  • @abusumayyah2338
    @abusumayyah2338 3 года назад +3

    Rudini katika manhaj ya Salafus swaalih acheni fikra za kikhawaarij

    • @karimulahiabdullahi6816
      @karimulahiabdullahi6816 3 года назад +1

      Kama wale wanaojitoa kwenye uongozi wa Demokrasia Ni Ukhawaariji, na wale wanao jitowa kwenye uongozi wa Kiislamu wanaitwaje?
      Acha kutia Shubha kwenye Akili za watu. Walioitwa Khawaariij waliitwa kwa kujitoa kwenye uongozi wa Alii na Mua'wiyah ambao walikuwa wakiongoza kwa kitabu na Sunnah. Je hawa viongozi wenu wa nchi wanahukumu kwa kitabu na Sunnah? Mpaka muwaite watu Khawaariij kwa kujitoa kwenye uongozi wao.
      Kama kujitoa chini ya kiongozi Kafiri haifai, mbona Mtume na Maswahaba walijitoa kwenye uongozi wa Abu jahl Makkah ? Si angebaki Makkah tu?
      Tatizo lenu hamjalifahamu suala la Utawala na kubaki chini ya watawala katika Uislamu .Mtawala ambaye ukitoka chini ya Utawala wake Mtu huwa Khaarij, Ni Mtawala Muislamu, sio Hawa Makuffaar na Martadiin.

    • @abuunusaiba7679
      @abuunusaiba7679 3 года назад +1

      Kwa wao Wanavyoambiwa na mashekh zao Tanzania ni nchi ya kislam na wamekubali mashekh wanawafanya Kama mitume hawakosei Wana ushabik mwingi na majivuno kaz yao kubwa ni kuowa na kuacha wanawazazalisha mabinti za watu

    • @xmathematics_
      @xmathematics_ 2 года назад

      @@karimulahiabdullahi6816 umeongea kitaalamu sana#

    • @abdalaseleman921
      @abdalaseleman921 5 месяцев назад

      Mayahudi wametuletea masalafi ili kuwagawa waislamu na kwasasa wamefanikiwa kwa hilo.

  • @deuscylilo6015
    @deuscylilo6015 2 года назад +1

    Watu unawaita kafiri, unauhakika gani kwa mungu Bora ukafungwe Tena ili ujifunze

    • @allyabdallahally9637
      @allyabdallahally9637 2 года назад

      Kafiri inamaana pana wewe unachojua ni mkristo si uache kusikiliza

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 2 года назад

      Ww deus sikulaumu kwani ww huna elimu hata muisilamu anaweza akawa kafiri sio mkristo tu mungu atakufanyia wepesi na ww utaenda jela kama ni vizuri kumtakia mwenzio abaki jela

    • @maryamerick749
      @maryamerick749 2 года назад

      😡😡😡😡😡😡

    • @is-hakabinruweikh3833
      @is-hakabinruweikh3833 Год назад +1

      Huy deus ataka makwaju mshenz uyo

    • @is-hakabinruweikh3833
      @is-hakabinruweikh3833 Год назад

      Sheikh wetu ataka arudshwe tena gerezani we deus mpuuzi nin NENDA ww uko gerezani!! Mshenz ww!!

  • @IdrisaIsmail-mt3ks
    @IdrisaIsmail-mt3ks Год назад

    Allah atakulipa