HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 53

  • @RahimChande
    @RahimChande 2 месяца назад +2

    ALLAH amjaalie Pepo

  • @momadesuales
    @momadesuales 3 месяца назад +11

    Shaikh Othuman maalim yupo vizuri katika kufafanua Qur'an na Hadith za mtume s.a.w mungu akupe maisha marefu shaikh wetu tuzidi kufaidika na iilmu yako shaikh

  • @PrincessZAmlima-qh1uq
    @PrincessZAmlima-qh1uq 3 месяца назад +6

    Elimu kubwa ....Allah awafanye wengine waipate kupitia hii clip ya Shk Othman

  • @andrewmoi2186
    @andrewmoi2186 4 месяца назад +14

    Kama wewe unawaogopa Majin ebu jaribu kumuifathi mwenyezi mungu ndani ya moyo wako alafu utaona uwezi kuogopa majini na wachawi

  • @ZainatManzi
    @ZainatManzi Месяц назад

    😊

  • @IssaSalim-kv4gr
    @IssaSalim-kv4gr 4 месяца назад

    Jazakallah khaira

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 3 месяца назад +3

    Ma shaa allah Tabarakallah napenda sana unavyo ichambua Qur'an Sheikh Othman Maalim Shukran sana sheikh wangu ❤❤❤❤

  • @businesscenterenglishcours9136
    @businesscenterenglishcours9136 3 месяца назад

    mashaAllah

  • @mbwanamtops4936
    @mbwanamtops4936 4 месяца назад +5

    Alhamdulillah ,jazaka Allah Kheur

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 4 месяца назад +5

    Masheikh ambao hawana elimu ya majini wakubali na kujitokeza mbele ya Dr sullez kabila umauti umechukue ,wanyoshe Jambo hili,sio kupiga makelele mtandaoni.kenya kulikuwa na sheikh aboud rogo ,alikuwa akipenda kuzungumzia jihad na kuhumiza waisilamu wasiwe wanyonge mbele ya makafiri ,wako masheikh ambao walimpinga ingawa walikosa hoja za msingi ,wakazua uzushi kitu kilicho sababisha umauti WA sheikh aboud rogo.tusiwe wanafiki Kwa minajili ya dunia .mwenye anapinga Dr sullez aende kumuona ili kuzidi kupambanua hili swala la majini.

  • @sidesaid4604
    @sidesaid4604 4 месяца назад +6

    MIE NAKUELEWA SANA SHEIKH WANGU...ALLAH AKUBARIQ SANA

  • @WonderfulSeagull-lg1tz
    @WonderfulSeagull-lg1tz 4 месяца назад +1

    Waalykum Salam warahmatulah wabaraktuh

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 месяца назад +1

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603 2 месяца назад

    Majini walifukuzwa mbinguni kwa ajili ya kuasi,nyinyi waislam mumejiunga nao katika ibaada, Je! mna uhakika sala yenu inaenda mbinguni?

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 месяца назад +1

    Mimi Kiukweli Uyu Shee Napenda Sana Mawaidha Yake Mana Anajua Kufafanua Kwa Umakini Sana Kwa Mujibu Wa Vitabu Vya Imani

  • @MwanlyGogo
    @MwanlyGogo 2 месяца назад

    Waisilamu hatuwaogope majini ila tumuogope mwenyez mungu ametakasika subuhanaka

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 месяца назад +1

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @abdallahkawambwa6179
    @abdallahkawambwa6179 4 месяца назад +3

    😢JAZAKA LLAHU KHEIYRU SHEIK MOLA AKULINDE ZAID NA MAADUI WKO ISHAALLAH

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 3 месяца назад +1

    MIMI NASHANGAA, BADALA YA KUSHUGHULIKIA MAADILI YA TUNAHUBIRI KUHUSU MAJINI SISI MAJINI HAYATUHUSU. VIJANA WANAHARIBIKA VIONGOZI MMEKALIA KUHUBIRI MAJINI!!!!

  • @saidkokani
    @saidkokani 29 дней назад

    Mung ampe upright kudanya daawa

  • @NgarigariOmari
    @NgarigariOmari 4 месяца назад +2

    Jazaakallahu khair

  • @OmarOmar-q2q
    @OmarOmar-q2q 3 месяца назад

    Duh

  • @husseinchaka1821
    @husseinchaka1821 4 месяца назад +1

    Somo zuri Sana ,Dr sullez ako Sawa Kwa mafundisho yake .

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 месяца назад

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 месяца назад

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo ❤❤❤❤❤

  • @MindaWilson-d7i
    @MindaWilson-d7i 3 месяца назад

    Mashaallah moe unapochambuaga quran uwa najiskia faraja sana nakuwaga na utulivu mkubwa nakuelewa sababu upo kwajiri ya kumwelewesha mtu amfuate Allah,,kwakweli Allah akusimamie ivoivo

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 4 месяца назад +3

    AMEEN YAA RABAL ALAMEEN ❤❤❤❤

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 4 месяца назад +1

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @FaridaYusuph-x2z
    @FaridaYusuph-x2z 3 месяца назад

    Kuna watu hawana akili kwakwel hiv hujui afya ndo kila kitu lakin?hao vijana ndo wanaharibika na mashetan walioasi

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @dokadoka9426
    @dokadoka9426 2 месяца назад

  • @StellahGirgis
    @StellahGirgis 4 месяца назад

    Bora umesema jini na sshetani kitu kimoja nimeukelewa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 3 месяца назад

      Lakini lazima pia uwelewe wanapo kosea ndio wanaitwa mashetani yaani shetani nisifa ya tendo

  • @farris_2549
    @farris_2549 3 месяца назад

    Sheikh wet u Allah akuhifadhi.

  • @Kautharkabanga
    @Kautharkabanga 4 месяца назад

    Shukran yaaah shekhe Othman maalim

  • @azzaaltouqi2323
    @azzaaltouqi2323 4 месяца назад

    بركه الله فيك شيخنا الله يحضيك ماشاء الله تبارك الله

  • @alijuma7674
    @alijuma7674 4 месяца назад

    Hakika majini ni viumbe km sisi tofauti yake ni kuwa wao wameumbwa kwa moto na wao sisi hatuwaoni

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 4 месяца назад

    Allah akupe afia ma umri sheik Othman

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 3 месяца назад

    Taybu taybu ❤🎉mufti Athuman

  • @HeriethMatemba
    @HeriethMatemba 4 месяца назад

    Mungu akujaaliye barak na akujaalie mwisho mwema

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @IbrahimMambo-l9r
    @IbrahimMambo-l9r 3 месяца назад

    ❤Mashaallah

  • @a.856
    @a.856 4 месяца назад

    Jazakallah khayran

  • @alyehemed4477
    @alyehemed4477 4 месяца назад

    Mashaallah Mashaallah sauti nzuri sana unapoisoma quran

  • @SaidMgeni
    @SaidMgeni 4 месяца назад +2

    مشأ الله