UKIONA DALILI HIZI, ANAKUSALITI (HUBBUL HALAL)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 22

  • @user-wu8yy4mw5p
    @user-wu8yy4mw5p 4 дня назад

    Mungu awefedheheshe hapaduniani na kesho akhera wasaliti wote walowasalit waumezao,na wke zao Ammin

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Месяц назад +1

    Jaman.huyu Dada Aaah Jaman Nampenda Mim Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
    Allah akujaze kher Dada layla Alfattah Allah akujazen kher🤲

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r Месяц назад +3

    Hahah jamani iyo kauli ya kiarabu imenishtua maana mi kwangu kila wakat mke mdogo 😂 ni kweli au ila tuishi tuishivyo tusijaribu kupinga amri za Allah, mashallah kipindi kizuri sana ,madam Leila na ustadh Allah akulipeni kheri.

  • @mohamededdi7527
    @mohamededdi7527 Месяц назад +4

    Wamekwisha wazinifu, hawana pa kujificha. Kwa dalili hizo wamekwisha..

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 19 дней назад

    Madini. 🎉🎉🎉❤

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Месяц назад +3

    Jaman hapa pa ALLAH kkuonyesha kwamba mumeo ana anakusaliti mm nlionyeshwa mara kadhaa lkn ckua na dhana wala kufatilia,nlifikiria n ndoto to mume wangu kuchepuka na jirani yangu tena huyo mwanamke alikua mke wa mtu.nlikua naoteshwa wakifanya machafu tena kwenye nyumba yangu..Baadae yakawa wazi hadi leo ndio ndio wako pamaoja na wamezaa waishi pamoja..

    • @aliy3303
      @aliy3303 Месяц назад +2

      Pole Allah naamini amekupa ama atakupa mume bora

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 Месяц назад +1

      @@aliy3303 Shukran..Allahumah Amiin.

    • @youtuberheart1648
      @youtuberheart1648 Месяц назад +1

      Uliumiaje maskini km nakuona😢pole sana

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 Месяц назад +1

      @@youtuberheart1648 Alhamdulillah nlimskuru ALLAH kwa kila kitu na nakamuomba anizidishie subra..

    • @youtuberheart1648
      @youtuberheart1648 Месяц назад +2

      Usijali hupo peke ako ata na mm yamenifika ayo ayo allah atupe subrah in shaa allah

  • @pilykingo
    @pilykingo Месяц назад

    Kwa honey khani umetisha

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад +2

    Naam unaaga tuu Mie niliaga kabisa siwezi USALITI UNAUMA SANA

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r Месяц назад +1

    Mwanamke vijisafiri safar vinakuwa vingiii

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Месяц назад +2

    USALITI UNAUMA HASA IKIWA WEWE UMEKAA KWA NIĄ MOJA LOOOH HATARI

  • @user-qh9jj5xz3p
    @user-qh9jj5xz3p 24 дня назад

    Hapo kwa utani dada yani mtu anakutusi hadi mamako ukiuliza waambiwa n utani

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Месяц назад

    Kuna wengine hawapokei simu au anablock namba kwa muda anaojiskia,,hii hua ni dalili za nini