Tazama Jini Lilivyomtaka Kimapenzi Sh Othman Maiko Ndani Ya Ofisi Yake "Nakutaka Sheikh Hapa Hapa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...

Комментарии • 48

  • @TatuRashid-d6t
    @TatuRashid-d6t 3 месяца назад

    Mnauchafua uisilam kwa mambo haya,unachanganya mchele,karanga ,kokoro na njugu,fundishen dini ,

  • @mbwanahussein98
    @mbwanahussein98 4 месяца назад +3

    Kwani adi mje mitandaoni kwa sura ya mashekh alafu mnatoa visa story tena kweny mitandao yani lengo nin kujitangaza kupata wateja au mwenzio sule naye kapamba moto ni majni tu ITAKILLAH kama unatibu tibu tu kuja kweny mitandao kama hivi sivizur sasa hayo nimawaidha au nitiba au ni nin

    • @NaseMangala
      @NaseMangala 3 месяца назад

      Heb Omba toba kwanza loooh huna haya wewe .

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Sasa kuna wengine hawajui waenda kutibiwa kishirikina ww una akili kweli huyu hata kama yuwatangaza yuwatangaza kukusaidia ww usio kua na akili ila tu hawa mashekhe wasikuhizi wameweka pesa zamani utapata mwanachuoni anakusaidia alafu akwambia toa chochote hawa wasiku hizi lazima uwe na laki tatu nne lakini kama huna hela husaidiki

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Nimawaidha ya tiba na ww kama mgonjwa njoo utibiwe kama mke njoo na mumeo ama ndugu zako utibiwe ustadh yuko sawa tu lakini kuna mijahil ya kiwahabi watamuita mshirikina

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 2 месяца назад

    Mtihani wallah hawa viumbe wakikuingia watenda mambo ya aibu sana tusaidieni kwa ajili ya Allah

  • @bugumaeyembe9258
    @bugumaeyembe9258 3 месяца назад

    Ndio sababu nilishindwa kuwa mwislam

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 3 месяца назад +1

    ajuwaye hajitangazi na yoyote mwenye neema huhifadhi neema yake sass ukimuona mtu ajitangaza hajuwi kitu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Sahi kujitangaza sawa kwa sababu watu wingi wanao pata hii mitihani waenda kwa wahanga ambao wanatibu kishirikina sasa huyu hutangaza ili usiende kutibu kishirikina na ww jifunze ama kumuonea wivu mwenzako

  • @khamisiabdallah8737
    @khamisiabdallah8737 4 месяца назад +2

    Hawa watu wapo radhi kusema chochot ili mradi tu wauze dawa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Ndio lakini maradhi yako na majini wasumbua binadamu na wengine warogwa sasa hawa wanatibu makosa yako wapi ww waeza kumtoa mtu aliyeingiwa na jini ama alidhuriwa na jini

  • @zeitunrashid2722
    @zeitunrashid2722 4 месяца назад +1

    Hii bokora ni kwa urembo

  • @maase2023
    @maase2023 3 месяца назад

    Ustaaz jini haji kwa njia hizo unazodai hata siku moja!

  • @Ismail-db5oj
    @Ismail-db5oj 3 месяца назад

    Huyu na Sule zao ni za majini na utajiri waotu!

  • @MariamUmande
    @MariamUmande 4 месяца назад

    Maulid ni bidah na yataendelea kuwa bidah Iliyo anzishwa na mashia

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Na ww pia bidah tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji

  • @jumayusuphu322
    @jumayusuphu322 4 месяца назад

    Na ww umo kumbe?

  • @maase2023
    @maase2023 3 месяца назад

    Huyu fix sana!

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 4 месяца назад +5

    Mshirikina anayejiita sheikh

    • @HusnatNuru
      @HusnatNuru 4 месяца назад +2

      Acha kumuita shekh mshirikina wewe kua na adabu bora unyamaze km Huna cha kukoment

    • @HimnaMohamed
      @HimnaMohamed 4 месяца назад +1

      Umepata faida Gani baada ya kucomment uzushi huo au ni khasara..... Tafakari

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 4 месяца назад +2

      Waislamu mbona munacoment kama vile hamna vichwa?Sheikh kakosea wapi?

    • @MakataWaMakatani
      @MakataWaMakatani 4 месяца назад +1

      Subhanallah 😢

    • @nuhuanney8535
      @nuhuanney8535 4 месяца назад

      Anae mchukia shekh othman hana akili nimwehu kama wehu wengine

  • @WaziriShabani-ie3nh
    @WaziriShabani-ie3nh 4 месяца назад +1

    Masufi kunasibiana najini nikawaida yao

    • @athumannyiddy1886
      @athumannyiddy1886 3 месяца назад

      Washirikina nyie acheni kuuchafua uislamu na bidaa zenu

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 месяца назад

      Wacheni ujinga nyinyi mawahabi wapotoshaji huyo sheikh wenu bin taimiya ndio kazi yake ya kutoa majini kasome kitabu chake chuki zenu kwa masufi tu mahasidi wakubwa adui wandugu yako muisilamu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 месяца назад +3

    Hawa ndio masheikh wanauchafua uislam acha uwongo mpumbavu wewe mnasambaza ujingaujinga tu mitandaoni.

    • @HimnaMohamed
      @HimnaMohamed 4 месяца назад

      Inna baada dhan ithm Wala tajasasuu...mtafute sheikh Othman umuombe msamaha kwani kwa hapa dunian pumzi ndio zinakughuri na kujitia ujabbari

    • @selemankishema5780
      @selemankishema5780 4 месяца назад

      @@HimnaMohamed acha upumbavu wewe hujui kazi za hao masheikh wafuate tu kichwa mtungi

    • @RiziqMwamwiri
      @RiziqMwamwiri 4 месяца назад

      Matusi tena na maneno ya mungu na haya Mambo yako nyinyi ndio hamuelewi

    • @RiziqMwamwiri
      @RiziqMwamwiri 4 месяца назад

      Mwambie aelewe mana hajui asemalo

    • @RiziqMwamwiri
      @RiziqMwamwiri 4 месяца назад

      Umepotea wew