MFAHAMU DADA ALITEKA HISIA ZA WATU WENGI
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Bismilahi Mashaallah Sister Layla umejistiri vizuri hata watizamaji na waskilizaji wanaona raha kukuskiliza. Mtangazaji Mungu akubarik na kazi yako.
Mashallah nampenda sana huyu dada
Mashallah mtangazaji umekimbiza ,hakika wewe hatukuiti mtangazaji wewe ni msomi ,au mtangazaji msomi Mashallah,mi nafurahi sana Allah akuwezesheni
Mungu akuzidishie kheri baraka na amani katika kuelimisha umma
Dada you are the real raw model kwa wanawake wema wa kiislam
Mie pia nasikia sauti kama ya mama Samia Suluh.
Kiswahili ndio h😅chi tunachokijua maana siku hizi kiswahili kimepotea
Mimi Nipo UAE Nikweli Kabisa Na Napenda Sana Hata Nimejifunza Mengi Kwaajiliyangu Na Watoto Wangu..??
Hongera sana Allah akutunze
Mashallah,alfatah ,watu wote mnaotuletea watu wa mana ,mi nimpongeze huyo Director anaewatafuta hao washiriki , Allah akulipeni kheri
Unamaneno mazuri Alhamdulilah
Usipende kuapaupa
Wallahi
Kubwa kujitibu mwenyewe ni kumshukuru mungu kusema Alhamdulilah
Naam,hakika tunajifunza mengi.
Madame Leilah hongera
ASSALAMU ALEIKUM. HATA MIMI NI KENYA KWA SASA NIKO SAUDIA NAKUFATILIA MA SHA ALLAH
Alhamdulillah nikiwa oman 🇴🇲 madam nakufuatilia ww na alfatah ❤
Huyu dada namfuatilia mpole sana saut mzur
Bismilah Ma Sha Allah TabarakaAllah Blessed from Allah 🤲🤲
Mashallah mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Wewe Dada Ni malkia Yaan Unahikma nimekupenda nimekupenda bure Jaman Nnimfatilie kwa Jina lipi naona Account zake pls Nimegundua anaongea Kama Mama Samia Huyu awekwe makamo wa Rais nchi yetu itanyanyuka sana Mashallah Allah akuhifadh Dafa layla Na Shar za binaadam na majin Kwa kipaj ulichonacho Wapo watakaojivunia na wapo watakaochukia Mim Nakupongeza Namuomba Allah akuhifadh na kila shar🥺😍😍😍😍😍😍😍😍Love u much love from UAE😍😍😍😍😍😍😍
Namomba Account zake pls
Madam laila abubakar@@bintsalimalbimany287
Asalaam aleykum warhmatul Llah wabarakatuh
Naomba namba ya dada Leyla namuhitaji kwa masuala muhimu sana
Ingia Instagram Yake Ameweka number zake
Mashallah dada kweli tupo wengiii sana
Hongera kwa juhudi kubwa unayofanya kuwasaidis watu ktk saikolojia
Me personal ilove this sister for ALLAH
Maa shaa Allah madame Leyla
Allah akujaalie mwisho mwisho nasisi tunaokufatilia pia
Hata mie naitaka
Mashaallah natarajia atasoma hii comment nampenda sanaaa huyuuu mwanamke
Mashaallah wajina nakupenda nakufatilia sana
maashallah mtangazaji msomi
Maashallah dada upo vizuri points na elimu..na mtangazaji you are the best of best unaeeza good personality na upangaji wa maswali
Channel yako ni ngani?
Alfatah
Nzuri sana
USA 🇺🇸
Hata mie naitaka
Allahumma Barik dada umevaa Hijabu yako inavyopaswa
Hakuna Hijabu Hapo Usijiongopee
MaashaAllah madam
Nakukubali madam Leyla nakufatilia nikiwa dubai
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER NDUGU YANGU
mashaallah mashaallah mnafanya kaz kubwa sana al fatah kuleta watu ambao wanaleta faida kubwa sana katika jamiii