Mimi siyo mfuasi wa chama bali nilikuwa mfuasi wa marehemu Maalim seif ALLAH amfanyie wepes nakusudia kusema Wapemba muungeni mkono mwinyi CZ anaihurumia Pemba km ilivyokuwa anataka iwe Maalim
Jamaa zako zote wanapinga hizo.wamekaa kama wanga mana mwanga hapendi maendeleo japo kidogo.nafsi imejaa choyo na hao hao ndio wa mwanzo kutumia na kuharibu
Alhamdulillah Allah azidishe neema ndani ya kijiji chetu🤲
Mimi siyo mfuasi wa chama bali nilikuwa mfuasi wa marehemu Maalim seif ALLAH amfanyie wepes nakusudia kusema Wapemba muungeni mkono mwinyi CZ anaihurumia Pemba km ilivyokuwa anataka iwe Maalim
Mbali na usisiem wake ila anaihurumia japo kdg Pemba tofaut na walio mtangulia
Gud work. Dr.mwiny..we cee & appreciate ur effort
Hongera maruzuku pambaneni na kijana wako
Jamaa zako zote wanapinga hizo.wamekaa kama wanga mana mwanga hapendi maendeleo japo kidogo.nafsi imejaa choyo na hao hao ndio wa mwanzo kutumia na kuharibu
Dr Mwinyi oyeeee 5 tenaaaa
Eneo la micheweni ndio eneo la mpango mkakati kwa pemba katika kila nyanja
Sisi hatuli majengo punguza bei ubwabwa
Fanya kazi acha uvivu
Ni bandari aw tuta😄?
Wewe ulikuwa mwanga kwa roho mbaya ya kwa nini
Bandari au kibandari