MASKINI ! WALICHO FANYIWA MADADA HAWA HUKO MELI NNE ZNZ NI HURUMA TUPU
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti Byego
cc: Tunu Salum
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Mwarabu Mmadi
Nassor Shaibu
Abdallah Dula
Editors:
Juma Maulid
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Ila kiukweli usipo muamini Mwenyezi Mungu, unakuwa mtumwa wa shetani
Kabisa
Umesema kweli
Nilikuwa niseme ulichosema lakini ushasema....... Utumwa wa kujitakia
Ndugu zangu wanawaZanzibar tujitahidi kujichumia cha halali, najua maisha yanazidi kuwa magumu ila tusitapeli watu kwa mujifanya waganga. Hii tabia imekuwa kwa kasi sana . Kuna mwenzetu mmoja aliacha kazi ya jeshi la zima moto mambo yalipokua magumu kajitia mganga , utotoni si wa skuli si wa madrasa leo kawa mganga ,Aghstafillah
Hao wadada wanaonekana kama ni mapopo haoooo
Madege ya kuruka usiku😅
Daaahhhh poleni sana natamani huu mkasa umfikie kila mshirikina
asante Mwenyez Mungu kwa kunisaidia matatizo yangu kupitia ww uliyempa kipawa chako ostaz shabani n alinfanyia bila sent yngu mpk nilivyofanikiwa nkimpk sadaka yake Nyie waganga acheni utapeli n nyie mabint muombeni Allah ndo kila kitu ukimuomba atakupa uoambacho waganga s watu wazur wanawaharibia ostaz wanao omba dua kwa dhat duuh poleni sana but achen ushirikina
Inallillah wainaillah rajiun subhanallaah allaah atuongoz naatupemwishomwem
Kwani kafa mtu. Imehusu Nini inalilah
Ameen
Hv koroan hutumika ktk uganga
@@hamidmohamed7806 haiusu kabisa
Kwn mpk afe mtu ndo usemwe innallillah hatk km umepat na matatizo pia unawez kusema
Wazanzibar uwa niwasenge kwer wanajifanyaga wana dini kumbe nima shetani balaa mfyaa
Ushilikina na tama ndo zinawaponza. Mme muacha Mungu aliyekupeni pesa nakutamani pesa zakishetani. Shetani hatoi pessa. Mulikuwa tayari hata kuuwa ndugu zenu apa mmekuja hazalani sababu mmetapeliwatu . Mungetia damu wala msingesema . Uchawi huo nawaganga wenu Mungu anakupenda dada ndo mana kaluhusu tupesa tuliwe ili akupe fundisho. leo ndo ww unajisemea maovu ya waganga kuwa nimataperi, "amina". Mungu walehema jina lako litukuzwe milele amina
Subhana Allah mtu unajisifu kwa maovu fahari mama ujingaa
Zanzibar iko hatariini kutaja vilevi hazarani
@@lutifiaussi3728 ni kweli ndugu yangu huu ni msiba mkubwa
Wajinga wajinga
@@omarjumanne4356 wallah niwajinga mno
Umeongea vizuri Dada,Mungu ndo kila kitu mama
Wazanzibar mshaharibika mmekua matapeli kwa kutumia dini
Sio wa zanzibar tatizo ni nyie wageni mnaoingia
Asa bara hakuna matapeli
@@alimussa2655 utapeli na ujambazi bara ndokwao
Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kungarisha nyota na kupa mtu riziki
Kiswahili cha zanzibar kinafanana na kiswahili cha Pwani ya Kenya (Mombasa na Lamu).
Tamaaa mbaya poleni sana
hongera kwa kumjua M/mungu pia unapaswa umshukuru yy
wagen kuhamia znz sio tatizo ni serekali kutowek sheria za kulinda maadili ya wananchi wote
Haswaaa
Maadili gani wakati nyinyi wenyewe niwachafu balaa
misaafu mnaidhalilisha japo mm mkristo dah😢
Kabisa
paulina semindu hasara!!! Wame andikwa watu kama hawa wako na hawato nusa hata harufu ya pepo!
Paulina semindu. Msahafu ndo muongo mzima Wa mwanadamu
Isipokuwa hawa wameukengeuka msahafu ndo maana wakala hasara
Umeona eeeh
Kweli kabisa
Daah! Kiukweli shiriki ni dhambi juu ya dhambi, na adhabu yake utaanza kuipata hapa hapa duniani.
Shukran sana ddaa kwakumkumbuka m.mungu chochote unachokifanya mtangulize m.mungu
Lakini wazanzibar wapo matapeli hata kama na mimi ni mzanzibar anatumia QUR AN kutapeli watu MUNGU atalipa
Iddi juma Ali alotapeli ni jamaa yao kabila lake mhiyao cjui ni watu wa wapi
@@bindawood978 ok
Zanzibar hakuna tapeli, ila matapeli ni ao zanzibar ni njema atakae aje, ndio matapeli
@@hawaynatimam982 bora maana ukiwatajia utaifa wao hapatokalika
Wajinga ndo waliwao. Imani mbovu. Naulevi acheni. Muogopeni mungu.
Kweli mlitekwa fahamu, hamjashtuka tuu? Kweli kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa yote , na watu hupotea kwa kukosa maarifa. Mlipaswa kuchagua moja tu mumche Mungu na mngoje baraka ya Mungu iwajilie kwenye biashara poleni sana.
uislamu wa kweli unahitajika na dola la kiislam linahitajika na watu wanahitaj mtu mwema wa kuwasimamia
Ukifwatilia sana itakuta waislam wengi ndio wanaamini ushirikina hii ni uthibitisho kua hamna kitu huko
Ctokaa kuwaamini waganga polen sana mnatoa milion kweny uganga c pesa ya kiwanja iyo kujijini kwenu!! Mama zenu wanashnda njaa uko nyie mnatoa pesa kwa waganga
Dah umenena ukweli dada
Endelea na moyo huo huo
Subhana llah
Hao ni washenzi kabisa wanatumia kitabu cha allah kutapelia watu hao wana laaana pesa za dhulma hawato fanikiwa kabisa
Na wapigwe na radi
Mmungu atakusaidieni jinsi mlivyo muachia Mmungu. Nguvu zenu hazitapotea. Dhulma haidumu na ikidumu inaangamiza. Mtafuzu Inshallah. Wanawake tuwe Imara.
Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Mimi niliwahi kukupigia simu na kukuandikia msg ninataka mje eneo la School ya EVER GREEN hukunijibu tunashida ya maji na
Mmh kazi usenge tu
Nyie wadada washamba kweli, hata kushtuka tu mlishindwa mnazidi kuhonga mipesa yote hiyooo duuuh but poleni since kimeshatokea
Duuh ,, kuna siku nilitapeliwa elf 10 Tu nimeumia kweli Sana jeee ?? Ww mipesa yote iyoo
Subhanallah
Tamaa mbaya
Ee Mungu wangu yamenitokea dar haya namimi niliambiwa nitoe milioni 2 na kila siku lazima nikaoge cocobech saa saba za usiku Mimi nashogaangu tuliletewa majini 999 na mkuuwao nikisa kirefu acha tu nimeokoka nimemjua Mungu acheni tu
Aniphalookmoney Lookmoney pole sana
WACHENI ULEVI MRUDIENI MUNGU WENU
Hahahahaha ukweli waaache ulevi
Acha zinaa mrudie mungu wako
Pombe hazimfanyi mtu awe na tamaa. Wakome kuwa na tamaa
Wazi zuri LA kumjua Mungu ila uwache ulevi pia
Hahaha daaah polen sana samahan nimecheka kama mazuri
Pole my
Kukosa akili namaarifa ndomkome kilasiku mnaambiwa ushirikina haufai
Hata kama munasema ss wa bala lakini waliotapeli wazanzibari munajifanya muna dini nyinyi musahafu wa mwenyezi mungu munaufanyia utapeli corona itaishaje
Agnes Cosmas kwel maana wamezid kutunanga ss wabara wao wafuga majin
Waganga NI matapeli.Mungu atusamehe
Poleni sana kwakutiwa mjini!!!
Mie wala sikuonei huruma. Mana hata umefikia kwenda kwa mganga huna huruma na unaroho mbaya. Unaenda kwa mganga kwa biashara inamaana hata ukiambiwa lete mtu, utapeleka. Allah akuongozeni na akutoeni kwenye shirki, Amiin.
Mmmmmmm kweli mganga alifaidi sana
Milioni 1 na kali 4 mnahoma Sana, izo pesa mnazotoa ili mpate nn
Inasikitisha sana,watu hata hawana hofu ya Mungu kutapeli wenzao.
ila hao kina tausi ndio washirikina matokeo yake wametapeliwa
Hahahaaa na wangine wajifunze.
Polen sana ni changamoto za mafanikio ya maisha ila wengine ni wezi sana
Tamaa jaman mbaya,pole sana
polen
Daaa wanafiki hao
Hakuna mganga zaidi ya Mungu acheni ushamba washkaji msijitie gundu kueni wapambanaji....
Huyu abuu namjuwa kabisa na ana kaka ake anaitwa sele wote matapeli dah! Poleni ila na nyie mrudi kwa mola wenu stareh hazina mana
poleni kwa mitihani
TIZAMA UWO USO WOTE WAHUNI MGANGA NA HAO NYATI HAKUNA KIKUBWA CHAMLEVI HULIWA NA MGEMA.
Kile kitabu kisicho nashaka niujinga tu watu huyu Dada na uyo mjinga ndani ya qur an hakuna uchawi
Qur an inaukweli tu wamaisha yetu yoto
Kama wataka nyota si uende mbinguni wew akikili huna etiiiiiiii nyota sasa ht ukichoma si unarinyuu
Mimi hicho kipini cha kwenye nyusi hapana Kwa kweli
kipini kimefanyaje dada
Eva Gervas yn angejiona alivyonyata mxiuuuuuuu
Nachok kusikiliza mipesa yote iyo si mngeanza mtaji .....ila polen Sana kwakwel inauma
MUNNA WWARY wala haimu ni tamu yao!!! Na bado mbele kwa mungu watayakuta!
Poleni jamani waganga siwaukweli mtegemee Mungu
Nyie sio WA mwanzo kutapeliwa wapo wengi
Mashalaah
i know Im kinda randomly asking but does anybody know of a good site to stream newly released tv shows online?
Duu tunamukosea sana mungu
mitihani inatufunza mengi nimejifunza kitu poleni lakini tumuamini allah tupunguzeni tamaha
Mnatoa pesa ya mtaji unamuuamini mganga ati akupe pesa kama utajiri unapatikana hivyo hata yeye angekuwa tajiri
Wengi watajifunza hakuna shortcut ktk maisha,
Jamani tumuogopeni Allah munatumia kitabu kitukufu kwa kutapeli watu tunaenda wapi wa wanaadamu hemu angalieni dunia ilivyo haribika kwa maradhi ni mungu huyo anatulipa kwa mazambi yetu tunayo yafanya
Diamond jeje
Platinum jeje
Asante kwa mafunzo wadada ila Allah ndo atawahukumu insha allah
Bado mumechukua sharia mkononi itawageuka
Kweli zaziba wamezidi uchawi hapo nimahali penyewe ndugu yangu hapo nilishampoteza sinaham
Mmmmh mganga gani huo mwenye kuchoma line vituko jamani
Sadia Abed 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Poleno sana wadada munavoonekana tu ni wapambanaji hivyo vitu vidogo sana kikubwa pambaneni mukimtanguliza mbele Mungu na Mungu atawasimamia inshallah 👏👏
Hawa sio wapambanaji ni watu wasiokuwa na maarifa ya kutafakari mambo juu ya kuwajua watu walivyo.ukijifanya unapenda maisha ya mkato kupata utajiri utatapeliwa sana katika maisha haya.
Mwanamke kuwa na tabia hii sio nzuri ninwapa pole sn kwa mtihani ulowafika ila hawajapoteza malipo yao watayakuta hukooo tunakokwenda
Uyo abbu ni yupi kama namjuaa 😂😂😂
Uyo ni tapeli ashamtapeli mamkwe wangu kumamae nlimfatilia nkaambiwa kahama mi nikionana nae lazima nimpasue
Hahagaghaahhhhaaaaaa kaaa
mlikuwa mnamfanyia kz mganga dah polen sana!,hamjajiuliza kama kweli nyota zenu chafu mbn mlikuwa mnapata pesa zakwamganga😂
paulina semindu jmn hao nimatapeli wako kila mahali
Kweli hakuna wakushenda Mungu
duuh polen 🤔🤔🤔 kuwen makin msipend shortcut hakun maish yanayopatikan ki urahis hivy,.... tafuten kwa jasho..
Mungu ndio kilakitu
Mimi.mgumu kidogo. Kwa kumpa mtu.ela alafu siamini.Sana.Kama.kuna.mtu.anaweza.kunipa.ela bila.kufanya.kazi😬??nicheke unaibiwa mpaka unakopa pole.dada.
Halafu ikiwa unaamini mungu uwe muislamu ama mkristo basi usifungue biashara na jina la mganga fungua biashara na jina la Allah subhanaallah bismillahi tawakltu ala,llah
Wabongo mnapenda utajili hatalaini mnachoma hamsituki
UNAJISIFIA KUA UKO AMANI MKOA UNALEWA SUBUHANNAH LAH -UNAJISIFIA UJINGA
Pole dada angu.
Hahaha hahaha kweli elimu inasaidia sana
Hivi wanavyoichezea Qur-an ndio maana Allah anatupa magonjwa ya mripuko kama Corona
Poleni na mtihan
Dah!! pole xana!! ila Wanawake Wa/wake!! Tamaa punguzeni!! kila cku wanalizwa huku DSM kwa kumtumia mtu Pesa hata asie mjua akidanganywa et anaemtumia alitangulia kutuma hela kwake kimakosa.
Ulikua hujui waganga huwa nimatapeli ? Allah anatosha achanen na uganga
hamna kazi ndio maana adabu hiyo
Yaan mbongo anatapeliwa na mzanzbar du
Unguja huo mchezo upo tena mashakhe wa hapa hata watokei mbali eeh unguja watu wengi washalizwa eeh mie nikiwa shuda wa haya mume wangu walitapeliwa milioni 1na laki 6 ss tusiseme km unguja imeharibika hapana unguja tumeiharib wenyewe mijitu isopenda kufanya kazi mishenz mikubwa
Na we ni tapeli mjinga weee
Unguja ni hii hii ila watu wamehatibika voo
Dda zangu uwezo wa kupambana kwa nguvu zenu na akili zenu mnao huko mlipo kwenda kujichanganya tuu ila mtegemeen Mungu na mjuwe malipo ni hapa hapa dunian
Mganga yeye mwenyewe masikini!
Za haramu zapotea haraka
Tausi Wacha ulevi, wewe ni mdogo
Zanzibar hiyo bana, imebadilika sana katika miaka ya hivi karibuni, maana zamani masuala kama hayo na mengineyo yalijulikana kuwa ni bara tu !
Zanzibar siku hizi ina mapabu, baa, magrosery ya vinywaji, machangdoa na madanguro ndiyo usiseme !
Hii ni sawa na Saud Arabia ya miaka hii !!
🤣😂😆😅😄aca mambo yaushirikin
Hahahahahahhahaha nacheka km mazuri waja muogopeni mungu ...tamaa za kidunia zimewashika mnataka kufanya biashara iwe na mvuto ..sijuii nyota...km hamkuogopa kumshirikisha Allah basi hio ndo adabu yenu .mkome .Allah hashirikishwi na kitu chochote.
Kweli kabisa biashara ni talent na pia huwa nikubahatisha kwaio usitarajie kufungua biashar utafanikiwa kuna kupata hasara so nikubahatisha mm uimu nikumueka mungu mbele na kuta wakall
😂😂😂😂Nilikuwa nafikiri wa kokongomani ni wa champion wa escroquerie kumbi kuna ma bingwa ailleurs duniani hii looo,pole sana dada.Natumia justice itapika vita hawa wa escrocs ku kiswahili yenu munawaita watapeli.Pole,pole sana namumutegemee tu Mwenyezi Mungu.
Tamaa mbaya
Polen nimapito too
Washirikina wakubwa nyie mnamwaacha mungu mnaenda kwenye shiriki
Namna walivyo tapeliwa nimefurahi sana. Washirikina wote motoni, na wale wano safisha nyota wote motoni
Usihukumu kabla hujahukumiwa
Swali langu kwa stela sasa yule kuku mlopeleka kwa da zuu aliishia wapi???😅😅😅😅 ndio mana waganga tabu kupata maradhi kiholela wanakua na full protein kwa kula supu za kuku
😂😂
😂😂😂
Kapikwa supu na ubwaa
😁😁😁
Acheni ushirikina na tegemeeni Allah pekee yake
🤝👍
mh.....!
Cha msingi ni kuamini hkn andiko tukufu linalounga mkn dhambi lifanyike kwa vyovyote mhl popote wkt wwt.....BARE IN MIND THAT!!!!!
Mpokeeni ndo jawabu siyo alla
Amen
Duu huyu dada anaonesha mwizi ana kesi tele loo mungu atamlipa hapa hapa duniani loo
Washinde na walegee mashetani wakubwa hao
Tausi poleni na Corona hii wageni hakuna 😂😂🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
😄
Hahaha
Hahahahahah! 🤣🤣🤣🤣🤣