MASKINI ! WALICHO FANYIWA MADADA HAWA HUKO MELI NNE ZNZ NI HURUMA TUPU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    #JikingeNaCoronaBakiSalama #KtvTzOnline
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Juma Maulid
    cc: Masoud Maganga
    cc: Sauti Byego
    cc: Tunu Salum
    cc: Maryam Busara
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Mwarabu Mmadi
    Nassor Shaibu
    Abdallah Dula
    Editors:
    Juma Maulid
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Комментарии • 486

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 4 года назад +42

    Ila kiukweli usipo muamini Mwenyezi Mungu, unakuwa mtumwa wa shetani

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 4 года назад +8

    Ndugu zangu wanawaZanzibar tujitahidi kujichumia cha halali, najua maisha yanazidi kuwa magumu ila tusitapeli watu kwa mujifanya waganga. Hii tabia imekuwa kwa kasi sana . Kuna mwenzetu mmoja aliacha kazi ya jeshi la zima moto mambo yalipokua magumu kajitia mganga , utotoni si wa skuli si wa madrasa leo kawa mganga ,Aghstafillah

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 4 года назад +3

    Hao wadada wanaonekana kama ni mapopo haoooo

  • @shababygirlshambuwa8388
    @shababygirlshambuwa8388 4 года назад +3

    Daaahhhh poleni sana natamani huu mkasa umfikie kila mshirikina

  • @lisajackson5867
    @lisajackson5867 4 года назад +1

    asante Mwenyez Mungu kwa kunisaidia matatizo yangu kupitia ww uliyempa kipawa chako ostaz shabani n alinfanyia bila sent yngu mpk nilivyofanikiwa nkimpk sadaka yake Nyie waganga acheni utapeli n nyie mabint muombeni Allah ndo kila kitu ukimuomba atakupa uoambacho waganga s watu wazur wanawaharibia ostaz wanao omba dua kwa dhat duuh poleni sana but achen ushirikina

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir 4 года назад +13

    Inallillah wainaillah rajiun subhanallaah allaah atuongoz naatupemwishomwem

  • @carenmihayo7991
    @carenmihayo7991 4 года назад +2

    Wazanzibar uwa niwasenge kwer wanajifanyaga wana dini kumbe nima shetani balaa mfyaa

  • @rebeccajonas2704
    @rebeccajonas2704 4 года назад +2

    Ushilikina na tama ndo zinawaponza. Mme muacha Mungu aliyekupeni pesa nakutamani pesa zakishetani. Shetani hatoi pessa. Mulikuwa tayari hata kuuwa ndugu zenu apa mmekuja hazalani sababu mmetapeliwatu . Mungetia damu wala msingesema . Uchawi huo nawaganga wenu Mungu anakupenda dada ndo mana kaluhusu tupesa tuliwe ili akupe fundisho. leo ndo ww unajisemea maovu ya waganga kuwa nimataperi, "amina". Mungu walehema jina lako litukuzwe milele amina

  • @karemhkaremh4451
    @karemhkaremh4451 4 года назад +9

    Subhana Allah mtu unajisifu kwa maovu fahari mama ujingaa

  • @ayoubkikoti6344
    @ayoubkikoti6344 4 года назад +2

    Umeongea vizuri Dada,Mungu ndo kila kitu mama

  • @balozichalamila4034
    @balozichalamila4034 4 года назад +10

    Wazanzibar mshaharibika mmekua matapeli kwa kutumia dini

    • @hawaynatimam982
      @hawaynatimam982 4 года назад +1

      Sio wa zanzibar tatizo ni nyie wageni mnaoingia

    • @alimussa2655
      @alimussa2655 4 года назад

      Asa bara hakuna matapeli

    • @rammyissakheir8658
      @rammyissakheir8658 4 года назад

      @@alimussa2655 utapeli na ujambazi bara ndokwao

  • @kananu578
    @kananu578 4 года назад +1

    Mwenyezi Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kungarisha nyota na kupa mtu riziki

  • @husseinchea5524
    @husseinchea5524 4 года назад +7

    Kiswahili cha zanzibar kinafanana na kiswahili cha Pwani ya Kenya (Mombasa na Lamu).

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 4 года назад +2

    Tamaaa mbaya poleni sana

  • @abdallahmohd3564
    @abdallahmohd3564 4 года назад +1

    hongera kwa kumjua M/mungu pia unapaswa umshukuru yy

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt 4 года назад +18

    wagen kuhamia znz sio tatizo ni serekali kutowek sheria za kulinda maadili ya wananchi wote

  • @paulinasemindu3999
    @paulinasemindu3999 4 года назад +35

    misaafu mnaidhalilisha japo mm mkristo dah😢

    • @mwamvitasaidi757
      @mwamvitasaidi757 4 года назад

      Kabisa

    • @maryam.m.o
      @maryam.m.o 4 года назад

      paulina semindu hasara!!! Wame andikwa watu kama hawa wako na hawato nusa hata harufu ya pepo!

    • @samirhoo6030
      @samirhoo6030 4 года назад

      Paulina semindu. Msahafu ndo muongo mzima Wa mwanadamu
      Isipokuwa hawa wameukengeuka msahafu ndo maana wakala hasara

    • @aminamohd604
      @aminamohd604 4 года назад

      Umeona eeeh

    • @irenemwanaa8160
      @irenemwanaa8160 4 года назад

      Kweli kabisa

  • @salimnassor9153
    @salimnassor9153 4 года назад +2

    Daah! Kiukweli shiriki ni dhambi juu ya dhambi, na adhabu yake utaanza kuipata hapa hapa duniani.

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 года назад

    Shukran sana ddaa kwakumkumbuka m.mungu chochote unachokifanya mtangulize m.mungu

  • @iddijumaali7192
    @iddijumaali7192 4 года назад +21

    Lakini wazanzibar wapo matapeli hata kama na mimi ni mzanzibar anatumia QUR AN kutapeli watu MUNGU atalipa

    • @bindawood978
      @bindawood978 4 года назад

      Iddi juma Ali alotapeli ni jamaa yao kabila lake mhiyao cjui ni watu wa wapi

    • @iddijumaali7192
      @iddijumaali7192 4 года назад

      @@bindawood978 ok

    • @hawaynatimam982
      @hawaynatimam982 4 года назад +1

      Zanzibar hakuna tapeli, ila matapeli ni ao zanzibar ni njema atakae aje, ndio matapeli

    • @bindawood978
      @bindawood978 4 года назад

      @@hawaynatimam982 bora maana ukiwatajia utaifa wao hapatokalika

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 4 года назад

      Wajinga ndo waliwao. Imani mbovu. Naulevi acheni. Muogopeni mungu.

  • @mpelienock
    @mpelienock 4 года назад +2

    Kweli mlitekwa fahamu, hamjashtuka tuu? Kweli kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa yote , na watu hupotea kwa kukosa maarifa. Mlipaswa kuchagua moja tu mumche Mungu na mngoje baraka ya Mungu iwajilie kwenye biashara poleni sana.

  • @abdullah-eq3lt
    @abdullah-eq3lt 4 года назад +11

    uislamu wa kweli unahitajika na dola la kiislam linahitajika na watu wanahitaj mtu mwema wa kuwasimamia

    • @lynmuta1233
      @lynmuta1233 4 года назад

      Ukifwatilia sana itakuta waislam wengi ndio wanaamini ushirikina hii ni uthibitisho kua hamna kitu huko

  • @salhaissa2619
    @salhaissa2619 4 года назад +8

    Ctokaa kuwaamini waganga polen sana mnatoa milion kweny uganga c pesa ya kiwanja iyo kujijini kwenu!! Mama zenu wanashnda njaa uko nyie mnatoa pesa kwa waganga

  • @KuruthumBilali
    @KuruthumBilali 2 дня назад

    Subhana llah

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 4 года назад +9

    Hao ni washenzi kabisa wanatumia kitabu cha allah kutapelia watu hao wana laaana pesa za dhulma hawato fanikiwa kabisa

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 4 года назад +1

    Mmungu atakusaidieni jinsi mlivyo muachia Mmungu. Nguvu zenu hazitapotea. Dhulma haidumu na ikidumu inaangamiza. Mtafuzu Inshallah. Wanawake tuwe Imara.

  • @janechilendu837
    @janechilendu837 4 года назад +1

    Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

  • @mwanamvuaali2358
    @mwanamvuaali2358 Год назад +1

    Mimi niliwahi kukupigia simu na kukuandikia msg ninataka mje eneo la School ya EVER GREEN hukunijibu tunashida ya maji na

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 4 года назад +1

    Mmh kazi usenge tu

  • @neemashindika5894
    @neemashindika5894 4 года назад +1

    Nyie wadada washamba kweli, hata kushtuka tu mlishindwa mnazidi kuhonga mipesa yote hiyooo duuuh but poleni since kimeshatokea

    • @muhammehusna3384
      @muhammehusna3384 4 года назад

      Duuh ,, kuna siku nilitapeliwa elf 10 Tu nimeumia kweli Sana jeee ?? Ww mipesa yote iyoo

  • @saumsiraji9870
    @saumsiraji9870 4 года назад +3

    Subhanallah

  • @aniphalookmoneylookmoney8881
    @aniphalookmoneylookmoney8881 4 года назад +3

    Ee Mungu wangu yamenitokea dar haya namimi niliambiwa nitoe milioni 2 na kila siku lazima nikaoge cocobech saa saba za usiku Mimi nashogaangu tuliletewa majini 999 na mkuuwao nikisa kirefu acha tu nimeokoka nimemjua Mungu acheni tu

    • @starajohn897
      @starajohn897 4 года назад

      Aniphalookmoney Lookmoney pole sana

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 4 года назад +14

    WACHENI ULEVI MRUDIENI MUNGU WENU

  • @mohdkiparah2584
    @mohdkiparah2584 4 года назад +8

    Wazi zuri LA kumjua Mungu ila uwache ulevi pia

  • @msalikemedia
    @msalikemedia 4 года назад +3

    Hahaha daaah polen sana samahan nimecheka kama mazuri

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 4 года назад +7

    Kukosa akili namaarifa ndomkome kilasiku mnaambiwa ushirikina haufai

  • @agnescosmas5253
    @agnescosmas5253 4 года назад +11

    Hata kama munasema ss wa bala lakini waliotapeli wazanzibari munajifanya muna dini nyinyi musahafu wa mwenyezi mungu munaufanyia utapeli corona itaishaje

    • @bakhjaissa406
      @bakhjaissa406 4 года назад

      Agnes Cosmas kwel maana wamezid kutunanga ss wabara wao wafuga majin

    • @mpalleymwaipola7435
      @mpalleymwaipola7435 4 года назад

      Waganga NI matapeli.Mungu atusamehe

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 4 года назад +1

    Poleni sana kwakutiwa mjini!!!

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 года назад +1

    Mie wala sikuonei huruma. Mana hata umefikia kwenda kwa mganga huna huruma na unaroho mbaya. Unaenda kwa mganga kwa biashara inamaana hata ukiambiwa lete mtu, utapeleka. Allah akuongozeni na akutoeni kwenye shirki, Amiin.

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 года назад +1

    Mmmmmmm kweli mganga alifaidi sana

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад +4

    Milioni 1 na kali 4 mnahoma Sana, izo pesa mnazotoa ili mpate nn

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +1

    Inasikitisha sana,watu hata hawana hofu ya Mungu kutapeli wenzao.

    • @lipymuscat4779
      @lipymuscat4779 4 года назад

      ila hao kina tausi ndio washirikina matokeo yake wametapeliwa

  • @shembanadege15
    @shembanadege15 4 года назад +6

    Hahahaaa na wangine wajifunze.

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 4 года назад +1

    Polen sana ni changamoto za mafanikio ya maisha ila wengine ni wezi sana

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 4 года назад

    Tamaa jaman mbaya,pole sana

  • @zuberishabani1746
    @zuberishabani1746 4 года назад

    polen

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 4 года назад +1

    Daaa wanafiki hao

  • @feisalsuleiman2795
    @feisalsuleiman2795 4 года назад +2

    Hakuna mganga zaidi ya Mungu acheni ushamba washkaji msijitie gundu kueni wapambanaji....

  • @mythammwadin4852
    @mythammwadin4852 4 года назад +1

    Huyu abuu namjuwa kabisa na ana kaka ake anaitwa sele wote matapeli dah! Poleni ila na nyie mrudi kwa mola wenu stareh hazina mana

  • @khalidsalum1740
    @khalidsalum1740 4 года назад +1

    poleni kwa mitihani

  • @abuibra
    @abuibra 4 года назад +6

    TIZAMA UWO USO WOTE WAHUNI MGANGA NA HAO NYATI HAKUNA KIKUBWA CHAMLEVI HULIWA NA MGEMA.

    • @ibrahimmussaali2986
      @ibrahimmussaali2986 4 года назад

      Kile kitabu kisicho nashaka niujinga tu watu huyu Dada na uyo mjinga ndani ya qur an hakuna uchawi

    • @ibrahimmussaali2986
      @ibrahimmussaali2986 4 года назад

      Qur an inaukweli tu wamaisha yetu yoto

  • @shaamefakh5186
    @shaamefakh5186 4 года назад +1

    Kama wataka nyota si uende mbinguni wew akikili huna etiiiiiiii nyota sasa ht ukichoma si unarinyuu

  • @evagervas7900
    @evagervas7900 4 года назад +5

    Mimi hicho kipini cha kwenye nyusi hapana Kwa kweli

    • @abdulibatenga7281
      @abdulibatenga7281 3 года назад

      kipini kimefanyaje dada

    • @ruuh5149
      @ruuh5149 3 года назад

      Eva Gervas yn angejiona alivyonyata mxiuuuuuuu

  • @munnawwary757
    @munnawwary757 4 года назад +4

    Nachok kusikiliza mipesa yote iyo si mngeanza mtaji .....ila polen Sana kwakwel inauma

    • @maryam.m.o
      @maryam.m.o 4 года назад

      MUNNA WWARY wala haimu ni tamu yao!!! Na bado mbele kwa mungu watayakuta!

  • @rehemaradhid5716
    @rehemaradhid5716 4 года назад +3

    Poleni jamani waganga siwaukweli mtegemee Mungu

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 года назад +5

    Nyie sio WA mwanzo kutapeliwa wapo wengi

  • @leylamohamed3881
    @leylamohamed3881 4 года назад

    Mashalaah

    • @conornoel9149
      @conornoel9149 3 года назад

      i know Im kinda randomly asking but does anybody know of a good site to stream newly released tv shows online?

  • @neemaduuballati519
    @neemaduuballati519 4 года назад +1

    Duu tunamukosea sana mungu

  • @fatimaebrahim5256
    @fatimaebrahim5256 4 года назад +3

    mitihani inatufunza mengi nimejifunza kitu poleni lakini tumuamini allah tupunguzeni tamaha

  • @aasiyanyange2575
    @aasiyanyange2575 4 года назад +3

    Mnatoa pesa ya mtaji unamuuamini mganga ati akupe pesa kama utajiri unapatikana hivyo hata yeye angekuwa tajiri

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie256 4 года назад +1

    Wengi watajifunza hakuna shortcut ktk maisha,

  • @sadambarouk8192
    @sadambarouk8192 4 года назад +2

    Jamani tumuogopeni Allah munatumia kitabu kitukufu kwa kutapeli watu tunaenda wapi wa wanaadamu hemu angalieni dunia ilivyo haribika kwa maradhi ni mungu huyo anatulipa kwa mazambi yetu tunayo yafanya

  • @jacklinedenis2206
    @jacklinedenis2206 4 года назад

    Asante kwa mafunzo wadada ila Allah ndo atawahukumu insha allah

  • @abasadmtopa6246
    @abasadmtopa6246 4 года назад

    Bado mumechukua sharia mkononi itawageuka

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 8 месяцев назад

    Kweli zaziba wamezidi uchawi hapo nimahali penyewe ndugu yangu hapo nilishampoteza sinaham

  • @sadiaabed6687
    @sadiaabed6687 4 года назад +2

    Mmmmh mganga gani huo mwenye kuchoma line vituko jamani

    • @SPrivy
      @SPrivy 4 года назад

      Sadia Abed 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 4 года назад +3

    Poleno sana wadada munavoonekana tu ni wapambanaji hivyo vitu vidogo sana kikubwa pambaneni mukimtanguliza mbele Mungu na Mungu atawasimamia inshallah 👏👏

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 2 месяца назад

      Hawa sio wapambanaji ni watu wasiokuwa na maarifa ya kutafakari mambo juu ya kuwajua watu walivyo.ukijifanya unapenda maisha ya mkato kupata utajiri utatapeliwa sana katika maisha haya.

  • @maryammkubwa465
    @maryammkubwa465 4 года назад

    Mwanamke kuwa na tabia hii sio nzuri ninwapa pole sn kwa mtihani ulowafika ila hawajapoteza malipo yao watayakuta hukooo tunakokwenda

  • @cecymaro1374
    @cecymaro1374 4 года назад +2

    Uyo abbu ni yupi kama namjuaa 😂😂😂

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 года назад +3

    Uyo ni tapeli ashamtapeli mamkwe wangu kumamae nlimfatilia nkaambiwa kahama mi nikionana nae lazima nimpasue

  • @paulinasemindu3999
    @paulinasemindu3999 4 года назад +3

    mlikuwa mnamfanyia kz mganga dah polen sana!,hamjajiuliza kama kweli nyota zenu chafu mbn mlikuwa mnapata pesa zakwamganga😂

    • @halimaissa7577
      @halimaissa7577 4 года назад

      paulina semindu jmn hao nimatapeli wako kila mahali

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 Год назад

    Kweli hakuna wakushenda Mungu

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 4 года назад +2

    duuh polen 🤔🤔🤔 kuwen makin msipend shortcut hakun maish yanayopatikan ki urahis hivy,.... tafuten kwa jasho..

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 4 года назад +1

    Mungu ndio kilakitu

  • @mwatimasaleh423
    @mwatimasaleh423 4 года назад +3

    Mimi.mgumu kidogo. Kwa kumpa mtu.ela alafu siamini.Sana.Kama.kuna.mtu.anaweza.kunipa.ela bila.kufanya.kazi😬??nicheke unaibiwa mpaka unakopa pole.dada.

  • @lovvy854
    @lovvy854 4 года назад

    Halafu ikiwa unaamini mungu uwe muislamu ama mkristo basi usifungue biashara na jina la mganga fungua biashara na jina la Allah subhanaallah bismillahi tawakltu ala,llah

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 8 месяцев назад

    Wabongo mnapenda utajili hatalaini mnachoma hamsituki

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 4 года назад

    UNAJISIFIA KUA UKO AMANI MKOA UNALEWA SUBUHANNAH LAH -UNAJISIFIA UJINGA

  • @floridakubila3008
    @floridakubila3008 4 года назад

    Pole dada angu.

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 года назад +1

    Hahaha hahaha kweli elimu inasaidia sana

  • @abyolafadhili5734
    @abyolafadhili5734 4 года назад +8

    Hivi wanavyoichezea Qur-an ndio maana Allah anatupa magonjwa ya mripuko kama Corona

  • @ahmedjm6948
    @ahmedjm6948 4 года назад

    Dah!! pole xana!! ila Wanawake Wa/wake!! Tamaa punguzeni!! kila cku wanalizwa huku DSM kwa kumtumia mtu Pesa hata asie mjua akidanganywa et anaemtumia alitangulia kutuma hela kwake kimakosa.

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 4 года назад +3

    Ulikua hujui waganga huwa nimatapeli ? Allah anatosha achanen na uganga

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 года назад +1

    hamna kazi ndio maana adabu hiyo

  • @martinhp1530
    @martinhp1530 4 года назад +1

    Yaan mbongo anatapeliwa na mzanzbar du

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 4 года назад +1

    Unguja huo mchezo upo tena mashakhe wa hapa hata watokei mbali eeh unguja watu wengi washalizwa eeh mie nikiwa shuda wa haya mume wangu walitapeliwa milioni 1na laki 6 ss tusiseme km unguja imeharibika hapana unguja tumeiharib wenyewe mijitu isopenda kufanya kazi mishenz mikubwa

    • @mamaahlam9911
      @mamaahlam9911 4 года назад

      Na we ni tapeli mjinga weee

    • @bintyk5149
      @bintyk5149 4 года назад

      Unguja ni hii hii ila watu wamehatibika voo

  • @aunesskinissa7548
    @aunesskinissa7548 Год назад

    Dda zangu uwezo wa kupambana kwa nguvu zenu na akili zenu mnao huko mlipo kwenda kujichanganya tuu ila mtegemeen Mungu na mjuwe malipo ni hapa hapa dunian

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 4 года назад +7

    Mganga yeye mwenyewe masikini!

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 4 года назад

    Zanzibar hiyo bana, imebadilika sana katika miaka ya hivi karibuni, maana zamani masuala kama hayo na mengineyo yalijulikana kuwa ni bara tu !
    Zanzibar siku hizi ina mapabu, baa, magrosery ya vinywaji, machangdoa na madanguro ndiyo usiseme !
    Hii ni sawa na Saud Arabia ya miaka hii !!

  • @happypa2027
    @happypa2027 4 года назад +1

    🤣😂😆😅😄aca mambo yaushirikin

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 года назад +6

    Hahahahahahhahaha nacheka km mazuri waja muogopeni mungu ...tamaa za kidunia zimewashika mnataka kufanya biashara iwe na mvuto ..sijuii nyota...km hamkuogopa kumshirikisha Allah basi hio ndo adabu yenu .mkome .Allah hashirikishwi na kitu chochote.

    • @lovvy854
      @lovvy854 4 года назад

      Kweli kabisa biashara ni talent na pia huwa nikubahatisha kwaio usitarajie kufungua biashar utafanikiwa kuna kupata hasara so nikubahatisha mm uimu nikumueka mungu mbele na kuta wakall

  • @omariswafuru9399
    @omariswafuru9399 4 года назад

    😂😂😂😂Nilikuwa nafikiri wa kokongomani ni wa champion wa escroquerie kumbi kuna ma bingwa ailleurs duniani hii looo,pole sana dada.Natumia justice itapika vita hawa wa escrocs ku kiswahili yenu munawaita watapeli.Pole,pole sana namumutegemee tu Mwenyezi Mungu.

  • @mozaummy327
    @mozaummy327 4 года назад

    Tamaa mbaya

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 года назад +4

    Washirikina wakubwa nyie mnamwaacha mungu mnaenda kwenye shiriki

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад +1

    Namna walivyo tapeliwa nimefurahi sana. Washirikina wote motoni, na wale wano safisha nyota wote motoni

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 4 года назад +3

    Swali langu kwa stela sasa yule kuku mlopeleka kwa da zuu aliishia wapi???😅😅😅😅 ndio mana waganga tabu kupata maradhi kiholela wanakua na full protein kwa kula supu za kuku

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini4815 4 года назад +21

    Acheni ushirikina na tegemeeni Allah pekee yake

  • @rukiamshihiri4911
    @rukiamshihiri4911 4 года назад

    Duu huyu dada anaonesha mwizi ana kesi tele loo mungu atamlipa hapa hapa duniani loo

  • @jacoblukumay472
    @jacoblukumay472 4 года назад +1

    Washinde na walegee mashetani wakubwa hao

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi 4 года назад +4

    Tausi poleni na Corona hii wageni hakuna 😂😂🤣🤣