Bei Ya Magari BRAND NEW Huku USA | Toyota Dealer In Los Angeles, California | Huku Yues

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 262

  • @jackwausa
    @jackwausa  Год назад +15

    Please Subscribe to the English Version of my channel ⬇️ ⬇️
    youtube.com/@Jackchalz

  • @kajutazongo7786
    @kajutazongo7786 Год назад +11

    Powerful... it's so interesting
    This is channel to watch.... Jack wa USA your doing a great job of making people know USA on socio-economic issues!! Great! Young brother!

  • @erickchaula1898
    @erickchaula1898 Год назад +8

    Custormer care iko poa sana..Sasa kwetu huku uingie showroom watakucheki kwanza mara mbilimbili unamuonekano wapesa...au unapotezea muda

  • @richardscofeld9136
    @richardscofeld9136 Год назад +11

    Hiyo content nimeipenda sana💯na content zako zote ni super, appreciate bro

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад +1

      I'm glad that you liked it!

  • @chezariboy
    @chezariboy Год назад +4

    Dogo napenda unaelekeza vitu Kwa kueleweka vizuri,, Mungu akupe afya na ufanikiwe, asante Kwa kunijuza hasa bei ya zile toyota Rav4 ninandoto ya kupata aina hiyo gari tupo pamoja sana..

  • @BALEKECH2770
    @BALEKECH2770 Год назад +9

    Asante sana bro kwa kutufungua macho najua Mungu akisaidia kunasiku tuta ishi pamoja inchini marekani,USA na jua kama wewe uliinhia USA 🇺🇸 na VISA ila namiye nitaingia ata kwenye njia ya protection yaani ukimbizi asante sana bro nakufatilia sana im from zambia 🇿🇲 lakini mimi ni mkongomani 🇨🇩🇨🇩

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 Год назад +1

      Sasa izo gari kwa tanzania litauzwa zaidi ya milioni200

  • @makondegeneration2967
    @makondegeneration2967 Год назад +5

    Ningependa Toyota wakulipe maana kazi unayo Fanya ni kazi ya ziada sana... kinacho kifanya ni zaidi ya matangazo... Continue to show us..god bless you

  • @sweetbertmgani
    @sweetbertmgani Год назад +6

    Waoooh TOYOTA TUNDRA TRD PRO 4x4 umetisha JACK🔥🔥🔥

  • @EDWINGREEN-b2u
    @EDWINGREEN-b2u 6 месяцев назад

    Jackison nakufatiria sana ukovizuri kututembeza marekani tukiwa tanzania. Nipo mbeya chunya. Gari aina ya ram shingapi

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Год назад +4

    Tuliozoea kuomba kupunguziwa bei mpo wangapi jamani hunu?ila humu naona hamna kubagain.

  • @firsat1pharmacy272
    @firsat1pharmacy272 Год назад +70

    Yaan 90% tunao watch videos za namna hii niwale tunandoto na AMERICA

  • @pintoendgame
    @pintoendgame Год назад +2

    Bei sio mbaya sana, mziki upo pale unapotaka kulisajili na nyaraka zote

  • @alainndindimaamuri8459
    @alainndindimaamuri8459 Год назад +7

    Nakukubali Sana jack 🇨🇩

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Год назад +7

    Nimekuvulia kofia mwanangu, contents za 🔥🔥🔥🔥

  • @burningq3108
    @burningq3108 Год назад +3

    Fresh mwamba endelea kututoa matongotongo

  • @MoodyWAyues
    @MoodyWAyues Год назад +3

    Inabidi utengeneze video inayo husiana na wew na maisha yako USA pamoja na safar yako

  • @RenovatMuyombaile
    @RenovatMuyombaile Год назад +1

    Nakubali sana aisee unajitaidi kutuonyesha US yote congratulations 👍

  • @yusufmwangazi5286
    @yusufmwangazi5286 Год назад +3

    imeweza sana bro plz keep on updating us

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Год назад +7

    Hakika watanzania tuna vimba na Used from Japan 😃😃

  • @amospiusngeleja9776
    @amospiusngeleja9776 Год назад +4

    Siku moja tupeleke na bush tukaenjoi japo wengine hatuwezi kufika huko,poa,endelea kutupa raha anko jack

  • @raphaeldesigner2
    @raphaeldesigner2 Год назад +4

    Bro kwani ulishinda greencard au ulifika marekani kwa juhudizako au kwa scholarship au kwa njia ngani please nielezee

  • @francisnjuguna5168
    @francisnjuguna5168 Год назад +2

    Kudos Jack. You are doing a good job

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Год назад +3

    Thanks bro
    I appreciate so much

  • @tumainimchwa2773
    @tumainimchwa2773 Год назад +5

    Asante kamanda kwa kutujali waafrika wenziyo

  • @DominicMoses-h4l
    @DominicMoses-h4l 8 месяцев назад

    Ulipotea sana kaka karibu Tena kazi mzuri .ni Dominic Kenya nakufatilia sana

  • @robinsonjoseph8119
    @robinsonjoseph8119 Год назад +6

    Nice work home boy, tuko pamoja kijana wa Masuka!!

  • @melchidecmandela7877
    @melchidecmandela7877 Год назад +6

    I'm a Kenyan, didn't know this guy is from TZ thought ni mkenya. So kuskia millioni mia kwa Rav 4 I was like wait a minute

  • @edwintouches
    @edwintouches Год назад +2

    Jamaa wamekuruhusu ku vlog kiroho safi, ingekua Bongo hapo ungefukuzwa kama mbwa na security! Sijui kuna shida gani huku kwetu

  • @gannzy-tvoline9277
    @gannzy-tvoline9277 Год назад +2

    Kibongo bongo ukaingie showroom ufungue gari upige picha uzuruleee then utoke tu hawakubali sijui kwanini.. 😊😊

  • @halima23862
    @halima23862 Год назад +1

    Great job keep it up. Unafanya kazi nzuri sana

  • @michaelangelbert8352
    @michaelangelbert8352 Год назад +4

    Good customer care

  • @miirajmohamed4504
    @miirajmohamed4504 Год назад +15

    By God's power, one day I will be in America

  • @frankkapera-de4vh
    @frankkapera-de4vh Год назад +5

    Hongera kijana unatufanya tuone tumefanya tourism huko USA so ubarikiwe sana namungu akuongeze maarifa ya ubunifu zaidi

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Год назад +3

    Hii nlikuw naisubiri sana.tuonyeshe ghari Kali kali basi Range, Escalade,Porche,Rambo,Fortuner 2023. Pia gari za Elon Musk

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Nitaenda kwenye luxury cars soon. Endelea kufuatilia video zitakazofuata

  • @amospiusngeleja9776
    @amospiusngeleja9776 Год назад +3

    Da unanifurahisha jack,sijui ilipwe nini!

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Год назад +1

    Ni Bora atutoe Matongotongo gari kama hiyo ukienda kwa Madalali unaweza zimia unakuta IST inaenda 17 Ovyo Kabisa

  • @gwakisanoah2538
    @gwakisanoah2538 Год назад +1

    Kazi nzuri sana hii Jack ahsante.

  • @WeirdPuppy
    @WeirdPuppy Год назад

    Hello are you Jackson Charles ,from ROHA & Anderlek?

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 Год назад +3

    Safi sana tunakupenda pia

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +5

    Jack uwende na kwa motorcycle 🏍 tuone🤣🤣me nakuwatch nikiwa omani 🤣

  • @abdallahmohammed4059
    @abdallahmohammed4059 Год назад

    Vipi ndugu shwali Nakuomba kama hautojali siku1 tembelea kwenye makampuni ya ujenzi yale yanayojenga magorofa ulizia utaratibu wao upoje mbaka kupata kazi Tafadhari kama hautojali ASANTE

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Год назад +4

    Wow! Well done.

  • @jbsondaniel2438
    @jbsondaniel2438 Год назад +4

    Nakufuatilia Sana kaka tupe vitu tusivyovijua huko USA

  • @sirgents
    @sirgents Год назад +4

    Weather nzuri sana California.Njoo Minnesota utupunguzie snow ❄️ 😅

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад +1

      Snow sio vitu vyangu 😂

  • @evanskieya3720
    @evanskieya3720 Год назад +1

    hey bro how are you doing how about upishi am a chef nko na experience 8 good year but sikumaliza from4 school drop out.kuna nafasi ya watu kama sisi.usa.

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi Год назад +2

    Waa wooooo USA ❤❤❤ tz

  • @Shaflivictor3780
    @Shaflivictor3780 Год назад +2

    I have had dreams of coming to US but SERIAL KILLIN afraids me men😁😁How is their my bro from TZ

  • @ramadhaniamour4834
    @ramadhaniamour4834 Год назад +1

    MZEE baba tulizie gari ndogo ndogo tujue bei maana tunapigwa sana huku

  • @okashalewiss8648
    @okashalewiss8648 Год назад +4

    Never giver up brother
    Time will tell

  • @gnaivasha
    @gnaivasha Год назад +2

    Umetisha sana mzee,

  • @kelvinnyanja
    @kelvinnyanja Год назад +3

    Great content bro!!!

  • @elishapaul1706
    @elishapaul1706 Год назад +2

    We jamaa mjanja zaid ya wazungu ......mmmh

  • @godfreysabuni1353
    @godfreysabuni1353 Год назад +1

    Sikumoja tuonjeshe magari makubwa kama hole canter tujue bei Zeke ikiwa mpya

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage6693 3 месяца назад

    Jamaa angu si unisaidie walau nieze kuja huko America ndg yng pls

  • @michaelnyandindi8461
    @michaelnyandindi8461 Год назад +2

    Inspired sana bro .appreciate sana mkuu

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Год назад +1

    Hapa Magari wanatupiga sana

  • @HenriquesMussasumail
    @HenriquesMussasumail Месяц назад

    powa zana jakc❤❤❤

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +2

    Mashallah kaz nzuri sana

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 Год назад +2

    Nakubali sana mwanangu

  • @ibadisije4208
    @ibadisije4208 Год назад

    Nakufatilia sana broo ..next time unatupeleka kwenge IST kwaujumla magari tunayo tumia watu wa hali ya chini huku bongo

    • @alexmwakasape3452
      @alexmwakasape3452 Год назад

      Hamn IST US mzee...IST japan wanazitengeza for Africans😅

  • @NkamuJoMundo
    @NkamuJoMundo Год назад +5

    I appreciate your efforts bro.

  • @glorychrizostom3611
    @glorychrizostom3611 Год назад

    Halaf hayo mpk yaje kufika uku bongo kutumika si km miaka 10 ijayo au vp??

  • @stuartkuziwa8131
    @stuartkuziwa8131 Год назад +2

    Sasa kama unataka right hand drive na show room hakuna inabidi iwe special order?

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад +1

      Yes, inabidi iwe customized kiwandani

  • @hilarymtweve7317
    @hilarymtweve7317 Год назад

    Uwezo wa kuagiza gari huko marekani mpaka kufika Tanzania inawezekana na urahisi wake ukoje. ?

  • @ahmedsaid3743
    @ahmedsaid3743 Год назад +1

    Nakubali sana jack

  • @Goalscorer12
    @Goalscorer12 Год назад +4

    Lets Gooooooooooo!!!!!!💥💥💥💥💥💥

  • @kaijagemtalemwa
    @kaijagemtalemwa Год назад +1

    Vipi Mr Jack Mimi ni Kaijage Niko Capetown sa

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Safi tu. Welcome to my channel!

  • @glorychrizostom3611
    @glorychrizostom3611 Год назад +1

    Sasa bro hayo magari mfano hyo rav 4 kuifikisha bongo pamoja na kodi yake si km million 200?🤣

  • @badilishayouthfoundation4392
    @badilishayouthfoundation4392 Год назад +2

    Show room ya SUBARU?? Subaru legacy, Subaru forester and much more

  • @idrisafadhili9029
    @idrisafadhili9029 Год назад +3

    Bless sana kak

  • @jumannenyabuge83
    @jumannenyabuge83 5 месяцев назад

    Kazi nzuri kaka

  • @assuneywamaana
    @assuneywamaana Год назад +3

    Nimechelewa live kweli

  • @abubakari3140
    @abubakari3140 Год назад +1

    Good

  • @lyricssongtz6764
    @lyricssongtz6764 Год назад +3

    one day god will bless we will get there😁😁

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +2

    Waooo Gari nzuri

  • @AbdulSalum-g1w
    @AbdulSalum-g1w Год назад +1

    Nakukubal sn kaka

  • @Ashelymhangazo
    @Ashelymhangazo Год назад +2

    naijua marekani ata kama nipo TZ uko vizr mwamba unatupa vitu vizr sana yaan endelea hivo hivo kaka

  • @dickisoniryoba3989
    @dickisoniryoba3989 Год назад +1

    Mungu yupo one day 🤜🤛

  • @rashidkuhuka
    @rashidkuhuka 7 месяцев назад

    Nakufuatilia sans jack ila 2024 sijakuona saint

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
    @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Год назад +2

    Nakubali sanaaaa unatufunza vingi

  • @barakaekuro
    @barakaekuro Год назад +2

    Badman jack

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Год назад +2

    Kigali flan unamnunulia mtoto zawadi🤣🤣🤣 Hela sasa sina Dollar 40 k ?? Natoa wap

  • @moses_2555
    @moses_2555 Год назад +2

    Iko poa sana jack

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 Год назад

    Interior za kawaida sana, hazikaribii hata Brevis ya 2002

  • @Coleunlimited1
    @Coleunlimited1 Год назад +8

    Nice content Mr Jack 💪🏽

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Thanks!

    • @saidiramadhani-gr3hh
      @saidiramadhani-gr3hh Год назад

      ​@@jackwausa brother uko america kwa sisi ambao tuna elimu ya 7 tunaweza kuja na kupata kazi za kiwango elimu yetu? maana nina iyo na sasa napambania pesa ili niingie uko

    • @dickaugustino8238
      @dickaugustino8238 Год назад

      Ivi natakiwa kuwa na sh ngp ili nije Americans

  • @christophertz
    @christophertz Год назад +1

    Camera gani unatumia??????? App gani hua unatumia kuedit videos zako Kaka ???

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Natumia camera ya Gopro Hero10, Editing natumia Final Cut Pro!

  • @perpetuamhanje4423
    @perpetuamhanje4423 Год назад +1

    Uko vzr Jack

  • @allynyamsika4218
    @allynyamsika4218 Год назад +1

    BE BLESSED

  • @samwelipaul1462
    @samwelipaul1462 Год назад +1

    Nakubali Sana kaka

  • @fazilichipalu3295
    @fazilichipalu3295 Год назад +1

    Jack tupeleke kwenye gari used hzoo

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 Год назад +1

    Sasa hapo ukileta Tanzania nakod si itakua200m

  • @pascalmkenda
    @pascalmkenda Год назад

    Goood mzee bado magereji ya huko yanavofanya kaz

  • @allaboutlocalchickenfarming
    @allaboutlocalchickenfarming Год назад

    this very interesting

  • @SamwelMisungwii
    @SamwelMisungwii 7 месяцев назад

    Bro tulete machimbo ya bike huko mkuu

  • @munchkin8872
    @munchkin8872 Год назад +1

    Kwani we ni mtz

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 Год назад +1

    ohooo kumbe niliwahi tu kuuliza lakini nimepata majibu magali used kama kwetu tuuu ila sasa used yao ni yakutoka nchi gani?

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад +2

      Magari used ni ya huku huku, let's say umelichoka au unataka kubadilisha gari bhasi unawasiliana nao, wanalikagua...Likikidhi vigezo bhasi wanalichukua kwa maelewano ya bei nk!

  • @alextercisio
    @alextercisio Год назад +3

    Good content wow 👏👏

  • @Honest_Man
    @Honest_Man Год назад +4

    Are those prices before Tax?

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Yes

    • @Honest_Man
      @Honest_Man Год назад +1

      @@jackwausa damn...they must be expensive AF!

  • @mwajumachando-zb1ni
    @mwajumachando-zb1ni Год назад +1

    Niko live mb zinaishia hapa...

  • @Mr.Nyingi
    @Mr.Nyingi Год назад +1

    Mzee hivi nako USA tunaweza pata toyota ist au toyota Noah AU hizo gari kwao kama hzo ni ndoto?🤣🤣

    • @jackwausa
      @jackwausa  Год назад

      Hapana, hazipo

    • @Mr.Nyingi
      @Mr.Nyingi Год назад

      @@jackwausa kwamba hazpo kabisa au Show room uliyo enda ? Na factor gan inaweza fanya labda gar hzo zspatkane huko?