Powerful... it's so interesting This is channel to watch.... Jack wa USA your doing a great job of making people know USA on socio-economic issues!! Great! Young brother!
Dogo napenda unaelekeza vitu Kwa kueleweka vizuri,, Mungu akupe afya na ufanikiwe, asante Kwa kunijuza hasa bei ya zile toyota Rav4 ninandoto ya kupata aina hiyo gari tupo pamoja sana..
Asante sana bro kwa kutufungua macho najua Mungu akisaidia kunasiku tuta ishi pamoja inchini marekani,USA na jua kama wewe uliinhia USA 🇺🇸 na VISA ila namiye nitaingia ata kwenye njia ya protection yaani ukimbizi asante sana bro nakufatilia sana im from zambia 🇿🇲 lakini mimi ni mkongomani 🇨🇩🇨🇩
Vipi ndugu shwali Nakuomba kama hautojali siku1 tembelea kwenye makampuni ya ujenzi yale yanayojenga magorofa ulizia utaratibu wao upoje mbaka kupata kazi Tafadhari kama hautojali ASANTE
hey bro how are you doing how about upishi am a chef nko na experience 8 good year but sikumaliza from4 school drop out.kuna nafasi ya watu kama sisi.usa.
@@jackwausa brother uko america kwa sisi ambao tuna elimu ya 7 tunaweza kuja na kupata kazi za kiwango elimu yetu? maana nina iyo na sasa napambania pesa ili niingie uko
Magari used ni ya huku huku, let's say umelichoka au unataka kubadilisha gari bhasi unawasiliana nao, wanalikagua...Likikidhi vigezo bhasi wanalichukua kwa maelewano ya bei nk!
Please Subscribe to the English Version of my channel ⬇️ ⬇️
youtube.com/@Jackchalz
hello jack
Tuko pamoja kaka
Sanaaaa mwanetu
baba yaan mim mwenyewe nipo safarini kila siku dahh
Hello je wewe ni Jackson Charles mdogo wako makwaya charles from Rocken Hill ,Tanzania?? Nafananisha yaan
Powerful... it's so interesting
This is channel to watch.... Jack wa USA your doing a great job of making people know USA on socio-economic issues!! Great! Young brother!
Custormer care iko poa sana..Sasa kwetu huku uingie showroom watakucheki kwanza mara mbilimbili unamuonekano wapesa...au unapotezea muda
Hiyo content nimeipenda sana💯na content zako zote ni super, appreciate bro
I'm glad that you liked it!
Dogo napenda unaelekeza vitu Kwa kueleweka vizuri,, Mungu akupe afya na ufanikiwe, asante Kwa kunijuza hasa bei ya zile toyota Rav4 ninandoto ya kupata aina hiyo gari tupo pamoja sana..
Asante sana bro kwa kutufungua macho najua Mungu akisaidia kunasiku tuta ishi pamoja inchini marekani,USA na jua kama wewe uliinhia USA 🇺🇸 na VISA ila namiye nitaingia ata kwenye njia ya protection yaani ukimbizi asante sana bro nakufatilia sana im from zambia 🇿🇲 lakini mimi ni mkongomani 🇨🇩🇨🇩
Sasa izo gari kwa tanzania litauzwa zaidi ya milioni200
Ningependa Toyota wakulipe maana kazi unayo Fanya ni kazi ya ziada sana... kinacho kifanya ni zaidi ya matangazo... Continue to show us..god bless you
Waoooh TOYOTA TUNDRA TRD PRO 4x4 umetisha JACK🔥🔥🔥
Jackison nakufatiria sana ukovizuri kututembeza marekani tukiwa tanzania. Nipo mbeya chunya. Gari aina ya ram shingapi
Tuliozoea kuomba kupunguziwa bei mpo wangapi jamani hunu?ila humu naona hamna kubagain.
Yaan 90% tunao watch videos za namna hii niwale tunandoto na AMERICA
Chz t
Truth
USA kutamu bwana asikwambie mtu
Mimi mwenyewe ni mmojaaaa wapo lazima niende MAREKANI by any means
Exactly
Bei sio mbaya sana, mziki upo pale unapotaka kulisajili na nyaraka zote
Nakukubali Sana jack 🇨🇩
Nimekuvulia kofia mwanangu, contents za 🔥🔥🔥🔥
🙏🏾
Fresh mwamba endelea kututoa matongotongo
Inabidi utengeneze video inayo husiana na wew na maisha yako USA pamoja na safar yako
Nakubali sana aisee unajitaidi kutuonyesha US yote congratulations 👍
imeweza sana bro plz keep on updating us
Hakika watanzania tuna vimba na Used from Japan 😃😃
Siku moja tupeleke na bush tukaenjoi japo wengine hatuwezi kufika huko,poa,endelea kutupa raha anko jack
Bro kwani ulishinda greencard au ulifika marekani kwa juhudizako au kwa scholarship au kwa njia ngani please nielezee
Kudos Jack. You are doing a good job
Thanks bro
I appreciate so much
Asante kamanda kwa kutujali waafrika wenziyo
Ulipotea sana kaka karibu Tena kazi mzuri .ni Dominic Kenya nakufatilia sana
Nice work home boy, tuko pamoja kijana wa Masuka!!
Pamoja sana!
I'm a Kenyan, didn't know this guy is from TZ thought ni mkenya. So kuskia millioni mia kwa Rav 4 I was like wait a minute
We koma
Jamaa wamekuruhusu ku vlog kiroho safi, ingekua Bongo hapo ungefukuzwa kama mbwa na security! Sijui kuna shida gani huku kwetu
Kibongo bongo ukaingie showroom ufungue gari upige picha uzuruleee then utoke tu hawakubali sijui kwanini.. 😊😊
Great job keep it up. Unafanya kazi nzuri sana
Asante
Good customer care
By God's power, one day I will be in America
Amen 🙏🙏
🙏
Yes bro
Amen
Hongera kijana unatufanya tuone tumefanya tourism huko USA so ubarikiwe sana namungu akuongeze maarifa ya ubunifu zaidi
Amina. Ubarikiwe pia!
Hii nlikuw naisubiri sana.tuonyeshe ghari Kali kali basi Range, Escalade,Porche,Rambo,Fortuner 2023. Pia gari za Elon Musk
Nitaenda kwenye luxury cars soon. Endelea kufuatilia video zitakazofuata
Da unanifurahisha jack,sijui ilipwe nini!
Ni Bora atutoe Matongotongo gari kama hiyo ukienda kwa Madalali unaweza zimia unakuta IST inaenda 17 Ovyo Kabisa
Kazi nzuri sana hii Jack ahsante.
Hello are you Jackson Charles ,from ROHA & Anderlek?
Safi sana tunakupenda pia
Jack uwende na kwa motorcycle 🏍 tuone🤣🤣me nakuwatch nikiwa omani 🤣
😂😂
Vipi ndugu shwali Nakuomba kama hautojali siku1 tembelea kwenye makampuni ya ujenzi yale yanayojenga magorofa ulizia utaratibu wao upoje mbaka kupata kazi Tafadhari kama hautojali ASANTE
Wow! Well done.
Nakufuatilia Sana kaka tupe vitu tusivyovijua huko USA
Weather nzuri sana California.Njoo Minnesota utupunguzie snow ❄️ 😅
Snow sio vitu vyangu 😂
hey bro how are you doing how about upishi am a chef nko na experience 8 good year but sikumaliza from4 school drop out.kuna nafasi ya watu kama sisi.usa.
Yes, nafasi zipo
Waa wooooo USA ❤❤❤ tz
I have had dreams of coming to US but SERIAL KILLIN afraids me men😁😁How is their my bro from TZ
MZEE baba tulizie gari ndogo ndogo tujue bei maana tunapigwa sana huku
Never giver up brother
Time will tell
Umetisha sana mzee,
Great content bro!!!
We jamaa mjanja zaid ya wazungu ......mmmh
Sikumoja tuonjeshe magari makubwa kama hole canter tujue bei Zeke ikiwa mpya
Jamaa angu si unisaidie walau nieze kuja huko America ndg yng pls
Inspired sana bro .appreciate sana mkuu
Hapa Magari wanatupiga sana
powa zana jakc❤❤❤
Mashallah kaz nzuri sana
Nakubali sana mwanangu
Nakufatilia sana broo ..next time unatupeleka kwenge IST kwaujumla magari tunayo tumia watu wa hali ya chini huku bongo
Hamn IST US mzee...IST japan wanazitengeza for Africans😅
I appreciate your efforts bro.
Halaf hayo mpk yaje kufika uku bongo kutumika si km miaka 10 ijayo au vp??
Sasa kama unataka right hand drive na show room hakuna inabidi iwe special order?
Yes, inabidi iwe customized kiwandani
Uwezo wa kuagiza gari huko marekani mpaka kufika Tanzania inawezekana na urahisi wake ukoje. ?
Nakubali sana jack
Lets Gooooooooooo!!!!!!💥💥💥💥💥💥
Vipi Mr Jack Mimi ni Kaijage Niko Capetown sa
Safi tu. Welcome to my channel!
Sasa bro hayo magari mfano hyo rav 4 kuifikisha bongo pamoja na kodi yake si km million 200?🤣
Show room ya SUBARU?? Subaru legacy, Subaru forester and much more
Bless sana kak
Kazi nzuri kaka
Nimechelewa live kweli
Good
one day god will bless we will get there😁😁
Waooo Gari nzuri
Nakukubal sn kaka
naijua marekani ata kama nipo TZ uko vizr mwamba unatupa vitu vizr sana yaan endelea hivo hivo kaka
Mungu yupo one day 🤜🤛
Nakufuatilia sans jack ila 2024 sijakuona saint
Nakubali sanaaaa unatufunza vingi
Badman jack
Kigali flan unamnunulia mtoto zawadi🤣🤣🤣 Hela sasa sina Dollar 40 k ?? Natoa wap
Iko poa sana jack
Interior za kawaida sana, hazikaribii hata Brevis ya 2002
Nice content Mr Jack 💪🏽
Thanks!
@@jackwausa brother uko america kwa sisi ambao tuna elimu ya 7 tunaweza kuja na kupata kazi za kiwango elimu yetu? maana nina iyo na sasa napambania pesa ili niingie uko
Ivi natakiwa kuwa na sh ngp ili nije Americans
Camera gani unatumia??????? App gani hua unatumia kuedit videos zako Kaka ???
Natumia camera ya Gopro Hero10, Editing natumia Final Cut Pro!
Uko vzr Jack
BE BLESSED
Nakubali Sana kaka
Jack tupeleke kwenye gari used hzoo
Sasa hapo ukileta Tanzania nakod si itakua200m
Goood mzee bado magereji ya huko yanavofanya kaz
this very interesting
Bro tulete machimbo ya bike huko mkuu
Kwani we ni mtz
Yes
ohooo kumbe niliwahi tu kuuliza lakini nimepata majibu magali used kama kwetu tuuu ila sasa used yao ni yakutoka nchi gani?
Magari used ni ya huku huku, let's say umelichoka au unataka kubadilisha gari bhasi unawasiliana nao, wanalikagua...Likikidhi vigezo bhasi wanalichukua kwa maelewano ya bei nk!
Good content wow 👏👏
Thank you
Are those prices before Tax?
Yes
@@jackwausa damn...they must be expensive AF!
Niko live mb zinaishia hapa...
Mzee hivi nako USA tunaweza pata toyota ist au toyota Noah AU hizo gari kwao kama hzo ni ndoto?🤣🤣
Hapana, hazipo
@@jackwausa kwamba hazpo kabisa au Show room uliyo enda ? Na factor gan inaweza fanya labda gar hzo zspatkane huko?