TUJIFUNZE KUTOKA KWA POLEPOLE/COVID 19 NI WABUNGE WA CCM/BOLA KURA ZISIMAMIWE NA MAJAMBAZI'MWABUKUSI
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Mwabukusi tunakukubali na tunakuamini. Viva mwabukusi.
❤❤❤❤ nakuelewa sana mwabukusi napenda haki
Safi sana wakili msomi Mwabukusi.
uyu mwamba na muelewa
Upo sawa kabisa mkuu
Najiuliza; hivi kama hawa wanapita kwa wizi na uporaji wa kura, watakuwa na ujasiri gani kukemea wizi unapotokea kwenye mawizara na idara?
Upo vzr mwabukusi
Kichwa kimejaa madini tupu,Allah atulinde
CCM SIO WEMA
Mwabukusi Anaakili Sana Hatuichukii CCM Tunachukuia Wanaoharibu walipo CCM 🎉🎉
ongera wasikie tutawatandika waende kwao waarabu tumekataa kuporwa na CCM wanaeuza nchi yetu msilale Tanzania walio wengi wanateseka lazima mwarabu aende atoke Tanganyika aende kwao uwarabuni au Zanzibar Samia mwisho wake utafika ama umefika ni kweli polepole alipelekwa mbali Ili asifundishe watanganyika tuzinduke tufungue macho tunayajua yote polepole endeleza shule ya uongozi
Kaka upo vzuri ccm imechokaa haijali wanaichi wake angalia watumishi wasitaafu wanavyoteseka wanadai sitahiki zao pesa za nauli uhamisho posho za safari nk tangu 1998 Hadi Leo wengine wamekufa ccm Wala haijali Kila kukicha ni kusifiana tu Hali hii inakati tamaa sana Kwa watumishi ndio maana majizi serikalini hayaishi
Nakukubali sanaaaa mwabukusi wewe ni taaa yetu jamaniii uko vizuriiii kabisaaaaa
wakili mwamba
Well said mwabukusi
Mungu akulinde
Mwandishi kajipange umekutana na mwamba
kajikanyaga mwandishi hapo iyo namba 1 inagawanyika kwa yenyewe
HAKUNA MAENDELEO BILA YA HAKI NA SHERIA
UNAFAA SANA KWA HAZINA YA NCHI,Haybagui chama bali unalitazama taifa.Nisemenini kwako kaka?!!
You are very intelligent person.God bless you.
Facts 👌
Huyu jamaa anaongea kwa moyo sanaa, deep katika moyo hakika mzalendo anao uwezo wa kumbadilisha mtu akaacha chama na kuamini katika mtu na utu.
Jizi huwa halipendi mwanga linapenda giza wezi wa kura daima hawatakibali katiba mpya
Huyu mwandishi anabishana na mwanasheria nguli hao wabunge ni wana ccm na sio wa chadema
Wananufaika na manumuzi ya ndege
Sure, Polepole walihis wameenda kumficha
safi aana
Issue hapa Mwabukusi anaongea na kilaza.......
☑️💯
Simama kamanda
Mwabu uko vizuri. Ungeenda kufundisha sheria hapo UDSM
Kila moja akienda kufundisha nani atadai uhuru wa watu ......Acha wasomi wengine waendelee kudai uhuru wa wananchi
Hawa covid19 wapelekwe magereza kwa kughushi barua za kuingia ktk bunge lisilochaguliwa
Mwandishi wa habari ni cheche sana yaani hajui nini anataka kufikisha ujumbe upi kwa Raia, pia ni empty headed hana kitu kabisa cha maana.
Pole pole ni jembe sana
Sasa mbona hatusikia ukiongea wakati huo
Huyu ni mjinga anayeaminiwa na wasioweza kufikiri kwa kina.
Wewe ndo unaakili unaetukana mtandaoni wewe unaetukana na yeye anaetoa elimu wananchi wote wajue ukweli kuhusu nchi yao nani anaakili?
👍✌️🙏.
Usitumie kingeleza sana tumia ruga ya taifa kiswahili kumbuka wapo watanzania hawajawahi kwenda marekani badilika mwabukusi
Nawewe umeona hilo nalo ni agenda sana, wakati shule na vyuo tunasoma kiingereza
Kweli kabisa
Watanzania mtaelew tuu hujambo hujambo 😅😅😅😅
Mtangazaji hamna kitu humu hajui ahoji nini wala hajielewi anachokihoji yaan kama alitumwa kumbana alopoke Mwabukusi vile kumbe amekutana na mtu asie na hofu wala wasi wasi shaka anajiamini😂😂
Wewe utauweza muziki wa wakili? Afadhali mwandishi.
Kama huwezi kubadilika umestahili kuwa Rais wa nchi hii.
Upo sahihi kamanda
Ikichwa iko viziri kweli kweli.
Duu mtangazaji unazingua mbona kama haupo nchi😂
Niulimwengu ulio gawanyika kisiasa endelea kulinganisha
Wemwadishi kima tu unajikomba ccm farawe
Mwabukusi deserve to run our country has a president 👏
Anayekuhoji sasa mmh. Hakujipanga kabisa, inawezekana alikuja na agenda potufu bila kufanya research ya kutosha hasa ukichukulia mtu anayemhoji.
Poor journalism.
..... congrats Edwin Lupembe, hoja yako ina uzalendo sana.. great comment
Very good mwabukusi
Mwabukusi apigwa bumbuazi na COVID 19! Ni mchezo WA kisiasa TU Ili mechi iendelee. Hata miss 2 za Chama alizopiga mwamba ni siasa TU.
Bunge La Tanzania ni watu wasiokitambua nini puppet.
Halfu huyu mwandishi ni ccm damu
FACT
Nikiwaambia watu kwamba MWABUKUSI ndiye RAISI ajae watu hawanielewi sijui kwa nini!!!!
Pole Pole the greatest in Tanzania
Muuliza maswali ni mbumbumbu
MUMSHUKURU SAMIA HANA NOMA,,,ILA NYIE MLIKUWA MNATULIA,WOTE
Mwambie afute vyama vingi abaki peke yake
Ulishindwa kwakura .usidanganya watu .
Sikujuwa kama Kuna majitu majinga Hadi Leo
Hili jamaa ni Tahaira linalojisaidia barabarani ni ccm jinga sana hili
Wafuata bendera CCM janga@@clemencelisonga8261
Wewe ni kubwa jinga la ccm,huwazi kesho yako wee kunguni chawa wa ccm! Mmezoea mfumo wa Dhuluma wa ccm! Subirini muone Mungu atakachowafanya ninyi mafisadi majambazi majizi ya rasilimali za Watanganyika! Mungu atawapoteza kwenye ramani na hamtaamini Mungu anachokwenda kukifanya kwa ccm uchaguzi ujao! Mnara wa Baberi unaenda kuanguka.
Shida ilianzia kwa marehemu
Huna akili maremu mama Yako
@@user-zc2ms4wl6r mjinga ww na unaowasifia wote ni wajinga nikianza na ww
waindaji wapo wanaokuzidi akili ongea point
Hajasemea akili ndugu , usikoment jambo kwa hasila bila kulielewa , yy amesema mimi sheria nitaaluma yangu nimesoma sheri sna, huwezi kunidanganya kwenye sheria, labda ukawadanganye wawindaji ambao hawajui what is low, ndicho alicho sema sasa, amewakoseann, huwezi kujua taaluma ya mwingine kama hukuisomea, wote sisi hatujui sheria ndo maana mahakaman wamewekwa mawakili, ili kutusaidia cc ambao hatuna taaluma ya sheria,
@@akidajulius1581 atajua yeye
Hivi huyu mwandishi bogus katoka duniani gani, hivi badala ya kutafakari mambo kwa akili na ufahamu wako unaakili tegemezi za kunukuu habari za website!
Hiyo tume ikijitegemea nani anawalipa posho watalipwa nani jibu linabaki palepale chama kitakocho kua madarakani ndio kinakua kimeunda serikali ,hiyo tume itakua kwenye mikono atakae walipa ,ameshika madaraka labda tafute maraika ndio wawe tume huru
Tatizo lako hapo naona ni elimu ndogo huelewi hoja na huwezi kuelewa na ndo maana darasani kuna namba moja hadi mia wa mwanzo kuelewa na wa mwisho basi jiafakari ww na siyo huyo
@@sospeterodhiambo6869 mnapotea mda ss tunaoelewa mambo hatuangaiki ccm inawazidi uwezo na akili
@@sospeterodhiambo6869 Mimi sio mpumbavu mara mbili kama ww hiyo nimijadala ya makolo
Ni kweli Msomi, Polepole Yuko kibalozi kwelikweli. Hata Mimi mimemtambua. Piga keleeeleeee!
Wanaotumia akili wanamuelewa sana Mwabukusi lakini wanaotumia makalio hawawezi kumuelewa.
Huyu jamaa saa nyingine ni mpumbavu japo mara nyingi namuelewa. Maono ya viongozi yana maana kubwa kwenye taifa. Hayo yote anayosema JPM aliyafanya lakini huyu jamaa alimpinga. Tanzania haina tatizo la mifumo lina tatizo la usamamizi wa ambalo lina sababishwa na watu. Katiba ya nchi imetenganisha miimili mitatu. Udhaifu wa bunge unatokana na wabunge wenyewe kwasababu ya ubinafsi sio Sheria au katiba. Udhaifu wa mahakama unasababishwa na majaji kwa ubinafsi wao sio Sheria au katiba. Hakuna sehemu kwenye katiba ambapo panasema bunge au mahakama wafanye kazi zao kwa matakwa ya Rais. Rais hana uwezo wa kuwatoa wabunge au majaji kwenye nafasi zao. Kinachotakiwa watu kuacha ubinafsi. Ubinafsi ukiendelea hata kuwe na katiba gani haita saidia kitu chochote. Ubinafsi utoke kuanzia kwa Rais wa nchi mpaka kwa wananchi wake hapo ndio katiba na Sheria za nchi zitafanya kazi.
Ndg tatizo linaanzia kwenye katiba: Katiba imempa rais mamlaka ya kuteua majaji hivyo katika maamuzi yao wanaoathiriwa na maelekezo toka serikalini. Pia wabunge wanawajibika zaidi na kukiogopa chama zaidi kuliko wananchi ndiyo maana wanaunga mkono miswada inayoletwa na serikali maana wakipinga wanaogopa kutemwa kwenye kura za maoni.
Unaelewa kabisa ulichokiandika au hukujipa nafasi ya kutafakari umeandika kitu gani? Katiba unasemaje kuhusu uteuzivwa Majaji? Wabunge wanapitishwa kwa dhamana ya nani kugombea ubunge?
Nikweli katiba nimbaya japo ingefuatwa hiyohiyo mbaya ingekuwa na inafuu kidogo unaposema mihimili unakosea sana ndugu yangù mhimili uliopo ni mmojatu serkal ndiyo imewameza wote hao wawe majaji au wabunge na wanawekwa na serkal hiyohiyo so ukisema huyu jamaa mpumbavu nadhan wewe nawe ujiangalie vizuri waweza kuwa wewe ndiyo mpumbavu
Mpumbavu nini wewe,au ni wewe ni genge la waiba kura nini
@@user-ze6lx9ng6s Walamba asali tuwachague ili iweje.
@humpreypolepole@polepole