Wakili Mpoki: Mawakili Wote Walijitoa Kumtetea Mwabukusi Wakihofia Kilichonitokea Kitawatokea na Wao
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Pole mzee,Muajili mkuu ni MUNGU tu, mwanadamu hata weza kuzuia riziki yako bali ataichelewesha tu,Amini MUNGU ameliona hili,
Kweli imeeleweka. Wakili Asante kwa kutufahamisha hizo hatua kwa kweli unatufungua macho sana. kumbe haki zinaporwa pia kwa sababu watu hawajiamini na hawajui sheria wala ngazi za kufuata
Safi sna mzee mpoki nakuelewa sana ❤
>Mpoki Mpale umesikika na kueleweka ktk kupigania haki iliyopokwa!
>Wapenda haki wote wangeshangazwa kutochukua hatua za kisheria ulizotaja kupata haki yako iliyokanyagwa kinyume cha katiba na haki jumla za binadamu chini ya Umoja wa Mataifa (Universal Declaration of Human Rights )!
Hii ndio tanzania.aibu kubwa sana kwa mahakama
Wasomi tumieni elimu yenu na zaidi mungu awatangulie.. kamwe msikubali huo ujingo
Mungu akusimamie
That's why I like the law
Nilikuwa simwelewi polepole kuhusu wahuni!!sasa somo limeeleweka vizuri sana,iam so pain 2,malipo yao hapahapa duniani
Mawakili huu mi wakati wa kushikana kishujaa na siyo kutengana au kuogopa sababu hata sisi wananchi tutashindwa kuwaamini. Kama hamjiamini sisi tutawaamini vipi na kesi zetu? Hamtaweza kutetea mbele ya hao majaji.
Hebu simameni mjijengee heshima kwa jamii na kimataifa. Mtakosa kazi.
Perekeni bunge la sipika yeye kama sipika analiona vipi .hatuna kabisa majaji sielewi hawajuwi sheria au vurugu. Amri kutoka juu
Kachezea wasomi alidhani anamshughurikia Mbowe sasa kalikologa, hapo TLS big up sana.
Kazi kweli kweli wakili sema na Mwenyekiti lakini ifike kipindi watu waheshimu Sheria.
Mzee hii nchi sasahivi inawahuni kazi ipo
JAJI UMEYAKANYAGA 😂😂😂 mzee mpoki ni chumananusu uyu ni zaid ya MWABUKISI
Mbona hatuwaelewi hawa majaji wetu siku hizi? Ikiendelea hivi tutafika popote pa maana kweli? Huu ni mwanzo wa kuvunjika kwa amani sababu pasipo na haki ndipo prnye kuleta mawazo maovu ya vurugu.
Mahakama zikikosa heshima na imani hawa wageni au makampuni ya wawekezaji watakosa imani nazo na hii itafanye waogope kabisa kuja kuwekeza hapa au wakimbilie mahakama za nje kufatufa haki zao. Hii ni aibu kwa taifa letu
Wamekuonea sanaaaa tatizo Vipngozi wetu hawapendi ukweli
Noted Senior
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Hakimu wa kweli ni MUNGU PEKEE
Sasa kumbe hii kama kwenye kamati Iman haipo kwenye mahakama ya juu Iman IPO tunajuaje kama kuma kunamaelekezo hapa tunaona dai la katiba mpya ni mhimu ili kuondoa mashaka yaliopo katika utoaji haki nikupe pole na shambulio hilo nanikupe hongera kwa uwezo ulio uonyesha wakisheria wakuidai haki
Mwabukusi na wenzio fanyrni mchakato muanzishe chama cha siasa watu wanasubiri chama mbadala chenye hadhi na uzalendo wa kweli usio na uchawa ndani yake. Wafuasi wako wengi sana sana sana wanakusubiri uanzishe wamikinike.
Lakini katiba Maya kwanza ili wasikudhulumu urais wako utakaposhinda
Wakili Mpoki umepiga kwenye mshono pamoja na ujaji wake amejidharirisha yeye binafsi , taaluma ya sheria na mahakama kwa ujumla, hivyo, ndio maana namuelewa sana wakili Mwabukusi alivyosema kuwa si kila kesi inayopelekwa mahakamani hutarajia kushinda bali huamusha public hearing na kuleta ufahamu kwa jamii maana sheria zote zipo kwa ajiri ya checking a balancing kwa jamii kwa ujumla haijalishi wewe ni Jaji . Good and well.
Kwa ujumla kama taifa linaenda hivi hatuna viongozi. Perekeni alikochaguliwa turia speker bunge la dunia wa
Watufanyie yote watalipa iko siku washenzi sana hawa jamaa wanatuona wanyama sana. Watanzania tusiseme ata kidogo alafu tunasema yuko mama
Katiba Katiba Katiba Katiba kuna video inasambaa mitandaoni ya Jaji Ntemi akiwaomba CCM wampelekee majina ya mawakili wasumbufu ili awafute uwakili..Hii ni kinyume kbs cha maadili ya kijaji
Hapa nimejifunza kitu wnasheria walio serikalini wanajiona wao miungu watu wanaweza hata kukiuka maadili na Katiba wakijiona wako juu ya vyote.
Na hapa huyu jaji Mwenyekiti Tayari ameshatengeneza Mgogoro mkubwa kwenye Taaluma hii ya Uwakili. Sasa hapo nimpambano Kati ya wanasheria walio na ajira serikalini na wanasheria Wakujitegemea VITA hii aitaacha Nchi salama.
Na hata walio nje wanawaona waliopo serikalini hawakusoma na hawana akili. Dharau ipo pande zote mbili
Mnaizalilisha CCM kwa masilahi yenu
Jaji anavunja sheria na kudhalilisha mahakama kwa maslahi ya nani?
Hii habari ya kuogopesha mawakili ni ya mishenzi sana. Ni kitendo cha kukemewa kwa nguvu zote. Tunatia aibu mbele ya mataifa mengine
Wenye nchi wamejua mmeamka mnakatwa makali mdogo mdogo
Hii biashara ya ukiukwaji wa haki kwa kiasi hiki inatoka wapi? Kama wakili msomi yanaweza kumtokea hayo je sisi tusiokuwa na hadhi hizo itakuwaje? Nina wasiwasi mkubwa kuwa Mahakama zetu zitaoteza heshima ya kuaminika kwa kiasi fulani cha kutisha. Jamani wadau Hebu wekeni mambo haya sawa tusiliaibishe taifa hili
Wanasheria. Kaeni chini na kutafakari haya yaliyojiri bila kujali uko upande gani. Rudisheni heshima kwenye taasisi yenu. Nyote ninyi taifa tunawahitaji.
I yamama na nchi ni ya watu wote
Mahakama ya Ajabu majaji wapuuzi maamuzi ya kipuuzi ni matokeo ya ujaji wa kupewa
Afadhali mvua imenyesha itaonesha sehemu zote panapovuja.
Rungu limepata mwenyewe safari hii. Ngoja tuone kitakachotokea baada ya hapa
Safari hii kipeke kimempata mkunaji.
Toka nchi ipate uhuru safalii hii mahakama mpaka tunaziogopa
Nchi imekwisha majaji wenyewe hawa basi hatuna majaji Tanzania.
Sasa kama wakili ananywea mbele ya jaji au hakimu ataaminika vipi na wenye kesi wanaotafuta haki? Imani kwa raia Ikiisha au kukosekana kinachofuata ni nini? Kama si vurugu ni ninj? Tuambiane ukweli jamani.
Aibu yao
Mawakili wa kujitegemea mjiongeze. Msipokuwa makini mkapoteza imani na wananchi au wageni au makampuni mjue mtakosa wateja sababu watu hawatawaamini kuwa watetezi wao wa nguvu mbele ya majaji au mahakimu.
Wenzenu wa serikalini wana kazi wanalipwa mishahara. Nyie mishahara yenu ni lazima mletewe kesi na private.
Jiongezeni msikubali kudhalilishwa.
Haina.shida.mh. kubali likizo.miezi 6 si mingi
Izo kesi ni zako zote
Watu wengi wanaonewa MUNGU hatawaacha salama
Walioko siku moja hawatakuwepo. Labda wa wa uwe walivuomiua Maghufuli. Hawana dibi watu kwenye hizi serikali
Mimi darasa la saba baada.kusikiliza taarifa hizi alitowa hukumu kama vile tanzania ni rais wa hili taifa. Hebu fikiri kama angalikuwa jaji mkuu angetowa hukumu nzito. Watanzani. W
Tanzania ujinga hautaisha mpk CCM iondoke madarakani
Huyu jaji inatakiwa afungwe yeye mpa wajukuu wake milele alipewaje ujaji au bashite nini
Huyu ni shida .. mwanasheria kamili huyu ..Jalil ataipata ...atajuta
Haki zinakiukwa hata sisi wa darasa la saba tunajuwa huyu siyo jaji amehukumu mnajidhalilisha.
Ni aibu kutanguliza uoga badala ya Ushujaa na uhodari.waoga mbinguni watakusikia
Hawataingia ng'oooo
Hata mimi nawashangaa lakininpia nawaelewa sababu bado wanahitajika huku nje kwa ajili ya kutetea mambo mengine mazito
Hapa wanacheka siku watalia inakuja
Najiuliza huu ushenzi na hizi confidence za kuvunja sheria na katiba zinatokea wapi? Jeuri hii inatoka wapi jamani?
Nchi yetu inakuwaje?
Sisi wasukuma tunasema,lubugu lupya,Lokichaga niyakale,haho lulu.
Tuanze kubunasifisha na usalama barabarani maana ajari .zimezidil
Viongozi wa serikali msijisahaulishe kanakwamba nchi hii ni Mali yenu peke yenu.jihadharini msijemkaliingiza Taifa katka machafuko.
Point
Kabla ya maamuzi inakata rufa
Hayo madaraka uwezo huwo
Mnamzalilisha rais wetu
rais samia ndio anawatuma wala azalilishwe twende tu kunamwisho
Kweli. Ila kama kweli hataki kudhalilishwa basi tutaona majibu yake. Tunafuatilia kuona atafanya nini. Pengine yawezekana ni kweli wanavyoseama kuwa mtu anavizia uteuzi.
Ngoja tuone kama uteuzi utatokea hivi karibuni ndiyo tujue kama mkuu anachukizwa au la.
Tusubiri kuona uteuzi au kupanda cheo. Yetu macho.
L
Rungu limepata mwenyewe. Yetu macho tunafuatilia kwa katibu na sisi tujifunze.
Kaza uzi Mheshimiwa wakili msomi haki ziheshimiwe na sisi tunapata ufahamu.
Mwabukusi asnze CCM yake atapata wafuasi na stsshinda kuwa rahisi mpya wa Tanzania.
Naunga mkono
Kweli kabisa
Mwabukusi for presidency……viva Tanzania
Jamani wasiopenda haki au wanaolichukia taifa hili wasimuue au kumdhuru rais mtarajiwa wakili msomi Mwabukusi.
Mikataba itasainiwa kwa umakini sana sababu ataipia mwenyewe.
Majaji na mahakimu mnaaibisha taifa
Sana
Aibu kubwa,mazuzu wamekamatwa inchi,shida mno.huyo ni muuwaji haswaaaaa,kama mtu unaniambia sitakiwi kufanya kazi.maana yake muuwaji pamoja na wanaonitegemea,huo ni ujuha wa huyo kiongozi.