Wakili Mpoki: Mawakili Wote Walijitoa Kumtetea Mwabukusi Wakihofia Kilichonitokea Kitawatokea na Wao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.

Комментарии • 79

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 10 месяцев назад +1

    Pole mzee,Muajili mkuu ni MUNGU tu, mwanadamu hata weza kuzuia riziki yako bali ataichelewesha tu,Amini MUNGU ameliona hili,

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад +1

    Kweli imeeleweka. Wakili Asante kwa kutufahamisha hizo hatua kwa kweli unatufungua macho sana. kumbe haki zinaporwa pia kwa sababu watu hawajiamini na hawajui sheria wala ngazi za kufuata

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 10 месяцев назад +1

    Safi sna mzee mpoki nakuelewa sana ❤

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 10 месяцев назад +2

    >Mpoki Mpale umesikika na kueleweka ktk kupigania haki iliyopokwa!
    >Wapenda haki wote wangeshangazwa kutochukua hatua za kisheria ulizotaja kupata haki yako iliyokanyagwa kinyume cha katiba na haki jumla za binadamu chini ya Umoja wa Mataifa (Universal Declaration of Human Rights )!

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 10 месяцев назад +1

    Hii ndio tanzania.aibu kubwa sana kwa mahakama

  • @borcherwilliamborchert3090
    @borcherwilliamborchert3090 10 месяцев назад +1

    Wasomi tumieni elimu yenu na zaidi mungu awatangulie.. kamwe msikubali huo ujingo

  • @lusekosanga1635
    @lusekosanga1635 10 месяцев назад

    Mungu akusimamie

  • @kalisajohn3659
    @kalisajohn3659 10 месяцев назад

    That's why I like the law

  • @fraternshirima2474
    @fraternshirima2474 10 месяцев назад

    Nilikuwa simwelewi polepole kuhusu wahuni!!sasa somo limeeleweka vizuri sana,iam so pain 2,malipo yao hapahapa duniani

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Mawakili huu mi wakati wa kushikana kishujaa na siyo kutengana au kuogopa sababu hata sisi wananchi tutashindwa kuwaamini. Kama hamjiamini sisi tutawaamini vipi na kesi zetu? Hamtaweza kutetea mbele ya hao majaji.
    Hebu simameni mjijengee heshima kwa jamii na kimataifa. Mtakosa kazi.

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад +1

    Perekeni bunge la sipika yeye kama sipika analiona vipi .hatuna kabisa majaji sielewi hawajuwi sheria au vurugu. Amri kutoka juu

  • @Mosesndahani
    @Mosesndahani 10 месяцев назад

    Kachezea wasomi alidhani anamshughurikia Mbowe sasa kalikologa, hapo TLS big up sana.

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 10 месяцев назад

    Kazi kweli kweli wakili sema na Mwenyekiti lakini ifike kipindi watu waheshimu Sheria.

  • @khalidmdotta3843
    @khalidmdotta3843 10 месяцев назад +1

    Mzee hii nchi sasahivi inawahuni kazi ipo

  • @joelthomas-mx6gm
    @joelthomas-mx6gm 10 месяцев назад

    JAJI UMEYAKANYAGA 😂😂😂 mzee mpoki ni chumananusu uyu ni zaid ya MWABUKISI

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад +1

    Mbona hatuwaelewi hawa majaji wetu siku hizi? Ikiendelea hivi tutafika popote pa maana kweli? Huu ni mwanzo wa kuvunjika kwa amani sababu pasipo na haki ndipo prnye kuleta mawazo maovu ya vurugu.

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Mahakama zikikosa heshima na imani hawa wageni au makampuni ya wawekezaji watakosa imani nazo na hii itafanye waogope kabisa kuja kuwekeza hapa au wakimbilie mahakama za nje kufatufa haki zao. Hii ni aibu kwa taifa letu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 10 месяцев назад

    Wamekuonea sanaaaa tatizo Vipngozi wetu hawapendi ukweli

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 10 месяцев назад

    Noted Senior

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 10 месяцев назад +1

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 10 месяцев назад +1

    Hakimu wa kweli ni MUNGU PEKEE

  • @Lupamwakyoma
    @Lupamwakyoma 10 месяцев назад

    Sasa kumbe hii kama kwenye kamati Iman haipo kwenye mahakama ya juu Iman IPO tunajuaje kama kuma kunamaelekezo hapa tunaona dai la katiba mpya ni mhimu ili kuondoa mashaka yaliopo katika utoaji haki nikupe pole na shambulio hilo nanikupe hongera kwa uwezo ulio uonyesha wakisheria wakuidai haki

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Mwabukusi na wenzio fanyrni mchakato muanzishe chama cha siasa watu wanasubiri chama mbadala chenye hadhi na uzalendo wa kweli usio na uchawa ndani yake. Wafuasi wako wengi sana sana sana wanakusubiri uanzishe wamikinike.
    Lakini katiba Maya kwanza ili wasikudhulumu urais wako utakaposhinda

  • @geraldgedi4657
    @geraldgedi4657 10 месяцев назад

    Wakili Mpoki umepiga kwenye mshono pamoja na ujaji wake amejidharirisha yeye binafsi , taaluma ya sheria na mahakama kwa ujumla, hivyo, ndio maana namuelewa sana wakili Mwabukusi alivyosema kuwa si kila kesi inayopelekwa mahakamani hutarajia kushinda bali huamusha public hearing na kuleta ufahamu kwa jamii maana sheria zote zipo kwa ajiri ya checking a balancing kwa jamii kwa ujumla haijalishi wewe ni Jaji . Good and well.

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад +1

    Kwa ujumla kama taifa linaenda hivi hatuna viongozi. Perekeni alikochaguliwa turia speker bunge la dunia wa

  • @martinmukude8258
    @martinmukude8258 10 месяцев назад +1

    Watufanyie yote watalipa iko siku washenzi sana hawa jamaa wanatuona wanyama sana. Watanzania tusiseme ata kidogo alafu tunasema yuko mama

    • @marymwangombe8607
      @marymwangombe8607 10 месяцев назад

      Katiba Katiba Katiba Katiba kuna video inasambaa mitandaoni ya Jaji Ntemi akiwaomba CCM wampelekee majina ya mawakili wasumbufu ili awafute uwakili..Hii ni kinyume kbs cha maadili ya kijaji

  • @abdallahnkrumah6237
    @abdallahnkrumah6237 10 месяцев назад +1

    Hapa nimejifunza kitu wnasheria walio serikalini wanajiona wao miungu watu wanaweza hata kukiuka maadili na Katiba wakijiona wako juu ya vyote.
    Na hapa huyu jaji Mwenyekiti Tayari ameshatengeneza Mgogoro mkubwa kwenye Taaluma hii ya Uwakili. Sasa hapo nimpambano Kati ya wanasheria walio na ajira serikalini na wanasheria Wakujitegemea VITA hii aitaacha Nchi salama.

    • @makamemakame2603
      @makamemakame2603 10 месяцев назад

      Na hata walio nje wanawaona waliopo serikalini hawakusoma na hawana akili. Dharau ipo pande zote mbili

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 10 месяцев назад +1

    Mnaizalilisha CCM kwa masilahi yenu

    • @marymwangombe8607
      @marymwangombe8607 10 месяцев назад

      Jaji anavunja sheria na kudhalilisha mahakama kwa maslahi ya nani?

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Hii habari ya kuogopesha mawakili ni ya mishenzi sana. Ni kitendo cha kukemewa kwa nguvu zote. Tunatia aibu mbele ya mataifa mengine

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 10 месяцев назад

    Wenye nchi wamejua mmeamka mnakatwa makali mdogo mdogo

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Hii biashara ya ukiukwaji wa haki kwa kiasi hiki inatoka wapi? Kama wakili msomi yanaweza kumtokea hayo je sisi tusiokuwa na hadhi hizo itakuwaje? Nina wasiwasi mkubwa kuwa Mahakama zetu zitaoteza heshima ya kuaminika kwa kiasi fulani cha kutisha. Jamani wadau Hebu wekeni mambo haya sawa tusiliaibishe taifa hili

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 10 месяцев назад

    Wanasheria. Kaeni chini na kutafakari haya yaliyojiri bila kujali uko upande gani. Rudisheni heshima kwenye taasisi yenu. Nyote ninyi taifa tunawahitaji.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 10 месяцев назад

    I yamama na nchi ni ya watu wote

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 10 месяцев назад

    Mahakama ya Ajabu majaji wapuuzi maamuzi ya kipuuzi ni matokeo ya ujaji wa kupewa

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Afadhali mvua imenyesha itaonesha sehemu zote panapovuja.
    Rungu limepata mwenyewe safari hii. Ngoja tuone kitakachotokea baada ya hapa

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Safari hii kipeke kimempata mkunaji.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 10 месяцев назад

    Toka nchi ipate uhuru safalii hii mahakama mpaka tunaziogopa

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 10 месяцев назад +2

    Nchi imekwisha majaji wenyewe hawa basi hatuna majaji Tanzania.

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Sasa kama wakili ananywea mbele ya jaji au hakimu ataaminika vipi na wenye kesi wanaotafuta haki? Imani kwa raia Ikiisha au kukosekana kinachofuata ni nini? Kama si vurugu ni ninj? Tuambiane ukweli jamani.

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Aibu yao

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Mawakili wa kujitegemea mjiongeze. Msipokuwa makini mkapoteza imani na wananchi au wageni au makampuni mjue mtakosa wateja sababu watu hawatawaamini kuwa watetezi wao wa nguvu mbele ya majaji au mahakimu.
    Wenzenu wa serikalini wana kazi wanalipwa mishahara. Nyie mishahara yenu ni lazima mletewe kesi na private.
    Jiongezeni msikubali kudhalilishwa.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 10 месяцев назад

    Haina.shida.mh. kubali likizo.miezi 6 si mingi

  • @tinastephano5638
    @tinastephano5638 10 месяцев назад

    Izo kesi ni zako zote

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 10 месяцев назад

    Watu wengi wanaonewa MUNGU hatawaacha salama

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 10 месяцев назад

    Walioko siku moja hawatakuwepo. Labda wa wa uwe walivuomiua Maghufuli. Hawana dibi watu kwenye hizi serikali

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад

    Mimi darasa la saba baada.kusikiliza taarifa hizi alitowa hukumu kama vile tanzania ni rais wa hili taifa. Hebu fikiri kama angalikuwa jaji mkuu angetowa hukumu nzito. Watanzani. W

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 10 месяцев назад

    Tanzania ujinga hautaisha mpk CCM iondoke madarakani

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 10 месяцев назад

    Huyu jaji inatakiwa afungwe yeye mpa wajukuu wake milele alipewaje ujaji au bashite nini

  • @NixonGerson
    @NixonGerson 10 месяцев назад

    Huyu ni shida .. mwanasheria kamili huyu ..Jalil ataipata ...atajuta

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад

    Haki zinakiukwa hata sisi wa darasa la saba tunajuwa huyu siyo jaji amehukumu mnajidhalilisha.

  • @norahfrank
    @norahfrank 10 месяцев назад

    Ni aibu kutanguliza uoga badala ya Ushujaa na uhodari.waoga mbinguni watakusikia
    Hawataingia ng'oooo

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 10 месяцев назад

      Hata mimi nawashangaa lakininpia nawaelewa sababu bado wanahitajika huku nje kwa ajili ya kutetea mambo mengine mazito

  • @martinmukude8258
    @martinmukude8258 10 месяцев назад

    Hapa wanacheka siku watalia inakuja

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Najiuliza huu ushenzi na hizi confidence za kuvunja sheria na katiba zinatokea wapi? Jeuri hii inatoka wapi jamani?
    Nchi yetu inakuwaje?

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 10 месяцев назад

    Sisi wasukuma tunasema,lubugu lupya,Lokichaga niyakale,haho lulu.

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад

    Tuanze kubunasifisha na usalama barabarani maana ajari .zimezidil

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 10 месяцев назад

    Viongozi wa serikali msijisahaulishe kanakwamba nchi hii ni Mali yenu peke yenu.jihadharini msijemkaliingiza Taifa katka machafuko.

  • @habibusalum1849
    @habibusalum1849 10 месяцев назад

    Kabla ya maamuzi inakata rufa

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад

    Hayo madaraka uwezo huwo

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 10 месяцев назад

    Mnamzalilisha rais wetu

    • @martinmukude8258
      @martinmukude8258 10 месяцев назад

      rais samia ndio anawatuma wala azalilishwe twende tu kunamwisho

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 10 месяцев назад

      Kweli. Ila kama kweli hataki kudhalilishwa basi tutaona majibu yake. Tunafuatilia kuona atafanya nini. Pengine yawezekana ni kweli wanavyoseama kuwa mtu anavizia uteuzi.
      Ngoja tuone kama uteuzi utatokea hivi karibuni ndiyo tujue kama mkuu anachukizwa au la.
      Tusubiri kuona uteuzi au kupanda cheo. Yetu macho.

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 10 месяцев назад

    L

  • @marialesulie6798
    @marialesulie6798 10 месяцев назад

    Rungu limepata mwenyewe. Yetu macho tunafuatilia kwa katibu na sisi tujifunze.
    Kaza uzi Mheshimiwa wakili msomi haki ziheshimiwe na sisi tunapata ufahamu.

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 10 месяцев назад

    Mwabukusi asnze CCM yake atapata wafuasi na stsshinda kuwa rahisi mpya wa Tanzania.

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 10 месяцев назад

      Naunga mkono

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 10 месяцев назад

      Kweli kabisa

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 10 месяцев назад

      Mwabukusi for presidency……viva Tanzania

    • @marialesulie6798
      @marialesulie6798 10 месяцев назад

      Jamani wasiopenda haki au wanaolichukia taifa hili wasimuue au kumdhuru rais mtarajiwa wakili msomi Mwabukusi.
      Mikataba itasainiwa kwa umakini sana sababu ataipia mwenyewe.

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 10 месяцев назад

    Majaji na mahakimu mnaaibisha taifa

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 10 месяцев назад

    Aibu kubwa,mazuzu wamekamatwa inchi,shida mno.huyo ni muuwaji haswaaaaa,kama mtu unaniambia sitakiwi kufanya kazi.maana yake muuwaji pamoja na wanaonitegemea,huo ni ujuha wa huyo kiongozi.