Sheikh Ponda: Watekaji ni watu waliyokamilika Ni vikosi, Lazima Tujadili kwa Kina
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Amezungumza haya wkaati akichangia mada kwenye kongamano la matukio ya watu kupotea nchini Tanzania ambalo limeandaliwa na TLS.
The Chanzo
Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa ukweli ❤❤
Shekhe Ponda roho ya Mungu ipo ndani yako
Ponda hajawahi kunia😢ngusha ,hekima yake busara zake, hakika ni tunu kwa taifa letu
Shehe Ponda wewe ni mtu safi .Mimi nakukubali sana . Mungu akijalia Maisha marefu na Afya Tele
Mimi ni mkristo ila huyu shekhe namkubali sana kuliko vipapalazi akina mwaipopo
Sheikh huyu lazima hata waumini wake lazima wanampenda na anajitambua na ndo wa kuigwa sijui akina mwaipopo wamepataje usheikh wajifunza kwa huyu
Mungu aendelee kukulinda kamanda
Hakika sote tukisema ukweri kama huyo she ponda tutainya nchi watuhimiwa wakuu ktk sakata hili ni jeshe la polisi na idara idara ya usalama wa taifa wanakitumikia chama tawalawa kuwarinda watawala waskosolewe hata kama wanavunja Katina na Sheria za nchi.
Hii Sheria itakuja kuwala wao mungu akipenda Omar albashiri wa sudan
Badae litakuwa tatizo kubwa zaidi mambo ya utekaji tuzuie mapema wakati bado alijawa tatizo kbwa zaidi
Pamoja baba
Safi sana Shekh!
Mzee wetu unaipigania haki ya nchi hii
TANGANYIKA NCHI YANGU WAPI UNAKWENDA😢😢😢😢😢😢
Kuna sule,kuna mwaipopo wapo tofauti sana na huyu
CCM na bunge wanapitisha sheria mbaya sana kwa taifa letu.
Hapana.Dini imeshinda.Anahubiri SIASA.TENA YA UPINZANI
Shehe Ponda uko mkweli 108% shida nyuma yako kuna watu wa dini yako ati wanakupinga mimi sijui kosa lako, hata ukiwa ccm ukasema ukweli mimi nitakupongeza tu. Ccm wanajua ni nini lengo
Hakika huo ndio ukweli hongera shehe ponda ,sheria walizoziweka ma ccm ndio hao wanaotowa roho za watu bila kuchukuwa hatuwa sheria zinawalinda ,
Mungu awe nawe, mjori wa bwana "SHEHE PONDA" wewe ni shehe mkweli na muwazi wapasa kuigwa.
Shehe wangu vyombo hivi vyote ni vya wakubwa nao ndiyo wanavyovielekeza kufanya uovu huu ili kulinda uwepo wao.Hapa tunamwosha mbwa matako wakina vyura viziwi hawaelewi mwisho utaitwa umeota mkia
Ponda ana utulivu mkubwa anaongea anajiamini hawa ndio viongozi wanaohitajika
Sheghe panda vaatu grandad la cha Dema
●ni wazayuni ndiyo watekaji😂
Je wana jeshi yao na mapingu? 🤔