Sheikh Ponda: Watekaji ni watu waliyokamilika Ni vikosi, Lazima Tujadili kwa Kina

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Amezungumza haya wkaati akichangia mada kwenye kongamano la matukio ya watu kupotea nchini Tanzania ambalo limeandaliwa na TLS.
    The Chanzo

Комментарии • 25

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 2 часа назад +8

    Asante Sana Mtumishi wa Mungu kwa ukweli ❤❤

  • @ambonisyekasanga6017
    @ambonisyekasanga6017 57 минут назад +3

    Shekhe Ponda roho ya Mungu ipo ndani yako

  • @EliasOwilly
    @EliasOwilly Час назад +7

    Ponda hajawahi kunia😢ngusha ,hekima yake busara zake, hakika ni tunu kwa taifa letu

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa6728 13 минут назад

    Shehe Ponda wewe ni mtu safi .Mimi nakukubali sana . Mungu akijalia Maisha marefu na Afya Tele

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j Час назад +8

    Mimi ni mkristo ila huyu shekhe namkubali sana kuliko vipapalazi akina mwaipopo

    • @FrankNzombo-k3j
      @FrankNzombo-k3j Час назад

      Sheikh huyu lazima hata waumini wake lazima wanampenda na anajitambua na ndo wa kuigwa sijui akina mwaipopo wamepataje usheikh wajifunza kwa huyu

  • @JosephineKabuka
    @JosephineKabuka 44 минуты назад +2

    Mungu aendelee kukulinda kamanda

  • @GeorgeNyalwenge
    @GeorgeNyalwenge Час назад +5

    Hakika sote tukisema ukweri kama huyo she ponda tutainya nchi watuhimiwa wakuu ktk sakata hili ni jeshe la polisi na idara idara ya usalama wa taifa wanakitumikia chama tawalawa kuwarinda watawala waskosolewe hata kama wanavunja Katina na Sheria za nchi.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 19 минут назад +1

    Hii Sheria itakuja kuwala wao mungu akipenda Omar albashiri wa sudan

  • @AdeniKasalile
    @AdeniKasalile Час назад +3

    Badae litakuwa tatizo kubwa zaidi mambo ya utekaji tuzuie mapema wakati bado alijawa tatizo kbwa zaidi

  • @AlexChawe
    @AlexChawe 2 часа назад +2

    Pamoja baba

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 5 минут назад

    Safi sana Shekh!

  • @christophermalango1433
    @christophermalango1433 Час назад +3

    Mzee wetu unaipigania haki ya nchi hii

  • @mahatakitengewamuninga1260
    @mahatakitengewamuninga1260 Час назад +1

    TANGANYIKA NCHI YANGU WAPI UNAKWENDA😢😢😢😢😢😢

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 13 минут назад +1

    Kuna sule,kuna mwaipopo wapo tofauti sana na huyu

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 Час назад +1

    CCM na bunge wanapitisha sheria mbaya sana kwa taifa letu.

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 20 минут назад +1

    Hapana.Dini imeshinda.Anahubiri SIASA.TENA YA UPINZANI

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 7 минут назад +1

    Shehe Ponda uko mkweli 108% shida nyuma yako kuna watu wa dini yako ati wanakupinga mimi sijui kosa lako, hata ukiwa ccm ukasema ukweli mimi nitakupongeza tu. Ccm wanajua ni nini lengo

  • @Yussuf-b3b
    @Yussuf-b3b 24 минуты назад

    Hakika huo ndio ukweli hongera shehe ponda ,sheria walizoziweka ma ccm ndio hao wanaotowa roho za watu bila kuchukuwa hatuwa sheria zinawalinda ,

  • @gangan4618
    @gangan4618 29 минут назад

    Mungu awe nawe, mjori wa bwana "SHEHE PONDA" wewe ni shehe mkweli na muwazi wapasa kuigwa.

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 27 минут назад

    Shehe wangu vyombo hivi vyote ni vya wakubwa nao ndiyo wanavyovielekeza kufanya uovu huu ili kulinda uwepo wao.Hapa tunamwosha mbwa matako wakina vyura viziwi hawaelewi mwisho utaitwa umeota mkia

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 8 минут назад

    Ponda ana utulivu mkubwa anaongea anajiamini hawa ndio viongozi wanaohitajika

  • @abassjuma6248
    @abassjuma6248 21 минуту назад

    Sheghe panda vaatu grandad la cha Dema

  • @abdallahalwardi588
    @abdallahalwardi588 Час назад +1

    ●ni wazayuni ndiyo watekaji😂

    • @knight6757
      @knight6757 51 минуту назад

      Je wana jeshi yao na mapingu? 🤔