NONDO za WAKILI HUYU KUHUSU UTEKAJI - WATU KUPOTEA - SATIVA na WENZAKE - AJILIPUA KWA HOJA NZITO...
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- NONDO za WAKILI HUYU KUHUSU UTEKAJI - WATU KUPOTEA - SATIVA na WENZAKE - AJILIPUA KWA HOJA NZITO...
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Mungu akubari mweshimiwa wakili kwani watu wengi awajuilolote
Ahsante wakili Rugemelaza.Natamani tuelimishwe kila wakati.Kongamano limetutoa matongotongo.Du! Waliopewa mamlaka tunaomba muelewe ili mtende haki na ionekane.Pengine wenye mamlaka hawajui hizi sheria vinginevyo tilipo tusingefika tulipo.
Baba Rugemereza Mungu akubariki. Mwenye masikio na asikie.
Ni kweli sisi sote ni wahanga.
Mimi Niko Mbeya na Sina chama. Ila kuwapoteza watanzania wenzangu naumia sana kwani hao ni ndugu zetu.
Hatuwezi tukawa tunauana sisi Kwa sisi utadha tunatawaliwa na mafashist
Asante sana mzee wru
Ubarikiwe sana Mzee kwa kuelimisha wa TZ
Wasomi wa sheria hoyeeee nawapongeza kwani wanatoa maelezo kwa kunukuu vifungu vya sheria,ni bahati mbaya tuliowengi watanzania hatujui sheria katiba yetu hatujawai kuisoma.
Tatizo au shida kubwa yetu binadamu, ni kutotenda au kufuata taratibu, haki na sheria. Matokeo tunarejea ktk mitaala, badala ya practice/physical.
Kuna kesho au mjui
Ccm msikie
Wewe mwana. sheria kuna watu wenye kiu ya kuuwa watu hapo wanakusagia meno wao wamejihesabia kuwa hakuna wa kuwafanya cho chote kwakuwa wanao watuma ndio wenye mamlaka juu ya maamuzi ya matakwa yao ninyi mnapo ongea bila siraha yeyote wakati. wao wana maghara ya siraha na mamlaka ninyi ni kama. panzi tu
Ccm hawajui tunaongozwa na wajinga watajikita mahakani
Tumi a neno Waathiruka badala ya Wahanga. Wahanga ni watu waliojitoa Muhanga
Waathirika wa UKIMWI