NONDO za WAKILI HUYU KUHUSU UTEKAJI - WATU KUPOTEA - SATIVA na WENZAKE - AJILIPUA KWA HOJA NZITO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • NONDO za WAKILI HUYU KUHUSU UTEKAJI - WATU KUPOTEA - SATIVA na WENZAKE - AJILIPUA KWA HOJA NZITO...
    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 15

  • @noellema9109
    @noellema9109 2 часа назад +4

    Mungu akubari mweshimiwa wakili kwani watu wengi awajuilolote

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 2 часа назад +2

    Ahsante wakili Rugemelaza.Natamani tuelimishwe kila wakati.Kongamano limetutoa matongotongo.Du! Waliopewa mamlaka tunaomba muelewe ili mtende haki na ionekane.Pengine wenye mamlaka hawajui hizi sheria vinginevyo tilipo tusingefika tulipo.

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Час назад +2

    Baba Rugemereza Mungu akubariki. Mwenye masikio na asikie.

  • @AnaniaIsaya-z9g
    @AnaniaIsaya-z9g 4 часа назад +3

    Ni kweli sisi sote ni wahanga.
    Mimi Niko Mbeya na Sina chama. Ila kuwapoteza watanzania wenzangu naumia sana kwani hao ni ndugu zetu.
    Hatuwezi tukawa tunauana sisi Kwa sisi utadha tunatawaliwa na mafashist

  • @Pascaltz
    @Pascaltz 5 часов назад +1

    Asante sana mzee wru

  • @elizabethsimba9743
    @elizabethsimba9743 24 минуты назад

    Ubarikiwe sana Mzee kwa kuelimisha wa TZ

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 3 часа назад +1

    Wasomi wa sheria hoyeeee nawapongeza kwani wanatoa maelezo kwa kunukuu vifungu vya sheria,ni bahati mbaya tuliowengi watanzania hatujui sheria katiba yetu hatujawai kuisoma.

  • @ReubenRaymond-zh4yw
    @ReubenRaymond-zh4yw Час назад

    Tatizo au shida kubwa yetu binadamu, ni kutotenda au kufuata taratibu, haki na sheria. Matokeo tunarejea ktk mitaala, badala ya practice/physical.

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 5 часов назад

    Kuna kesho au mjui

  • @FurahaNelson-s1i
    @FurahaNelson-s1i 4 часа назад

    Ccm msikie

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango Час назад

    Wewe mwana. sheria kuna watu wenye kiu ya kuuwa watu hapo wanakusagia meno wao wamejihesabia kuwa hakuna wa kuwafanya cho chote kwakuwa wanao watuma ndio wenye mamlaka juu ya maamuzi ya matakwa yao ninyi mnapo ongea bila siraha yeyote wakati. wao wana maghara ya siraha na mamlaka ninyi ni kama. panzi tu

  • @FurahaNelson-s1i
    @FurahaNelson-s1i 4 часа назад

    Ccm hawajui tunaongozwa na wajinga watajikita mahakani

  • @akonaayako7185
    @akonaayako7185 5 часов назад

    Tumi a neno Waathiruka badala ya Wahanga. Wahanga ni watu waliojitoa Muhanga