Jaji Makaramba Aliyemfundisha Kamanda Muliro Auliza: Mnazuia Maandamano,Polisi Mmegeuka Yesu Kristu?
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Amezungumza haya wakati akifafanua kipengele cha kuzui watu kufanya jambo ambalo si kinyume na sheria mfano maandamano kwa kisingizio cha sheria ya 'Preventive Detention' wakati wa kongamano ya kupotea kwa watu Tanzania lililoandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika TLS.
Jaji mweleweshe mwanafunzi wako hakuelewa darasani.Upo vizuri jaji.
Point Sana mzee wetu
Jaji Makaramba rehea tena mahakamani ukafanye kazi bado unao uwezo wako bado taifablinakuhitaji.
Muriro meza hyo umegeuka Yesu
Nimekuelewa mzee upo vizuri sana
Safi sana mzee,uko vizuri
Bless jaji Makalamba
Hongera sana mzee
Safi sana mzee umewambia ukweli
Tatizo wakuu wa jeshi la polisi wamelogwa na chama kwa hofu ya uteuzi hivyo siyo rahisi kwa sasa kutenda haki
Mwalimu wangu mpendwa. Madini yamejaa.
godbres you my soon jaj
Fundisha huo wala hakuna sheria hiyo , kuandamana ipo kwa mujibu wa sheria kama vipi waondoe hiyo sheria
Muriro yuko kwa ajili ya mama abdul,na masauni! Aijipii(. ) kuwahi kutokea tz
Hiki nilichokipata kwa Jaji Makalamba leo ni Shule tosha.
Muliro utakua umeeleewa kuwa wewe sio Yesu unatabiri mambo ya kesho.
Hiyo ndiyo kazi ya polisi kuzuia matatizo yasitokee.
Mzee nimekuelewa
Uovu wa jeshi la polisi
Kipindi cha Mzee marehemu Magufuli haya makongamano hayakuwepo, na haya mnayoyasema leo mlikuwa wapi kipindi kile, hapa kuna kitu kimejificha.
Umeshakunya Leo?
Kafirwe na babaako,huna unalolijua kuma wewe
😂😂😂😂 nadhani ndo anakunya sasa 😂😂😂@@KisinzaNewton
Kwani huyo Babu yako Magfoooll alikuwa ana akili? Kumbaffffff
Kwani kipindi Cha Ali kiba anaheet Ile mwanzo mwanzo alishawahi kupata kesi ya kufilwa? Mbona Sasa kaja mondi kapata kec ya kufilwa
Bwana, lile swala la chadema, police wana haki kabisa.
Seems hukumwelewa
Chadema ni wahalifu hata mngekuwa Mawakili mia nane, hatukubali na Chokochoko za Chadema.
Kwa sababuwanasema ukweli wanawazuia waisilamu msiuze bandari @@nahlaaasidee1848
Pumbavu
Mtazamo wako,lakini,kama polisi wamenusa hatari ya maandamano,Sheria ya kuzuia maandamano yenye uhatari,inasubiri ifanye kazi siku ya maandamano?Ukweli wa kitiabhofu hiki,inaweza ukaelezwaje?kwa kuwa,mharifu,hukamatwa siyo kwa kusubiria maandamano.