Jaji Makaramba Aliyemfundisha Kamanda Muliro Auliza: Mnazuia Maandamano,Polisi Mmegeuka Yesu Kristu?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Amezungumza haya wakati akifafanua kipengele cha kuzui watu kufanya jambo ambalo si kinyume na sheria mfano maandamano kwa kisingizio cha sheria ya 'Preventive Detention' wakati wa kongamano ya kupotea kwa watu Tanzania lililoandaliwa na Chama cha Mawakili Tanganyika TLS.

Комментарии • 31

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 16 минут назад +2

    Jaji mweleweshe mwanafunzi wako hakuelewa darasani.Upo vizuri jaji.

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 2 часа назад +4

    Point Sana mzee wetu

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 58 минут назад +2

    Jaji Makaramba rehea tena mahakamani ukafanye kazi bado unao uwezo wako bado taifablinakuhitaji.

  • @kelvinnhungo5771
    @kelvinnhungo5771 2 часа назад +5

    Muriro meza hyo umegeuka Yesu

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Час назад

    Nimekuelewa mzee upo vizuri sana

  • @KisinzaNewton
    @KisinzaNewton Час назад

    Safi sana mzee,uko vizuri

  • @NicholausErnest
    @NicholausErnest Час назад

    Bless jaji Makalamba

  • @FocusmachumuMwizarubi
    @FocusmachumuMwizarubi Час назад

    Hongera sana mzee

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Час назад

    Safi sana mzee umewambia ukweli

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 часа назад +1

    Tatizo wakuu wa jeshi la polisi wamelogwa na chama kwa hofu ya uteuzi hivyo siyo rahisi kwa sasa kutenda haki

  • @floridakagemulo3183
    @floridakagemulo3183 Час назад +1

    Mwalimu wangu mpendwa. Madini yamejaa.

  • @QasammaMachibya
    @QasammaMachibya 17 минут назад

    godbres you my soon jaj

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 5 минут назад

    Fundisha huo wala hakuna sheria hiyo , kuandamana ipo kwa mujibu wa sheria kama vipi waondoe hiyo sheria

  • @mkondomkondo4721
    @mkondomkondo4721 45 минут назад

    Muriro yuko kwa ajili ya mama abdul,na masauni! Aijipii(. ) kuwahi kutokea tz

  • @johnnzumbe
    @johnnzumbe Час назад

    Hiki nilichokipata kwa Jaji Makalamba leo ni Shule tosha.
    Muliro utakua umeeleewa kuwa wewe sio Yesu unatabiri mambo ya kesho.

  • @peteremanuel2367
    @peteremanuel2367 56 минут назад

    Hiyo ndiyo kazi ya polisi kuzuia matatizo yasitokee.

  • @AloisMosha-uv2fu
    @AloisMosha-uv2fu 56 минут назад

    Mzee nimekuelewa

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 17 минут назад

    Uovu wa jeshi la polisi

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee1848 Час назад

    Kipindi cha Mzee marehemu Magufuli haya makongamano hayakuwepo, na haya mnayoyasema leo mlikuwa wapi kipindi kile, hapa kuna kitu kimejificha.

    • @KisinzaNewton
      @KisinzaNewton Час назад

      Umeshakunya Leo?

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 55 минут назад

      Kafirwe na babaako,huna unalolijua kuma wewe

    • @dizzboss7526
      @dizzboss7526 51 минуту назад

      😂😂😂😂 nadhani ndo anakunya sasa 😂😂😂​@@KisinzaNewton

    • @songombingo108
      @songombingo108 28 минут назад

      Kwani huyo Babu yako Magfoooll alikuwa ana akili? Kumbaffffff

    • @hassanrashid-l3u
      @hassanrashid-l3u 23 минуты назад

      Kwani kipindi Cha Ali kiba anaheet Ile mwanzo mwanzo alishawahi kupata kesi ya kufilwa? Mbona Sasa kaja mondi kapata kec ya kufilwa

  • @peteremanuel2367
    @peteremanuel2367 Час назад

    Bwana, lile swala la chadema, police wana haki kabisa.

    • @rkcomercialenterprises3209
      @rkcomercialenterprises3209 Час назад

      Seems hukumwelewa

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 Час назад

      Chadema ni wahalifu hata mngekuwa Mawakili mia nane, hatukubali na Chokochoko za Chadema.

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow Час назад

      Kwa sababuwanasema ukweli wanawazuia waisilamu msiuze bandari ​@@nahlaaasidee1848

    • @KisinzaNewton
      @KisinzaNewton Час назад

      Pumbavu

    • @LucasMaiko-g1w
      @LucasMaiko-g1w 56 минут назад

      Mtazamo wako,lakini,kama polisi wamenusa hatari ya maandamano,Sheria ya kuzuia maandamano yenye uhatari,inasubiri ifanye kazi siku ya maandamano?Ukweli wa kitiabhofu hiki,inaweza ukaelezwaje?kwa kuwa,mharifu,hukamatwa siyo kwa kusubiria maandamano.