@@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,
Kaka Jerry namimi nimewiwa kukomenti kwa niaba ya wananchi na Taifa letu kwa ujumla kuitangaza kazi nzuri unayoifanya Mheshimiwa Waziri Jerry, sina maneno mengi wala sina maneno yanyongeza Mungu wetu wa mbinguni ameamua kusimama pamoja nasi watanzania wenzagu tulieni yajayo yanafurahisha kwani Mungu wetu wabinguni hawezi kutuacha kwani mbegu ya haki aloipanda Mwenyazi Mungu hakika hustawai milele
Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.
SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE
Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx
@@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .
Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.
Jelly Silaa na Makonda pia na Mbunge Mpina Utendaji kazi wao nimzur Mungu awaongoze
Mpina mchumia tumbo
Mpina hamna kitu
@@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,
@@shabanikitula645Mpaka uwe na elimu ya kutosha, kuelewa Mpina anazungumuza nini.
Makonda na Slaaa majembe asantee mama kwakutuletea wanaich zawad yenye hof ya mungu
Nawapongeza sana viongozi wetu p makonda jery sillah kwakazi mnayo fanya nimakubwa ssna hafu nzinto mno hongereni
WAZIRI pekee mwenye uzalendo na utu kwakweli mungu akuweke mh JERRY slaa huna baya kakangu
Kaka Jerry namimi nimewiwa kukomenti kwa niaba ya wananchi na Taifa letu kwa ujumla kuitangaza kazi nzuri unayoifanya Mheshimiwa Waziri Jerry, sina maneno mengi wala sina maneno yanyongeza Mungu wetu wa mbinguni ameamua kusimama pamoja nasi watanzania wenzagu tulieni yajayo yanafurahisha kwani Mungu wetu wabinguni hawezi kutuacha kwani mbegu ya haki aloipanda Mwenyazi Mungu hakika hustawai milele
Mungu mwema sana tuomba uwalinde kwa kila jambo!🙏🏽🙏🏽
Wewe ni rais wetu WA future....Tanzania needs you more than you need us.
Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.
Slaha Rais 2030.apewe ulinzi. Mkali. Rais.msomi.mtukivu.ana heshima mpole.
Mh,Silaa mungu wetu wambunguni akulinde akusimamie uendelee kutenda haki ya kuwatetea wanyonge
HIZI NDIO INJIN ZA MHE RAIS DKT SAMIA (AK) MAMA KIZIMKAZI # TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA MAMA NANI KAMA MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤ ?...
Big up MH
.Slaaa
Makonda and salaa mungu awalinde ❤
Hongera sana Mhe Waziri wa Ardhi kwa Hotuba hiyo nzuri na Mungu akubariki sana.
Hiyo sauti yako waziri inanguvu ya Mungu ya kuiponya Tanzania
Mungu akulinde
Hiii kichwa Mungu ailinde
Mungu akurinde waziri wetu
Mungu akutangulie
jmi mwenzenu huyu mtu daah Mungu wetu amtunze jmni
huyu mtu amepania kufanya kazi..tumuombeeni jmni
Yuko wapi wasila hatuja wahi kusikia kazi yake laisi anazidi kupewa kazi anadawa sana
I love this man my god bless him
Kiongozi wangu Bora kabisa slaaa and makonda
Rais wetu wabadae mashaallah 🙏🙏🙏
Piga kazi silahaa Mungu akulinde
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu
Wewe na makonda na mpinq ndee mbarkiwa
Ameen kubwa Sana,hakuna mkamilifu
Huyu Waziri Slaa iwapo atapewa urais uwenda viato vyamagufuli vikamtosha au akawa zaidi ya Magufuli.
Ndugu yangu hataapewe ulais viatu vyamagufuli nivikubwa mno
Kunambi anakupiga vita silahaa piga kazi
Je huyu Jaji ataendelea kuwa jaji? Nchi za kiafrica tutabakia masikini ikiwa matapeli na wezi wa mabilioni wanainunuwa sheria
Muheshimiwa mwenyez mungu akuhifadhi inshallah 🙏 mtetezi wa wanyonge
SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE
Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx
Brother jer piga kazi achana na akina kanyasu hao wanataka kukuondoa kwenye mstar
Wizara imepata mwenyewe kafiti Kila kona
Kila tukija kwako unatupiga miezi mpaka watu tunaamua kumtafuta milady ayo labda tutasikika .
Kwahy usaidiweje huku mtandaoni
Usichoke vumilia ipo siku yatakwisha
Nenda chuma No 303 ghorofa ya 3 iliyokuwa Wizara ya Ardhi kwa Bwana Jacob Ngowi atakusikiliza suala lako litafanyiwa kazi !
@@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .
Bado hakuna haki
Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.
Mahakamani ni wengi waovu
DAWA YA DENI NI KULIPA .
Gip
Nyoosha wale wanapora aridhi za wanyonge
Kuna Makonda na Slaa hawa watu ni wachapakazi
Hawa vijana Wana busara na akili sana wapeni vijana kazi mm
Mungu akulinde
Haya mazao ya magufuli niliyatarajia na Bado wanakuja mungu awabariki sana jury slaa na p makonda nawengine tunao watarajia
Mungu wenu Samia mnamsahau ata muumba wa vitu vyote mnamsujudia mtu duuuuuu