DAKIKA 52 ZA JERRY SILAA ATUMA SALAMU KWA JAJI WA MAHAKAMA ANAYETAJWA KUSAIDIA MATAPELI WA ARDHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 59

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 4 месяца назад +9

    Jelly Silaa na Makonda pia na Mbunge Mpina Utendaji kazi wao nimzur Mungu awaongoze

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 3 месяца назад +2

      Mpina mchumia tumbo

    • @shabanikitula645
      @shabanikitula645 3 месяца назад

      Mpina hamna kitu

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад

      @@msafirimaulidi5054Mpina ni Mbunge safi. Ni mbunge yuko upande wa watanzania. Mpina si muchumia tumbo. Wachumia tumbo wanajulikana. Katika wabunge Mpina ni namba one,

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад

      @@shabanikitula645Mpaka uwe na elimu ya kutosha, kuelewa Mpina anazungumuza nini.

  • @RehemaMaduka
    @RehemaMaduka 3 месяца назад +2

    Makonda na Slaaa majembe asantee mama kwakutuletea wanaich zawad yenye hof ya mungu

  • @MdAr-q7i
    @MdAr-q7i 3 месяца назад

    Nawapongeza sana viongozi wetu p makonda jery sillah kwakazi mnayo fanya nimakubwa ssna hafu nzinto mno hongereni

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 3 месяца назад +1

    WAZIRI pekee mwenye uzalendo na utu kwakweli mungu akuweke mh JERRY slaa huna baya kakangu

  • @AbelMpuya
    @AbelMpuya 2 месяца назад

    Kaka Jerry namimi nimewiwa kukomenti kwa niaba ya wananchi na Taifa letu kwa ujumla kuitangaza kazi nzuri unayoifanya Mheshimiwa Waziri Jerry, sina maneno mengi wala sina maneno yanyongeza Mungu wetu wa mbinguni ameamua kusimama pamoja nasi watanzania wenzagu tulieni yajayo yanafurahisha kwani Mungu wetu wabinguni hawezi kutuacha kwani mbegu ya haki aloipanda Mwenyazi Mungu hakika hustawai milele

    • @ElizabethPeter-cu8bg
      @ElizabethPeter-cu8bg 2 месяца назад

      Mungu mwema sana tuomba uwalinde kwa kila jambo!🙏🏽🙏🏽

  • @feruzyjuma
    @feruzyjuma 3 месяца назад +1

    Wewe ni rais wetu WA future....Tanzania needs you more than you need us.

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 3 месяца назад

    Jelly Silaa ni baraka ilishushwa na Mwenyezi Mungu aliye hai. Asante sana Watanzania hatuna maneo ya kutosha ya kutoa shukrani zako kwako. Tunakuombea baraka tele kwa Mwenyezi Mungu wewe pamoja na familia yako.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 4 месяца назад +4

    Slaha Rais 2030.apewe ulinzi. Mkali. Rais.msomi.mtukivu.ana heshima mpole.

  • @endwardntandu3736
    @endwardntandu3736 3 месяца назад +1

    Mh,Silaa mungu wetu wambunguni akulinde akusimamie uendelee kutenda haki ya kuwatetea wanyonge

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 3 месяца назад +1

    HIZI NDIO INJIN ZA MHE RAIS DKT SAMIA (AK) MAMA KIZIMKAZI # TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA MAMA NANI KAMA MAMA🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤ ?...

  • @ombeninnko1800
    @ombeninnko1800 3 месяца назад +1

    Big up MH
    .Slaaa

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 месяца назад +2

    Makonda and salaa mungu awalinde ❤

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 3 месяца назад

    Hongera sana Mhe Waziri wa Ardhi kwa Hotuba hiyo nzuri na Mungu akubariki sana.

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 3 месяца назад

    Hiyo sauti yako waziri inanguvu ya Mungu ya kuiponya Tanzania

  • @rajatially8628
    @rajatially8628 2 месяца назад

    Mungu akulinde

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 3 месяца назад

    Hiii kichwa Mungu ailinde

  • @HashimYahaya-hd3zm
    @HashimYahaya-hd3zm 2 месяца назад

    Mungu akurinde waziri wetu

  • @rajatially8628
    @rajatially8628 2 месяца назад

    Mungu akutangulie

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 4 месяца назад +2

    jmi mwenzenu huyu mtu daah Mungu wetu amtunze jmni

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад +1

    Yuko wapi wasila hatuja wahi kusikia kazi yake laisi anazidi kupewa kazi anadawa sana

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 месяца назад

    I love this man my god bless him

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu 4 месяца назад +2

    Kiongozi wangu Bora kabisa slaaa and makonda

  • @dr.sendeuonlinetv2916
    @dr.sendeuonlinetv2916 3 месяца назад

    Rais wetu wabadae mashaallah 🙏🙏🙏

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 3 месяца назад

    Piga kazi silahaa Mungu akulinde

  • @AlistidiusKagyabukama
    @AlistidiusKagyabukama 3 месяца назад

    Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @GracePaul-x3q
    @GracePaul-x3q 4 месяца назад

    Ameen kubwa Sana,hakuna mkamilifu

  • @CizaDangote
    @CizaDangote 4 месяца назад +1

    Huyu Waziri Slaa iwapo atapewa urais uwenda viato vyamagufuli vikamtosha au akawa zaidi ya Magufuli.

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 3 месяца назад +1

    Kunambi anakupiga vita silahaa piga kazi

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад

    Je huyu Jaji ataendelea kuwa jaji? Nchi za kiafrica tutabakia masikini ikiwa matapeli na wezi wa mabilioni wanainunuwa sheria

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 3 месяца назад

    Muheshimiwa mwenyez mungu akuhifadhi inshallah 🙏 mtetezi wa wanyonge

  • @EsterEdward-eo6ds
    @EsterEdward-eo6ds 4 месяца назад

    SAFI SANA NIMEIPENDA HIYO NI KWELI KABISA WANAFANYA UDHAMINI KISHA WANAPOTEA WAKIRUDI WANARUDI NA MBINU NYINGINE YA KUWAPA WANACNHI NOTSI HII SIYO HAKI KABISA NI KUWAONEA WANYONGE

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 месяца назад

    Kungekuwa na ugombeaji wa urais 2025 ukaweka majina haya Mh. Mpina, Jerry slaa , H. Bashe na akaja P. Makonda ingekuwa ngoma ngumu. LAKINI kwa mizengwe ya CCM wamebana nafasi kwa makusudi. 2025 wanamwachia xxxx

  • @michaelmwaiteleke9488
    @michaelmwaiteleke9488 3 месяца назад

    Brother jer piga kazi achana na akina kanyasu hao wanataka kukuondoa kwenye mstar

  • @ReginaManyangu
    @ReginaManyangu 3 месяца назад

    Wizara imepata mwenyewe kafiti Kila kona

  • @Don_Saleh_
    @Don_Saleh_ 4 месяца назад +2

    Kila tukija kwako unatupiga miezi mpaka watu tunaamua kumtafuta milady ayo labda tutasikika .

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 4 месяца назад

      Kwahy usaidiweje huku mtandaoni

    • @jacksonpriva7664
      @jacksonpriva7664 4 месяца назад

      Usichoke vumilia ipo siku yatakwisha

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 4 месяца назад

      Nenda chuma No 303 ghorofa ya 3 iliyokuwa Wizara ya Ardhi kwa Bwana Jacob Ngowi atakusikiliza suala lako litafanyiwa kazi !

    • @Don_Saleh_
      @Don_Saleh_ 4 месяца назад

      @@syliviakente9460 sio kwenda kwake tuu nishaonananae mara nyingi na mpaka namba yake ninayo mpaka kukutana na waziri mwenyewe tayari lakini kilichobaki ni ninapewa kalenda tuu swala lishafikia mwisho lakini bado nazungushwa tuu .

    • @ZaycargoMovers-vx6lf
      @ZaycargoMovers-vx6lf 3 месяца назад

      Bado hakuna haki

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 3 месяца назад

    Kuna mtu humo ndani huwa ana vita na mawaziri wa ardhi kila wakiingia.Ilikuwa aliyepita.Na sasa huyu.Piga Kazi Mheshimiwa Slaa. Mungu yuko upande wako.

  • @GracePaul-x3q
    @GracePaul-x3q 4 месяца назад

    Mahakamani ni wengi waovu

  • @EsterEdward-eo6ds
    @EsterEdward-eo6ds 4 месяца назад

    DAWA YA DENI NI KULIPA .

  • @HildaMangire
    @HildaMangire 3 месяца назад

    Gip

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 4 месяца назад

    Nyoosha wale wanapora aridhi za wanyonge

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 4 месяца назад

    Kuna Makonda na Slaa hawa watu ni wachapakazi

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 4 месяца назад

    Hawa vijana Wana busara na akili sana wapeni vijana kazi mm

  • @rajatially8628
    @rajatially8628 2 месяца назад

    Mungu akulinde

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 3 месяца назад

    Haya mazao ya magufuli niliyatarajia na Bado wanakuja mungu awabariki sana jury slaa na p makonda nawengine tunao watarajia

  • @TrustElbashil
    @TrustElbashil 4 месяца назад +1

    Mungu wenu Samia mnamsahau ata muumba wa vitu vyote mnamsujudia mtu duuuuuu