All facts are reality that we cannot ignore, the government itself wants dollar, if they want people to use Tshs, then they the government must stop taking dollars to make things fair
Huyu ni mwenyekiti wa TATO. Chama Cha WAMILIKI WA kampuni za utalii. Na anachokiongea kina mantiki. Ulienda nchi nyingine hawapokei dollar kwenye mauzi yoyote, badilisha dollar zako lipa in local currency@@zuheorsalim7759
Tatizo mifumo ya Tanzania inaendeshwa na siasa sio professionalism imagine mtu kama huyu anaingia kwenye mfumo na anaakili kubwa ivi 👏 he reminds me of my dad
Kweli but unfortunately huyo huwezi mpa kazi serikalini ni mjasiriamali mkubwa.... ana hotel zaidi ya 30 Arusha mjini,ngorongoro,Serengeti ,tarangire na anazo land cruiser siyo chini ya 500,yaani ni BOSS.
you don't have to say governor kageuzwa maembe. badala yake unapaswa kumpongeza kwa kutenga muda wakupokea maoni kutoka kwa hao wafanya biashara...this thing is very rare kwa office bearers wengi, na nijambo lenye werevu na busara ndani yake...otherwise mzungumzaji kanena vyema.
Less cash kwenye mzunguko ndio inatakiwa. Unadhani Dealers wa Utalii hawana Dollar Acct benki? Wanazo. Anachosema Industry ipate credit card.. hata mgeni akija Kama mfumo wetu hausomi zao wapate za hapa ili watumie dollars zao kupitia credit card zetu badala ya kuanzisha bureau de change kila hoteli. Badala yake hoteli ziwe na epayment machine tu. Wananzengo wao walipe cash Kama kawaida. Hapo hata wananzengo siku hz tunawekewa Lipa Namba... Lakini hela yetu tunayo mkononi zaidi. Hufuma zetu nyingi hamna Lipa Namba. Ana exposure na Industry
HEBU NCHI YETU IFUKE MAHALI SERIKALI IFANYE KAZI KWA WELEDI ZAIDI HAPA INAONESHA MFABIASHARA ANAVYOPATA SHIDA BILA SERIKALI KULIONA HILO. UPGRADE YOUR SYSTEM MY COUNTRY.
Hakuna hata siku moja serikali ikakubali kufanya Kazi na watu wenye akili kama hawa , itashindwa kuwaburuza, serikali huwa inawapa cheo ma mburura na machawa tuu. Huyu mtu anajua anacho ongea na confidence yake inamuelezea vizuri.
Umeongea fact kabisa. Ofisi za serikali maboss hawataki kabisa mfanyakazi mwenye akili maana anajua hawezi kukuburuza...na wakati wao hawataki kufanya kazi kwa kufata utaratibu so wanataka wachukue wajinga tu wawe machawa...Watu wenye akili hata kwenye vikao maboss huwa hawataki uongee kabisa na wanasema eti ni wabishi. Bongo ukiwa na akili tu watu wanakutungia jina la MBISHI/ MCHOCHEZI/ MGOMVI. Ili wakufanye ukubaliane na upuuzi wao wakati deep down wanajua kabisa huna baya ila wanakutungia hayo majina kukumanipulate usiwachallenge. Na kamwe hatutaendelea kwa sababu watu wenye akili kama hawa hawatakiwi kuongea....
Chambulo excellent clarification. Serikali ione huu ni mfano mzuri na wachukue.wizara zote ziwe na wazoefu walioko kwenye field kwa ushauri.nchi itasonga siasa ikae pembeni.
Tanzania ukiacha kwamba tuna vivutio vingi vya asili, wanyama, mlima kilimanjaro fukwe nzuri za bahari lakini mwaka 2023 wameingia watalii milioni 1.2 tu wakti misri wameingiza watalii milioni 13, halafu unaanza kusikia wanaleta sheria za namna hii
The only governor in Tanzania without a high education : Doctorate(PhD). Mwepesi sana kuongea compared na waliopita kabla yake kwakuwa Hana credentials
@@shinipapaya846 asante kwa kunitukana ndugu yangu.. sasa kama jirani yako anafanya vizuri zaidi yako kwani ni mbaya kumpa pongezi zake. Wewe unatoka mkoa gani? Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa mbele kimaendelea na hata kwa kuwa na shule nyingi za secondary pia. Niambie wewe unatoka mkoa gani?
Mzee Baba unafaa kuwa Mwenyekiti wa maisha. Unaongea kiukweli na uhakika tena kwa kujiamini. Shukran asante endeleza mapambano ya kujenga taifa letu Tanzania! Mungu akupe nguvu na afya njema!
Huyu jamaa alianza biashara kwa shida sana mwanzoni. Usimwone hapo anaongea ni mpambanaji kwelix2. Usikate tamaa kwenye kila unachofanya,ongeza juhudi na maarifa zaidi
Hili suala limeshazungumzwa miaka nenda Rudi. Kuna Pahala Ukiuliza bei unaletewa Dola. Mahoteli hivyo.. unajiuliza kwani Marekani ukiuliza Bei wanakwambia Bei kwa Currency ya Wapi?
@@festohaule9716 tz usomi hauna maana tena watu wanaelimu ya umiliki wa mahudhurio ya darasani ni wasomi wachache mnoo labda unaweza waelewa wengi machawa na wavaa suti ila kichwani hamna jambo watu wakushangilia na kushabikia ila si watu wenye mawazo ya maana
Mzee anaongea point sana,hao hawajui kama hela zinazotembea mkononi (Cash) nyingi hawalipii hata kodi na kama nchi hawawezi hata kujua mzunguko wa hela. Kikubwa hela itumike huko kwenye mabenki ( mzunguko uwe wa bank).
Mh wiliam chambulo,maarufu(kaburu) kaka upo vizuri sana you have got highest knowledge!! Hebu Toa somo kwa serekali,that’s true story’mama nadhani unasikia😂gavana sasa umepata mwanga
😢wafundishe hso wanafanya kazi certificate hawajui kitu hao wanakaa tu ndani hawana uzoefu hawamiliki hata kibanda cha mboga na matunda wafundisheni hawajui jaman wanajua kushusha hesabu bila kujua inaanzia wapi
Hii nchi ya bangi ndio maana Tanzania pamoja na sehemu muhimu za utali na haina nusu milion ya watali Morocco hakuna urasimu watali wanao kwennda Morocco NI milion 30
Umeangea kwa akili huko ndani safisheni kwanza ndo mje kwa wapiga kura, kumaanisha nyumba ni chafu inaitaji usafi, safi sana kaka Akili yako imekqmilika.
MiMi mfanya biashala south nikitoka nje ya South nimeuza mzigo nikienda na dola Hakuna anaenipokea Hawataki kuiona dollar wanataka Rand Tuu ivyo nabalianae kabisa mkuu
Hao wazee wa suti nyeusi ndio black market yenyewe ndio maana they are acting stupid hapa wanajua sana kinachoendelea ndani ya nchi kifupi pale kwenye towers mbili pamejaaa uozooo
Huyu mtu anaakili sana.kama umemuelewa gonga like👍
Nimemuelewa vinzur mno
Genius huyu jamaa.
Nyiye mkienda nje mtakubali kufanyiwa hivyo
MFANO MZURI KWA WASOMI WASIO JITAMBUA KILA JAMBO MAWAZO OVYO.
Hamna kitu wezi tu hao
Mr Wilbard lectured the BOT governor on how to run the bank. What an amazing fact.
😂😂😂
Assholes wearing suits and ties and only thing they know kupata hela za haraka haraka usizovujia jasho lame ppl
All facts are reality that we cannot ignore, the government itself wants dollar, if they want people to use Tshs, then they the government must stop taking dollars to make things fair
Hawa ndio wanafaa kuwa viongozi governor hajui kitu yani achukue madini hayo
He lectured him in a very simple language with vivid examples. .......asipoelewa tena apo basi
I used to think I know something about Business until I listened to this man.
😅
😂😂
Genius Chambulo, Nimefanya biashara na huyu jamaa muda mfupi sana.. lakini kwake Confident is game Changer...
Jamaa yupo smart sana anastahili kuwa mwenyekiti👏👏
Hamna kitu hapo anachokiongea ni bla bla haiwezekani anachokisema
we boya kweli eti mwenyekiti 😅😅
Huyu ni mwenyekiti wa TATO. Chama Cha WAMILIKI WA kampuni za utalii. Na anachokiongea kina mantiki. Ulienda nchi nyingine hawapokei dollar kwenye mauzi yoyote, badilisha dollar zako lipa in local currency@@zuheorsalim7759
Kweli nafasi yake ya Mwenyekiti anaitumia vizuri....Mungu amjalie Afya njema!!
Tatizo mifumo ya Tanzania inaendeshwa na siasa sio professionalism imagine mtu kama huyu anaingia kwenye mfumo na anaakili kubwa ivi 👏 he reminds me of my dad
Best comment ever
Glad to see someone acknowledging her dad!
Is your dad still alive?
Hakika
This man is very smart kiukweli serikali yetu inapaswa kubadilisha mfumo.... Big Up Mr Man
Mama Samia hao ndiyo wakuwatumia maarifa yao yanaweza tufikisha mbali
Kweli but unfortunately huyo huwezi mpa kazi serikalini ni mjasiriamali mkubwa.... ana hotel zaidi ya 30 Arusha mjini,ngorongoro,Serengeti ,tarangire na anazo land cruiser siyo chini ya 500,yaani ni BOSS.
@@archbordygodfrey2614Awe hata mshauri waserekali ktk sekta yautalii
@@archbordygodfrey2614 siyo lazima amwajiri anaweza mtumia kama mshauri kwenye mambo ya utalii
@@archbordygodfrey2614Nani huyu kwa jina mbona Mali nyingi
Ushauri wake mzuri,
Serikali ikiamua yaweza utumia
Huyu bwana ameongea point,tumpe maua yake
huyo ndo mwenye KIBO SAFARI
Kila kitu uchawa tu, wewe una maoni gani?
@@ezekieljacob5795 kwani unataka kua chawa wangu ama
@@BLUBEENICEetii chawa wanguu😂😂😂😂🤔
Bora huu mkutano alienda GAVANA...angeenda yule Wazir Mvaa Skafu ya 🇹🇿🇹🇿 sijui kama angeruhusu hata recoding ya haya na kuelewa pia
😂😂😂
😂😅
Bila shakq ni Mwigulu huyo unaemzungumzia😂😂😂
@barakakusa7606kuna mwingine 😅😅😅😅😅
hamna kitu mulee😂
That dude should be the governor… very intelligent man 🏴
This man is Owner of KIBO SAFARI in tanzania Arusha
Smart guy,Smart points 👌
Serikali imeshindwa ku control na hawataweza ku control. Rushwa na ubadhirifu umezidi. Very sad🙁🙁
Hapo ndo shida kuna watu wananufaika na mfumo
Akili kubwa ndio hizi sasa 👏well said 👌
YES
Mchaga uyu c bure tulinyimwa nchi😅😅
Huyu sii masai kweli
Governor amefunzwa kwamba politicians are only trusted with power by people but wisdom is inborn. Governor kageuzwa kuwa maembe kabisa
nyanya bhn
Wisdom is learnt not inborn
Samahani niache nicheke 🤣🤣🤣
@@DavalsonMarlony no knowledge is a acquired (learned) but not in born but wisdom is inborn. Unless if u are responding as a Tanzanian^^😂😂😂
you don't have to say governor kageuzwa maembe. badala yake unapaswa kumpongeza kwa kutenga muda wakupokea maoni kutoka kwa hao wafanya biashara...this thing is very rare kwa office bearers wengi, na nijambo lenye werevu na busara ndani yake...otherwise mzungumzaji kanena vyema.
Jamaa yuko vizuri... sijui kama anaeleweka.
Ni kweli gavana kama amemwelewa aanze kusafisha ndani kwanza halafu aje kwa wafanyabiasha, ubaya wanakurupuka bila kufanya utafiti.
😂
Huyu anazungumxia uzoefu alio nao, lkn walioko banki kuu wanaanzisha mifumo,ambapo labda mingine haiendani na hali halisi
Amen
👍👍
Mbona comment Kali sana hii.Ukweli ndo huo uliopo.
Less cash kwenye mzunguko ndio inatakiwa. Unadhani Dealers wa Utalii hawana Dollar Acct benki? Wanazo. Anachosema Industry ipate credit card.. hata mgeni akija Kama mfumo wetu hausomi zao wapate za hapa ili watumie dollars zao kupitia credit card zetu badala ya kuanzisha bureau de change kila hoteli. Badala yake hoteli ziwe na epayment machine tu. Wananzengo wao walipe cash Kama kawaida. Hapo hata wananzengo siku hz tunawekewa Lipa Namba... Lakini hela yetu tunayo mkononi zaidi. Hufuma zetu nyingi hamna Lipa Namba. Ana exposure na Industry
Huwezi endesha dolla kwa uzoefu au kwa maneno😂
HEBU NCHI YETU IFUKE MAHALI SERIKALI IFANYE KAZI KWA WELEDI ZAIDI HAPA INAONESHA MFABIASHARA ANAVYOPATA SHIDA BILA SERIKALI KULIONA HILO. UPGRADE YOUR SYSTEM MY COUNTRY.
Serikali inajua inachokifanya, wana create confusion ili wao wanufaike. Hawataki kuweka mfumo unaoeleweka maake watakosa rushwa zao. Shh 😊
Hii nchi mfanyabiashara mzawa ananyanyasika Sana tofauti akienda nchi zingine
Lets wait and see
Pure failure ndio maana hatukui sekta ya utalii pamoja na potential tuliyo nayo
Tulia Dawa ikuingie......
Soo smart Hawa ndio wanaojielewa
Hakuna hata siku moja serikali ikakubali kufanya Kazi na watu wenye akili kama hawa , itashindwa kuwaburuza, serikali huwa inawapa cheo ma mburura na machawa tuu. Huyu mtu anajua anacho ongea na confidence yake inamuelezea vizuri.
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Huyu kaishia la Saba tu. Tizama alivyo na akili. Ndo ujue akili sio lazima uende shule. Huyu la Saba ana akili kuliko PhD holders
@@Josephineexsuper na watu kama hawa tunao wengi Sana wangeweza kusaidia mambo kibao, tatizo huo mfumooo😄😄😄😄
Umeongea fact kabisa. Ofisi za serikali maboss hawataki kabisa mfanyakazi mwenye akili maana anajua hawezi kukuburuza...na wakati wao hawataki kufanya kazi kwa kufata utaratibu so wanataka wachukue wajinga tu wawe machawa...Watu wenye akili hata kwenye vikao maboss huwa hawataki uongee kabisa na wanasema eti ni wabishi. Bongo ukiwa na akili tu watu wanakutungia jina la MBISHI/ MCHOCHEZI/ MGOMVI. Ili wakufanye ukubaliane na upuuzi wao wakati deep down wanajua kabisa huna baya ila wanakutungia hayo majina kukumanipulate usiwachallenge. Na kamwe hatutaendelea kwa sababu watu wenye akili kama hawa hawatakiwi kuongea....
Hawa ndio wanatakiwa kukabidhiwa wizara ya utalii👏👏👏
Yep ana knowledge na uzoefu from the field
I am so impressed! well done Mr. Chambulo. Genius explanation!
Chambulo excellent clarification. Serikali ione huu ni mfano mzuri na wachukue.wizara zote ziwe na wazoefu walioko kwenye field kwa ushauri.nchi itasonga siasa ikae pembeni.
Safi sana, Serikali imefaili moja kwa moja kwenye masaula mazima ya utalii
Si vile wengi hawaju watu wanaona cruises zimepangana barabarani wanasema e nchi ina ela sasa watu biashara zetu zizunguke kumbe tunaliwa
Tanzania ukiacha kwamba tuna vivutio vingi vya asili, wanyama, mlima kilimanjaro fukwe nzuri za bahari lakini mwaka 2023 wameingia watalii milioni 1.2 tu wakti misri wameingiza watalii milioni 13, halafu unaanza kusikia wanaleta sheria za namna hii
@@jumakessy7560 Hii nchi ni ya ovyo sana
Huyo Governersi ndye aliyesema maisha hayjawahi kuwa mepesi ...
No wonder he is outsmarted by this man
The only governor in Tanzania without a high education : Doctorate(PhD).
Mwepesi sana kuongea compared na waliopita kabla yake kwakuwa Hana credentials
Kweli kaskazini hakunaga fala . 🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂
Wengi wao ni mapunga 😊😊
True watu wa kaskazini wametutangulia wapo Bright sana.
@@RafikimediaTZ umetanguliwa ww na wazazi wako wasio jitambua na huenda ni mapunga chele 🤣🤣
@@shinipapaya846 asante kwa kunitukana ndugu yangu.. sasa kama jirani yako anafanya vizuri zaidi yako kwani ni mbaya kumpa pongezi zake. Wewe unatoka mkoa gani? Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa mbele kimaendelea na hata kwa kuwa na shule nyingi za secondary pia. Niambie wewe unatoka mkoa gani?
Very smart uncle 👍👌🔥🇹🇿
Mzee Baba unafaa kuwa Mwenyekiti wa maisha. Unaongea kiukweli na uhakika tena kwa kujiamini.
Shukran asante endeleza mapambano ya kujenga taifa letu Tanzania!
Mungu akupe nguvu na afya njema!
Kaburu very Smart lecture
Well done KABURU,... wafanyie kazi basi
Mchaga uyu kaburu wap
KABuRu @ a k a Hilo jina ndio anajikana zaid@@abdulymaeda2697
Huyu jamaa alianza biashara kwa shida sana mwanzoni. Usimwone hapo anaongea ni mpambanaji kwelix2. Usikate tamaa kwenye kila unachofanya,ongeza juhudi na maarifa zaidi
Ata kama ujaenda shule Kwa uyu mzee lazma utamuelewa
Real fact💯 akili kubwaa hii
Knowledge and wisdom kwa mpigo moja
Very smart, narudia Tena VERY SMART. Maskini wa Mungu Governor imebidi atulie tubaskize. Tatizo lipo serikalini, kama ana mawazo maana ameelewa.
Very very logic and smart congrats bro chambulo.....
Watu Wafunguke Kama Hivi Afanyavyo Huyu Jamaa Hiyo Haliinatupa Taabu Sana Inchi Nzima Asante Sana Kwa Kazi Nzuri Kama Hiyo👍👍👍
This man is very bright 🎉
Serikali ikishauriwa mara nyingi inafanya the opposite. Hii inadumaza biashara.
Wanajifanya wajuaji
Hili suala limeshazungumzwa miaka nenda Rudi. Kuna Pahala Ukiuliza bei unaletewa Dola. Mahoteli hivyo.. unajiuliza kwani Marekani ukiuliza Bei wanakwambia Bei kwa Currency ya Wapi?
Jamaa genius kuliko waliopo kwny Hy sctr
Tz wasomi wanasuti kubwa kichwani weupe wamejaa nadharia theorist tu hao wafanyabiashara wako field wanafanya huwezi wafananisha na hao wavivu.
Yupo saiti
Hao ndo wanajua dollars kuliko hata benki kuu,since 1990s jamaa ni Boss mkubwa kwenye sector ya utalii nchini
haaaaaaa haaaaaaa kweli ni wasomi kichwani kweupe kama theruji..@@FahadAbubakari
@@festohaule9716 tz usomi hauna maana tena watu wanaelimu ya umiliki wa mahudhurio ya darasani ni wasomi wachache mnoo labda unaweza waelewa wengi machawa na wavaa suti ila kichwani hamna jambo watu wakushangilia na kushabikia ila si watu wenye mawazo ya maana
Very interesting to listen to this Man
Yaani watu kama hawa tunawahitaji mno kwa mafanikio ya taifa letu la TANZANIA 🇹🇿 aisee daa anaakili balaa!!❤❤❤
Genius kabisa 💯
very smart guy
Huyo ndo kaka yetu
Ndio mana hamtaki warusha kubwa viongozi akili nyingi mnooo kwenye pesaa mazee
Umeongea point sana mzee wangu pokea🌹💐🥀
Absolutely genius 🎉
jamaa ana akili kuliko Gavana,huyu mtu mama anatakiwa kumpa uwaziri wa utaliii ,very smart Man
Aliyekwambia Serikali yetu Inawahitaji watu kama hawa nani?
Unaffiliated wote serikalini ni smart vilaza tu ..Pampa na maphd ..jiulize mganga anaonaje siri zao za ndani na yuko kwa nyasi ..
Abaki hapohapo ndo vizuri ajue madudu yaliyopo.Akitoka hatakuwepo wa kuongelea hayo maana hatayajua
Mzee anaongea point sana,hao hawajui kama hela zinazotembea mkononi (Cash) nyingi hawalipii hata kodi na kama nchi hawawezi hata kujua mzunguko wa hela. Kikubwa hela itumike huko kwenye mabenki ( mzunguko uwe wa bank).
Mr wilbard lectured the BOTgovanor on how torun the bank what is amazing fact this country.
perfect explanation 💯
Bongo mfanya biashara unapata tabu 😢 tatizo uongozi unatamka vitu wasivyovijua
Na wanatumia nguvu kuweka sheria zisizo endana na hali halisi
KUNA WATU WAPO NJE YA MFUMO WANA KITU KULIKO WALIOKO KWENYE MFUMO
Exactly 💯
Sure
True
Nyie serikali litumie hili jamaa lina akili sana sijawahi kuona.
Wao wanamtukia bashite
Wanaogopa watu Wenye akili mingi
Uko vizuri Chairman
Hongera sana
Anaongea thru Experience sio vyeti fubafu
Genius 🔥
Mwarim wangu Babu hongera
Mh wiliam chambulo,maarufu(kaburu) kaka upo vizuri sana you have got highest knowledge!! Hebu Toa somo kwa serekali,that’s true story’mama nadhani unasikia😂gavana sasa umepata mwanga
😢wafundishe hso wanafanya kazi certificate hawajui kitu hao wanakaa tu ndani hawana uzoefu hawamiliki hata kibanda cha mboga na matunda wafundisheni hawajui jaman wanajua kushusha hesabu bila kujua inaanzia wapi
😂😂😂😂
Pale serikali inapopewa darasa.
Nimecheka😂😂😂
Wameyakanyaga 😂😂
😂😂😂yani wanapewa somo na mwanachi 😂nimependa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna Mchaga mjinga...The man is very smart
Wapo wapumbavu but this man is very smart (bravo)
Mbona wapo mamangulo wengi tu vilaza😅😅😅😅😅
@@kiulajoseph9194😂😂😂😂😂😂
Hii nchi ya bangi ndio maana Tanzania pamoja na sehemu muhimu za utali na haina nusu milion ya watali Morocco hakuna urasimu watali wanao kwennda Morocco NI milion 30
Big brain👊
Jamaa ana confidence sana anajua anachokisema. Safi sana Bro.
Umeangea kwa akili huko ndani safisheni kwanza ndo mje kwa wapiga kura, kumaanisha nyumba ni chafu inaitaji usafi, safi sana kaka Akili yako imekqmilika.
MiMi mfanya biashala south nikitoka nje ya South nimeuza mzigo nikienda na dola Hakuna anaenipokea Hawataki kuiona dollar wanataka Rand Tuu ivyo nabalianae kabisa mkuu
Very Smart man
😂😂😂😂😂😂😂 my people wa kaskazini . Akili zetu zinafanyaga kazi vizuri sana.
Uyo anaitwa Kaburu, he is smart
Jamahaaa anaakili sana
Hizi brain zipo nyingi sana hii nchi tukiamua zitumia tutasogea mbali sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Imagine, wanatumia kigezi Cha elimu na wasomi wao ni tia maji tia maji😊😊.
Knowledge is power
Wamebaki wameduwaa jinsi jamaa anavyotema nondo😂😂😂
Kakutana na nondo ya funga kinywa kimiaaa
Kuna tofauti ya mtu alieko field na alieko ofisini, hapa ndio inaonekana
Genius mwamba Yuko vzr san
Respect
Uko vizuri sana
Huyu jamaa anaakili mno
Tatizo ni hao hao wanaongoza kwa money laundering! Ndo maana wanajifanya wehu! Hawataki kufunga mifereji yao ya kuiba.
Safi sana mr chambulo👍👍👍👍👍👍👍
Wisdom❤
Huyu jamaa anajua sana
Geniuz
Very smart and intelligent
Mwigulu nchemba Dr
Hao wazee wa suti nyeusi ndio black market yenyewe ndio maana they are acting stupid hapa wanajua sana kinachoendelea ndani ya nchi kifupi pale kwenye towers mbili pamejaaa uozooo
Jamaa kaongea mpaka Gavana kapiga na Makofi. Huyu ni Big Brain Business Man
Hawa ndio watu gavana awaweke karibu sio wana siasa
point sana
Very wise
Thanks alote, tumeyaongea sikunyingi sana tumekuwa tukiyasema haya taangu 97
Inauma sana Aisee. 🇹🇿
Chambulo you are so bright 👍👍👍
Jamaa anaongea point sana nadhani Bank kuu iwashirikishe wadau wa sekta mbalimbali kama hawa kabla ya Kutunga sera
❤ Hongera kwa ukweli
😢😢kumbe huwa najitamkia dollar tuu sijui ata maana ake.. many thanks man kidogo nimepata pakuanzia
Mtu sahii anayatakiwa kuwa wazir wa fedha sooo smart
fact 100%
Chali Ara👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🤜🏽🤛🏽