MFANYABIASHARA MKUBWA ARUSHA ATOFAUTIANA NA GAVANA MKUTANONI "HAWATAKI KUONA DOLA YAKO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 мар 2024

Комментарии • 788

  • @raphaelbadili5578
    @raphaelbadili5578 2 месяца назад +727

    Huyu mtu anaakili sana.kama umemuelewa gonga like👍

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 2 месяца назад +201

    Mr Wilbard lectured the BOT governor on how to run the bank. What an amazing fact.

    • @sciencesocietyoftanzania5957
      @sciencesocietyoftanzania5957 2 месяца назад +3

      😂😂😂

    • @Visualizer110
      @Visualizer110 2 месяца назад

      Assholes wearing suits and ties and only thing they know kupata hela za haraka haraka usizovujia jasho lame ppl

    • @zanzibarsnorkeling5766
      @zanzibarsnorkeling5766 2 месяца назад

      All facts are reality that we cannot ignore, the government itself wants dollar, if they want people to use Tshs, then they the government must stop taking dollars to make things fair

    • @africangirls482
      @africangirls482 2 месяца назад +3

      Hawa ndio wanafaa kuwa viongozi governor hajui kitu yani achukue madini hayo

    • @joshuamacha8751
      @joshuamacha8751 2 месяца назад +7

      He lectured him in a very simple language with vivid examples. .......asipoelewa tena apo basi

  • @JimTv001
    @JimTv001 2 месяца назад +171

    I used to think I know something about Business until I listened to this man.

  • @katematv7529
    @katematv7529 2 месяца назад +163

    Genius Chambulo, Nimefanya biashara na huyu jamaa muda mfupi sana.. lakini kwake Confident is game Changer...

  • @paspgroup
    @paspgroup 2 месяца назад +142

    Jamaa yupo smart sana anastahili kuwa mwenyekiti👏👏

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 2 месяца назад

      Hamna kitu hapo anachokiongea ni bla bla haiwezekani anachokisema

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 2 месяца назад

      we boya kweli eti mwenyekiti 😅😅

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 2 месяца назад

      Huyu ni mwenyekiti wa TATO. Chama Cha WAMILIKI WA kampuni za utalii. Na anachokiongea kina mantiki. Ulienda nchi nyingine hawapokei dollar kwenye mauzi yoyote, badilisha dollar zako lipa in local currency​@@zuheorsalim7759

    • @lightnessmarwa1755
      @lightnessmarwa1755 2 месяца назад

      Kweli nafasi yake ya Mwenyekiti anaitumia vizuri....Mungu amjalie Afya njema!!

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge4476 2 месяца назад +47

    Tatizo mifumo ya Tanzania inaendeshwa na siasa sio professionalism imagine mtu kama huyu anaingia kwenye mfumo na anaakili kubwa ivi 👏 he reminds me of my dad

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 2 месяца назад +42

    This man is very smart kiukweli serikali yetu inapaswa kubadilisha mfumo.... Big Up Mr Man

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome 2 месяца назад +120

    Mama Samia hao ndiyo wakuwatumia maarifa yao yanaweza tufikisha mbali

    • @archbordygodfrey2614
      @archbordygodfrey2614 2 месяца назад +15

      Kweli but unfortunately huyo huwezi mpa kazi serikalini ni mjasiriamali mkubwa.... ana hotel zaidi ya 30 Arusha mjini,ngorongoro,Serengeti ,tarangire na anazo land cruiser siyo chini ya 500,yaani ni BOSS.

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 2 месяца назад

      ​@@archbordygodfrey2614Awe hata mshauri waserekali ktk sekta yautalii

    • @abdangembe4339
      @abdangembe4339 2 месяца назад

      ​@@archbordygodfrey2614 siyo lazima amwajiri anaweza mtumia kama mshauri kwenye mambo ya utalii

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 месяца назад +1

      ​@@archbordygodfrey2614Nani huyu kwa jina mbona Mali nyingi

    • @seemanishekiao
      @seemanishekiao 2 месяца назад +2

      Ushauri wake mzuri,
      Serikali ikiamua yaweza utumia

  • @BLUBEENICE
    @BLUBEENICE 2 месяца назад +95

    Huyu bwana ameongea point,tumpe maua yake

    • @koskeyella-ww6bd
      @koskeyella-ww6bd 2 месяца назад +1

      huyo ndo mwenye KIBO SAFARI

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 2 месяца назад

      Kila kitu uchawa tu, wewe una maoni gani?

    • @BLUBEENICE
      @BLUBEENICE 2 месяца назад

      @@ezekieljacob5795 kwani unataka kua chawa wangu ama

    • @AminaRamadhan-mg9lj
      @AminaRamadhan-mg9lj 19 дней назад

      ​@@BLUBEENICEetii chawa wanguu😂😂😂😂🤔

  • @ukweli255
    @ukweli255 2 месяца назад +102

    Bora huu mkutano alienda GAVANA...angeenda yule Wazir Mvaa Skafu ya 🇹🇿🇹🇿 sijui kama angeruhusu hata recoding ya haya na kuelewa pia

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 месяца назад

      😂😂😂

    • @dilludillu2747
      @dilludillu2747 2 месяца назад +1

      😂😅

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 2 месяца назад +5

      Bila shakq ni Mwigulu huyo unaemzungumzia😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 2 месяца назад +1

      ​@barakakusa7606kuna mwingine 😅😅😅😅😅

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 2 месяца назад +1

      hamna kitu mulee😂

  • @silverman6930
    @silverman6930 2 месяца назад +68

    That dude should be the governor… very intelligent man 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

    • @koskeyella-ww6bd
      @koskeyella-ww6bd 2 месяца назад +5

      This man is Owner of KIBO SAFARI in tanzania Arusha

  • @fallykitwara1192
    @fallykitwara1192 2 месяца назад +47

    Smart guy,Smart points 👌

  • @thedeo472
    @thedeo472 2 месяца назад +41

    Serikali imeshindwa ku control na hawataweza ku control. Rushwa na ubadhirifu umezidi. Very sad🙁🙁

    • @Reginaldpeter2
      @Reginaldpeter2 2 месяца назад +2

      Hapo ndo shida kuna watu wananufaika na mfumo

  • @norahmaxwell6853
    @norahmaxwell6853 2 месяца назад +42

    Akili kubwa ndio hizi sasa 👏well said 👌

  • @sugashTv
    @sugashTv 2 месяца назад +42

    Governor amefunzwa kwamba politicians are only trusted with power by people but wisdom is inborn. Governor kageuzwa kuwa maembe kabisa

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 2 месяца назад +1

      nyanya bhn

    • @paulpsyche6381
      @paulpsyche6381 2 месяца назад

      Wisdom is learnt not inborn

    • @zanzibarsnorkeling5766
      @zanzibarsnorkeling5766 2 месяца назад

      Samahani niache nicheke 🤣🤣🤣

    • @sugashTv
      @sugashTv 2 месяца назад +2

      @@DavalsonMarlony no knowledge is a acquired (learned) but not in born but wisdom is inborn. Unless if u are responding as a Tanzanian^^😂😂😂

    • @davidf.j.m6284
      @davidf.j.m6284 2 месяца назад +3

      you don't have to say governor kageuzwa maembe. badala yake unapaswa kumpongeza kwa kutenga muda wakupokea maoni kutoka kwa hao wafanya biashara...this thing is very rare kwa office bearers wengi, na nijambo lenye werevu na busara ndani yake...otherwise mzungumzaji kanena vyema.

  • @pabliz_
    @pabliz_ 2 месяца назад +61

    Jamaa yuko vizuri... sijui kama anaeleweka.

    • @csato9415
      @csato9415 2 месяца назад +5

      Ni kweli gavana kama amemwelewa aanze kusafisha ndani kwanza halafu aje kwa wafanyabiasha, ubaya wanakurupuka bila kufanya utafiti.

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 2 месяца назад

      😂

  • @Worldunite
    @Worldunite 2 месяца назад +81

    Huyu anazungumxia uzoefu alio nao, lkn walioko banki kuu wanaanzisha mifumo,ambapo labda mingine haiendani na hali halisi

    • @Onlyfacts0224
      @Onlyfacts0224 2 месяца назад

      Amen

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k 2 месяца назад

      👍👍

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 2 месяца назад +2

      Mbona comment Kali sana hii.Ukweli ndo huo uliopo.

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 месяца назад +5

      Less cash kwenye mzunguko ndio inatakiwa. Unadhani Dealers wa Utalii hawana Dollar Acct benki? Wanazo. Anachosema Industry ipate credit card.. hata mgeni akija Kama mfumo wetu hausomi zao wapate za hapa ili watumie dollars zao kupitia credit card zetu badala ya kuanzisha bureau de change kila hoteli. Badala yake hoteli ziwe na epayment machine tu. Wananzengo wao walipe cash Kama kawaida. Hapo hata wananzengo siku hz tunawekewa Lipa Namba... Lakini hela yetu tunayo mkononi zaidi. Hufuma zetu nyingi hamna Lipa Namba. Ana exposure na Industry

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 2 месяца назад +1

      Huwezi endesha dolla kwa uzoefu au kwa maneno😂

  • @nathanpallangyo5244
    @nathanpallangyo5244 2 месяца назад +68

    HEBU NCHI YETU IFUKE MAHALI SERIKALI IFANYE KAZI KWA WELEDI ZAIDI HAPA INAONESHA MFABIASHARA ANAVYOPATA SHIDA BILA SERIKALI KULIONA HILO. UPGRADE YOUR SYSTEM MY COUNTRY.

    • @makongorowassira6593
      @makongorowassira6593 2 месяца назад +4

      Serikali inajua inachokifanya, wana create confusion ili wao wanufaike. Hawataki kuweka mfumo unaoeleweka maake watakosa rushwa zao. Shh 😊

    • @fauzibinzoo6563
      @fauzibinzoo6563 2 месяца назад +2

      Hii nchi mfanyabiashara mzawa ananyanyasika Sana tofauti akienda nchi zingine

    • @jamesriwatuvana9561
      @jamesriwatuvana9561 2 месяца назад

      Lets wait and see

    • @Visualizer110
      @Visualizer110 2 месяца назад +1

      Pure failure ndio maana hatukui sekta ya utalii pamoja na potential tuliyo nayo

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 2 месяца назад

      Tulia Dawa ikuingie......

  • @rashidally7285
    @rashidally7285 2 месяца назад +18

    Soo smart Hawa ndio wanaojielewa

  • @liboriusbabile1197
    @liboriusbabile1197 2 месяца назад +45

    Hakuna hata siku moja serikali ikakubali kufanya Kazi na watu wenye akili kama hawa , itashindwa kuwaburuza, serikali huwa inawapa cheo ma mburura na machawa tuu. Huyu mtu anajua anacho ongea na confidence yake inamuelezea vizuri.

    • @nickmoshi8243
      @nickmoshi8243 2 месяца назад

      Kweli kabisa

    • @sigorijoseph4977
      @sigorijoseph4977 2 месяца назад

      Kweli kabisa

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 2 месяца назад +3

      Huyu kaishia la Saba tu. Tizama alivyo na akili. Ndo ujue akili sio lazima uende shule. Huyu la Saba ana akili kuliko PhD holders

    • @liboriusbabile1197
      @liboriusbabile1197 2 месяца назад +1

      @@Josephineexsuper na watu kama hawa tunao wengi Sana wangeweza kusaidia mambo kibao, tatizo huo mfumooo😄😄😄😄

    • @faithjonathan3845
      @faithjonathan3845 2 месяца назад

      Umeongea fact kabisa. Ofisi za serikali maboss hawataki kabisa mfanyakazi mwenye akili maana anajua hawezi kukuburuza...na wakati wao hawataki kufanya kazi kwa kufata utaratibu so wanataka wachukue wajinga tu wawe machawa...Watu wenye akili hata kwenye vikao maboss huwa hawataki uongee kabisa na wanasema eti ni wabishi. Bongo ukiwa na akili tu watu wanakutungia jina la MBISHI/ MCHOCHEZI/ MGOMVI. Ili wakufanye ukubaliane na upuuzi wao wakati deep down wanajua kabisa huna baya ila wanakutungia hayo majina kukumanipulate usiwachallenge. Na kamwe hatutaendelea kwa sababu watu wenye akili kama hawa hawatakiwi kuongea....

  • @barakapaschal2530
    @barakapaschal2530 2 месяца назад +43

    Hawa ndio wanatakiwa kukabidhiwa wizara ya utalii👏👏👏

    • @Visualizer110
      @Visualizer110 2 месяца назад +1

      Yep ana knowledge na uzoefu from the field

  • @igwe21
    @igwe21 2 месяца назад +4

    I am so impressed! well done Mr. Chambulo. Genius explanation!

  • @josephmatemu4278
    @josephmatemu4278 2 месяца назад +4

    Chambulo excellent clarification. Serikali ione huu ni mfano mzuri na wachukue.wizara zote ziwe na wazoefu walioko kwenye field kwa ushauri.nchi itasonga siasa ikae pembeni.

  • @lmdos4382
    @lmdos4382 2 месяца назад +22

    Safi sana, Serikali imefaili moja kwa moja kwenye masaula mazima ya utalii

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 2 месяца назад +3

      Si vile wengi hawaju watu wanaona cruises zimepangana barabarani wanasema e nchi ina ela sasa watu biashara zetu zizunguke kumbe tunaliwa

    • @jumakessy7560
      @jumakessy7560 2 месяца назад +2

      Tanzania ukiacha kwamba tuna vivutio vingi vya asili, wanyama, mlima kilimanjaro fukwe nzuri za bahari lakini mwaka 2023 wameingia watalii milioni 1.2 tu wakti misri wameingiza watalii milioni 13, halafu unaanza kusikia wanaleta sheria za namna hii

    • @lmdos4382
      @lmdos4382 2 месяца назад

      @@jumakessy7560 Hii nchi ni ya ovyo sana

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY 2 месяца назад +18

    Huyo Governersi ndye aliyesema maisha hayjawahi kuwa mepesi ...
    No wonder he is outsmarted by this man

    • @rlmtok6629
      @rlmtok6629 2 месяца назад

      The only governor in Tanzania without a high education : Doctorate(PhD).
      Mwepesi sana kuongea compared na waliopita kabla yake kwakuwa Hana credentials

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI 2 месяца назад +52

    Kweli kaskazini hakunaga fala . 🔥🔥🔥🔥

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y 2 месяца назад

      😂😂😂😂

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 месяца назад

      Wengi wao ni mapunga 😊😊

    • @RafikimediaTZ
      @RafikimediaTZ 2 месяца назад

      True watu wa kaskazini wametutangulia wapo Bright sana.

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 2 месяца назад

      @@RafikimediaTZ umetanguliwa ww na wazazi wako wasio jitambua na huenda ni mapunga chele 🤣🤣

    • @RafikimediaTZ
      @RafikimediaTZ 2 месяца назад

      @@shinipapaya846 asante kwa kunitukana ndugu yangu.. sasa kama jirani yako anafanya vizuri zaidi yako kwani ni mbaya kumpa pongezi zake. Wewe unatoka mkoa gani? Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa mbele kimaendelea na hata kwa kuwa na shule nyingi za secondary pia. Niambie wewe unatoka mkoa gani?

  • @vero57
    @vero57 2 месяца назад +31

    Very smart uncle 👍👌🔥🇹🇿

  • @BJMKANGALA1
    @BJMKANGALA1 2 месяца назад +1

    Mzee Baba unafaa kuwa Mwenyekiti wa maisha. Unaongea kiukweli na uhakika tena kwa kujiamini.
    Shukran asante endeleza mapambano ya kujenga taifa letu Tanzania!
    Mungu akupe nguvu na afya njema!

  • @davidsillo916
    @davidsillo916 2 месяца назад +3

    Kaburu very Smart lecture

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha1411 2 месяца назад +17

    Well done KABURU,... wafanyie kazi basi

    • @abdulymaeda2697
      @abdulymaeda2697 2 месяца назад +3

      Mchaga uyu kaburu wap

    • @user-pr7wj1nm1g
      @user-pr7wj1nm1g 2 месяца назад

      KABuRu @ a k a Hilo jina ndio anajikana zaid​@@abdulymaeda2697

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 2 месяца назад +10

    Huyu jamaa alianza biashara kwa shida sana mwanzoni. Usimwone hapo anaongea ni mpambanaji kwelix2. Usikate tamaa kwenye kila unachofanya,ongeza juhudi na maarifa zaidi

  • @minboytz3575
    @minboytz3575 2 месяца назад +23

    Ata kama ujaenda shule Kwa uyu mzee lazma utamuelewa

  • @winniemakundi6279
    @winniemakundi6279 2 месяца назад +11

    Real fact💯 akili kubwaa hii

  • @alexikim7005
    @alexikim7005 2 месяца назад +1

    Knowledge and wisdom kwa mpigo moja

  • @ulimbombonaulindi5088
    @ulimbombonaulindi5088 2 месяца назад +1

    Very smart, narudia Tena VERY SMART. Maskini wa Mungu Governor imebidi atulie tubaskize. Tatizo lipo serikalini, kama ana mawazo maana ameelewa.

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 2 месяца назад +1

    Very very logic and smart congrats bro chambulo.....

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna1604 2 месяца назад +1

    Watu Wafunguke Kama Hivi Afanyavyo Huyu Jamaa Hiyo Haliinatupa Taabu Sana Inchi Nzima Asante Sana Kwa Kazi Nzuri Kama Hiyo👍👍👍

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 2 месяца назад +5

    This man is very bright 🎉

  • @user-jh4hg2ev9s
    @user-jh4hg2ev9s 2 месяца назад +18

    Serikali ikishauriwa mara nyingi inafanya the opposite. Hii inadumaza biashara.

  • @farijala1
    @farijala1 2 месяца назад +10

    Hili suala limeshazungumzwa miaka nenda Rudi. Kuna Pahala Ukiuliza bei unaletewa Dola. Mahoteli hivyo.. unajiuliza kwani Marekani ukiuliza Bei wanakwambia Bei kwa Currency ya Wapi?

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 2 месяца назад +55

    Jamaa genius kuliko waliopo kwny Hy sctr

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 месяца назад +10

      Tz wasomi wanasuti kubwa kichwani weupe wamejaa nadharia theorist tu hao wafanyabiashara wako field wanafanya huwezi wafananisha na hao wavivu.

    • @user-it7ih1it3m
      @user-it7ih1it3m 2 месяца назад +4

      Yupo saiti

    • @archbordygodfrey2614
      @archbordygodfrey2614 2 месяца назад +8

      Hao ndo wanajua dollars kuliko hata benki kuu,since 1990s jamaa ni Boss mkubwa kwenye sector ya utalii nchini

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 2 месяца назад +2

      haaaaaaa haaaaaaa kweli ni wasomi kichwani kweupe kama theruji..​@@FahadAbubakari

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 месяца назад

      @@festohaule9716 tz usomi hauna maana tena watu wanaelimu ya umiliki wa mahudhurio ya darasani ni wasomi wachache mnoo labda unaweza waelewa wengi machawa na wavaa suti ila kichwani hamna jambo watu wakushangilia na kushabikia ila si watu wenye mawazo ya maana

  • @juliusngowi952
    @juliusngowi952 2 месяца назад +3

    Very interesting to listen to this Man

  • @isaacjosephjoseph2733
    @isaacjosephjoseph2733 2 месяца назад +3

    Yaani watu kama hawa tunawahitaji mno kwa mafanikio ya taifa letu la TANZANIA 🇹🇿 aisee daa anaakili balaa!!❤❤❤

  • @AbdalaBlackford
    @AbdalaBlackford 2 месяца назад +7

    Genius kabisa 💯

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 2 месяца назад +11

    very smart guy

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 2 месяца назад +11

    Ndio mana hamtaki warusha kubwa viongozi akili nyingi mnooo kwenye pesaa mazee

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 2 месяца назад +1

    Umeongea point sana mzee wangu pokea🌹💐🥀

  • @jimmychengs1338
    @jimmychengs1338 2 месяца назад +2

    Absolutely genius 🎉

  • @kundaelikilewo7176
    @kundaelikilewo7176 2 месяца назад +16

    jamaa ana akili kuliko Gavana,huyu mtu mama anatakiwa kumpa uwaziri wa utaliii ,very smart Man

    • @mussamhando22
      @mussamhando22 2 месяца назад

      Aliyekwambia Serikali yetu Inawahitaji watu kama hawa nani?

    • @milley7185
      @milley7185 2 месяца назад

      Unaffiliated wote serikalini ni smart vilaza tu ..Pampa na maphd ..jiulize mganga anaonaje siri zao za ndani na yuko kwa nyasi ..

    • @ElieshiMaphie-tw7rl
      @ElieshiMaphie-tw7rl Месяц назад +1

      Abaki hapohapo ndo vizuri ajue madudu yaliyopo.Akitoka hatakuwepo wa kuongelea hayo maana hatayajua

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Месяц назад

    Mzee anaongea point sana,hao hawajui kama hela zinazotembea mkononi (Cash) nyingi hawalipii hata kodi na kama nchi hawawezi hata kujua mzunguko wa hela. Kikubwa hela itumike huko kwenye mabenki ( mzunguko uwe wa bank).

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 2 месяца назад +1

    Mr wilbard lectured the BOTgovanor on how torun the bank what is amazing fact this country.

  • @dullahaziz1227
    @dullahaziz1227 2 месяца назад

    perfect explanation 💯

  • @russia1253
    @russia1253 2 месяца назад +14

    Bongo mfanya biashara unapata tabu 😢 tatizo uongozi unatamka vitu wasivyovijua

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 месяца назад +2

      Na wanatumia nguvu kuweka sheria zisizo endana na hali halisi

  • @didasmswete678
    @didasmswete678 2 месяца назад +59

    KUNA WATU WAPO NJE YA MFUMO WANA KITU KULIKO WALIOKO KWENYE MFUMO

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 месяца назад +19

    Nyie serikali litumie hili jamaa lina akili sana sijawahi kuona.

  • @joelirunde2823
    @joelirunde2823 2 месяца назад

    Uko vizuri Chairman

  • @johnbuluma8861
    @johnbuluma8861 2 месяца назад

    Hongera sana

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 месяца назад +10

    Anaongea thru Experience sio vyeti fubafu

  • @bornkilla6173
    @bornkilla6173 2 месяца назад +4

    Genius 🔥

  • @user-ek3rm1gz4b
    @user-ek3rm1gz4b Месяц назад

    Mwarim wangu Babu hongera

  • @ayoubbenta4499
    @ayoubbenta4499 2 месяца назад

    Mh wiliam chambulo,maarufu(kaburu) kaka upo vizuri sana you have got highest knowledge!! Hebu Toa somo kwa serekali,that’s true story’mama nadhani unasikia😂gavana sasa umepata mwanga

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 2 месяца назад +23

    😢wafundishe hso wanafanya kazi certificate hawajui kitu hao wanakaa tu ndani hawana uzoefu hawamiliki hata kibanda cha mboga na matunda wafundisheni hawajui jaman wanajua kushusha hesabu bila kujua inaanzia wapi

  • @boniphace1
    @boniphace1 2 месяца назад +24

    Pale serikali inapopewa darasa.

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 2 месяца назад

      Nimecheka😂😂😂

    • @golebenson4597
      @golebenson4597 2 месяца назад +3

      Wameyakanyaga 😂😂

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 2 месяца назад +2

      😂😂😂yani wanapewa somo na mwanachi 😂nimependa

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mammukaratu2084
    @mammukaratu2084 2 месяца назад +13

    Hakuna Mchaga mjinga...The man is very smart

    • @user-yz3zi6ht3j
      @user-yz3zi6ht3j 2 месяца назад +3

      Wapo wapumbavu but this man is very smart (bravo)

    • @kiulajoseph9194
      @kiulajoseph9194 2 месяца назад +3

      Mbona wapo mamangulo wengi tu vilaza😅😅😅😅😅

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 2 месяца назад

      ​@@kiulajoseph9194😂😂😂😂😂😂

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 2 месяца назад +8

    Hii nchi ya bangi ndio maana Tanzania pamoja na sehemu muhimu za utali na haina nusu milion ya watali Morocco hakuna urasimu watali wanao kwennda Morocco NI milion 30

  • @godfreyshao3914
    @godfreyshao3914 2 месяца назад +3

    Big brain👊

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 месяца назад

    Jamaa ana confidence sana anajua anachokisema. Safi sana Bro.

  • @user-qv8qo3ff3q
    @user-qv8qo3ff3q 2 месяца назад +2

    Umeangea kwa akili huko ndani safisheni kwanza ndo mje kwa wapiga kura, kumaanisha nyumba ni chafu inaitaji usafi, safi sana kaka Akili yako imekqmilika.

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 2 месяца назад +5

    MiMi mfanya biashala south nikitoka nje ya South nimeuza mzigo nikienda na dola Hakuna anaenipokea Hawataki kuiona dollar wanataka Rand Tuu ivyo nabalianae kabisa mkuu

  • @gabrielkokolo4251
    @gabrielkokolo4251 2 месяца назад

    Very Smart man

  • @estermndeme1255
    @estermndeme1255 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂 my people wa kaskazini . Akili zetu zinafanyaga kazi vizuri sana.

  • @jamesngowi675
    @jamesngowi675 2 месяца назад +2

    Uyo anaitwa Kaburu, he is smart

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 2 месяца назад +7

    Jamahaaa anaakili sana

  • @denssimon5585
    @denssimon5585 2 месяца назад +2

    Hizi brain zipo nyingi sana hii nchi tukiamua zitumia tutasogea mbali sana👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 2 месяца назад

      Imagine, wanatumia kigezi Cha elimu na wasomi wao ni tia maji tia maji😊😊.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 2 месяца назад +1

    Knowledge is power

  • @kichuu981
    @kichuu981 2 месяца назад +37

    Wamebaki wameduwaa jinsi jamaa anavyotema nondo😂😂😂

    • @AugustKisaka-qy7kl
      @AugustKisaka-qy7kl 2 месяца назад +3

      Kakutana na nondo ya funga kinywa kimiaaa

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 2 месяца назад +2

      Kuna tofauti ya mtu alieko field na alieko ofisini, hapa ndio inaonekana

  • @abdulsaid2161
    @abdulsaid2161 2 месяца назад

    Genius mwamba Yuko vzr san

  • @NadeemKhan-zo8dc
    @NadeemKhan-zo8dc 2 месяца назад +2

    Respect

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 2 месяца назад

    Uko vizuri sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 2 месяца назад +13

    Huyu jamaa anaakili mno

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 2 месяца назад +7

    Tatizo ni hao hao wanaongoza kwa money laundering! Ndo maana wanajifanya wehu! Hawataki kufunga mifereji yao ya kuiba.

  • @jaggysingh1107
    @jaggysingh1107 2 месяца назад

    Safi sana mr chambulo👍👍👍👍👍👍👍

  • @Uhuru351
    @Uhuru351 2 месяца назад

    Wisdom❤

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna9821 2 месяца назад +9

    Huyu jamaa anajua sana

  • @hijrymez_5680
    @hijrymez_5680 2 месяца назад +3

    Geniuz

  • @salminwamu2297
    @salminwamu2297 2 месяца назад

    Very smart and intelligent

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 2 месяца назад

    Mwigulu nchemba Dr

  • @kathrynmfm4801
    @kathrynmfm4801 2 месяца назад +5

    Hao wazee wa suti nyeusi ndio black market yenyewe ndio maana they are acting stupid hapa wanajua sana kinachoendelea ndani ya nchi kifupi pale kwenye towers mbili pamejaaa uozooo

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 месяца назад +4

    Jamaa kaongea mpaka Gavana kapiga na Makofi. Huyu ni Big Brain Business Man

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 2 месяца назад

      Hawa ndio watu gavana awaweke karibu sio wana siasa

  • @user-ny7hm4ft7j
    @user-ny7hm4ft7j 2 месяца назад

    point sana

  • @venayo
    @venayo 2 месяца назад

    Very wise

  • @ayoubkilasi8124
    @ayoubkilasi8124 2 месяца назад

    Thanks alote, tumeyaongea sikunyingi sana tumekuwa tukiyasema haya taangu 97

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 2 месяца назад +1

    Inauma sana Aisee. 🇹🇿

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f Месяц назад

    Chambulo you are so bright 👍👍👍

  • @agreyminja9412
    @agreyminja9412 2 месяца назад +1

    Jamaa anaongea point sana nadhani Bank kuu iwashirikishe wadau wa sekta mbalimbali kama hawa kabla ya Kutunga sera

  • @melkiorikalele7534
    @melkiorikalele7534 Месяц назад

    ❤ Hongera kwa ukweli

  • @nyandagapi3364
    @nyandagapi3364 2 месяца назад

    😢😢kumbe huwa najitamkia dollar tuu sijui ata maana ake.. many thanks man kidogo nimepata pakuanzia

  • @jeremiahandrew1849
    @jeremiahandrew1849 2 месяца назад

    Mtu sahii anayatakiwa kuwa wazir wa fedha sooo smart

  • @EdwinDunda-bu3lv
    @EdwinDunda-bu3lv 2 месяца назад +4

    fact 100%

  • @philipsilayo
    @philipsilayo 2 месяца назад

    Chali Ara👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🤜🏽🤛🏽