KIMEUMANA MBELE YA MAKONDA,WAFANYABIASHARA WAFICHUA MADUDU/AWABANANISHA VIONGOZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 апр 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 177

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 21 день назад +14

    Loh! Kumbe mheshimiwa ana utambuzi mkubwa wa kujua mambo ya kiroho upande wa giza yanavyoathiri uma kwa kukosa kuomba na kumkataa shetani na kuungana katika ulimwengu wa roho upande wa nuru, maana yake watu waachane na uumini wa mambo ya Giza wamrudie Mungu aliye hai, basi tena! Tuamue wote kama taifa bila kujali cheo cha mtu kuwa Mungu pekee ndiye ainuliwe, atukuzwe, asifiwe,na kuabudiwa na serikali na watu wote wa nchi kwaajili ya utukufu wake Amen+.

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 21 день назад +12

    Hujawahi kuniangusha,,
    🇹🇿Inahitaji viongiz kama Makonda,,Mungu akujalie afya njema,,

  • @mtakatifubony5525
    @mtakatifubony5525 20 дней назад +6

    Nipo tayariiii kumaliza mb zangu kwaajili ya kumsikiliza Makonda tu ,naenjoy sana

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah7046 21 день назад +5

    Yaani hapo mkurugenzi alitakiwa achukue summary ya EFD machine ya hotel iliyoko arusha ili kujua mauzo ni sh.ngapi the atoze service levy, akiomba taarifa kutoka TRA atapewa ya property zote kwa sababu mfumo wa TRA unavuta taarifa kwa ujumla.

    • @12322879
      @12322879 19 дней назад +1

      Ndio maana hatutaki huo mfumo.

  • @MussaJuma-sd4jc
    @MussaJuma-sd4jc 20 дней назад +6

    Makonda ww ni Raisi wabadaeee mungu akufanyie wepesi inshaallah

    • @user-vy7hj9mo3l
      @user-vy7hj9mo3l 18 дней назад

      Yani huyu ndio kiongozi jamani Yani anamaarifa ni zaidi jiniyazi Tena anautambuzi mkubwa sana maswali ya tecnisheni sana mungu akubariki mweshimiwa sikumoja ukawe Amiri jeshi mkuu wa taifa hilii Tz🤝🙏🙏

    • @user-td8bp9kz8d
      @user-td8bp9kz8d 8 дней назад

      Amin

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 21 день назад +4

    Makonda nimekuelewa sana sana upo.vizuri sana kwasitaili hiyo hata rushwa zitapunguwa kwa kiasi kikubwa sana safi sana mkuu upo vizuri

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 21 день назад +5

    Paul Makonda Oyeeeee! Tunakupenda. Piga kazi! Wewe ni Mzalendo

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 21 день назад +5

    Makonda we ni mtu mzuri sana, mi kazi yangu nikukuombea tu, Ndo kazi yangu ❤

  • @alvinmtui-vr9bf
    @alvinmtui-vr9bf 16 дней назад +1

    Makonda wewe ni visionary leader.

  • @buchumiefremu5830
    @buchumiefremu5830 21 день назад +6

    Hongera makonda saidia watu tunaimani nawewe

  • @ElishaSumari-zr3lk
    @ElishaSumari-zr3lk 21 день назад +3

    Broo makonda big up xna kila nafas unayopewa huna den kwet wananchi.tunakuelewa mung akulinde

  • @MaryHabilya
    @MaryHabilya 21 день назад +3

    Hongera mweshimiwa Makonda una hekima!!

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 19 дней назад +2

    Makonda, Mkurugenzi na kaburu wote wako makini Sana ila Mkurugenzi ni very smart....nimempenda burr

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 21 день назад +4

    Chamburo anajuwa sana kuongelea wafanya biashara wenzake

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 21 день назад +10

    Kaburu kama unakumbuka hawa jamaa walitusumbua sana mwaka juzi inabidi sasa tuyamalize kabla Makonda kuamiswa Newala

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 19 дней назад +3

    Kutuambia matatizo ya mfumo hohohoho acheni nicheke tu tra bahna huo mfumo urekebisheni bahna mnatuchanganya wafanyabiashara

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 20 дней назад +3

    Makonda eee, usimbane sana huyo wa TRA, wengi wao wamepachikwa tu kwenye kazi majukumu hawajui, ni upigaji tu.

  • @barakaedom3828
    @barakaedom3828 21 день назад +5

    Mapungufu ni sehemu ya ubinaadam wetu ila PCM una kipaji cha uongozi.

  • @octiminja5260
    @octiminja5260 21 день назад +3

    Mama Anajua kupiga kwenye MSHONO HONGERA MAKONDA MH

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 21 день назад +2

    Mungu akulinde

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 21 день назад +4

    Utalii hauwezi kukua kwa utitiri huu wa Kodi 🔥🔥

  • @MapenziMalanda
    @MapenziMalanda 21 день назад +1

    Safi sana Msh Makonda💪 nemependa hiyo kidumu chama tawala

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama 21 день назад +5

    Chapa kazi kijana wangu nakukubali sana ingawa watu wengine wanakuita jini potezea wewe jini mpenda nchi na Wananchi big up

  • @machenjamaduhu7636
    @machenjamaduhu7636 21 день назад +6

    Naona kuna system issues kutoka TRA inabidi walifanyie kazi hilo

  • @Shalom803
    @Shalom803 20 дней назад

    Big up Hon. Paul Makonda❤

  • @jamesmongelwa8625
    @jamesmongelwa8625 21 день назад +3

    Congratulations brother Paul ila ungemuuliza mkurugenzi pia how jiji linaweza kuwa na wafanyabiashara 21 thousand???

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 18 дней назад

    Makonda your very smart, sehr intelligent, du hast sehr gut Gehirn. Bleib gesegnet Brüder Makonda.❤❤❤❤

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 20 дней назад +1

    Mkurugenzi ametoa NIDA kama mojawapo ya changamoto , hajasema ameshindwà . Safi sana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 21 день назад +3

    Makonda🔥🔥🔥

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 21 день назад +2

    Hongera sana Makonda.

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 20 дней назад

    Kaka, uko vizuri sana. Mwenyezi MUNGU akulinde na kukuonyesha njia zilizo bora zaidi. Hizo changamoto tunaimani zitaisha, duh!. Ndo maana nakuita wewe ni kilaka, popote unafaa.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 21 день назад +3

    Makonda upo vizuri sana kongole nyingi unauwezo mkubwa sana wa kutatua migogoro kuna vitu kweli haviendi sawa hapo mfanyabiashara angeumia bure na hii ukiifutilia kiundani kuna rushwa ilikua inataka kuchukua hatamu Heko sana Mh.Paul upo vizuri sana hivi vitu vinawafanya watu wenye nia ya kuwekeza kuondoa nia hiyo kwa kodi kama hizi zisizo sahihi bora huyo ni mwekezaji mkubwa vipi kwa wadogo? Mimi nakupongeza sana na nakukubali sana ingawa hilo swala wasio kupenda tu kwa sababu zao nyingine watanitukana.

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 19 дней назад

    Makonda kiboko na 🔥🔥🔥 sana God blssd you

  • @algorithmx
    @algorithmx 18 дней назад

    👏👏👏 PM sasa umehitimu kama kiongozi. Time well spent at Uongozi Institute. 👍

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 16 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤mako nda

  • @aluiyahabibu6799
    @aluiyahabibu6799 5 дней назад

    Mh Mkuu wa mkoa elimu inahitajika sana kwenye swala la kodi. Kuna vijana wengi sana wana kampuni za mfukoni kwa kukosa elemu ya namna afanye awe mlipaji kodi halali.

  • @buchumiefremu5830
    @buchumiefremu5830 21 день назад +4

    Hongera makonda uko vizuri

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 21 день назад

      Buchumiefremu nakushangaa mno. Kama huna lakutuambia nyamaza. Makonda tungali tunamsubiri tuone kama ameshamjua Mungu au bado. Maana bado ananuka harufu ya damu ya ndugu zetu hatujawaona. Sasa nimapema mno kutoa pongezi kwake. Subirini tumuone.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 21 день назад +1

      @@nanguniMtaita-hz4ztpole sana aliwaua ndugu zako wapi? Na wangapi? Ilikuwaje na unauthibitisho gani kama ni yeye aliyeua? Hadi leo kuna wanaopotea nao ni yeye?

    • @user-ne5cg4vv1h
      @user-ne5cg4vv1h 21 день назад

      ​@@nanguniMtaita-hz4ztdugu yako nani tutajie sio vyakuchafuana tu tupe ushahidi wako sio unakulupuka tu mmeuana kwenye milasi yenu et MAKONDA jiangalie mzee hapo unaongerea jinai mzee utwambie vizuri

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 21 день назад

      Kuwa mtulivu unapojibu masuala haya. Wewe ni mgeni katika Israel? Huyasikii yamavyozungumzwa? Marekani tunayoihisudu imesema nini kuhusu Makonda? Wapi ekanushwa kwamba anasingiziwa? Mbona kuna marufuku asiguse mguu Ulaya na Marekani? Kisa ni kitu gani? Huyajui haya? Acha uchawa, ongea tete.are tete.

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 21 день назад

      Nimsingizie namjua? Sijasema kaua ndugu yangu, lakini wakubwa wenzie hujawasikia mubashara wakisema? Amani ni kusikia na kuamini yasemwayo. Lissu.kasema wazi, waliompiga marisasi mheshimiwa huyu alipngoza genge la kikafiri la mauaji, sasa unataka mpaka amalize na wakwangu? Kwanza mie sina.ndugu atawaua nani?

  • @giftluyana1390
    @giftluyana1390 20 дней назад

    Nakuelewa. Kaka. Mungu. Akulinde. Saanaaa🎉🎉

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 20 дней назад +1

    Hizo kodi za tanzania ni kubwa kupindukia, mimi ilibidi nihamie kenya, huku unaona hata eaha ya kulipa, Tz ni kero wadai kodi hawajui hata kumuelimisha mtoa kodii, inafika mahali tunajiona kama sisi watoa kodi ni waalifu.

  • @victoriamwailubi8474
    @victoriamwailubi8474 21 день назад

    Safi sana mheshimiwa

  • @sariamichael4667
    @sariamichael4667 18 дней назад

    Yaaan makonda hata ukimpa mwenyekiti wa Kijiji kazi utaiyona big up brooo❤

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 21 день назад +2

    Huyu Mh.Rais wetu Mama Samia ana nia njema kuhusu hili lakini wengi wa wateule wake wa ngazi za juu,kati na chini, wanamuangusha, ndio mana akamtafuta MTU mmoja mwenye uthubutu ili akafukie mashimo yaliyozushwa na baadhi ya wasaidizi wake kwasababu ya conflict of interest za viongozi ndio mana sasa unaona maelezo ya mfanyabiashara huyu yanavyoweka uwazi wa udhaifu wa kimfumo ulivyo mbaya!... Hili lingedhibitiwa na mfumo mpya tu kwa kubadilisha mfumo wa kiutawala uliopo sasa ambao ungetunga sheria mpya rafiki za uwakilishi sahihi wa watumishi wa serikali kuwa waaminifu kwa Serikali kuu na wadau wa kodi zake zote! Kutafuta muarobaini wa tatizo la watendaji wazembe kwa nguvu mbadala wa muda usio rasmi kimfumo na kisheria ni jambo la msimu tu kwa nia ya kutafuta ridhaa ya kisiasa kwa muda mfupi na kujikuta tunarudi katika tatizo lilelile la kimfumo lililokosa dawa!.

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 21 день назад +4

    I like how PCM dives into details of things 🔥

  • @edwardpeter9014
    @edwardpeter9014 21 день назад

    Big up

  • @kiatu
    @kiatu 21 день назад

    Excellent Makonda

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9r 20 дней назад

    Asante sana Makonda

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 8 дней назад

    Aibu kubwa sana kwa Nchi nzima kama Wizi na Rushwa unatawala hii inaleta Umaskini Nchiani asante

  • @muxinkuya9161
    @muxinkuya9161 17 дней назад

    Mfumo wa tausi ni changamoto sana unapotaka kurenew leseni. Unatakutaka uattach docs ambazo zinapitiwa na binadamu hao hao. Inachukua zaid ya masiku mpaka urukw ofisini kwao unaanza upya.
    NB: With experience in hand.

  • @DanielKahyolo
    @DanielKahyolo 20 дней назад +1

    The Great Makonda

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 21 день назад

    Mmh! Mhe: mkuu wa mkoa yuko vizuri... Hongera zako Arusha tumepata jembe

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 21 день назад +1

    Mweeshimiwa MAKONDA huwa na kukubali sana.

  • @eutoreswai202
    @eutoreswai202 19 дней назад

    🔥

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 21 день назад +1

    Ileshene iliyanda linauongozi😢 linauongozi siyo jehu puyanga endelea nape hakulishi wakati ulikosa kazi walikulisha watu wa dini uzima . Mungu awe rohoni mwako.

  • @davidmariki1105
    @davidmariki1105 14 дней назад

    Mh. Makonda nimekupenda buree!! Hadi nimecheka jamaa wa TRĄ anavyokuambia mfumo hautaki

  • @MarcoLucas-mm2kd
    @MarcoLucas-mm2kd 21 день назад

    Safe sana kaka ipoh siku utakuwa raising wa inchi🎉🎉

  • @robertbutahe2835
    @robertbutahe2835 21 день назад +3

    Naweza kukiri hapa...kwa haya ninayoyasikia kutoka kwa Mhe. Paul Makonda...huyu ni kiongozi sahihi wa nyakati hizi. Hakuna asiye na mapungufu. Tunahitaji viongozi aina ya PCM...nimependa jinsi anavyoapproach mambo....ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya uongozi.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 21 день назад +1

    Mama anaongea makusanyo halali yatatoka wapi na misafara ya kupeleka barua kama hii😊😊😊😊 mama samia pole nchi hii itakuzeesha mama yangu ninakuombea sana mwambie majaliwa na mchengerwa wakusaidie hawa TRA nao ni shida sijui nani hajaliona hili

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 21 день назад +2

    isee makonda ujue ww nikichwa unakili Sana ila naimani ucha Mungu unakusaidia Sana pia na uzalendo wako Kwa Taifa lako na uwajibikaji wako na pia huyo mkurugenz Yuko viziri nikumpa majukumu tu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 8 дней назад

    Mheshimiwa Makonda huwo msemo wa wakusanya Kodi lazima ukaguliwe kuna wizi hasa wafanya kazi ya rejareja chini ya wanyonge

  • @eutoreswai202
    @eutoreswai202 19 дней назад

    Mungu akawe pamoja nawe

  • @leylaruhabaye9017
    @leylaruhabaye9017 17 дней назад

    Tunaanza na herufi yako ya p. Ww nikiongozi uliyebarikiwa kutoka kwa tumbo la mama yako popote utaongoza mungu akubariki poo makonda

  • @user-kq4yx3lg6f
    @user-kq4yx3lg6f 14 дней назад

    Mi mkurugeze nimemuona naye yupo vizuri ila anachanganywa na TRA na anaonekana ni mtu wa kujifunza, ila Makonda ni zaidi ya kiongozi.

  • @bignewscity4927
    @bignewscity4927 20 дней назад

    Tunaenda mbele tunarudinyuma tatiz ni sisi wananchi tuliletewa vitambulisho mpaka mitaani naserekali kwa gharama kubwa tukavikataa sisi ndotunafanya serekali ishindwe kuuhudumia vizuri, na ndochanzo cha mianya ya ruswa naomba maelekezo ya mkuu wa mkoa yasiishie arusha iwe mikoa yoye inayohusika na utalii iwewazi kumsaidia mama utali unasaidia sana pesa zakigen

  • @simonmwandu2214
    @simonmwandu2214 21 день назад +2

    Makonda wanamchukiaga bule tu ila huyuu jmaa anakipaji san cha uongozi na akili mingi san. Waafrik tulirudishan nyuma kwa roho mbay tu

  • @mathiasmacha5670
    @mathiasmacha5670 21 день назад +1

    Mama hajakosea kumpeleka mhe, Makonda Arusha naamini atakaa katikati kw mustakabali wa Taifa letu

  • @user-ln3uc4yo5u
    @user-ln3uc4yo5u 20 дней назад

    Makonda wewe ni kiongoz waleyo mama nakupenda anajua utendajiwako

  • @calvinlema6107
    @calvinlema6107 21 день назад +3

    Tra hawezi kuchanganua shule hana yeye anajua kupeleka bili TU kama dawasa makonda anaelewa mambo ya Kodi na mfumo kuliko tra haya ni maigizo.

    • @user-ku8dk7bu7p
      @user-ku8dk7bu7p 19 дней назад

      Kabisaaa tra hakunaa kituu kabisa😂😂😂😂😂😂

  • @sundaymwakindu5337
    @sundaymwakindu5337 20 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Pacha-xj8zd
    @Pacha-xj8zd 21 день назад +1

    Paul makonda n 🔥 so I can get the point

  • @florinehezron4593
    @florinehezron4593 15 дней назад

    Tausi bado ni shidaaaa

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q 18 дней назад

    Makonda ni kiongozi bora,Rais kachagua mtu hapa

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 20 дней назад

    RC ume midiate vizuri sana

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 16 дней назад

    Mkuuu Makonda.mimi Nina wazo .naomba ifanyike operation kubwa ya kuhamasisha wafanyabiashara wawepo kwenye maduka Yao
    Wale wafanyabiashara ambayo hawajasajiliwa wapitiwe pale pale dukani wasajiliwe yaani awepo MTAALAM WA TRA NIDA. LESENI .
    ILI MTU ASAJILIWE NA NIDA
    TRA AMKADIRIE KODI. AFISA BIASHARA AMKATIE LESENI YA BIASHARA
    Hii itasaidia kumaliza tatizo angalau kidogo

  • @jasonhiphop2589
    @jasonhiphop2589 18 дней назад

    TRA na Harimashauri wezi niwengi.
    Waliambiwq kabisa mtu alipe ushuru au tozo moja Inchi nzima.Ndio hayo hayo hata Tozo za wenye malori pia.Akilipa kuingia mjini Arusha basi moshi ailipe tena na Tanga alipe na Dar es salaam alipe kuongia mjini?Jamaniiii mnauwa mitaji yetu na tunashindwa marejesho ya Bank maana faida hakuna.Hao hawawzi sugua vichwa Makonda niwezi tu.

  • @SamsonSamson-bp6ok
    @SamsonSamson-bp6ok 19 дней назад

    Mheshimiwa Makonda wewe ni mtu poa sana yaani unafuatilia vitu kiuhalisia Mungu akuwe kaka

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama2877 19 дней назад

    Piga kazi makonda.hekima ya mungu iendelee kukuongoza.

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 18 дней назад

    Watu wa mamlaka ya TOZO watakuwekea makadirio makubwa halafu ukishindwa wanakuambia tupatie hizi nyingine kalipe. Wanafiki nyie na huyo masuti na makonda wote wanalijua hilo waache unafiki

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l 21 день назад

    Makonda wewe mungu kakupendelea unajua sana saidia watu mama hajakosea anajua madudu masaidie mama

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 21 день назад

    Ahaaaaaaaaaa

  • @neemakerefu4876
    @neemakerefu4876 16 дней назад

    Jambo lingine mkuuu. Kwenye ukataji wa leseni Kwa njia ya mtandao nako sasa imekuwa sehemu ya rushwa kwani
    MTANDAO UMECHEZEWA UNASUMBUA HATARI
    NAOMBA SANA HILO JAMBO LA MTANDAO LIANGALIWE VIZURI HUDUMA ZINACHELEWA SANA
    SASA INABIDI UWAPE HELA ILIWAKUKATIE WAO
    BEI kuanzia 30000 50000 mpaka 150000 Haya yote yanatokea

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 20 дней назад

    HII NCHI INATAKA VIONGOZI KAMA MAKONDAAA💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @user-ki3gt6gy1l
    @user-ki3gt6gy1l 21 день назад

    Kaka yangu wewe unajuwaaaaa hacha wasiyo jua wakupige vita nawashauri wajifunze kwako hongera

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 20 дней назад +1

    Wasomi tulio nao ni madudu matupu. Hivi kweli kiongozi usijue wilaya yako inazalisha kodi kiasi gani kweli?

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 21 день назад

    😂😂 I like the questions

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah7046 21 день назад +1

    Hata huyo meneja wa TRA hajielewi

  • @user-hx4eh3cq1n
    @user-hx4eh3cq1n 20 дней назад

    Paul waga unaona mbali sana bro

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 21 день назад

    Mfumo wa tra basi utakuwa na shida kama inatoa lampsum only inatakiwa ya individual branches to specific regions

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 21 день назад

    Kuna aliyetamani kuja Serengeti lakini ghalama kubwa akaishia Kenya. Na kuna aliyetembele Serengeti kupitia
    Kenya. Hizo kodi ziangaliwe, zinapunguza mapato

  • @AlfredYahhi-rq4tp
    @AlfredYahhi-rq4tp 19 дней назад

    System interaction is best than better human interaction but should be there

  • @MapenziMalanda
    @MapenziMalanda 21 день назад

    Kuusu swala la maombi nashahuri mkuu wa mkowa kamuone Doctor Lema wa Safina Redoi hilo litakaa Sawa Kwa uwezo Wa Kristo Yesu.

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 21 день назад +1

    Hatuendi mbele kwa utiririko wa makodi mtihani

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 21 день назад

    Msilaumu wakati wanapewa maelekezo toka juu ni mfumo wa nchi nzima ni si Arusha peke yake
    Ni kazi kubwa na siyo kitu rahisi

  • @stephenaxwessp7087
    @stephenaxwessp7087 20 дней назад +1

    Anaesema makonda ni kiraza akatafute upya maana ya kiraza. Labda awe ana mapungufu mengine ya kibinadam lakini hili la wasiompenda kumwita zero brain wanatukosea sana raia tusiowanasiasa

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 21 день назад +1

    Yaani ujinga mtupu mfumo huo ndo munatumia kupigia pesa ndo maana munajificha kwenye mfumo

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 20 дней назад

    Ukweli kakayangu makonda wewe nimtu MFANO wa kuigwa pamoja na wengine kukuongea vibaya, nakushauri usivunjike moyo tusaidie SISI WAtanzania mwenyezi MUNGU atakulipa.

  • @robertmhilu132
    @robertmhilu132 21 день назад +1

    Mikoa mingine angalieni mjifunze Cha kwenda kufanya

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b 21 день назад

    Makonda unafaa sana na system unaelewa kuliko hata wa tra na mkurugenzi. Kila mkoa wafanyabiashara wanateseka hivyo. Sasa hilo ni arusha tu je mikoa mingine wanatesekaje

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 21 день назад

    Nayo ni changamoto sana mkuu wa mkoa nida wazawa hawana ila wageni wasiostaili kupata wanavyo vitambulisho vya nida why?unagundua urasimu mkubwa kwa wafanyakazi wa serikali ktk wizara ya mambo ya ndani nida id ni residential identity vilevile hata passport ya kusafilia mambo ni hovyo sana unakuta mtu asiye raia na wala hana vigezo vya kupata uraia anakuwa na uraia ni aibu sana

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi 21 день назад +1

    Kwani mkuu wa mkoa hakuwepo?

  • @mahijayusuph8186
    @mahijayusuph8186 18 дней назад

    Hamna kitu kama hicho huo mfumo lazima uwe na taarifa kimkoa na kiwilaya.