KIMEUMANA MBELE YA MAKONDA,WAFANYABIASHARA WAFICHUA MADUDU/AWABANANISHA VIONGOZI
HTML-код
- Опубликовано: 12 апр 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Loh! Kumbe mheshimiwa ana utambuzi mkubwa wa kujua mambo ya kiroho upande wa giza yanavyoathiri uma kwa kukosa kuomba na kumkataa shetani na kuungana katika ulimwengu wa roho upande wa nuru, maana yake watu waachane na uumini wa mambo ya Giza wamrudie Mungu aliye hai, basi tena! Tuamue wote kama taifa bila kujali cheo cha mtu kuwa Mungu pekee ndiye ainuliwe, atukuzwe, asifiwe,na kuabudiwa na serikali na watu wote wa nchi kwaajili ya utukufu wake Amen+.
Hujawahi kuniangusha,,
🇹🇿Inahitaji viongiz kama Makonda,,Mungu akujalie afya njema,,
Nipo tayariiii kumaliza mb zangu kwaajili ya kumsikiliza Makonda tu ,naenjoy sana
Yaani hapo mkurugenzi alitakiwa achukue summary ya EFD machine ya hotel iliyoko arusha ili kujua mauzo ni sh.ngapi the atoze service levy, akiomba taarifa kutoka TRA atapewa ya property zote kwa sababu mfumo wa TRA unavuta taarifa kwa ujumla.
Ndio maana hatutaki huo mfumo.
Makonda ww ni Raisi wabadaeee mungu akufanyie wepesi inshaallah
Yani huyu ndio kiongozi jamani Yani anamaarifa ni zaidi jiniyazi Tena anautambuzi mkubwa sana maswali ya tecnisheni sana mungu akubariki mweshimiwa sikumoja ukawe Amiri jeshi mkuu wa taifa hilii Tz🤝🙏🙏
Amin
Makonda nimekuelewa sana sana upo.vizuri sana kwasitaili hiyo hata rushwa zitapunguwa kwa kiasi kikubwa sana safi sana mkuu upo vizuri
Paul Makonda Oyeeeee! Tunakupenda. Piga kazi! Wewe ni Mzalendo
Makonda we ni mtu mzuri sana, mi kazi yangu nikukuombea tu, Ndo kazi yangu ❤
Makonda wewe ni visionary leader.
Hongera makonda saidia watu tunaimani nawewe
Broo makonda big up xna kila nafas unayopewa huna den kwet wananchi.tunakuelewa mung akulinde
Hongera mweshimiwa Makonda una hekima!!
Makonda, Mkurugenzi na kaburu wote wako makini Sana ila Mkurugenzi ni very smart....nimempenda burr
Chamburo anajuwa sana kuongelea wafanya biashara wenzake
Kaburu kama unakumbuka hawa jamaa walitusumbua sana mwaka juzi inabidi sasa tuyamalize kabla Makonda kuamiswa Newala
Kwanini ahamishwe
Kweli kabisa Brother
@@barakaedom3828 mambo siyo mazuri Newala kuwataka mtu ka Makonda ama sivyo dhuluma itazidi
Kutuambia matatizo ya mfumo hohohoho acheni nicheke tu tra bahna huo mfumo urekebisheni bahna mnatuchanganya wafanyabiashara
Makonda eee, usimbane sana huyo wa TRA, wengi wao wamepachikwa tu kwenye kazi majukumu hawajui, ni upigaji tu.
Mapungufu ni sehemu ya ubinaadam wetu ila PCM una kipaji cha uongozi.
Mama Anajua kupiga kwenye MSHONO HONGERA MAKONDA MH
Mungu akulinde
Utalii hauwezi kukua kwa utitiri huu wa Kodi 🔥🔥
Safi sana Msh Makonda💪 nemependa hiyo kidumu chama tawala
Chapa kazi kijana wangu nakukubali sana ingawa watu wengine wanakuita jini potezea wewe jini mpenda nchi na Wananchi big up
Naona kuna system issues kutoka TRA inabidi walifanyie kazi hilo
Big up Hon. Paul Makonda❤
Congratulations brother Paul ila ungemuuliza mkurugenzi pia how jiji linaweza kuwa na wafanyabiashara 21 thousand???
Makonda your very smart, sehr intelligent, du hast sehr gut Gehirn. Bleib gesegnet Brüder Makonda.❤❤❤❤
Mkurugenzi ametoa NIDA kama mojawapo ya changamoto , hajasema ameshindwà . Safi sana
Makonda🔥🔥🔥
Hongera sana Makonda.
Kaka, uko vizuri sana. Mwenyezi MUNGU akulinde na kukuonyesha njia zilizo bora zaidi. Hizo changamoto tunaimani zitaisha, duh!. Ndo maana nakuita wewe ni kilaka, popote unafaa.
Makonda upo vizuri sana kongole nyingi unauwezo mkubwa sana wa kutatua migogoro kuna vitu kweli haviendi sawa hapo mfanyabiashara angeumia bure na hii ukiifutilia kiundani kuna rushwa ilikua inataka kuchukua hatamu Heko sana Mh.Paul upo vizuri sana hivi vitu vinawafanya watu wenye nia ya kuwekeza kuondoa nia hiyo kwa kodi kama hizi zisizo sahihi bora huyo ni mwekezaji mkubwa vipi kwa wadogo? Mimi nakupongeza sana na nakukubali sana ingawa hilo swala wasio kupenda tu kwa sababu zao nyingine watanitukana.
Makonda kiboko na 🔥🔥🔥 sana God blssd you
👏👏👏 PM sasa umehitimu kama kiongozi. Time well spent at Uongozi Institute. 👍
❤❤❤❤❤❤❤❤mako nda
Mh Mkuu wa mkoa elimu inahitajika sana kwenye swala la kodi. Kuna vijana wengi sana wana kampuni za mfukoni kwa kukosa elemu ya namna afanye awe mlipaji kodi halali.
Hongera makonda uko vizuri
Buchumiefremu nakushangaa mno. Kama huna lakutuambia nyamaza. Makonda tungali tunamsubiri tuone kama ameshamjua Mungu au bado. Maana bado ananuka harufu ya damu ya ndugu zetu hatujawaona. Sasa nimapema mno kutoa pongezi kwake. Subirini tumuone.
@@nanguniMtaita-hz4ztpole sana aliwaua ndugu zako wapi? Na wangapi? Ilikuwaje na unauthibitisho gani kama ni yeye aliyeua? Hadi leo kuna wanaopotea nao ni yeye?
@@nanguniMtaita-hz4ztdugu yako nani tutajie sio vyakuchafuana tu tupe ushahidi wako sio unakulupuka tu mmeuana kwenye milasi yenu et MAKONDA jiangalie mzee hapo unaongerea jinai mzee utwambie vizuri
Kuwa mtulivu unapojibu masuala haya. Wewe ni mgeni katika Israel? Huyasikii yamavyozungumzwa? Marekani tunayoihisudu imesema nini kuhusu Makonda? Wapi ekanushwa kwamba anasingiziwa? Mbona kuna marufuku asiguse mguu Ulaya na Marekani? Kisa ni kitu gani? Huyajui haya? Acha uchawa, ongea tete.are tete.
Nimsingizie namjua? Sijasema kaua ndugu yangu, lakini wakubwa wenzie hujawasikia mubashara wakisema? Amani ni kusikia na kuamini yasemwayo. Lissu.kasema wazi, waliompiga marisasi mheshimiwa huyu alipngoza genge la kikafiri la mauaji, sasa unataka mpaka amalize na wakwangu? Kwanza mie sina.ndugu atawaua nani?
Nakuelewa. Kaka. Mungu. Akulinde. Saanaaa🎉🎉
Hizo kodi za tanzania ni kubwa kupindukia, mimi ilibidi nihamie kenya, huku unaona hata eaha ya kulipa, Tz ni kero wadai kodi hawajui hata kumuelimisha mtoa kodii, inafika mahali tunajiona kama sisi watoa kodi ni waalifu.
Safi sana mheshimiwa
Yaaan makonda hata ukimpa mwenyekiti wa Kijiji kazi utaiyona big up brooo❤
Huyu Mh.Rais wetu Mama Samia ana nia njema kuhusu hili lakini wengi wa wateule wake wa ngazi za juu,kati na chini, wanamuangusha, ndio mana akamtafuta MTU mmoja mwenye uthubutu ili akafukie mashimo yaliyozushwa na baadhi ya wasaidizi wake kwasababu ya conflict of interest za viongozi ndio mana sasa unaona maelezo ya mfanyabiashara huyu yanavyoweka uwazi wa udhaifu wa kimfumo ulivyo mbaya!... Hili lingedhibitiwa na mfumo mpya tu kwa kubadilisha mfumo wa kiutawala uliopo sasa ambao ungetunga sheria mpya rafiki za uwakilishi sahihi wa watumishi wa serikali kuwa waaminifu kwa Serikali kuu na wadau wa kodi zake zote! Kutafuta muarobaini wa tatizo la watendaji wazembe kwa nguvu mbadala wa muda usio rasmi kimfumo na kisheria ni jambo la msimu tu kwa nia ya kutafuta ridhaa ya kisiasa kwa muda mfupi na kujikuta tunarudi katika tatizo lilelile la kimfumo lililokosa dawa!.
I like how PCM dives into details of things 🔥
Big up
Excellent Makonda
Asante sana Makonda
Aibu kubwa sana kwa Nchi nzima kama Wizi na Rushwa unatawala hii inaleta Umaskini Nchiani asante
Mfumo wa tausi ni changamoto sana unapotaka kurenew leseni. Unatakutaka uattach docs ambazo zinapitiwa na binadamu hao hao. Inachukua zaid ya masiku mpaka urukw ofisini kwao unaanza upya.
NB: With experience in hand.
The Great Makonda
Mmh! Mhe: mkuu wa mkoa yuko vizuri... Hongera zako Arusha tumepata jembe
Mweeshimiwa MAKONDA huwa na kukubali sana.
🔥
Ileshene iliyanda linauongozi😢 linauongozi siyo jehu puyanga endelea nape hakulishi wakati ulikosa kazi walikulisha watu wa dini uzima . Mungu awe rohoni mwako.
Mh. Makonda nimekupenda buree!! Hadi nimecheka jamaa wa TRĄ anavyokuambia mfumo hautaki
Safe sana kaka ipoh siku utakuwa raising wa inchi🎉🎉
Naweza kukiri hapa...kwa haya ninayoyasikia kutoka kwa Mhe. Paul Makonda...huyu ni kiongozi sahihi wa nyakati hizi. Hakuna asiye na mapungufu. Tunahitaji viongozi aina ya PCM...nimependa jinsi anavyoapproach mambo....ana uelewa mkubwa sana wa mambo ya uongozi.
Glory to God the Almighty
Mama anaongea makusanyo halali yatatoka wapi na misafara ya kupeleka barua kama hii😊😊😊😊 mama samia pole nchi hii itakuzeesha mama yangu ninakuombea sana mwambie majaliwa na mchengerwa wakusaidie hawa TRA nao ni shida sijui nani hajaliona hili
isee makonda ujue ww nikichwa unakili Sana ila naimani ucha Mungu unakusaidia Sana pia na uzalendo wako Kwa Taifa lako na uwajibikaji wako na pia huyo mkurugenz Yuko viziri nikumpa majukumu tu
Mheshimiwa Makonda huwo msemo wa wakusanya Kodi lazima ukaguliwe kuna wizi hasa wafanya kazi ya rejareja chini ya wanyonge
Mungu akawe pamoja nawe
Tunaanza na herufi yako ya p. Ww nikiongozi uliyebarikiwa kutoka kwa tumbo la mama yako popote utaongoza mungu akubariki poo makonda
Mi mkurugeze nimemuona naye yupo vizuri ila anachanganywa na TRA na anaonekana ni mtu wa kujifunza, ila Makonda ni zaidi ya kiongozi.
Tunaenda mbele tunarudinyuma tatiz ni sisi wananchi tuliletewa vitambulisho mpaka mitaani naserekali kwa gharama kubwa tukavikataa sisi ndotunafanya serekali ishindwe kuuhudumia vizuri, na ndochanzo cha mianya ya ruswa naomba maelekezo ya mkuu wa mkoa yasiishie arusha iwe mikoa yoye inayohusika na utalii iwewazi kumsaidia mama utali unasaidia sana pesa zakigen
Makonda wanamchukiaga bule tu ila huyuu jmaa anakipaji san cha uongozi na akili mingi san. Waafrik tulirudishan nyuma kwa roho mbay tu
Mama hajakosea kumpeleka mhe, Makonda Arusha naamini atakaa katikati kw mustakabali wa Taifa letu
Makonda wewe ni kiongoz waleyo mama nakupenda anajua utendajiwako
Tra hawezi kuchanganua shule hana yeye anajua kupeleka bili TU kama dawasa makonda anaelewa mambo ya Kodi na mfumo kuliko tra haya ni maigizo.
Kabisaaa tra hakunaa kituu kabisa😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Paul makonda n 🔥 so I can get the point
Tausi bado ni shidaaaa
Makonda ni kiongozi bora,Rais kachagua mtu hapa
RC ume midiate vizuri sana
Mkuuu Makonda.mimi Nina wazo .naomba ifanyike operation kubwa ya kuhamasisha wafanyabiashara wawepo kwenye maduka Yao
Wale wafanyabiashara ambayo hawajasajiliwa wapitiwe pale pale dukani wasajiliwe yaani awepo MTAALAM WA TRA NIDA. LESENI .
ILI MTU ASAJILIWE NA NIDA
TRA AMKADIRIE KODI. AFISA BIASHARA AMKATIE LESENI YA BIASHARA
Hii itasaidia kumaliza tatizo angalau kidogo
TRA na Harimashauri wezi niwengi.
Waliambiwq kabisa mtu alipe ushuru au tozo moja Inchi nzima.Ndio hayo hayo hata Tozo za wenye malori pia.Akilipa kuingia mjini Arusha basi moshi ailipe tena na Tanga alipe na Dar es salaam alipe kuongia mjini?Jamaniiii mnauwa mitaji yetu na tunashindwa marejesho ya Bank maana faida hakuna.Hao hawawzi sugua vichwa Makonda niwezi tu.
Mheshimiwa Makonda wewe ni mtu poa sana yaani unafuatilia vitu kiuhalisia Mungu akuwe kaka
Piga kazi makonda.hekima ya mungu iendelee kukuongoza.
Watu wa mamlaka ya TOZO watakuwekea makadirio makubwa halafu ukishindwa wanakuambia tupatie hizi nyingine kalipe. Wanafiki nyie na huyo masuti na makonda wote wanalijua hilo waache unafiki
Makonda wewe mungu kakupendelea unajua sana saidia watu mama hajakosea anajua madudu masaidie mama
Ahaaaaaaaaaa
Jambo lingine mkuuu. Kwenye ukataji wa leseni Kwa njia ya mtandao nako sasa imekuwa sehemu ya rushwa kwani
MTANDAO UMECHEZEWA UNASUMBUA HATARI
NAOMBA SANA HILO JAMBO LA MTANDAO LIANGALIWE VIZURI HUDUMA ZINACHELEWA SANA
SASA INABIDI UWAPE HELA ILIWAKUKATIE WAO
BEI kuanzia 30000 50000 mpaka 150000 Haya yote yanatokea
HII NCHI INATAKA VIONGOZI KAMA MAKONDAAA💪💪💪💪💪💪💪💪
Kaka yangu wewe unajuwaaaaa hacha wasiyo jua wakupige vita nawashauri wajifunze kwako hongera
Wasomi tulio nao ni madudu matupu. Hivi kweli kiongozi usijue wilaya yako inazalisha kodi kiasi gani kweli?
😂😂 I like the questions
Hata huyo meneja wa TRA hajielewi
Paul waga unaona mbali sana bro
Mfumo wa tra basi utakuwa na shida kama inatoa lampsum only inatakiwa ya individual branches to specific regions
Kuna aliyetamani kuja Serengeti lakini ghalama kubwa akaishia Kenya. Na kuna aliyetembele Serengeti kupitia
Kenya. Hizo kodi ziangaliwe, zinapunguza mapato
System interaction is best than better human interaction but should be there
Kuusu swala la maombi nashahuri mkuu wa mkowa kamuone Doctor Lema wa Safina Redoi hilo litakaa Sawa Kwa uwezo Wa Kristo Yesu.
Hatuendi mbele kwa utiririko wa makodi mtihani
Msilaumu wakati wanapewa maelekezo toka juu ni mfumo wa nchi nzima ni si Arusha peke yake
Ni kazi kubwa na siyo kitu rahisi
Anaesema makonda ni kiraza akatafute upya maana ya kiraza. Labda awe ana mapungufu mengine ya kibinadam lakini hili la wasiompenda kumwita zero brain wanatukosea sana raia tusiowanasiasa
Yaani ujinga mtupu mfumo huo ndo munatumia kupigia pesa ndo maana munajificha kwenye mfumo
Ukweli kakayangu makonda wewe nimtu MFANO wa kuigwa pamoja na wengine kukuongea vibaya, nakushauri usivunjike moyo tusaidie SISI WAtanzania mwenyezi MUNGU atakulipa.
Mikoa mingine angalieni mjifunze Cha kwenda kufanya
Makonda unafaa sana na system unaelewa kuliko hata wa tra na mkurugenzi. Kila mkoa wafanyabiashara wanateseka hivyo. Sasa hilo ni arusha tu je mikoa mingine wanatesekaje
Nayo ni changamoto sana mkuu wa mkoa nida wazawa hawana ila wageni wasiostaili kupata wanavyo vitambulisho vya nida why?unagundua urasimu mkubwa kwa wafanyakazi wa serikali ktk wizara ya mambo ya ndani nida id ni residential identity vilevile hata passport ya kusafilia mambo ni hovyo sana unakuta mtu asiye raia na wala hana vigezo vya kupata uraia anakuwa na uraia ni aibu sana
Kwani mkuu wa mkoa hakuwepo?
Hamna kitu kama hicho huo mfumo lazima uwe na taarifa kimkoa na kiwilaya.