MSOMI WA DEGREE ALIYETAJIRIKA KWA KUFUGA MBWA HATARI, ANAO ZAIDI YA 300, MBWA HADI MILIONI 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 апр 2024

Комментарии • 66

  • @johaivenemil2608
    @johaivenemil2608 Месяц назад +4

    Hivii Vipindii huwa ni vizurii sanaa kwenye hii channel ilaa napenda kutoa maoni yangu kwa haswa wanakuwa wanahoji they should atleast do some home work sababu apaa tukiangalia tunajaribu kutafta cha kujifunza wasiwe kama wanapiga story wawe na vitu crucial vya kuuliza iswe na wao wanashangaa they should atleast have something ili na watazamaji kupata madini ya kutoshaa

  • @mosespeter5618
    @mosespeter5618 Месяц назад +7

    Mimi nipo south Africa Pretoria hongera sana ndugu yangu nimkwel aina hii ya mbwa inabei sana nitatafuta mawasiliano yako kunakitu umeniongeza sana .

    • @mringoboerboel
      @mringoboerboel Месяц назад

      Ahsante sana kaka karb sana

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Месяц назад

      MiMi niko jurbg ila nataka kuamia Pretoria wajina wangu mpaka jina la Baba yangu 🥰🥰🥰🇿🇦

    • @mringoboerboel
      @mringoboerboel Месяц назад

      @@user-nb6yh2bn9y ooh aise naagiza sana mbwa hapo kak nikama second home

    • @Josephkisava
      @Josephkisava Месяц назад

      Kaka naomba mawasiliano yakoo

    • @user-zu5ee3qe6u
      @user-zu5ee3qe6u Месяц назад +1

      Haya na ww tafuta mbwa uje utuzie milioni3

  • @unuc4100
    @unuc4100 Месяц назад +4

    Iyo hesabu ya wapi mtangazaji 16+8=30

    • @boscopeter6183
      @boscopeter6183 29 дней назад

      Hahaha ndugu mtangazaji kateleza tumsamehe bure

  • @geofreymsofe4429
    @geofreymsofe4429 Месяц назад

    Hongera ndugu umejitahidi inabidi utafute na breeds nyingine

  • @nwntz
    @nwntz Месяц назад +1

    Safi sana kijana mwenzangu ✊✊✊

  • @highlightboy255
    @highlightboy255 Месяц назад +5

    MSOMI WA DEGREE TATU ANAUZA NYANYA KARATU OYAA WANANGU TUPAMBANE TUJIAJIRI

  • @lefinhoAbubakary
    @lefinhoAbubakary Месяц назад +1

    Boom Allah atuongezee kweny kaz ya mikono yetu

  • @dstar8454
    @dstar8454 Месяц назад

    goood sema mm nnamtafuta alabai dog nnaweza kumpataje?na shingapi hata kama ana miez 2 powaaa

  • @KhalifaMustapha-lx7ni
    @KhalifaMustapha-lx7ni Месяц назад

    Gongradulation 🎉 brother god stand with you on your business ❤❤

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Месяц назад

    Hao mbwa ni noma kabisa aisee, Wana hatari sana

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 Месяц назад

    Nakubari kakaaaa!!!!! Mringo hardweare

  • @CharlesChizo-se2qt
    @CharlesChizo-se2qt Месяц назад +1

    sio masihara hata me ndo kazi yangu hiii ukiona km dharau hv ila wanahela nzuri hao viumbe ooohoooo

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b Месяц назад

    Rajab handsome

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Месяц назад

    Congrats Rajab❤

  • @user-zu5ee3qe6u
    @user-zu5ee3qe6u Месяц назад

    Duh ni bora uweke cctv tu yaani milion2😂 akiugua ama kufa 😢

  • @jospehfabian7856
    @jospehfabian7856 Месяц назад +4

    16+8=30

  • @RegobertoNyalu
    @RegobertoNyalu 27 дней назад

    Naomb namb yak

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Месяц назад +4

    NONDO WA ARUSHA Ndio Kiboko yao.

    • @eyezarc1239
      @eyezarc1239 Месяц назад

      Kuna mixer kook wengi pale

    • @dismasmtui729
      @dismasmtui729 Месяц назад

      Nondo aliniuzia mbwa mgonjwa nimehangaika naye mpaka amekufa juzi, nikanunua mbwa mwingine kumbe alicross na mbwa wa mtaani.Kwa hiyo ukideal naye unatakiwa uwe makini sana!. Huwa anachukua mbwa wa watu wengine halafu anasema ni wa kwake.

    • @benahdesigner
      @benahdesigner Месяц назад

      @@dismasmtui729duuh jamaa sio kumbe

  • @SarahLyimo-wr3ed
    @SarahLyimo-wr3ed Месяц назад

    Mimi nahitaji huyo mbwa nipe mawasiliano yakopls

  • @amrandonwayz3445
    @amrandonwayz3445 Месяц назад

    kaka pupy wako viwango sana ntarudi kuchukua wengine aisee

  • @barakarobertmochungu
    @barakarobertmochungu Месяц назад

    Sasa mbona mmeandika mbwa 300 badala ya 30

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih199 Месяц назад +1

    Bruh unahitaji elimu zaidi (dogshandler)

  • @allandavid870
    @allandavid870 Месяц назад +5

    Degree elimu ya kawaida siku hizi, huezi muita mwenye degree msomi

    • @Gamba81
      @Gamba81 Месяц назад +1

      Basi tumuite mvuvi

    • @IsaacMichael-fw4cx
      @IsaacMichael-fw4cx Месяц назад +3

      Wewe unavyosema degree ndogo kwenu Kuna maprofesa wangapi?

    • @user-gy7mk8ur1f
      @user-gy7mk8ur1f Месяц назад

      Ww sawa professor

    • @mosespeter5618
      @mosespeter5618 Месяц назад

      Yan duniani wenye wivu hawakosi nikuulize bongo kiwango cha awali kumuajili mtu Na kiwango cha mshahara cha level ya serikali nikipi upuhuzi Tu jamaa amepiga Tena economic salute kwake Sana 🎉

    • @IsaacMichael-fw4cx
      @IsaacMichael-fw4cx Месяц назад

      @@mosespeter5618 kutokana na chuki na wivu wabongo wanapenda kukosoa Kila kitu
      ✓ ukinunua gari utasikia gari gani hili
      ✓ ukijenga utasikia nyumba gani
      ✓ ukioa utasikia mke gani huyo
      ✓ ukapata kazi utasikia kazi gani hyo
      Hawawezi kusifia wanaweza kukosoa tuu

  • @godlema6104
    @godlema6104 Месяц назад

    Kumbe mwenye degree nae nimsomi

  • @abellymwambwiga
    @abellymwambwiga Месяц назад +1

    Unapatikana wap

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 Месяц назад +1

    16+8 =30 😂😂😂
    Bado hamjasema😂😂

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 Месяц назад

    bei gani namtaka mmoja

  • @user-if8mb3xo8h
    @user-if8mb3xo8h Месяц назад +1

    Mzee wa sotele

  • @dennisnyakilambo3992
    @dennisnyakilambo3992 Месяц назад

    wale wa mapema tujuane kwa likes

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Месяц назад +1

    Hawa huwa wanatimiza tu mashart ya waganga wao, ununue mbwa 5milion afu hio pesa utairudisha vip? Waongo sana hawa

    • @InnocentRichard-qs8ux
      @InnocentRichard-qs8ux Месяц назад +2

      Sawa masikini ww

    • @sadikidaudi460
      @sadikidaudi460 Месяц назад

      Kiukweli kwenye hesabu sijamuelewa yaani bei yakununua kubwa kuliko yakuuza labda kama mbwa anazaa watoto 100

    • @AnziraniShirima
      @AnziraniShirima Месяц назад +1

      @@sadikidaudi460 mbwa jike mmoja anagharim 5million faida kwake ni watoto watakao zaliwa na mbwa jike huyo mfno jike kazaa watoto sita kila mtoto 2million lazima apate faida

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 29 дней назад

      Kama wewe si mfugaji utakuwa na mawazo hayo. Kwa sisi wafugaji kwa bei ya hao mbwa faida lazima upate. Hao mbwa wanapendwa sana na wafanyabiashara kuinda mali. Sasa amenunua miloni 5 na ni jike. Akizaa watotoo 10 awamu ya kwanza @2,500,000/= anapata milion 25/=. Na mbwa anazaa mara 3 kwa mwaka. Vipi hapo faida hakuna?

  • @Jiuspeack
    @Jiuspeack Месяц назад +2

    nahitaji mbwa wa bure