MTANZANIA MWENYE NG'OMBE ANAYEUZWA MILIONI 12 'NAUZIA MBWA MAZIWA'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 май 2022

Комментарии • 166

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 2 года назад +34

    Hizi ndio habari zenye tija. Hongera sana mkulima, kazi nzuri hiyo. 👏👏👏👏

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 2 года назад +7

    Uwe mkiristo, uwe muislamu, ukimuweka Mungu mbele ktk mambo yako ww ni rafiki yang mkubwa, mzee anamtaja Mungu mara kwa mara nimependa sana

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 2 года назад +11

    Hongera sana. Mungu ailinde mifugo yetu.

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 2 года назад +13

    Crown moja ndio thaman yake .mzee Yuko vizuri Kwa kweli kajipanga

  • @marykaaya6314
    @marykaaya6314 2 года назад +1

    Hongera sana Ayubu. Kazi nzuri ila jitahidi kuwafanyia hao ng'ombe usafi.

  • @Mbingu77
    @Mbingu77 2 года назад +4

    Boazi besti yangu .. da jamaa wa urio wana roho nzuri sana jmni Mungu awabariki

  • @josephkahemele4648
    @josephkahemele4648 2 года назад +4

    Hongera sana kwa mzee. Ila usafi wa wanyama si mzuri kwa kusema ukweli

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 2 года назад +7

    Hongera sana kwa kazi nzuri

  • @fatmaabasi5262
    @fatmaabasi5262 2 года назад +8

    Mashalla mashalla..hongera mzeewangu.

  • @mrwideputin2038
    @mrwideputin2038 2 года назад +7

    Watanzania wanahitaji ripoti kama hizi. Sio udaku za wasanii wasiofaa

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 2 года назад +2

    Waoo nimefurahi sana na ufugaji wako kwani inamaanisha,asante kuipenda kazi yangu,hizi ndo habari zinatakiwa,hongera sana.

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 2 года назад +12

    Bismillah maashallah haya maisha ya ndoto zangu nimependa mno mno, namba za cm pls nazipataje?

  • @mathiasmwingira6951
    @mathiasmwingira6951 2 года назад +3

    Safi sana mzee, na umepata mrithi wako mwenye kupenda kazi uliyoianzisha

  • @fudasiakishe15
    @fudasiakishe15 2 года назад +1

    Hili ni shamba darasa kuliko chuo chochote kweli. Nakuombea kwa aliyekujalia huo ufahamu akupe ulinzi wa ziada. Naomba mawasiliano yako , nadhani wengi umetufurahisha, wenye husda wapigwe upofu na utelezi. Mungu baba akulinde.

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 года назад +1

    Nakukaribisha kutazama wimbo wangu ni mzuri sana💥💥💥
    ________________
    Karibuni

  • @mwanaidshaban373
    @mwanaidshaban373 2 года назад +3

    Habar hongera sana baba na mm nataka ndama mdogo ninunue kwa Bei ya ndogo nipo Tanga

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 года назад +2

    Mashallah kazi nzuri

  • @happynesbaemuhappynes8813
    @happynesbaemuhappynes8813 2 года назад +1

    MashAllah. Mungu ni mwema siku zote

  • @elidangoti752
    @elidangoti752 2 года назад +5

    Interview nzuri sana, daaaaaaah Ila fupi

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 2 года назад +4

    Video nzuri manweka dakimoja za kipuuzi mnaweka masaa mawili hebu badilikeni basii hivi vitu vaya kilimo na ufugaji vina tupa hamasa ya kuvifamya halafu mnaweka video fupi sio poa😭😭😭

  • @eligiusvitalis3504
    @eligiusvitalis3504 2 года назад +2

    Nimeikubali hii Interview, kitu kizuri huyu Mzee anaelewana Vizur na Kijana wake wapo makini na miradi yao.

  • @godfreybuluba7962
    @godfreybuluba7962 6 месяцев назад

    Hongera sana ndama unauza sh ngap

  • @stephanlayzer7196
    @stephanlayzer7196 2 года назад

    Mungu akubarik nimependa xna mirad yako.

  • @ronadtondi7936
    @ronadtondi7936 Год назад

    Unaonyesha mfano mzur mzee,,,big up

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 года назад +4

    Hongeraa mzeee

  • @ayshamadege7981
    @ayshamadege7981 2 года назад +4

    Hawa ndio wafugaji MashAllah

  • @marryg4235
    @marryg4235 2 года назад +1

    Hongera mzee.

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 года назад +2

    Hongereni sana,

  • @barakamushi4530
    @barakamushi4530 2 года назад +1

    Mzee uko vizuri ongeraa Mzee wangu

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 2 года назад

    Hongera sana baba naomba uniuzie ndama

  • @godlivingurassa5752
    @godlivingurassa5752 2 года назад

    Mungu Akubariki mzee wangu

  • @seldamichael3047
    @seldamichael3047 2 года назад

    Hongera sana mzee

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 10 месяцев назад

    Hayo ndiyo maisha siyo haya ya vijana wanatembea na soksi 2 mtaani

  • @anateisaya361
    @anateisaya361 2 года назад +2

    Mzee urio nakubal sana

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад

    Mashallah na hongera sana !

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 2 года назад

    Big up sana Dingide ✌✌

  • @marymary8313
    @marymary8313 Год назад

    Congratulations mzee ,million 12, in kenya ni pesa ngapy please

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 2 года назад +4

    Mashaallah 🙏

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 года назад

    Wow amazing

  • @danwutzddaniel7823
    @danwutzddaniel7823 2 года назад +1

    Sing'isi Meru 👏👏👏

  • @dani4rl216
    @dani4rl216 2 года назад

    Hongera xana

  • @stellapetro2617
    @stellapetro2617 11 месяцев назад

    Hatari

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 2 года назад

    Hongera sana

  • @aminaalfan2731
    @aminaalfan2731 2 года назад

    Hongera

  • @user-mi5fp8re2r
    @user-mi5fp8re2r 6 месяцев назад

    Ukovizuri👏👏👏👏

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    Msafiri is very right nenda kichwa kichwa ukafuge wa kwako miaka kumi kama hukuambulua kusadoline cha maziwa

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 2 года назад +2

    Oi mzee baba tupatie namba za huyo mzee.

  • @ziadaomeri6058
    @ziadaomeri6058 2 года назад +2

    Maashaallah

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Mashallah, hongera sana Mzee WETU.

  • @obadiahnkwale124
    @obadiahnkwale124 2 года назад +1

    Mr kuku,naomba contact tafadhar

  • @unjubinunuki7174
    @unjubinunuki7174 2 года назад

    good job mzee

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    Jamani juweni wazungu walitupita mbali. BOOSTERS ZIKOOOO. KIKA KITU KIBAWEZEJANA KWA MAARIFAA NA CHEMICALS ANACHOKISEMA Msafiri is right

  • @azizmussa6019
    @azizmussa6019 2 года назад +2

    Sawa

  • @ombeninasari6441
    @ombeninasari6441 2 года назад

    Ongera mzee urio

  • @African511
    @African511 2 года назад

    Safi sana ayoub

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 2 года назад

    Mashalla

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Milon. Moja sinunuwi pesa nyingi hizo unajenga nyumba

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 3 месяца назад

    Tunaomba namba yako ya cmu baba!

  • @jameskemboi3905
    @jameskemboi3905 2 года назад

    Good job but observe hygiene bro. Cows and cow shed must be very clean.

  • @godfreypeter8383
    @godfreypeter8383 2 года назад +1

    Simnipe namba ya huyu mzee jaman ninunue hapo mmoja

  • @habibmbarouk9528
    @habibmbarouk9528 Год назад

    Nimeangalia comments zote Ila naombeni muingie kwenye huu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa alaf ndio mtajionea ukweli ... Nikiwaambia huyu mzee ni muongo hamtoweza kuaminisha ... Hakuna ng'ombe wa zaidi ya Lita 20 hakuna ng'ombe wa hata Lita 35 hapo hakuna ... Kama hujui utaona ni kweli Ila hapo huyo mzee ni muongo tu

  • @dianamwanua9564
    @dianamwanua9564 2 года назад

    Hongeraa Sana daddy

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 года назад +1

    Jamani Wapemba ni wazuri sana ,mashaallah

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 года назад +5

    Inapendeza Tanzania kuwekeza katika ufugaji na kilimo Ukraine haina matatizo na sisi

  • @piusassenga9070
    @piusassenga9070 2 года назад

    Naomba no ya cm ya huyu mzee....

  • @wairimokilemba2964
    @wairimokilemba2964 2 года назад

    Naomba namba za simu

  • @alextercisio
    @alextercisio 5 месяцев назад

    Hakuna ngombe anatoa maziwa 60ltrs in the world ata kule ulaya hakuna ngombe anayetoa maziwa mengi ni 25-30ltrs ...

  • @ilundafarm2798
    @ilundafarm2798 2 года назад

    One day yes

  • @KONAMIPESMOBILE-jm7se
    @KONAMIPESMOBILE-jm7se 2 года назад +5

    So amazing

    • @mariagimase1486
      @mariagimase1486 2 года назад +2

      I know these people, I just live near them. They do a great job and inspire alot ... Keep it up jaman

    • @panicumtz2002
      @panicumtz2002 Год назад

      Kabla ya kujaji jifunze hizo breed zipo zinatoa maziwa ya kutosha,mm ni dactar wa wanyama nataka nikwambie kuwa kuna had wanaotoa had lita 70,,hao wanaitwa pure breeds hasa breed ya Friesian hao wanaotoka Islael na Denmark

    • @RM-fs8ub
      @RM-fs8ub Год назад

      I take my hats off to these people who put food on our tables...we have become accustomed to food getting to us in boxes and packages. Hope schools will take students to see these farms.

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 2 года назад

    Safi sana

  • @japhetisraelsmafie997
    @japhetisraelsmafie997 Год назад

    Sasa hapa nimelelwa Sana habari za mafanikio

  • @angelaonesmo
    @angelaonesmo 4 месяца назад

    Mim nauza ngo,mbe kama uyo

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    THE WORLD OF KNOWLEDGE KNOWHOW...

  • @leahsamson9354
    @leahsamson9354 2 года назад

    💪

  • @jemsminja1788
    @jemsminja1788 2 года назад

    Namba za cm

  • @jonasbuhabi2172
    @jonasbuhabi2172 2 года назад

    Naomba namba zake

  • @samwellukumay7978
    @samwellukumay7978 2 года назад

    Naomba namba xako tafadhali

  • @johnrimoy1613
    @johnrimoy1613 2 года назад +1

    Safi sana, 👍👍👍

  • @danielsifael7493
    @danielsifael7493 2 года назад

    Contacts/address za kumfikia mzee tunaomba muweke

  • @edsonoisso4271
    @edsonoisso4271 2 года назад

    Masasiliano contact!

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад

    M nataka mbwa😉

  • @charlesatanaschishsyela2563
    @charlesatanaschishsyela2563 2 года назад

    Je hizi kuku ntazipataje?

  • @piusassenga9070
    @piusassenga9070 2 года назад

    Habari nauliza na ndama jike anauza sh, ngapi.....? Km jike kubwa anauza million 12, na mtoto jike ambae ameacha kunyonya.....?

  • @huthhuthlih5858
    @huthhuthlih5858 2 года назад

    Bwana nguvu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Bass haya

  • @samkilawe7620
    @samkilawe7620 Год назад

    Tusaidie namba za uyo mkulima

  • @ludovickmuro6750
    @ludovickmuro6750 9 месяцев назад

    10M kama yupo tayali

  • @shalomsichone6728
    @shalomsichone6728 Год назад

    Nataka hiyo mbegu ya ng'ombe napataje

  • @dutchsafari7562
    @dutchsafari7562 2 года назад +1

    Nilivyomuona huyu ng'ombe nikamkumbuka ng'ombe wa mayele😂😂😂

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 2 года назад

    Cha maana hapa omba ufundishwe utaalamu na lishe na dawa za booster sio magadi otherwise u will definately walk naked if not mental ...hata ukilima mahindi yatadumaaa bila mbolea ya kisasa

  • @joycemushi5102
    @joycemushi5102 2 года назад

    Ni wakwetu...ni fahari yetu

  • @joycemushi5102
    @joycemushi5102 2 года назад

    PAMBANA SHEMEJI YANGU

  • @prezzomwangi3174
    @prezzomwangi3174 2 года назад

    Germany shepherd ni pesa ngapi

  • @samkilawe7620
    @samkilawe7620 Год назад

    Namba za uyo mkulima

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 2 года назад +1

    Daaah Safi sana

  • @richardmosses6776
    @richardmosses6776 2 года назад

    Nitafutie namm mzuri baba

  • @deritu
    @deritu 2 года назад

    Upuzi, No cow can produce 60ltrs per day. The highest recorded in the world has been 50ltrs per day😁😁. Tembea Kenya , Githunguri Kiambu uone Ng'ombe.

    • @mcback4384
      @mcback4384 Год назад +1

      Wewe unafikiri dunia ipo kiambu tu? We fala kweli

    • @deritu
      @deritu Год назад

      @@mcback4384 unafaa kukamuliwa kaa hizo ngombe

    • @sarahkaaya
      @sarahkaaya Год назад

      Punguza Wivu

    • @deritu
      @deritu Год назад

      @@sarahkaaya kuja nikukamue

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 года назад +2

    Kuku wa urembo Wanaliwa au?

  • @sigifridaloyce7116
    @sigifridaloyce7116 Год назад

    aah

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 2 года назад +1

    anajituma hayakushuka tu kama mvua hayo