JIFUNZE MWONEKANO WA BANDA BORA LA NG'OMBE WA MAZIWA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tunatoa elimu ,muongozo na ushauri wa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa .
    Tunajenga mabanda ya ng'ombe wa maziwa Kwa gharama nafuu
    Kwa huduma zaidi tupigie aimu 0654484175.
    .

    .
    .
    .
    Powerful Trap Beat | Strong by Alex-Productions | onsound.eu/
    Music promoted by www.chosic.com...
    Creative Commons CC BY 3.0
    creativecommon...

Комментарии • 12

  • @adsoncharles7335
    @adsoncharles7335 4 месяца назад

    Mnapatikana mkoa gan

  • @alfredjoshua8625
    @alfredjoshua8625 5 месяцев назад +1

    Hongera sana mwezeshaji. sijui mnapatikana mkoa gani?
    hao wanaotoa lita 20 kwa siku wanaweza kufika kiasi gani.(Bei )

    • @josasafarms.4718
      @josasafarms.4718  5 месяцев назад

      Shukrani saana mkuu
      Tunapatikana Dodoma mkuu Nzuguni karibu na stand mpya ya mkoa ...
      Bei wanaanzia Milioni tatu mkuu bei inapungua kulingana na idadi ya mitamba unaochukua kwa mara Moja.

    • @alfredjoshua8625
      @alfredjoshua8625 5 месяцев назад

      ok, nimeelewa nitafika maana hata mimi niko katoka huu mkoa.

    • @josasafarms.4718
      @josasafarms.4718  5 месяцев назад

      @alfredjoshua8625
      Karibu saana

  • @Gadielykayanda
    @Gadielykayanda 3 месяца назад +1

    Nahitaji ngombe wa maziwa ya kufuga. Niko mwanza, naweza wapata? Na gharama kiasi gani?

    • @josasafarms.4718
      @josasafarms.4718  3 месяца назад

      Unapata mkuu bei ziko tofautitofauti kulingana na uwezo na Tunauza wakiwa na Mimba wananzia 2.5M nakuendelea piga simu Kwa maelezo zaidi 0654484175.

  • @ezekielshija9251
    @ezekielshija9251 5 месяцев назад +1

    Kaka umejitahidi lakini hujaweka neck rail na brisket locator.hii yaweza pelekea Ng'ombe akakataa kutumia hizo cubicles. Endelea kufanya mabolesho ili waweze kupata comfort

  • @MbiseMbise-k2s
    @MbiseMbise-k2s 5 месяцев назад

    Very good