Mm nipo Kilimanjaro nafuga kwa ajili ya biashara ya maziwa. Changamoto iliyopo ni kupata mbegu bora, serikali imeshindwa kusimamia uzalishaji wa mbegu bora.. Nahisi kuna hujuma zimeingizwa... Mashamba ya ng'ombe ya serikali nayo yamejaa ukiritimba na mengi yametelekezwa...
Vipi kiongozi Hata mimi natafuta mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa na nategemea kwenda kwenye hivyo vituo vya serikali kama USA river na Tengeru kwa hapa Arusha, ulishajaribu kutembelea hayo mashamba au kununua mbegu kwao ukapata matokeo hasi? Naomba muongozo kabla sijachukua hatua mkuu
Nimewaelewa sanaaaa
Naomba vipimo vya mbanda
Mko vizuri sana Mkulima Smart Initiatives.
Nimekuelewa
Iko vizuri iyo
Hujaonyesha vizuri Hilo banda
Aksante sana kwa ushauri.Tutumie ujumbe whatup 0713178868 nikutumie sample za mabanda
@@shambadarasamkusi4449 sample za mabanda. Shukran
Iko POA sana
Uko wapi mkuu japokuwa crip yako niyazamani
Mm nataka kufuga ng'ombe wa maziwa cjui aina ya ng'ombe? Nisaidie kunielimisha ili niwe mjasilia Mali,
Tupigie simu
Mm nipo Kilimanjaro nafuga kwa ajili ya biashara ya maziwa. Changamoto iliyopo ni kupata mbegu bora, serikali imeshindwa kusimamia uzalishaji wa mbegu bora.. Nahisi kuna hujuma zimeingizwa... Mashamba ya ng'ombe ya serikali nayo yamejaa ukiritimba na mengi yametelekezwa...
Vipi kiongozi
Hata mimi natafuta mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa na nategemea kwenda kwenye hivyo vituo vya serikali kama USA river na Tengeru kwa hapa Arusha, ulishajaribu kutembelea hayo mashamba au kununua mbegu kwao ukapata matokeo hasi? Naomba muongozo kabla sijachukua hatua mkuu
Kwa kweli uko vizuri mkuu
Dr uko wapi
MKO VIZURI TUPE PICHA KAMILI YA BANDA BORA NA VIPIMO SAHIHI
0713178868
Naomba number please
Please naomba number yako nataka kufunga ngombe 0097339713039
+255 713178868