Mtu anayejitoa sana kwa watu kawaida hukosa msaada anapopatwa na shida ni kwasababu watu wanaamini kwamba anajitosheleza, yaani katika maisha mtu hapaswi kujitoa sana kwa watu kufanya hivyo kunawaamunisha jamii kwamba anajitosheleza ndiomana akiwa na shida asaidiki, mfano, kama kazini au nyumbani mmepewa kazi ya pamoja basi akikisha mwenzako anafanya kazi yake yaani usifanye kazi ya mwenzio mara kwa mara ni hatari sana hiyo ndio ujenga watu kuamini unajitosheleza ndiomana unasaidia Kila mtu, toa msaada kwa kiasi, ukimpa mtu hella akikisha unaakiba usitoe yote...
@@batsondeux1173 acha kutoa toa hovyo utaona watu wataendelea kuishi bila msaada wako, toa kwa wahitaji tu Yaani wasiojiweza maskini sana. Jifunze kusema hapana, na usijitoe kila mara...
@@HaniyaKisingo punguza kujitoa kwa watu wasaidie inapobidi sio Kila mara jifunze kusema hapana hata kama unaweza, wasaidie wale wasio jiweza maskini au wazee au mayatima , lakini mtu na nguvu zake usijitoe sana kwake muonyeshe hata wewe unapaswa kusaidiwa.
Halafu huwaga hawajuagi tuu tukivuka hivyo vizingiti tunakuwa imara na kufika wasipopatarajia wao mwisho wa siku sisi ndio tunakuwa waokozi wako, narudia kila siku ubarikiwe na nakupenda❤❤❤❤
Kaka ubarikiwe sana jaman,,umenipa moyo hii ilikuwa inanihusu mimi kabisa nilifanyia wema watu lakini kwenye wakati mgumu waliniacha ..Nimewasemehe na kuanzia sasa mimi ni jasiri kama simba ninasonga mbele nifike kwenye level za juu sana kama ninavyowaza kwenye vision zangu... Powerful Joel Nanauka Mungu akutunze uendeleee kutufundisha tuweze kufanikiwa zaidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nimejifunza kufikiria kutoka katika changamoto na sio kubaki kulaumu pale unapokutana na changamoto licha ya kujitolea kwako kweny changamoto ya wengine
Nilishinda ila nilipoteza asset muhimu na ya thamani ili kurecover da situation n yes kweli walinikuta ngambo ya pili ila kama nisingekua na asset ya kurecover I doubt ningeshakufa huhuhu
😢😢nimejikuta nalia, that really me,natamani niweze kuwa na roho ngumu kidogo pengine itanisaidia
Nakubar sana kaka umenifikisha pazuli sana
Mtu anayejitoa sana kwa watu kawaida hukosa msaada anapopatwa na shida ni kwasababu watu wanaamini kwamba anajitosheleza, yaani katika maisha mtu hapaswi kujitoa sana kwa watu kufanya hivyo kunawaamunisha jamii kwamba anajitosheleza ndiomana akiwa na shida asaidiki, mfano, kama kazini au nyumbani mmepewa kazi ya pamoja basi akikisha mwenzako anafanya kazi yake yaani usifanye kazi ya mwenzio mara kwa mara ni hatari sana hiyo ndio ujenga watu kuamini unajitosheleza ndiomana unasaidia Kila mtu, toa msaada kwa kiasi, ukimpa mtu hella akikisha unaakiba usitoe yote...
😢Inanikuta sana na hawana fadhila
Yani hata mimi nimepata shida sana mpaka najiuliza kwa nini mimi natoa lakini sisaidiwi !
@@batsondeux1173 acha kutoa toa hovyo utaona watu wataendelea kuishi bila msaada wako, toa kwa wahitaji tu Yaani wasiojiweza maskini sana. Jifunze kusema hapana, na usijitoe kila mara...
@@HaniyaKisingo punguza kujitoa kwa watu wasaidie inapobidi sio Kila mara jifunze kusema hapana hata kama unaweza, wasaidie wale wasio jiweza maskini au wazee au mayatima , lakini mtu na nguvu zake usijitoe sana kwake muonyeshe hata wewe unapaswa kusaidiwa.
Mtu wa watu Joel👍🏻.Bando yangu pekee ndiyo ada yangu.Daaaah!!!!.Ubarikiwe sana ndugu.
Safi kaka hazina ya vijana tutasonga bila kujali tumeumizwa na wangapi tumeachwa na wangapi lengo ni Moja kutimiza ndoto kubwa
Shukrani kk Joël Nanauka, mwenye enzi bwana MUNGU akubariki dah Ese kweli kupitiya aya ma funzo naenda kuwa bilionea hakika subiri tu ushuhuda.
Halafu huwaga hawajuagi tuu tukivuka hivyo vizingiti tunakuwa imara na kufika wasipopatarajia wao mwisho wa siku sisi ndio tunakuwa waokozi wako, narudia kila siku ubarikiwe na nakupenda❤❤❤❤
Ahsante sana 🥲🥰🙏
Ahsante sana, Be blessed
Kaka ubarikiwe sana jaman,,umenipa moyo hii ilikuwa inanihusu mimi kabisa nilifanyia wema watu lakini kwenye wakati mgumu waliniacha ..Nimewasemehe na kuanzia sasa mimi ni jasiri kama simba ninasonga mbele nifike kwenye level za juu sana kama ninavyowaza kwenye vision zangu... Powerful Joel Nanauka Mungu akutunze uendeleee kutufundisha tuweze kufanikiwa zaidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏
This is me kabisa, asante Coach Joel
Asante,maana napitia wakati mgumu kama huu sasa.
Mimi kabisa huyu nimepitia mengi kwakweli Mungu ni mwema nazidi kuwa imara zaidi kwa kila changamoto nayopitia
Asante sana nimejifunza mnoo ❤❤
Daaaah,maisha haya yanatufunza mengi sana
Ahsante sana kaka Joel barikiwa sana leo umenigusa sana sana 🙏❤
Asante
Ahsante sana
Asante sana kaka mungu akubariki niko halli hiyo baada ya kusiliza hili somo nime amua kua jazili na kuzonga mbele kwa imani hadi nifikie ndoto yangu
Barikiwa sana. Nimekuelewa kakaangu
Asante kaka Mungu akubariki 🎉 🇨🇩
The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you how are you doing😢
Asante kaka
Nimejifunza kufikiria kutoka katika changamoto na sio kubaki kulaumu pale unapokutana na changamoto licha ya kujitolea kwako kweny changamoto ya wengine
🙏🙏
Thanx very much my I teacher of my life
Somo imenlenga broo✍
Ahsante sana Joel nanauka
Barikiwa sana kakaangu
Asante sana
Asante sana Kaka
My life Coach, Congratulations brother Joel🙏🙏🙏
Nilishinda ila nilipoteza asset muhimu na ya thamani ili kurecover da situation n yes kweli walinikuta ngambo ya pili ila kama nisingekua na asset ya kurecover I doubt ningeshakufa huhuhu
Pamoja sana brother see you tomorrow
Really kaka
Huyo ni ukweli kabisa
🙏
🙏🥰
❤❤❤❤ Amen unanitia nguvu katika nyakati kaka ukweli huu Nita songambele na kuwasamehehe wote wata Nikita N'gambo
Often inanitokea hii dhaa
Nkoobi
Nakubar sana kaka umenifikisha pazuli sana