LIFE WISDOM : UKWELI MCHUNGU AMBAO LAZIMA UUKUBALI - JOEL NANAUKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 46

  • @lightouma477
    @lightouma477 5 месяцев назад +7

    😢😢nimejikuta nalia, that really me,natamani niweze kuwa na roho ngumu kidogo pengine itanisaidia

  • @Mwanafundi
    @Mwanafundi 5 месяцев назад +1

    Nakubar sana kaka umenifikisha pazuli sana

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 5 месяцев назад +11

    Mtu anayejitoa sana kwa watu kawaida hukosa msaada anapopatwa na shida ni kwasababu watu wanaamini kwamba anajitosheleza, yaani katika maisha mtu hapaswi kujitoa sana kwa watu kufanya hivyo kunawaamunisha jamii kwamba anajitosheleza ndiomana akiwa na shida asaidiki, mfano, kama kazini au nyumbani mmepewa kazi ya pamoja basi akikisha mwenzako anafanya kazi yake yaani usifanye kazi ya mwenzio mara kwa mara ni hatari sana hiyo ndio ujenga watu kuamini unajitosheleza ndiomana unasaidia Kila mtu, toa msaada kwa kiasi, ukimpa mtu hella akikisha unaakiba usitoe yote...

    • @HaniyaKisingo
      @HaniyaKisingo 5 месяцев назад +2

      😢Inanikuta sana na hawana fadhila

    • @batsondeux1173
      @batsondeux1173 5 месяцев назад +1

      Yani hata mimi nimepata shida sana mpaka najiuliza kwa nini mimi natoa lakini sisaidiwi !

    • @Abdulrahmanhassan18
      @Abdulrahmanhassan18 5 месяцев назад +1

      @@batsondeux1173 acha kutoa toa hovyo utaona watu wataendelea kuishi bila msaada wako, toa kwa wahitaji tu Yaani wasiojiweza maskini sana. Jifunze kusema hapana, na usijitoe kila mara...

    • @Abdulrahmanhassan18
      @Abdulrahmanhassan18 5 месяцев назад +2

      @@HaniyaKisingo punguza kujitoa kwa watu wasaidie inapobidi sio Kila mara jifunze kusema hapana hata kama unaweza, wasaidie wale wasio jiweza maskini au wazee au mayatima , lakini mtu na nguvu zake usijitoe sana kwake muonyeshe hata wewe unapaswa kusaidiwa.

  • @mkilimamoses2311
    @mkilimamoses2311 5 месяцев назад +1

    Mtu wa watu Joel👍🏻.Bando yangu pekee ndiyo ada yangu.Daaaah!!!!.Ubarikiwe sana ndugu.

  • @ClementLeonard-h9m
    @ClementLeonard-h9m 5 месяцев назад +3

    Safi kaka hazina ya vijana tutasonga bila kujali tumeumizwa na wangapi tumeachwa na wangapi lengo ni Moja kutimiza ndoto kubwa

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 5 месяцев назад +1

    Shukrani kk Joël Nanauka, mwenye enzi bwana MUNGU akubariki dah Ese kweli kupitiya aya ma funzo naenda kuwa bilionea hakika subiri tu ushuhuda.

  • @HalimaAmadi
    @HalimaAmadi 5 месяцев назад +1

    Halafu huwaga hawajuagi tuu tukivuka hivyo vizingiti tunakuwa imara na kufika wasipopatarajia wao mwisho wa siku sisi ndio tunakuwa waokozi wako, narudia kila siku ubarikiwe na nakupenda❤❤❤❤

  • @RusiaMwita
    @RusiaMwita 12 дней назад

    Ahsante sana 🥲🥰🙏

  • @avitus-thobias
    @avitus-thobias 5 месяцев назад +2

    Ahsante sana, Be blessed

  • @JojoLomalisa
    @JojoLomalisa 5 месяцев назад

    Kaka ubarikiwe sana jaman,,umenipa moyo hii ilikuwa inanihusu mimi kabisa nilifanyia wema watu lakini kwenye wakati mgumu waliniacha ..Nimewasemehe na kuanzia sasa mimi ni jasiri kama simba ninasonga mbele nifike kwenye level za juu sana kama ninavyowaza kwenye vision zangu... Powerful Joel Nanauka Mungu akutunze uendeleee kutufundisha tuweze kufanikiwa zaidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DorothyMwaisondola-zu5xy
    @DorothyMwaisondola-zu5xy 5 месяцев назад +1

    This is me kabisa, asante Coach Joel

  • @AliethMutungi
    @AliethMutungi 5 месяцев назад +1

    Asante,maana napitia wakati mgumu kama huu sasa.

  • @davielubuyih-yh7sx
    @davielubuyih-yh7sx 4 месяца назад +1

    Mimi kabisa huyu nimepitia mengi kwakweli Mungu ni mwema nazidi kuwa imara zaidi kwa kila changamoto nayopitia

  • @LucyLucymass
    @LucyLucymass 5 месяцев назад +1

    Asante sana nimejifunza mnoo ❤❤

  • @YumnaBurhan-q6h
    @YumnaBurhan-q6h 5 месяцев назад

    Daaaah,maisha haya yanatufunza mengi sana

  • @neemalyimo9244
    @neemalyimo9244 5 месяцев назад

    Ahsante sana kaka Joel barikiwa sana leo umenigusa sana sana 🙏❤

  • @aminamohammed1430
    @aminamohammed1430 5 месяцев назад +1

    Asante

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 5 месяцев назад +1

    Ahsante sana

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 5 месяцев назад

    Asante sana kaka mungu akubariki niko halli hiyo baada ya kusiliza hili somo nime amua kua jazili na kuzonga mbele kwa imani hadi nifikie ndoto yangu

  • @FlavianaSematagi
    @FlavianaSematagi 5 месяцев назад

    Barikiwa sana. Nimekuelewa kakaangu

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 5 месяцев назад

    Asante kaka Mungu akubariki 🎉 🇨🇩

  • @AgustinoKinyaga
    @AgustinoKinyaga 5 месяцев назад +2

    The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you how are you doing😢

  • @DianaMwacha
    @DianaMwacha 5 месяцев назад +1

    Asante kaka

  • @AlexPascal-vu9sr
    @AlexPascal-vu9sr 5 месяцев назад +1

    Nimejifunza kufikiria kutoka katika changamoto na sio kubaki kulaumu pale unapokutana na changamoto licha ya kujitolea kwako kweny changamoto ya wengine

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 5 месяцев назад +1

    🙏🙏

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 5 месяцев назад

    Thanx very much my I teacher of my life

  • @SadikiLogiru
    @SadikiLogiru 5 месяцев назад

    Somo imenlenga broo✍

  • @MACHEMBENDAKINDAKI-cs7sz
    @MACHEMBENDAKINDAKI-cs7sz 5 месяцев назад

    Ahsante sana Joel nanauka

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 5 месяцев назад

    Barikiwa sana kakaangu

  • @khitambalazuberi5070
    @khitambalazuberi5070 5 месяцев назад

    Asante sana

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 5 месяцев назад

    Asante sana Kaka

  • @IbrahimuRamadhani-nc4mr
    @IbrahimuRamadhani-nc4mr 5 месяцев назад +1

    My life Coach, Congratulations brother Joel🙏🙏🙏

  • @Sumay228
    @Sumay228 5 месяцев назад +5

    Nilishinda ila nilipoteza asset muhimu na ya thamani ili kurecover da situation n yes kweli walinikuta ngambo ya pili ila kama nisingekua na asset ya kurecover I doubt ningeshakufa huhuhu

  • @ThomasMwita-cw1ld
    @ThomasMwita-cw1ld 5 месяцев назад

    Pamoja sana brother see you tomorrow

  • @MorryNice-qt3kt
    @MorryNice-qt3kt 5 месяцев назад

    Really kaka

  • @tinamwashilindi6807
    @tinamwashilindi6807 5 месяцев назад

    Huyo ni ukweli kabisa

  • @NtayandiLeonard
    @NtayandiLeonard 5 месяцев назад

    🙏

  • @GloriaMushi-b9r
    @GloriaMushi-b9r 5 месяцев назад

    🙏🥰

  • @GraceGervas-i4v
    @GraceGervas-i4v Месяц назад

    ❤❤❤❤ Amen unanitia nguvu katika nyakati kaka ukweli huu Nita songambele na kuwasamehehe wote wata Nikita N'gambo

  • @waltergodwin2529
    @waltergodwin2529 5 месяцев назад

    Often inanitokea hii dhaa

  • @TMMNKOOBI
    @TMMNKOOBI 4 месяца назад

    Nkoobi

  • @Mwanafundi
    @Mwanafundi 5 месяцев назад +1

    Nakubar sana kaka umenifikisha pazuli sana