UJENZI WA BANDA BORA LA KUKU KIENYEJI | CHOTARA | MAYAI | NYAMA / BROILER

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 223

  • @MaryNyoni-n7j
    @MaryNyoni-n7j Месяц назад

    Asante sana kwa mafunzo hayo. Mpo wapi nije kuwatembelea.

  • @vicentsimba330
    @vicentsimba330 3 года назад +1

    Naitwa Mr, Vicent Niko Sumbawanga,Naomba kujua Kama mnahusika pia katika ujenzi wa Mabanda ya kuku,namba zangu 0623744963.nahitaji Banda la kuku 400,

  • @JacksonFabiano-cs5km
    @JacksonFabiano-cs5km 6 месяцев назад

    Na vipi sehemu ya kulala inakua hapo hapo au sehemu nyingine?

  • @asukilemwambene2777
    @asukilemwambene2777 4 года назад +1

    Asante sana

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Pamoja sana

    • @imanidaniel3537
      @imanidaniel3537 4 года назад +1

      Maana ya chotara .ni mchanganyiko wa aina 2 za KUKU...kroila ni chotara Ila jina limetokana na yule aliye gundua hiyo mbegu

    • @stafordchamugeni3788
      @stafordchamugeni3788 4 года назад +1

      Asante sana kwa somo lako zuri lufugaji wa kuku na hakika nimeona banda lilivyopendeza.Naomba namba yako ya simu Mimi namba yangu ni 0767586720/0787705467

  • @henrynjovu9147
    @henrynjovu9147 3 года назад

    Nice video. Nilitaka kufahamu unahitaji kufuga angalau kuku wangapi Ili ufugaji wako uwe na tija.

  • @abelsimalenga2158
    @abelsimalenga2158 4 года назад +1

    Pia nitahitaji kujuwa zaidi kutokana na ufugaji kwa ujumla , kama vile uchanganyaji chakula kwa kupunguza gharama na madawa

  • @aliadinafabian4543
    @aliadinafabian4543 4 года назад

    Ahsante sana, naomba namba ya simu yako

  • @davidtoglo2485
    @davidtoglo2485 3 года назад +5

    This video will be so helpful in English. Can you please subtitle your video. I'm sure it'll significantly increase the number of views. Great work there

  • @husnakulele5108
    @husnakulele5108 Год назад

    Nahitaji kutengenezewa Banda nakupataje

  • @rebekaricherd1919
    @rebekaricherd1919 2 года назад

    Mtampateje hiyo mjenga banda nipo mkowa wa geita masumbwe

  • @oasiskharim2420
    @oasiskharim2420 3 года назад

    Wish it was in english

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 4 года назад

    Niko Dodoma na lingine Ileje Songwe la kuku 200 mayai na 300 Nyama

  • @juliethsandi532
    @juliethsandi532 4 года назад +1

    Naomba namba ya fundi wa banda tafadhali

  • @hamisimusaa1698
    @hamisimusaa1698 4 года назад

    Njia bora za kutengeneza banda bora LA kuku wa kienyeji

  • @jacksonmoye4849
    @jacksonmoye4849 4 года назад

    Kama nahitaji kujewa Banda Niko Moshi itawezekana?

  • @amanistephano5208
    @amanistephano5208 4 года назад

    Sorry mi natak kufuga kuku wa kienyeji 3000 naitaj banda LA ukubwa ganii

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Ukubwa wa banda ni 375m sqr.
      Lakini itakuwa bora kama utajenga mabanda mawili yenye uwezo wa kubeba kuku 1500

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Itasaidia kusimamia mradi

    • @amanistephano5208
      @amanistephano5208 4 года назад

      @@changamkiafursa Asante Sana kaka

  • @harunaferuzi3715
    @harunaferuzi3715 2 месяца назад +1

    Niko Dar nahitaji msaada wa kujengewa banda kuku wa kienyeji

  • @VctorMenlady
    @VctorMenlady День назад

    Je ni sahihi kwaachia kuku wa kienyeji wajitaftie chakula na Hiyo Hina madhara!?

  • @PaschalAchoko-ox5hj
    @PaschalAchoko-ox5hj 7 месяцев назад

    Mimi Naitwa Paschal kutoka Dodoma Naomba kuuliza je ni mtaji kisasi gani (kwa kiwango cha chini) ninaoweza kuanzia ufugaji???

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 3 месяца назад

    samahani mbona hizo wire mesh za chini ukiwawekea luku wanavimba kwenye nyayo tatizo ni nini tafadhali

  • @witnessmrema5593
    @witnessmrema5593 2 года назад +2

    Asante kwa somo la Banda. Kuku anatakiwa be kula kiasi gani(kg) kwa siku? Hasa wa kienyeji

  • @LuchanganyaZakayo
    @LuchanganyaZakayo 10 минут назад

    Jamani mbona tunataka namba ya sim halafu hamtumi.

  • @DausonMalando
    @DausonMalando 18 часов назад

    Nahitaji kufuga kuku wa kienyeji naomba ushauli

  • @frankkatambi8370
    @frankkatambi8370 4 года назад +5

    Jmani mm naitwa frank,niko Dodoma, nina kuku wangu wa mayai,lkn tatizo wanashida ya kupinda kwa shingo,nimetumia vitamin haijasaidia,chakula nachukuliaga SILVER LAND, naombeni msaada,unamkuta kuku mwingne kapooza miguu,wengine ndo hizo shingo,nitashukuru sana endapo tatizo langu litapatiwa ufumbuzi

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад +2

      Asante kwa swali zuri, nitaandaa video kujibu swali hili

    • @dulaabdallah6127
      @dulaabdallah6127 Год назад +1

      Wapatie DCP. Wana uchache wa Calcium

  • @bacumijuvenalniyibigira3543
    @bacumijuvenalniyibigira3543 2 года назад

    B
    MIMI NINA SWALI NAHITAJI BANDA LA KUKU 1000 NAPENDA KUTUMIA MBAO NA MABATI JE GARAMA LA BANDA HILO LA KUKU 1000 NI SHILINGI NGAPI ?

  • @mariandamu7379
    @mariandamu7379 2 года назад +3

    Huyo wakutengeneza banda bora anapatikanaje.

  • @abduljumanne2731
    @abduljumanne2731 2 года назад

    Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado

  • @BoazMwaluko
    @BoazMwaluko Месяц назад

    Mimi ndo nataka nifugee Sasa nipoo singida nijengee bandaa la Aina gani

  • @vmokullo9435
    @vmokullo9435 6 месяцев назад

    Nahitaji kuwasiliana na Charles Kwa ajili ya kunijengea Banda plse

  • @yakobokakuni-jm2un
    @yakobokakuni-jm2un Год назад

    Niko Arusha je ni mgawanyo kiasi Gani ninaotakiwa kuweka Kwa kuku wa mayai?

  • @errickerrick8547
    @errickerrick8547 4 месяца назад

    Naomba kuhulizia kuhusu ayo majani wanakula kuku ni majani gani?

  • @SalumIsmail-u3l
    @SalumIsmail-u3l Год назад

    Mm nipo moro ila sijawahi kufuga kuku wa mayai je naazaje kufuga

  • @kennethwilson1008
    @kennethwilson1008 4 года назад +2

    Niko Kenya kuku chotara kwa kizungu huitwa aje?

  • @semenimagai1626
    @semenimagai1626 2 года назад +1

    Nimefurahishwa sana na maelezo yako nimejifunza mengi sana hongera sana Kaka ila tunaomba namba yako tutakuitaji ili utujengee

  • @Lamo254
    @Lamo254 4 года назад +1

    Hujambo mimi natokea kenya na nko Qatar.Hivi karbuni nataka kuanza iyo project .Naomba ushauri wenu in terms of construction shade pia kutoka mwanzo hadi mwisho.Naomba nambari yenu ya whatsapp Ndio tuweze kuongea saidi.Wakati mwema

  • @mbutolwemwakambonja9132
    @mbutolwemwakambonja9132 Год назад

    Niko Morogoro nitakupataje uje kunijengea Banda Bora la kuku?

  • @Julius-bh9cx
    @Julius-bh9cx Год назад

    Naitaji kupata kuku chotara nawapataje Niko Kilimanjaro siha

  • @rahmamushi7325
    @rahmamushi7325 8 месяцев назад

    Nahitaji kupata fundi wa kunijengea banda la kuku 500

  • @abduljumanne2731
    @abduljumanne2731 2 года назад

    Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado

  • @davinesfarm2178
    @davinesfarm2178 4 года назад +3

    Habali wa talam wa changamkia fursa,mimi nimfugaji wa kuku wakisasa wa mayayi, na ninapenda kufyatilia changamkia furusa tv, naomba kujuwa kwanini kuku wangu wanakufa saana hadi 15 kwasiku au zaidi, nimejitaidi kutumiya watalam mbali mbali lakini tatizo linabaki pale pale na kunawakati ndoo linaongezeka,nawana mwezi 4kwa sasa nimeanzana nao 2weeks na walikuwa 1300vifaranga vifo vilianza kwa wingi mara-tu walipo fikisha 8weeks mpaka sasa nimebakia na kuku 620.ijapo walioniuzia vifalanga walinidangamya nikapewa dizaini mbili tofauti za vifaranga ambavyo vilikuwa vimetotolewa kwa aawamu 2tofauti ,bila mimi kujuwa nambegu tofauti ila zote zamayayi. Bazi yakuku kwa sasa kuvimba tumbo na makolomea, na kushindwa kucheuwa, kushindwa hata kula kukaa wana zubaa tu na kufa.

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Asante kwa swali zuri.
      Nitafute what's app 0752209073 tuongee zaidi

    • @saidhamisi2795
      @saidhamisi2795 4 года назад

      Pole kaka mungu atakujalia utafaulu pia mm nataka nianze kufuga pole Sana usife moyo

    • @imanifungo5939
      @imanifungo5939 4 года назад

      @@changamkiafursa nahitaji kujenga banda bora gharama bei gani?

    • @manzimatewele1876
      @manzimatewele1876 2 года назад

      @@changamkiafursa natamani kuwa mfugaji nina eneo zuri. Pamoja na maelezo mazuri hapo juu nahitaji kuwaona wataalam physically niwahoji zaidi na wanisaidie kuanzisha huu ufugaji kuanzia ujenzi wa banda bora.

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 4 года назад +1

    Nahitaji kujenga Banda la kuku wa Nyama Chotara 500 wa Nyama na 300 wa mayai. Naomba ushauri wa mahitaji

  • @KamotaTegani
    @KamotaTegani Год назад

    Nataka nijue kuku 50 Banda lake litakuwa na ukubwa gani

  • @KingSolomon-jo3dh
    @KingSolomon-jo3dh 8 месяцев назад

    nahitaji kujua banda lina chukua garama ya kiasi gani

  • @marydaniel9145
    @marydaniel9145 4 года назад +1

    Hivi humo kuku anaweza kulala mpaka au c ndy utakuta kibaka kafanya yake

  • @sajdashariff
    @sajdashariff 11 месяцев назад

    Je naweza kufuga ktk chumba cha binadamu?

  • @wariaelipallangyo953
    @wariaelipallangyo953 3 года назад +2

    Elimu ni nzuri sn,inabidi vijana waache kukaa mtaani,kulaumu hawana ajira hii ni ajira tosha amkeni vijana

  • @hildashokia358
    @hildashokia358 2 года назад

    Mm niko arusha nahitaji fundi ajeanijenfee banda

  • @abshamsadick2209
    @abshamsadick2209 3 года назад +1

    Habari yako? Asante kwa somo zur naomba kuuliza huo wavu huko chini ya banda hivo panavyobakia wazi hapajazibwa je wa dudu au wanyama kama nyoka hawa wezi kuwaangilia kuku kupitia huko uvunguni?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  3 года назад

      Hawawezi kwa sababu unajenga banda halafu ndani ndio unaweka uchanja

  • @NkolaJaphet
    @NkolaJaphet 11 месяцев назад

    Me niko mwanza nampataje fund wa banda?

  • @SeverineLyassi
    @SeverineLyassi 9 месяцев назад

    Bei ya vifaranga vya kuku chotara?

  • @abdallahjongotayari8049
    @abdallahjongotayari8049 Год назад

    ndaniyabanda chinikunawavu utafagiaje

  • @enocksaruni9723
    @enocksaruni9723 2 года назад

    Mimi apa naitwa Erick lewanga swali kwa kuna changamoto hali ya mtu labda ametokea katika familia ambayo ipo chini kiuchumi je sasa nitafanyeje ili nipate mtaji wa kua nzisha huu mradi wa kuku kama ujengaji wa mabanda,chakula,nyavu nk??

  • @godsonsamwel1431
    @godsonsamwel1431 7 месяцев назад

    Mahitaji msaada wakujenga banda

  • @KingSolomon-jo3dh
    @KingSolomon-jo3dh 8 месяцев назад

    naomba nambar yakoo tuwasiliane

  • @lupakisyoassa1579
    @lupakisyoassa1579 5 месяцев назад

    Nahitaji jinsi ya banda kutagia

  • @ramadhanramadhan5051
    @ramadhanramadhan5051 4 года назад +2

    ahsante kwa somo hilo.swali langu ni kwamba. je inawezekana kufuga kuku wa aina zote katika banda moja.?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад +1

      Sio sahihi kwa sababu utopoteza kiza kwa kuchanganya vina Saba vya kuku tofautitofauti

  • @samsonisrael6404
    @samsonisrael6404 4 года назад

    Natafuta soko kuku wa kuenyeji no 0692758081

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Год назад

    Kiukweli mm pia naitaji kufuga kufuga ila eneo langu dogo pia natamani kufuga kuku wakienyej nawale wanyama ila sijajua galama itakost kias gani yakujenga banda lenye uimala kuepuka vibaka

  • @justinemweupe6653
    @justinemweupe6653 4 года назад +1

    Nahitaji huduma ya kujengewa banda bora la kuku, tafadhali naomba msaada wako@ changamkia fursa

  • @deborahbikengera4061
    @deborahbikengera4061 Год назад

    Habari me natamani kufuga kuku wa mayai swali langu ni hili je nisawa kununua vifaranga vya miez 3 au ni bora nianze kulea kwanzia vifaranga vya siku moja

  • @MatlidaMushi-yy8gk
    @MatlidaMushi-yy8gk Год назад

    Nataka kujenga banda kuku 600 nahitaji kujua mita ngani na nitafugakwa intensive systems niko mbeya

  • @aloycerichard5684
    @aloycerichard5684 Год назад

    Naitwa Aloyce Richard kutoka iringa naomba kujua tathimin ya gharama ya Banda la kuku 100

  • @dlumala
    @dlumala Год назад

    Mita3x3 au 3x4

  • @jacobndamayape9462
    @jacobndamayape9462 4 года назад +1

    Asante sana kwa kutupatia elimu ya fursa,,nina maswali 2 japo hii post nimechelewa kuiona,
    1; Ni tsh ngapi zinahitajika kukamilisha ujenzi pamoja na mtaji wa kuanzia
    2; Hao mafundi wapo kila mkoa,mf. mi nipo Geita wilaya ya Mbogwe.Naomba majibu bosi wangu.

  • @margueritnyingani8844
    @margueritnyingani8844 4 года назад +2

    In a limited space will it be possible to build two storeys for more chicken?

  • @FLIDIUSFIDELIS
    @FLIDIUSFIDELIS 4 месяца назад

    Je hao kuku wa nyama, mayai kutaga wanapatikanaje je wao hawazaliani au wanazalianaje maan wao tumesema niwamayai na nyama

  • @nambuyalydia8369
    @nambuyalydia8369 4 года назад +3

    Please do u have any English translation for this video

  • @mrsamweldaudi445
    @mrsamweldaudi445 2 года назад

    Sasa Mimi nikihitaji aina hii ya Banda na fundi wa kunijengea ntapataje?na mfano nikajua itagharim bei gan mpaka kutengeneza Hilo Banda kwanzia mbao bati mpaka mwisho ... Makadirio ya gharama.. Mimi nipo Moshi kwa takribani ya kuku 100

  • @sammusau9206
    @sammusau9206 4 года назад +5

    what are those plants they are feeding on?

  • @gerthalupenza2652
    @gerthalupenza2652 7 месяцев назад

    Naomba mlioneshe banda lote vitu vi n avyokuwepo ktk banda yaan mfumo mzima uliooko bandani

  • @ngianazephania6585
    @ngianazephania6585 2 года назад +1

    Ni meelimika sana nitaanza kufuga najipanga asanteni

  • @happylubamba
    @happylubamba Год назад

    Asante njtawalpata wapi

  • @richardmusyoka8686
    @richardmusyoka8686 4 года назад +1

    Mimi nimefurahia sana.nitafanya mini nanataka kufuka kuku mia moja za kienyeji

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Video hii itakusaidia
      ruclips.net/video/UTImzNqRzb8/видео.html

  • @gerardmgwabati1022
    @gerardmgwabati1022 2 года назад

    Mimi ninashamba nahitaji mtaalamu wa kunidizainia mabanda ya kuku na kunisimamia mifugo.

  • @asiaissamtanzania8700
    @asiaissamtanzania8700 4 года назад +2

    Sisi tulio zaziba.tukihitaji fundi wa kujenga banda tutampataje?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Wasiliana Naye, anakuja mpaka Zanzibar
      0768347759

  • @marycianamusoma3318
    @marycianamusoma3318 4 года назад +3

    Mabanda mazur nmeyapenda lakin huo waya kuku wakitaga mayai hayavunjiki?

  • @cyprianmalius364
    @cyprianmalius364 3 года назад +1

    Unaweza kuchanganya kuku wa aina tofauti katika banda moja?

  • @mariamsalim3856
    @mariamsalim3856 Месяц назад +1

    Somo zuri sana

  • @dlumala
    @dlumala 2 года назад

    Ninaishi tegeta naomba unisaidie kumpatafundi wa banda let kuku

  • @gracemjungu9244
    @gracemjungu9244 4 года назад +1

    Mungu akubariki kwa masomo mazuri unayotupatia ndugu yetu, naomba unisaidie Kama Nina chumba tuu nikatengeneza Banda la kuku ndani itakuwaje kwa habari ya mwelekeo wa upepo na jua? Au haifai kutengeneza Banda ndani ya chumba? Naomba kujua

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад +1

      Unaweza ila zingatia ukubwa wa chumba na idadi ya kuku

    • @gracemjungu9244
      @gracemjungu9244 4 года назад +1

      @@changamkiafursa Asante ndugu yangu

  • @richardmusyoka8686
    @richardmusyoka8686 4 года назад +1

    MTU upitia wapi kwa hii bada nasioni jia ama unapanda juu kwa waya

  • @EdithaPancras
    @EdithaPancras 4 месяца назад

    Habari nahitaji fundi was banda.tafadhari tuwasiliane

  • @jescambise6689
    @jescambise6689 Год назад

    Naweza pata mtu wakunitengenezea Banda nipo Arusha

  • @ahamadimbendela9520
    @ahamadimbendela9520 2 года назад

    Naomba kupata mwongozo jinsi ya kupata maybe ya kuku wa kienyeji wa nyama kuanzia mayai 50 nakuendelea

  • @Lobo-Lobo
    @Lobo-Lobo 4 года назад +1

    Floor design is big mistake... chicks are temp sensetive... they dont like draft that makes them stress more... when chicks are stressed, they eat more wasting feed/energy but they don't grow as much!
    Looks like you are more interested in selling the bird droppings for fertilizer... if thats the case, floor design is ok....

    • @janetndeanasiambene3975
      @janetndeanasiambene3975 4 года назад

      What do you suggest as an alternative?

    • @umbaliche
      @umbaliche 2 года назад

      Even chicken cages use the same idea, what can you say about that?

  • @evelynurari9163
    @evelynurari9163 4 года назад

    Niko kilombero najiandaa kujenga mabanda ya kufuga kuku wa kienyeji kisasa nahitaji ushauri eneo langu ni kama sqm 15 kwa kumi

  • @Mswanotv
    @Mswanotv 3 года назад

    Je Hali ya great ya Arusha tunaita ni joto au baridi

  • @yoelicleophace1591
    @yoelicleophace1591 Год назад

    Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani

  • @lucyjilanga4436
    @lucyjilanga4436 2 года назад

    Nipo Arusha ninahitaji kupata Fundi wa kijenga Banda la kuku

  • @janewambokamau5660
    @janewambokamau5660 Год назад

    Eeeee mm Niko kenya

  • @totolymwacha1583
    @totolymwacha1583 3 года назад

    Man u vs west ham

  • @hellenelifasi8786
    @hellenelifasi8786 3 года назад

    Nashukuru kwa elimu je nawezaje kukupata mwalimu?niko Morogoro

  • @mwalimumbukuzi7273
    @mwalimumbukuzi7273 4 года назад +1

    nawezaje kupata mtaalam wa kudizain banda nikiwa hapa musoma Mara? maana maelezo mazuri lakini vitendo ni ngumu

  • @yoelicleophace1591
    @yoelicleophace1591 Год назад

    Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani

  • @deniskimario9288
    @deniskimario9288 2 года назад

    Kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji, kuku hawafunguliwi kutoka bandani?

  • @semenimagai1626
    @semenimagai1626 2 года назад

    Tunapataje namba yako ili tukiitaji ijenzi tuweze kukipata

  • @humphreykarua5241
    @humphreykarua5241 3 года назад

    Asante sana he? Mtaji was kujenga banda ni sh ngapi?kwa kubwa UPI?asante H

  • @rayakhatib7165
    @rayakhatib7165 3 года назад

    Nahitaji kujengewa banda la kuku 200 wa nyama niko Dar naomba contact za fundi

  • @mnembachambuya4956
    @mnembachambuya4956 4 года назад

    nahitaji kutengeneza banda mnaweza mkanisaidiaje? huyo jamaa naweza kumpata? kwa gharama kiasi gani?

  • @ramzanshamsu2948
    @ramzanshamsu2948 3 года назад

    Habari mnapatikana wapi na mnatengenez mabanda mtu akihitaji mm nipo dar