Asante sana kwa somo lako zuri lufugaji wa kuku na hakika nimeona banda lilivyopendeza.Naomba namba yako ya simu Mimi namba yangu ni 0767586720/0787705467
This video will be so helpful in English. Can you please subtitle your video. I'm sure it'll significantly increase the number of views. Great work there
Hujambo mimi natokea kenya na nko Qatar.Hivi karbuni nataka kuanza iyo project .Naomba ushauri wenu in terms of construction shade pia kutoka mwanzo hadi mwisho.Naomba nambari yenu ya whatsapp Ndio tuweze kuongea saidi.Wakati mwema
Habali wa talam wa changamkia fursa,mimi nimfugaji wa kuku wakisasa wa mayayi, na ninapenda kufyatilia changamkia furusa tv, naomba kujuwa kwanini kuku wangu wanakufa saana hadi 15 kwasiku au zaidi, nimejitaidi kutumiya watalam mbali mbali lakini tatizo linabaki pale pale na kunawakati ndoo linaongezeka,nawana mwezi 4kwa sasa nimeanzana nao 2weeks na walikuwa 1300vifaranga vifo vilianza kwa wingi mara-tu walipo fikisha 8weeks mpaka sasa nimebakia na kuku 620.ijapo walioniuzia vifalanga walinidangamya nikapewa dizaini mbili tofauti za vifaranga ambavyo vilikuwa vimetotolewa kwa aawamu 2tofauti ,bila mimi kujuwa nambegu tofauti ila zote zamayayi. Bazi yakuku kwa sasa kuvimba tumbo na makolomea, na kushindwa kucheuwa, kushindwa hata kula kukaa wana zubaa tu na kufa.
@@changamkiafursa natamani kuwa mfugaji nina eneo zuri. Pamoja na maelezo mazuri hapo juu nahitaji kuwaona wataalam physically niwahoji zaidi na wanisaidie kuanzisha huu ufugaji kuanzia ujenzi wa banda bora.
Habari yako? Asante kwa somo zur naomba kuuliza huo wavu huko chini ya banda hivo panavyobakia wazi hapajazibwa je wa dudu au wanyama kama nyoka hawa wezi kuwaangilia kuku kupitia huko uvunguni?
Mimi apa naitwa Erick lewanga swali kwa kuna changamoto hali ya mtu labda ametokea katika familia ambayo ipo chini kiuchumi je sasa nitafanyeje ili nipate mtaji wa kua nzisha huu mradi wa kuku kama ujengaji wa mabanda,chakula,nyavu nk??
Kiukweli mm pia naitaji kufuga kufuga ila eneo langu dogo pia natamani kufuga kuku wakienyej nawale wanyama ila sijajua galama itakost kias gani yakujenga banda lenye uimala kuepuka vibaka
Habari me natamani kufuga kuku wa mayai swali langu ni hili je nisawa kununua vifaranga vya miez 3 au ni bora nianze kulea kwanzia vifaranga vya siku moja
Asante sana kwa kutupatia elimu ya fursa,,nina maswali 2 japo hii post nimechelewa kuiona, 1; Ni tsh ngapi zinahitajika kukamilisha ujenzi pamoja na mtaji wa kuanzia 2; Hao mafundi wapo kila mkoa,mf. mi nipo Geita wilaya ya Mbogwe.Naomba majibu bosi wangu.
Sasa Mimi nikihitaji aina hii ya Banda na fundi wa kunijengea ntapataje?na mfano nikajua itagharim bei gan mpaka kutengeneza Hilo Banda kwanzia mbao bati mpaka mwisho ... Makadirio ya gharama.. Mimi nipo Moshi kwa takribani ya kuku 100
Mungu akubariki kwa masomo mazuri unayotupatia ndugu yetu, naomba unisaidie Kama Nina chumba tuu nikatengeneza Banda la kuku ndani itakuwaje kwa habari ya mwelekeo wa upepo na jua? Au haifai kutengeneza Banda ndani ya chumba? Naomba kujua
Floor design is big mistake... chicks are temp sensetive... they dont like draft that makes them stress more... when chicks are stressed, they eat more wasting feed/energy but they don't grow as much! Looks like you are more interested in selling the bird droppings for fertilizer... if thats the case, floor design is ok....
Asante sana kwa mafunzo hayo. Mpo wapi nije kuwatembelea.
Naitwa Mr, Vicent Niko Sumbawanga,Naomba kujua Kama mnahusika pia katika ujenzi wa Mabanda ya kuku,namba zangu 0623744963.nahitaji Banda la kuku 400,
Na vipi sehemu ya kulala inakua hapo hapo au sehemu nyingine?
Asante sana
Pamoja sana
Maana ya chotara .ni mchanganyiko wa aina 2 za KUKU...kroila ni chotara Ila jina limetokana na yule aliye gundua hiyo mbegu
Asante sana kwa somo lako zuri lufugaji wa kuku na hakika nimeona banda lilivyopendeza.Naomba namba yako ya simu Mimi namba yangu ni 0767586720/0787705467
Nice video. Nilitaka kufahamu unahitaji kufuga angalau kuku wangapi Ili ufugaji wako uwe na tija.
Pia nitahitaji kujuwa zaidi kutokana na ufugaji kwa ujumla , kama vile uchanganyaji chakula kwa kupunguza gharama na madawa
Asante tutaandaa
Ahsante sana, naomba namba ya simu yako
This video will be so helpful in English. Can you please subtitle your video. I'm sure it'll significantly increase the number of views. Great work there
Nahitaji kutengenezewa Banda nakupataje
Mtampateje hiyo mjenga banda nipo mkowa wa geita masumbwe
Wish it was in english
Niko Dodoma na lingine Ileje Songwe la kuku 200 mayai na 300 Nyama
Naomba namba ya fundi wa banda tafadhali
0768347759
Njia bora za kutengeneza banda bora LA kuku wa kienyeji
Kama nahitaji kujewa Banda Niko Moshi itawezekana?
Sorry mi natak kufuga kuku wa kienyeji 3000 naitaj banda LA ukubwa ganii
Ukubwa wa banda ni 375m sqr.
Lakini itakuwa bora kama utajenga mabanda mawili yenye uwezo wa kubeba kuku 1500
Itasaidia kusimamia mradi
@@changamkiafursa Asante Sana kaka
Niko Dar nahitaji msaada wa kujengewa banda kuku wa kienyeji
Je ni sahihi kwaachia kuku wa kienyeji wajitaftie chakula na Hiyo Hina madhara!?
Mimi Naitwa Paschal kutoka Dodoma Naomba kuuliza je ni mtaji kisasi gani (kwa kiwango cha chini) ninaoweza kuanzia ufugaji???
samahani mbona hizo wire mesh za chini ukiwawekea luku wanavimba kwenye nyayo tatizo ni nini tafadhali
Asante kwa somo la Banda. Kuku anatakiwa be kula kiasi gani(kg) kwa siku? Hasa wa kienyeji
Jamani mbona tunataka namba ya sim halafu hamtumi.
Nahitaji kufuga kuku wa kienyeji naomba ushauli
Jmani mm naitwa frank,niko Dodoma, nina kuku wangu wa mayai,lkn tatizo wanashida ya kupinda kwa shingo,nimetumia vitamin haijasaidia,chakula nachukuliaga SILVER LAND, naombeni msaada,unamkuta kuku mwingne kapooza miguu,wengine ndo hizo shingo,nitashukuru sana endapo tatizo langu litapatiwa ufumbuzi
Asante kwa swali zuri, nitaandaa video kujibu swali hili
Wapatie DCP. Wana uchache wa Calcium
B
MIMI NINA SWALI NAHITAJI BANDA LA KUKU 1000 NAPENDA KUTUMIA MBAO NA MABATI JE GARAMA LA BANDA HILO LA KUKU 1000 NI SHILINGI NGAPI ?
Huyo wakutengeneza banda bora anapatikanaje.
Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado
Mimi ndo nataka nifugee Sasa nipoo singida nijengee bandaa la Aina gani
Nahitaji kuwasiliana na Charles Kwa ajili ya kunijengea Banda plse
Niko Arusha je ni mgawanyo kiasi Gani ninaotakiwa kuweka Kwa kuku wa mayai?
Naomba kuhulizia kuhusu ayo majani wanakula kuku ni majani gani?
Mm nipo moro ila sijawahi kufuga kuku wa mayai je naazaje kufuga
Niko Kenya kuku chotara kwa kizungu huitwa aje?
Improved kienyeji chickens
nadhani hybrid
Asanteni sana na je nikizihitaji nitaweza zipata aje?niko Kenya Nairobi.
Nimefurahishwa sana na maelezo yako nimejifunza mengi sana hongera sana Kaka ila tunaomba namba yako tutakuitaji ili utujengee
Upo mkoa gani mkuu??
Hujambo mimi natokea kenya na nko Qatar.Hivi karbuni nataka kuanza iyo project .Naomba ushauri wenu in terms of construction shade pia kutoka mwanzo hadi mwisho.Naomba nambari yenu ya whatsapp Ndio tuweze kuongea saidi.Wakati mwema
Niko Morogoro nitakupataje uje kunijengea Banda Bora la kuku?
Naitaji kupata kuku chotara nawapataje Niko Kilimanjaro siha
Nahitaji kupata fundi wa kunijengea banda la kuku 500
Naitwa abduli juma nne na kaa nzanzib mm tatizo langu kuku wangu wana umwa ndui ya macho nitumiy daw gan na otc nime tumia na abado
Habali wa talam wa changamkia fursa,mimi nimfugaji wa kuku wakisasa wa mayayi, na ninapenda kufyatilia changamkia furusa tv, naomba kujuwa kwanini kuku wangu wanakufa saana hadi 15 kwasiku au zaidi, nimejitaidi kutumiya watalam mbali mbali lakini tatizo linabaki pale pale na kunawakati ndoo linaongezeka,nawana mwezi 4kwa sasa nimeanzana nao 2weeks na walikuwa 1300vifaranga vifo vilianza kwa wingi mara-tu walipo fikisha 8weeks mpaka sasa nimebakia na kuku 620.ijapo walioniuzia vifalanga walinidangamya nikapewa dizaini mbili tofauti za vifaranga ambavyo vilikuwa vimetotolewa kwa aawamu 2tofauti ,bila mimi kujuwa nambegu tofauti ila zote zamayayi. Bazi yakuku kwa sasa kuvimba tumbo na makolomea, na kushindwa kucheuwa, kushindwa hata kula kukaa wana zubaa tu na kufa.
Asante kwa swali zuri.
Nitafute what's app 0752209073 tuongee zaidi
Pole kaka mungu atakujalia utafaulu pia mm nataka nianze kufuga pole Sana usife moyo
@@changamkiafursa nahitaji kujenga banda bora gharama bei gani?
@@changamkiafursa natamani kuwa mfugaji nina eneo zuri. Pamoja na maelezo mazuri hapo juu nahitaji kuwaona wataalam physically niwahoji zaidi na wanisaidie kuanzisha huu ufugaji kuanzia ujenzi wa banda bora.
Nahitaji kujenga Banda la kuku wa Nyama Chotara 500 wa Nyama na 300 wa mayai. Naomba ushauri wa mahitaji
Nataka nijue kuku 50 Banda lake litakuwa na ukubwa gani
nahitaji kujua banda lina chukua garama ya kiasi gani
Hivi humo kuku anaweza kulala mpaka au c ndy utakuta kibaka kafanya yake
Je naweza kufuga ktk chumba cha binadamu?
Elimu ni nzuri sn,inabidi vijana waache kukaa mtaani,kulaumu hawana ajira hii ni ajira tosha amkeni vijana
Mm niko arusha nahitaji fundi ajeanijenfee banda
Habari yako? Asante kwa somo zur naomba kuuliza huo wavu huko chini ya banda hivo panavyobakia wazi hapajazibwa je wa dudu au wanyama kama nyoka hawa wezi kuwaangilia kuku kupitia huko uvunguni?
Hawawezi kwa sababu unajenga banda halafu ndani ndio unaweka uchanja
Me niko mwanza nampataje fund wa banda?
Bei ya vifaranga vya kuku chotara?
ndaniyabanda chinikunawavu utafagiaje
Mimi apa naitwa Erick lewanga swali kwa kuna changamoto hali ya mtu labda ametokea katika familia ambayo ipo chini kiuchumi je sasa nitafanyeje ili nipate mtaji wa kua nzisha huu mradi wa kuku kama ujengaji wa mabanda,chakula,nyavu nk??
Mahitaji msaada wakujenga banda
naomba nambar yakoo tuwasiliane
Nahitaji jinsi ya banda kutagia
ahsante kwa somo hilo.swali langu ni kwamba. je inawezekana kufuga kuku wa aina zote katika banda moja.?
Sio sahihi kwa sababu utopoteza kiza kwa kuchanganya vina Saba vya kuku tofautitofauti
Natafuta soko kuku wa kuenyeji no 0692758081
Unao kuku wangapi
Kiukweli mm pia naitaji kufuga kufuga ila eneo langu dogo pia natamani kufuga kuku wakienyej nawale wanyama ila sijajua galama itakost kias gani yakujenga banda lenye uimala kuepuka vibaka
Nahitaji huduma ya kujengewa banda bora la kuku, tafadhali naomba msaada wako@ changamkia fursa
Habari me natamani kufuga kuku wa mayai swali langu ni hili je nisawa kununua vifaranga vya miez 3 au ni bora nianze kulea kwanzia vifaranga vya siku moja
Nataka kujenga banda kuku 600 nahitaji kujua mita ngani na nitafugakwa intensive systems niko mbeya
Naitwa Aloyce Richard kutoka iringa naomba kujua tathimin ya gharama ya Banda la kuku 100
Mita3x3 au 3x4
Asante sana kwa kutupatia elimu ya fursa,,nina maswali 2 japo hii post nimechelewa kuiona,
1; Ni tsh ngapi zinahitajika kukamilisha ujenzi pamoja na mtaji wa kuanzia
2; Hao mafundi wapo kila mkoa,mf. mi nipo Geita wilaya ya Mbogwe.Naomba majibu bosi wangu.
In a limited space will it be possible to build two storeys for more chicken?
Je hao kuku wa nyama, mayai kutaga wanapatikanaje je wao hawazaliani au wanazalianaje maan wao tumesema niwamayai na nyama
Please do u have any English translation for this video
Sasa Mimi nikihitaji aina hii ya Banda na fundi wa kunijengea ntapataje?na mfano nikajua itagharim bei gan mpaka kutengeneza Hilo Banda kwanzia mbao bati mpaka mwisho ... Makadirio ya gharama.. Mimi nipo Moshi kwa takribani ya kuku 100
what are those plants they are feeding on?
Naomba mlioneshe banda lote vitu vi n avyokuwepo ktk banda yaan mfumo mzima uliooko bandani
Ni meelimika sana nitaanza kufuga najipanga asanteni
Asante njtawalpata wapi
Mimi nimefurahia sana.nitafanya mini nanataka kufuka kuku mia moja za kienyeji
Video hii itakusaidia
ruclips.net/video/UTImzNqRzb8/видео.html
Mimi ninashamba nahitaji mtaalamu wa kunidizainia mabanda ya kuku na kunisimamia mifugo.
Sisi tulio zaziba.tukihitaji fundi wa kujenga banda tutampataje?
Wasiliana Naye, anakuja mpaka Zanzibar
0768347759
Mabanda mazur nmeyapenda lakin huo waya kuku wakitaga mayai hayavunjiki?
Hapana kwenye viota unaweka nyasi kavu au maranda
Lakini hata akitaga popote halivunjiki
Unaweza kuchanganya kuku wa aina tofauti katika banda moja?
Somo zuri sana
Ninaishi tegeta naomba unisaidie kumpatafundi wa banda let kuku
Mungu akubariki kwa masomo mazuri unayotupatia ndugu yetu, naomba unisaidie Kama Nina chumba tuu nikatengeneza Banda la kuku ndani itakuwaje kwa habari ya mwelekeo wa upepo na jua? Au haifai kutengeneza Banda ndani ya chumba? Naomba kujua
Unaweza ila zingatia ukubwa wa chumba na idadi ya kuku
@@changamkiafursa Asante ndugu yangu
MTU upitia wapi kwa hii bada nasioni jia ama unapanda juu kwa waya
Unapanda juu
Habari nahitaji fundi was banda.tafadhari tuwasiliane
Naweza pata mtu wakunitengenezea Banda nipo Arusha
Naomba kupata mwongozo jinsi ya kupata maybe ya kuku wa kienyeji wa nyama kuanzia mayai 50 nakuendelea
Floor design is big mistake... chicks are temp sensetive... they dont like draft that makes them stress more... when chicks are stressed, they eat more wasting feed/energy but they don't grow as much!
Looks like you are more interested in selling the bird droppings for fertilizer... if thats the case, floor design is ok....
What do you suggest as an alternative?
Even chicken cages use the same idea, what can you say about that?
Niko kilombero najiandaa kujenga mabanda ya kufuga kuku wa kienyeji kisasa nahitaji ushauri eneo langu ni kama sqm 15 kwa kumi
Je Hali ya great ya Arusha tunaita ni joto au baridi
Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani
Nipo Arusha ninahitaji kupata Fundi wa kijenga Banda la kuku
Eeeee mm Niko kenya
Man u vs west ham
Nashukuru kwa elimu je nawezaje kukupata mwalimu?niko Morogoro
nawezaje kupata mtaalam wa kudizain banda nikiwa hapa musoma Mara? maana maelezo mazuri lakini vitendo ni ngumu
Ahsante kwa mafundisho yako je kuku 10 wanaweza kufugiwa kwenye banda la ukubwa kiasi gani
Mbona amekujibu vizuri fuatilia tena
Kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji, kuku hawafunguliwi kutoka bandani?
Tunapataje namba yako ili tukiitaji ijenzi tuweze kukipata
Asante sana he? Mtaji was kujenga banda ni sh ngapi?kwa kubwa UPI?asante H
Nahitaji kujengewa banda la kuku 200 wa nyama niko Dar naomba contact za fundi
nahitaji kutengeneza banda mnaweza mkanisaidiaje? huyo jamaa naweza kumpata? kwa gharama kiasi gani?
Habari mnapatikana wapi na mnatengenez mabanda mtu akihitaji mm nipo dar