Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Mwalimu mama mfugaji wa kuku chotora hongera kwa kazi njema. Mbona naona kama mle ndani Kuna joto jingi. Kuku Wana onyesha
Asante sana mwalimu limo nataka vifaranga wa kroiler nawapataje niko hapa Dar
Kazi nzuri mwalimu.nipo mombasa kenya.nakufwatilia
Hongera kwa mafundisho mazuri, kwa pamoja tutajenga uchumi mzuri
Asante sana mwl. Nataka kukuona.Naomba mawasiliano nipo dar
Shukran sana kwa somo mi nahitaji sana elimi kwani ninandoto ya ufugaji wa kuku
Dada lymo mimi nataka vifaranga majogoo tu,napaje naomba ushauri
Asante sana kwa mafundisho mazuri
Asante san mwalimu naomb namba yako
Asante kwa ushauri namba ya ssimu
Jamani natafuta kuku wa mayai chotara msaada jmn
Niko Nairobi Kenya,naomba vivaranga vyia chotara
Hawa jogoo ni aina gan?
Congole dada 👏🙏👏👏👏❤❤❤❤😂😂😂😂
Nipo Mbali sana Burundi
Upo wapi mama Tanzania au wapi? Na namba yako ya simu NI ipi
Mama Lyimo naomba namba Yako tafadhali
Please can you make a video concerning kuroilers for meat purposes?Thanks ❤
Weka namba zako za simu utusaidie kwa urahisi zaidi
Naomba namba ya simu
Kweli Dada umeongea vizuri sana
Mimi nataka vifaranga Niko tanga Asante sana dada
Good information 👍.
Mimi nakuku wawiri nataka niwe na kuku wengi nifanyaje ndugu
Aaaah Jitahidi roho ya kukosa mboga,,,,isikufatee,,,,wataongezeka😂😂
@@NAKEMBWETWAROBARTMKUMBO😂😂😂😂😂
Arusha wakala yupo? Ili tupate vifaranga?
hongera sana mwalimu
Nataka vifaranga vya kuroiler niko moshi nitawapataje? Na nijue bei ya kuku kwa umrii tofauti
Naomba namba yako tafadhali
namba yako tafadhali..
Asant kwaushauri mzur sana
Nakupata vzr
Mwalimu lyimo shikamoo mama.kama Niko moshi naweza kupata vifaranga majogoo tuu?
Umeongea vizuri sana mama
Naomba msaada wako sana nitafute ili tuwasiliane vizuri
Brilliant
Naomba kuuliza kuku kuroiler 200 wanakula kiasi gani cha chakula kwa siku?
Je unafuga kienyeji
Mi natamani kufuga kwa ajili ya mayai, je soko linapatikana wapi?
Unauzaje kifaranga dada limo
Asante
Asante sana kwa mafundisho mazuri nashukuru. Naweza pata vifaranga? Japo niko Kenya mpakani kehancha
Unauzaje vifaranga mhesh
Mwalimu darasa lako nilini?
Dada nimependa elim yako nataka kuwa mfugaji nipo iringa najiandaa kwa banda
Mim mama z naomba ushaur Nina kuku Wang wanatag pamoja isitoshe wanakula mayai naomba ushaur
Hi nakutazama nikiwa kenya Thika natamani mafundisho
Naomba no yako
nahitaji ufugaji na mimu
Tunaitaji namba yako
Si hizo hapo kwenye video
Naitaji vigaranga naomba mawasiliano nipo dar
Mwalim cjui anachangamoto gani mpaka anapotea kwa mda mref bila mawasiliano so inasababisha wanafunz wadogo kufeli ktk mifugo yao kwa kukosa msaada
Kweli?
Arusha unapatikana wapi nataka nijifunze kuhusu kuku wa mayai na kisha ninunue vifaranga kwako
Nipo Arusha
Arusha sehem gani @@ShelterKijo
vifaranga bei gani , ya brwlr unauza bei gani
Natokea mbeya nataka vifalanga nitapateje na nishilingi ngapi
Mime fulai kuwa kazi yako nzuli hubalikiwe
Tunaomba namba mama lymo
Teacher group zianze upya tunaku miss
😀😀😀
Nahitaji vifaranga vya kuroiler nipo segerea
Naomba naomba yako
Samahani mwalimu naomba nijue jogoo unaweza kumuwekea tetea wangapi
Mimi nahitaji vifaranga vya kuku napataje
Unauzaje mayai ya kuroiler ya kutotoresha
Naomb no yako dada
Umepotea kweli
Nakufuata nikiwa Nairobi kenya.
Nakupenda sana nitakucheki kwenye sm
Naomb namba zake asante
unauzaje.vifarangawamwezi
Nahitaji broiler napataje
Nahitaji mayai ya chotara
Naitaji majogoo ya chotara
Nigempata mawasiliano yako Kijana wago anataka mafudisho.
Hongera mwalimu
Turikuwa tunagusubili kwahamu mama lima
Sema tulikuwa siyo turikuwa
Mimi takaka kufuga nipo dodoma
Sasa unaongea arafu uweki Details zako za kibiashara chini ya information tafuta mtu wa kukupangilia content wewe bakia kwene kazi ya kuku
Kroela wa mwezi unauzaji mama
Yale magrup ya whatsup bad yapo
Hapana
Nami naitaji kujiunga ktk group
Naomba kujua nitakapopata mashine ya incubator.
@@lucykibela-et8tp namba ya kujiunga niipi
Nataka Ku tshukuwa Kuku 50 wa mtoto
Mbona nilituma hela kwajili ya kujiunga kwenye grupu hamjanijibu
Vifaranga bei gani?
Can you supply chicks to Nairobi Kenya?
Vifaranga vinauzwaje
Mwalimu mama mfugaji wa kuku chotora hongera kwa kazi njema. Mbona naona kama mle ndani Kuna joto jingi. Kuku Wana onyesha
Asante sana mwalimu limo nataka vifaranga wa kroiler nawapataje niko hapa Dar
Kazi nzuri mwalimu.nipo mombasa kenya.nakufwatilia
Hongera kwa mafundisho mazuri, kwa pamoja tutajenga uchumi mzuri
Asante sana mwl. Nataka kukuona.
Naomba mawasiliano nipo dar
Shukran sana kwa somo mi nahitaji sana elimi kwani ninandoto ya ufugaji wa kuku
Dada lymo mimi nataka vifaranga majogoo tu,napaje naomba ushauri
Asante sana kwa mafundisho mazuri
Asante san mwalimu naomb namba yako
Asante kwa ushauri namba ya ssimu
Jamani natafuta kuku wa mayai chotara msaada jmn
Niko Nairobi Kenya,naomba vivaranga vyia chotara
Hawa jogoo ni aina gan?
Congole dada 👏🙏👏👏👏❤❤❤❤😂😂😂😂
Nipo Mbali sana Burundi
Upo wapi mama Tanzania au wapi? Na namba yako ya simu NI ipi
Mama Lyimo naomba namba Yako tafadhali
Please can you make a video concerning kuroilers for meat purposes?
Thanks ❤
Weka namba zako za simu utusaidie kwa urahisi zaidi
Naomba namba ya simu
Kweli Dada umeongea vizuri sana
Mimi nataka vifaranga Niko tanga Asante sana dada
Good information 👍.
Mimi nakuku wawiri nataka niwe na kuku wengi nifanyaje ndugu
Aaaah Jitahidi roho ya kukosa mboga,,,,isikufatee,,,,wataongezeka😂😂
@@NAKEMBWETWAROBARTMKUMBO😂😂😂😂😂
Arusha wakala yupo? Ili tupate vifaranga?
hongera sana mwalimu
Nataka vifaranga vya kuroiler niko moshi nitawapataje? Na nijue bei ya kuku kwa umrii tofauti
Naomba namba yako tafadhali
namba yako tafadhali..
Asant kwaushauri mzur sana
Nakupata vzr
Mwalimu lyimo shikamoo mama.kama Niko moshi naweza kupata vifaranga majogoo tuu?
Umeongea vizuri sana mama
Naomba msaada wako sana nitafute ili tuwasiliane vizuri
Brilliant
Naomba kuuliza kuku kuroiler 200 wanakula kiasi gani cha chakula kwa siku?
Je unafuga kienyeji
Mi natamani kufuga kwa ajili ya mayai, je soko linapatikana wapi?
Unauzaje kifaranga dada limo
Asante
Asante sana kwa mafundisho mazuri nashukuru. Naweza pata vifaranga? Japo niko Kenya mpakani kehancha
Unauzaje vifaranga mhesh
Mwalimu darasa lako nilini?
Dada nimependa elim yako nataka kuwa mfugaji nipo iringa najiandaa kwa banda
Mim mama z naomba ushaur Nina kuku Wang wanatag pamoja isitoshe wanakula mayai naomba ushaur
Hi nakutazama nikiwa kenya Thika natamani mafundisho
Naomba no yako
nahitaji ufugaji na mimu
Tunaitaji namba yako
Si hizo hapo kwenye video
Naitaji vigaranga naomba mawasiliano nipo dar
Mwalim cjui anachangamoto gani mpaka anapotea kwa mda mref bila mawasiliano so inasababisha wanafunz wadogo kufeli ktk mifugo yao kwa kukosa msaada
Kweli?
Arusha unapatikana wapi nataka nijifunze kuhusu kuku wa mayai na kisha ninunue vifaranga kwako
Nipo Arusha
Arusha sehem gani @@ShelterKijo
vifaranga bei gani , ya brwlr unauza bei gani
Natokea mbeya nataka vifalanga nitapateje na nishilingi ngapi
Mime fulai kuwa kazi yako nzuli hubalikiwe
Tunaomba namba mama lymo
Teacher group zianze upya tunaku miss
😀😀😀
Nahitaji vifaranga vya kuroiler nipo segerea
Naomba naomba yako
Samahani mwalimu naomba nijue jogoo unaweza kumuwekea tetea wangapi
Mimi nahitaji vifaranga vya kuku napataje
Unauzaje mayai ya kuroiler ya kutotoresha
Naomb no yako dada
Umepotea kweli
Nakufuata nikiwa Nairobi kenya.
Nakupenda sana nitakucheki kwenye sm
Naomb namba zake asante
unauzaje.vifarangawamwezi
Nahitaji broiler napataje
Nahitaji mayai ya chotara
Naitaji majogoo ya chotara
Nigempata mawasiliano yako
Kijana wago anataka mafudisho.
Hongera mwalimu
Turikuwa tunagusubili kwahamu mama lima
Sema tulikuwa siyo turikuwa
Mimi takaka kufuga nipo dodoma
Sasa unaongea arafu uweki Details zako za kibiashara chini ya information tafuta mtu wa kukupangilia content wewe bakia kwene kazi ya kuku
Kroela wa mwezi unauzaji mama
Yale magrup ya whatsup bad yapo
Hapana
Nami naitaji kujiunga ktk group
Naomba kujua nitakapopata mashine ya incubator.
@@lucykibela-et8tp namba ya kujiunga niipi
Nataka Ku tshukuwa Kuku 50 wa mtoto
Mbona nilituma hela kwajili ya kujiunga kwenye grupu hamjanijibu
Vifaranga bei gani?
Can you supply chicks to Nairobi Kenya?
Vifaranga vinauzwaje