NILIANZA NA KUKU 50 WA KIENYEJI SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • NILIANZA NA KUKU WA KIENYEJI 50 SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI
    Ufugaji wa kuku wa kienyeji unamafanikio makubwa kama utaamua kufuga Kuku wa kienyeji kibiashara.
    wapo waliokata tamaa kwasababu ya changamoto za magonjwa ambazo husababiswa na kutokuwa na elimu ya ufugaji bora wa kuku wa kienyeji.
    Pia wapo waliopambana na changamoto hizo na leo wamekua Wafugaji wakubwa na wenye mafanikio.
    mfugaji huyu alianza na kuku wa kienyeji 50 na sasa anazslisha vifaranga 2500 kila wiki.
    Fatilia safari yake yenye changamoto na mafanikio
    PLAYLIST
    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
    bit.ly/2JlD0sl
    Ufugaji wa Kuku Chotara
    bit.ly/39r7FPD
    Magonjwa Tishio ya Kuku
    bit.ly/39oRfr1
    Ujenzi wa Banda Bora
    bit.ly/3bxQJs2
    Uleaji Bora wa Vifaranga
    bit.ly/2JjPH73
    SOCIAL MEDIA
    RUclips; bit.ly/2vU8SBg
    Facebook; bit.ly/39ogwlb
    Instagram; bit.ly/3dA25xF
    Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
    What's app; 255 (0)752209073
    For Business Purposes
    Email; changamkiafursa@gmail.com

Комментарии • 364

  • @changamkiafursa
    @changamkiafursa  4 года назад +8

    Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 ruclips.net/video/0XmXo-8o5DY/видео.html

    • @andrewambroce7827
      @andrewambroce7827 4 года назад

      Mko wp?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Mbezi beach Dar

    • @nanimkenya1015
      @nanimkenya1015 4 года назад

      nimefuatia comments i have got your whatsapp number 0752209073 hope the number is collect. am so much happy, the spirit of chicken farm you will my teacher.

    • @joharhamisi9140
      @joharhamisi9140 4 года назад

      @@changamkiafursa samahan mimi nafuga kuku wa kienyeji lakin Wana matatizo wanakua na vipele

    • @aloycejoseph7922
      @aloycejoseph7922 3 года назад

      Naitaji kuwah mfugaji

  • @deblackmalkia7334
    @deblackmalkia7334 5 лет назад +48

    mimi nimeanza na kuku mmoja naimani ntafika mbali pia inshaallah

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +1

      Nzuri hiyo, nimeipenda

    • @kingsultan2223
      @kingsultan2223 5 лет назад +7

      Ss utampanda mwnyewe atage ama?😜😜😀😀

    • @deblackmalkia7334
      @deblackmalkia7334 5 лет назад +2

      King Sultan unaonekana ww ni mvivu wakufikiria vzr ila subir uone kama mbuyu unavouna mkubwa ulianza kama mchicha🤐

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +3

      Sahihi kabisa

    • @devothangonyani1597
      @devothangonyani1597 5 лет назад +1

      @@kingsultan2223 😂😂😂😂😂jamani watu mna maneno

  • @hildaminja5148
    @hildaminja5148 5 лет назад +14

    Nimewasiliana nawe leo 29/07/2019. Umenijenga sana. Nitakuja bila shaka yoyote.

  • @chidboychichalo9201
    @chidboychichalo9201 5 лет назад +2

    Safi saaana mkuuu nami natamani niwe mfugaji tatizo kila nikijarb vifaranga wanakumbwa na maradh chingu mzima

    • @ruthlalika8184
      @ruthlalika8184 10 месяцев назад

      Mi nakushaur jifunze hatua kwa hatua namna Bora ya kulea Vifaranga.

  • @saidyussuph2287
    @saidyussuph2287 5 лет назад +1

    God bless you brother

  • @marrymauki2147
    @marrymauki2147 Год назад

    Naomba uniunge kwenye group nataka nianze ufugaji.

  • @ErastoShelukindo
    @ErastoShelukindo Год назад

    Habari yako,naweza kupata matetea kumi.?ya kienyeji?

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 8 месяцев назад

    Ndyo tunaanza natamani kuendelea kupta darasa lako boss

  • @hassaniMkosa
    @hassaniMkosa 3 месяца назад

    Unapatikana wap

  • @rickythobby3475
    @rickythobby3475 5 лет назад

    Mayai mnauza bei gani kwa tray?

  • @mariaalex9344
    @mariaalex9344 4 года назад

    naomba na mm kujua mana nataka kufuga ili niwe nawapa chanjo hizo

  • @rosepaul7901
    @rosepaul7901 2 года назад

    Mimi nina swali, hivi kuku akiwa anatokwa kama nyama huku nyuma kwake anapojisaidia ile nyama ya ndani inatoka na anakua anatoa kinyesi cha rangi ya chokaa, muda woote analoa huko nyuma ni ugonjwa gani?!
    Maana mm nimeona kinyesi rangi iyo nikampatia OTC na ile VITRANOR

  • @nikolupande9143
    @nikolupande9143 5 лет назад

    Niunge ktk group

  • @fataeldominick7881
    @fataeldominick7881 5 лет назад

    Naomba mniunge WhatsApp 0719361356

  • @mayungantugwa6092
    @mayungantugwa6092 5 лет назад +1

    Hata mimi nahtaji kuungwa kwenye group hilo
    0784312212

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 4 года назад +13

    ONLINE TV WENGINE MJIFUNZE KWA HAWA, HIZI NDIZO HABARI JAMII INAHITAHI KUZIPATA. WENGINE MNALETA USANII NA HABARI FEKI ILI MUIBE MB ZA WATU.

  • @alexchungu9505
    @alexchungu9505 5 лет назад +116

    Mimi nilianza na wawili , sasa hivi nina zaidi ya 30, tutafika tu

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +1

      Pamoja ndugu

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +2

      Mdogo mdogo

    • @zakstv7368
      @zakstv7368 5 лет назад +5

      Hongera sana Alex kaza utafika

    • @alexchungu9505
      @alexchungu9505 5 лет назад +8

      Zakia Othuman , naamini ipo siku nitamiliki kampuni yangu

    • @zakstv7368
      @zakstv7368 5 лет назад +3

      @@alexchungu9505 Inshaallah sikumoja uje utusimulie hapa na sisi tuje tujifunze kwako,mwiko kukata tamaa

  • @gresikomba116
    @gresikomba116 5 лет назад +57

    Haya ndomambo tunayo taman kuendelea kuyaona kwenye mitandao yetu.

  • @RobertsKibasa
    @RobertsKibasa 3 месяца назад +1

    Nisaidie ujenzi wa banda la kuku kukaa juu, kwa kuku 4 12:12 00 urefu mita ngapi na upana, hizo waya meshi, wavu mdogo, misumari ni kiasi gani, miti( mirinda) ninayo shambani kwangu, mbao Mufindi ni nyingi kupindikia, ninafuga kiasi.

  • @stanleyndungu3765
    @stanleyndungu3765 5 лет назад +26

    Mimi nilianza na kuku 3 sasa hivi nina kuku 15. Bado nang'ang'ana.

  • @athumanochu6769
    @athumanochu6769 Год назад +1

    Kwaninichotarawanachelewakutaganinakukuchotarawanamiezikuminamojabadohawajataga

  • @DRICK-vn3oj
    @DRICK-vn3oj 5 лет назад +20

    Unaakili sanaaa jamaaa (bwana mtangazaji)

  • @catherinenyamoita4332
    @catherinenyamoita4332 5 лет назад +11

    Am so happy for your advice I have learned so much nimeaza kwa sasa Nina Kuku kumi

  • @bettymoyo5609
    @bettymoyo5609 4 года назад +4

    Very informative indeed - what are the ideal measurements for a raised chicken house like yours - from ground to raised floor and from the raised floor to roof

  • @ulimwenguwamitimifupi5113
    @ulimwenguwamitimifupi5113 5 лет назад +6

    Safi sana! Kazi mzuri Masha-Allah.Fanya kazi kwa juhudi utafikia Malengo.

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 29 дней назад

    Nisaidie number yako kaka nina mpango wa kuanza ufugaji wa kisasa machine yangu incubator ipo niiani from china mda wowote itafika naomba msaada wako wa maelekezo wa kuandaa banda

  • @WamburaMerengo
    @WamburaMerengo 2 месяца назад

    Mankiza tambuwa kuwa shida ni mitaji kama anazo incubator. Zaidi ya moja hilo la vifaranga 2500 vinawezekana

  • @emmanueljustin8650
    @emmanueljustin8650 5 лет назад +19

    Unaendelea Kuwa msaada Kwa wengi keep it up bro....

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 4 месяца назад

    Asnte kwa Elimu nzr kaka wengi tuko kwenye mchakato wa kujifunza na tunaitaji ufugaji pia

  • @priscakaholwe2474
    @priscakaholwe2474 5 лет назад +7

    Hongera sana ,nmeona umeweka kwa chini wavu huo unasaidia nini mdau

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +2

      Kumtenganisha kuku na kinyesi ili kuzuia mlipuko wa magonjwa

    • @priscakaholwe2474
      @priscakaholwe2474 5 лет назад +1

      Asante sana

    • @asiahussein8570
      @asiahussein8570 5 лет назад +2

      kuku akijisaidia kinyesi kinaanguka chino kuku kukaa bila unyevu

  • @HamaliKhamis
    @HamaliKhamis 3 месяца назад

    Hongerasana, nitakupataje, Ili, nije nijifinze ufugaji wa kuku,

  • @abrazakmbarouk6152
    @abrazakmbarouk6152 Год назад +1

    big up brother , binafsi nilianza na matetea wawili nikawa nimeazima jogoo kwa ajili ya mbegu sasa hv nipo na kuku 50 ndani ya miezi 4 tuendelee kupambana

  • @MongerMwaipopo
    @MongerMwaipopo 5 месяцев назад

    Mimi nimeanza na kuku mmojo sasa ninao watano na ninaimani watakuwa zaidi ya hao

  • @fridambwiliza190
    @fridambwiliza190 5 лет назад +2

    Nilifuga kuku wa kieyeji wakafika kuku mia baadae wakaanza kufa naomba mniunge whatsapp nijifunze niko mwanza nipate na vifaranga bora

  • @ibrahimkilaghai535
    @ibrahimkilaghai535 4 года назад +2

    Kwa banda kama hilo litamsaidiaje kuku mwenye kulalia?

  • @pablowatchestz5608
    @pablowatchestz5608 2 года назад +1

    Jambo zuri Sana Mimi nataka kuanza huo ufugaji naomba namba ya simu

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba1054 5 лет назад +3

    naomba niunge pls 0712106090 pls nahitaji vifaranga

    • @benardmwanzia9901
      @benardmwanzia9901 5 лет назад

      Amos Stima Maroba Are you interested in poultry farming.. Then join our Facebook market place for poultry products and learn more
      facebook.com/groups/2414181348850931/permalink/2414181355517597/?app=fbl

  • @ShelterKijo
    @ShelterKijo Год назад

    Na kifaranga kimoja ni bei gan?

  • @mnazaretinemi4203
    @mnazaretinemi4203 5 лет назад +3

    Uko vizr kwa kazi yako ya kutupatia hbr inayo tustahili...nakufuatiliaga tangu mda sana...hujawahi niletea kitu hafifu..MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @philistermito1211
    @philistermito1211 5 лет назад +2

    Hata Mimi Nina kuku watano lakini sina ujuzi

  • @emmanuelmtoi7693
    @emmanuelmtoi7693 Год назад +1

    Hongera sana. Naomba namba yako ya simu

  • @pepenelimited2627
    @pepenelimited2627 5 лет назад +5

    Mambo mazuri sana hayo.

  • @GodnessMaleo
    @GodnessMaleo 9 месяцев назад

    Mbona vyangu vinalemaa jamani vinakufa 😂sana

  • @jumamakuri9176
    @jumamakuri9176 10 месяцев назад

    Ni eneo la ukubwa Gani linahijika kufuga hao kuku

  • @kingbidax9053
    @kingbidax9053 Год назад

    Nahtaji kununua majogoo mbna hamuwek namba zenu

  • @akeem1221
    @akeem1221 3 года назад

    Bw Ibrahim, je una pokea wageni? Niki pata fursa nitaku tembelea.

  • @HappynesKihangile
    @HappynesKihangile 9 месяцев назад

    Mimi napenda kufuga kuku wa kienyeji nilianza na kuku 10 matetea wakanipatia vifaranga 80 changamoto nilipata kwenye miundombinu vifaranga vikaanza kuliwa na wadudu wa porini saivi natafuta mtaji niweke miundombinu sawa kama nyavu ndo nianze tena asante sana kwa elimu

  • @MuksiniIssa-sb6wf
    @MuksiniIssa-sb6wf Год назад

    Nime aza kufunga je napata wapi vifalanga

  • @akeem1221
    @akeem1221 4 года назад +1

    Kwa kweli hapo mmepiga hatua kubwa mno katika ufugaji wa kuku. Je mna kuku auna ya Rhode island Red?

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Asante sana kwa mrejesho wako.
      Hapana, sisi tunafuga chotara

  • @yasirykasanga7164
    @yasirykasanga7164 4 года назад

    0712251143 na 2000 sh. wakienyeji 50

  • @suheilshiraz5143
    @suheilshiraz5143 4 года назад +2

    Mm nilikuwa na kuku 15 sasa mashallah niko na kuku 2500 na inshaallah bado aendelea

  • @beathalugoye6962
    @beathalugoye6962 5 лет назад +7

    mm nipo mwanza naweza kupataje vifaranga wakuanzia kufuga,? nahitaji vifaranga 40

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад

      Njoo what's app 0752209073

    • @jumamakuri3218
      @jumamakuri3218 5 лет назад

      Usihangaike sana hata hapa Mza unaweza kupata vifaranga, Wapo jamaa wanauza km unahitaji!

    • @beathalugoye6962
      @beathalugoye6962 5 лет назад

      Juma Makuri wapo mwanza sehem Gani?!naweza kupata no yao tafadhali

    • @jumamakuri3218
      @jumamakuri3218 5 лет назад

      @@beathalugoye6962
      Ok, wacha niifanyie mchakato

    • @jumamakuri3218
      @jumamakuri3218 5 лет назад

      Waweza pia nitumia zako? Zangu Ni 0756810085

  • @tayajennifernzisa2109
    @tayajennifernzisa2109 5 лет назад +3

    Mimi nimependa Kazi Yako na naitaji mafunzo please

  • @dalixmc4471
    @dalixmc4471 5 лет назад +2

    Je banda kama hili linaloonyesha hapa na nyinsi kuku wanavyotembea juu ya waya,inawezekana pia kwa ajili ya kuwekea bata?

  • @malikizahabu8981
    @malikizahabu8981 5 лет назад +15

    Hongera Sana, ila kwa wiki 2500 vifaranga? Mm sikubali mana mashine inatotolesha baada ya siku 21

    • @drisayaambulatoryvetclinic1514
      @drisayaambulatoryvetclinic1514 5 лет назад +4

      Kama anamachine nyingi anazoweka mayai hata kila siku anapata vifaranga

    • @emmanueleddiemwamakula3398
      @emmanueleddiemwamakula3398 5 лет назад +1

      Kumbuka kwamba ana kuku zaidi ya 500, inawezekana kabisa ndugu yangu.

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +3

      Alikua kasahau kidogo jamani

    • @omngo1nji244
      @omngo1nji244 5 лет назад

      Vifaranga 2500 kwa wiki kwa mchanganuo gani

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад +1

      Kuku 700 wanaotaga kwa asilimia 70 kwa siku ni mayai mangapi?, kwa wiki je?, ukitotolesha kwa asilimia 80?
      Hesabu ngumu

  • @RobertsKibasa
    @RobertsKibasa 3 месяца назад

    Namba yako ya tigo tafadhari.

  • @sephania4949
    @sephania4949 5 лет назад +2

    Asante sana brother, naomba uniunganishe group la whasap kwa namba 0712854973. Ninaomba usisahau uniunganishe

  • @Fermeespoirlushi
    @Fermeespoirlushi Год назад

    Aksanti sana nilitaka kufaamu kuku mayai yale mayai yake yanaweza kuzalisha nakutata vi faranga ????

  • @jimmymlay1435
    @jimmymlay1435 5 лет назад +3

    Nami niunge kwenye group la whatsapp 0753229125

  • @timonleo9720
    @timonleo9720 2 года назад

    Et kuku wa kienyeji anachukua muda mwingi kukua na Kama sio nichakula gan utampa Ili akue haraka

  • @alanami2846
    @alanami2846 3 года назад

    Naomba namba zako za simu khamis, mimi nipo zanzibar uku, nahitaji ujuzi wa kitaalam ili nikupigie simu ama nikupate kwa whatsp,,au kama kuna mdau mwenye namba zake basi nawaombeni msaada mnipatie,

  • @kimambomedia7766
    @kimambomedia7766 4 года назад +1

    Naomba niunge kwenye group +255 784 7760 85

  • @georgemashiku6511
    @georgemashiku6511 5 лет назад +6

    Za asubh boss wangu mm nahtaj vifaranga wa kuku wa kienyeji pure nisaidie mkuu

  • @zawadimlelwa4373
    @zawadimlelwa4373 5 лет назад +5

    Naomba uniunge namimi na hilo group

    • @zawadimlelwa4373
      @zawadimlelwa4373 5 лет назад +1

      0765486570

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад

      Njoo what's app 0752209073

    • @pharesthegreat3178
      @pharesthegreat3178 5 лет назад

      @@changamkiafursa nawezaje kukufikia siku ili nipate elimu zaidi kaka

    • @tatualbadri4131
      @tatualbadri4131 4 года назад +1

      Jamn na tamn huo ufugaji rakn nina taka kujua grama na kisha shule yanu hina fudish shiling gp kwa mwez nipe jib kak

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  4 года назад

      Njoo what's app 0752209073

  • @benadatteonditj5868
    @benadatteonditj5868 4 года назад +1

    Na Kuku mmoja ninaweza kuanza naye juu l want to start & to try

  • @kindoliletv8193
    @kindoliletv8193 5 лет назад +3

    Nataman mniunganishe na group lenu plz 0714571806

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 2 года назад

    Naomba mniunge kwenye group la watsap wa kuku Kama mnalo tafadhali

  • @johnnzowa5847
    @johnnzowa5847 3 года назад

    Vifaranga 100 bei sh ngap nipo chunya matwiga mbeya

  • @thebushguy5774
    @thebushguy5774 2 года назад

    Mimi nilianza na ka unyoya tu ila saiv nina kuku 50

  • @omarymansuri2406
    @omarymansuri2406 5 лет назад +1

    Na me naomba Niungwe kwa Group nipate Elim Zaidi +27738977350

  • @magretfrank2399
    @magretfrank2399 5 лет назад +2

    Niunge kwa whasap 0655041200

  • @254purekenyan
    @254purekenyan 4 года назад +2

    Wakenya tuone haya Mambo

  • @renatusrweyemamu4283
    @renatusrweyemamu4283 Год назад

    Renatus Rweyemamu

  • @nasaelmanya1850
    @nasaelmanya1850 2 года назад +1

    Nimeipenda hiyo

  • @MusaMusa-ik9ib
    @MusaMusa-ik9ib 2 года назад

    bei gani vifaranga

  • @nabijabir4915
    @nabijabir4915 3 года назад +1

    Kuku wangu wa kulana manyoya

    • @ruthlalika8184
      @ruthlalika8184 10 месяцев назад

      Waekee mifupa ya kutosha na chokaa

  • @khalfanbalandya8714
    @khalfanbalandya8714 3 года назад

    kaka niweke kwenye group plz 0759867309

  • @FortunataNguma
    @FortunataNguma 8 месяцев назад

    Mko wapi?

  • @NdayizeyeYoweri
    @NdayizeyeYoweri Год назад

    Hata mimi uleaji vifaranga ndio unanisumbua sana

  • @cleophacemwampulo2023
    @cleophacemwampulo2023 5 лет назад

    Naomba niungwe kwenye hili group whattsap 0768442860

  • @suheilshiraz5143
    @suheilshiraz5143 4 года назад +2

    Mashallah

  • @ShelterKijo
    @ShelterKijo Год назад

    Nahitaji vifaranga wa kienyeji mitawapataje?

  • @fikirilubida6178
    @fikirilubida6178 2 года назад

    Mayai mnauza?

  • @fikirilubida6178
    @fikirilubida6178 2 года назад

    Mayai mnauza?

  • @muscatcaurse3548
    @muscatcaurse3548 3 года назад

    Kaka vp hali yako mzima namba namba yako mm namaisha mangumu

  • @sallykalya9023
    @sallykalya9023 5 лет назад +3

    Zola ndo nini kwa kizungu

  • @25matonya
    @25matonya 4 года назад

    Hao kuku hamsini ndio wametaga mpaka wameongeza wengine au alichukua vifaranga wengne toka sehemu nyingne

  • @answaridinmgera8
    @answaridinmgera8 4 года назад +1

    Bro Mwenyezi Mungu akulipe

  • @ethelkatambala1659
    @ethelkatambala1659 5 лет назад +1

    Namba namba ya huyo mfugaji samahani...0657073012

    • @changamkiafursa
      @changamkiafursa  5 лет назад

      0622460105

    • @giftsosten2446
      @giftsosten2446 5 лет назад

      @@changamkiafursa nmependa fursa hii Naomba mniunganishe ktk group namba yangu ni0767219832

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 4 года назад

    Swali langu ni kama stima inaeza ikapotea na hapo mayai umeyaweka ndani yake inaeza ukafanyaje .

  • @gloriamunuo9124
    @gloriamunuo9124 Год назад

    Nahitaji vifaranga vya kienyeji unauzaje?

  • @MrNghily
    @MrNghily 4 года назад

    Hongera sana, ninahitaji kuku wa kienyeji, niko Dar es Salaam...

  • @mathakisaka7950
    @mathakisaka7950 3 года назад

    Niunge kwenye group 0622153240

  • @silaskarera
    @silaskarera 4 года назад

    Hongera,,niongeze kwa group,,, 0743256658

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 2 года назад

    Tunaitaji mawasiliano Ili kupata Ivo vifaranga

  • @benadatteonditj5868
    @benadatteonditj5868 4 года назад

    Na Kuku mmoja ninaweza kuanza naye juu l want to start & to try

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 года назад

    🇧🇮🇧🇮asante

  • @peninabensonpen870
    @peninabensonpen870 10 месяцев назад

    Hongera sana bro nimependa mafundisho yako

  • @muscatcaurse3548
    @muscatcaurse3548 3 года назад

    Mm nataka nianze kufunga kaka naomba namba yakoo

  • @kiogoragodwin3077
    @kiogoragodwin3077 5 лет назад +3

    How hard is marketing