NILIANZA NA KUKU 50 WA KIENYEJI SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- NILIANZA NA KUKU WA KIENYEJI 50 SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI
Ufugaji wa kuku wa kienyeji unamafanikio makubwa kama utaamua kufuga Kuku wa kienyeji kibiashara.
wapo waliokata tamaa kwasababu ya changamoto za magonjwa ambazo husababiswa na kutokuwa na elimu ya ufugaji bora wa kuku wa kienyeji.
Pia wapo waliopambana na changamoto hizo na leo wamekua Wafugaji wakubwa na wenye mafanikio.
mfugaji huyu alianza na kuku wa kienyeji 50 na sasa anazslisha vifaranga 2500 kila wiki.
Fatilia safari yake yenye changamoto na mafanikio
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
bit.ly/2JlD0sl
Ufugaji wa Kuku Chotara
bit.ly/39r7FPD
Magonjwa Tishio ya Kuku
bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora
bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga
bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
RUclips; bit.ly/2vU8SBg
Facebook; bit.ly/39ogwlb
Instagram; bit.ly/3dA25xF
Twitter; bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Business Purposes
Email; changamkiafursa@gmail.com
Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 ruclips.net/video/0XmXo-8o5DY/видео.html
Mko wp?
Mbezi beach Dar
nimefuatia comments i have got your whatsapp number 0752209073 hope the number is collect. am so much happy, the spirit of chicken farm you will my teacher.
@@changamkiafursa samahan mimi nafuga kuku wa kienyeji lakin Wana matatizo wanakua na vipele
Naitaji kuwah mfugaji
mimi nimeanza na kuku mmoja naimani ntafika mbali pia inshaallah
Nzuri hiyo, nimeipenda
Ss utampanda mwnyewe atage ama?😜😜😀😀
King Sultan unaonekana ww ni mvivu wakufikiria vzr ila subir uone kama mbuyu unavouna mkubwa ulianza kama mchicha🤐
Sahihi kabisa
@@kingsultan2223 😂😂😂😂😂jamani watu mna maneno
Nimewasiliana nawe leo 29/07/2019. Umenijenga sana. Nitakuja bila shaka yoyote.
Karibu sana
Naomba mawasliano yake-,namba yang n 0757299148 @ 0656725774
Naomba namba yake yangu ni 0654547538
Safi saaana mkuuu nami natamani niwe mfugaji tatizo kila nikijarb vifaranga wanakumbwa na maradh chingu mzima
Mi nakushaur jifunze hatua kwa hatua namna Bora ya kulea Vifaranga.
God bless you brother
Naomba uniunge kwenye group nataka nianze ufugaji.
Habari yako,naweza kupata matetea kumi.?ya kienyeji?
Ndyo tunaanza natamani kuendelea kupta darasa lako boss
Unapatikana wap
Mayai mnauza bei gani kwa tray?
naomba na mm kujua mana nataka kufuga ili niwe nawapa chanjo hizo
Mimi nina swali, hivi kuku akiwa anatokwa kama nyama huku nyuma kwake anapojisaidia ile nyama ya ndani inatoka na anakua anatoa kinyesi cha rangi ya chokaa, muda woote analoa huko nyuma ni ugonjwa gani?!
Maana mm nimeona kinyesi rangi iyo nikampatia OTC na ile VITRANOR
Niunge ktk group
Nami pia naitaji kufuga kuku
Naomba mniunge WhatsApp 0719361356
Hata mimi nahtaji kuungwa kwenye group hilo
0784312212
Njoo what's app 0752209073
ONLINE TV WENGINE MJIFUNZE KWA HAWA, HIZI NDIZO HABARI JAMII INAHITAHI KUZIPATA. WENGINE MNALETA USANII NA HABARI FEKI ILI MUIBE MB ZA WATU.
Mimi nilianza na wawili , sasa hivi nina zaidi ya 30, tutafika tu
Pamoja ndugu
Mdogo mdogo
Hongera sana Alex kaza utafika
Zakia Othuman , naamini ipo siku nitamiliki kampuni yangu
@@alexchungu9505 Inshaallah sikumoja uje utusimulie hapa na sisi tuje tujifunze kwako,mwiko kukata tamaa
Haya ndomambo tunayo taman kuendelea kuyaona kwenye mitandao yetu.
Tunajitahidi kukuletea mkuu
Nahitaji kumuona huyo mtumishi sana
Naomba anuani ya hapa Dsm
Mashalha
@@changamkiafursa mi nafuga ila soko ndo changamoto
Nisaidie ujenzi wa banda la kuku kukaa juu, kwa kuku 4 12:12 00 urefu mita ngapi na upana, hizo waya meshi, wavu mdogo, misumari ni kiasi gani, miti( mirinda) ninayo shambani kwangu, mbao Mufindi ni nyingi kupindikia, ninafuga kiasi.
Mimi nilianza na kuku 3 sasa hivi nina kuku 15. Bado nang'ang'ana.
Mashallah
uliwatengezea banda???
Komaa jamaaa
Kwaninichotarawanachelewakutaganinakukuchotarawanamiezikuminamojabadohawajataga
Unaakili sanaaa jamaaa (bwana mtangazaji)
Shukrani
Am so happy for your advice I have learned so much nimeaza kwa sasa Nina Kuku kumi
Very informative indeed - what are the ideal measurements for a raised chicken house like yours - from ground to raised floor and from the raised floor to roof
Safi sana! Kazi mzuri Masha-Allah.Fanya kazi kwa juhudi utafikia Malengo.
Nisaidie number yako kaka nina mpango wa kuanza ufugaji wa kisasa machine yangu incubator ipo niiani from china mda wowote itafika naomba msaada wako wa maelekezo wa kuandaa banda
Mankiza tambuwa kuwa shida ni mitaji kama anazo incubator. Zaidi ya moja hilo la vifaranga 2500 vinawezekana
Unaendelea Kuwa msaada Kwa wengi keep it up bro....
Pamoja
Asnte kwa Elimu nzr kaka wengi tuko kwenye mchakato wa kujifunza na tunaitaji ufugaji pia
Hongera sana ,nmeona umeweka kwa chini wavu huo unasaidia nini mdau
Kumtenganisha kuku na kinyesi ili kuzuia mlipuko wa magonjwa
Asante sana
kuku akijisaidia kinyesi kinaanguka chino kuku kukaa bila unyevu
Hongerasana, nitakupataje, Ili, nije nijifinze ufugaji wa kuku,
big up brother , binafsi nilianza na matetea wawili nikawa nimeazima jogoo kwa ajili ya mbegu sasa hv nipo na kuku 50 ndani ya miezi 4 tuendelee kupambana
Safi sana 🙏🏾
Hata Mimi nimeanza ufugaji
Mimi nimeanza na kuku mmojo sasa ninao watano na ninaimani watakuwa zaidi ya hao
Nilifuga kuku wa kieyeji wakafika kuku mia baadae wakaanza kufa naomba mniunge whatsapp nijifunze niko mwanza nipate na vifaranga bora
Kwa banda kama hilo litamsaidiaje kuku mwenye kulalia?
Jambo zuri Sana Mimi nataka kuanza huo ufugaji naomba namba ya simu
naomba niunge pls 0712106090 pls nahitaji vifaranga
Amos Stima Maroba Are you interested in poultry farming.. Then join our Facebook market place for poultry products and learn more
facebook.com/groups/2414181348850931/permalink/2414181355517597/?app=fbl
Na kifaranga kimoja ni bei gan?
Uko vizr kwa kazi yako ya kutupatia hbr inayo tustahili...nakufuatiliaga tangu mda sana...hujawahi niletea kitu hafifu..MUNGU AKUBARIKI SANA
Shukrani sana
Naomba niunge kwenye group 0759174394
Hata Mimi Nina kuku watano lakini sina ujuzi
Hongera sana. Naomba namba yako ya simu
Mambo mazuri sana hayo.
Mbona vyangu vinalemaa jamani vinakufa 😂sana
Ni eneo la ukubwa Gani linahijika kufuga hao kuku
Nahtaji kununua majogoo mbna hamuwek namba zenu
Bw Ibrahim, je una pokea wageni? Niki pata fursa nitaku tembelea.
Karibu
Mimi napenda kufuga kuku wa kienyeji nilianza na kuku 10 matetea wakanipatia vifaranga 80 changamoto nilipata kwenye miundombinu vifaranga vikaanza kuliwa na wadudu wa porini saivi natafuta mtaji niweke miundombinu sawa kama nyavu ndo nianze tena asante sana kwa elimu
Nime aza kufunga je napata wapi vifalanga
Kwa kweli hapo mmepiga hatua kubwa mno katika ufugaji wa kuku. Je mna kuku auna ya Rhode island Red?
Asante sana kwa mrejesho wako.
Hapana, sisi tunafuga chotara
0712251143 na 2000 sh. wakienyeji 50
Mm nilikuwa na kuku 15 sasa mashallah niko na kuku 2500 na inshaallah bado aendelea
Hongera
Naomba nisaidie namba ya huyo kaka
mm nipo mwanza naweza kupataje vifaranga wakuanzia kufuga,? nahitaji vifaranga 40
Njoo what's app 0752209073
Usihangaike sana hata hapa Mza unaweza kupata vifaranga, Wapo jamaa wanauza km unahitaji!
Juma Makuri wapo mwanza sehem Gani?!naweza kupata no yao tafadhali
@@beathalugoye6962
Ok, wacha niifanyie mchakato
Waweza pia nitumia zako? Zangu Ni 0756810085
Mimi nimependa Kazi Yako na naitaji mafunzo please
Je banda kama hili linaloonyesha hapa na nyinsi kuku wanavyotembea juu ya waya,inawezekana pia kwa ajili ya kuwekea bata?
Good question
Hongera Sana, ila kwa wiki 2500 vifaranga? Mm sikubali mana mashine inatotolesha baada ya siku 21
Kama anamachine nyingi anazoweka mayai hata kila siku anapata vifaranga
Kumbuka kwamba ana kuku zaidi ya 500, inawezekana kabisa ndugu yangu.
Alikua kasahau kidogo jamani
Vifaranga 2500 kwa wiki kwa mchanganuo gani
Kuku 700 wanaotaga kwa asilimia 70 kwa siku ni mayai mangapi?, kwa wiki je?, ukitotolesha kwa asilimia 80?
Hesabu ngumu
Namba yako ya tigo tafadhari.
Asante sana brother, naomba uniunganishe group la whasap kwa namba 0712854973. Ninaomba usisahau uniunganishe
Njoo what's 0712404341
@@changamkiafursa
What is azula in English
Azolla
Aksanti sana nilitaka kufaamu kuku mayai yale mayai yake yanaweza kuzalisha nakutata vi faranga ????
Nami niunge kwenye group la whatsapp 0753229125
Njoo what's app 0752209073
0718113388
Naomba niunganishwe kwenye hili group pia Naomba unielekeze mlipo nije kujifunza kwa vitendo 0786571322(my no)
Et kuku wa kienyeji anachukua muda mwingi kukua na Kama sio nichakula gan utampa Ili akue haraka
Naomba namba zako za simu khamis, mimi nipo zanzibar uku, nahitaji ujuzi wa kitaalam ili nikupigie simu ama nikupate kwa whatsp,,au kama kuna mdau mwenye namba zake basi nawaombeni msaada mnipatie,
Naomba niunge kwenye group +255 784 7760 85
Njoo what's app 0752209073
Za asubh boss wangu mm nahtaj vifaranga wa kuku wa kienyeji pure nisaidie mkuu
Mimi naomba niunge pia
Njoo what's 0752209073
Nice
Naomba uniunge namimi na hilo group
0765486570
Njoo what's app 0752209073
@@changamkiafursa nawezaje kukufikia siku ili nipate elimu zaidi kaka
Jamn na tamn huo ufugaji rakn nina taka kujua grama na kisha shule yanu hina fudish shiling gp kwa mwez nipe jib kak
Njoo what's app 0752209073
Na Kuku mmoja ninaweza kuanza naye juu l want to start & to try
Keep trying
Nataman mniunganishe na group lenu plz 0714571806
Njoo what's app 0752209073
Munioge pia mm 0706724006
0659532206
Njoo what's app 0752209073
Naomba mniunge kwenye group la watsap wa kuku Kama mnalo tafadhali
Vifaranga 100 bei sh ngap nipo chunya matwiga mbeya
Mimi nilianza na ka unyoya tu ila saiv nina kuku 50
Seriously 🤔
Na me naomba Niungwe kwa Group nipate Elim Zaidi +27738977350
Njoo what's app 0752209073
Niunge kwa whasap 0655041200
Njoo what's app 0752209073
Wakenya tuone haya Mambo
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Renatus Rweyemamu
Nimeipenda hiyo
bei gani vifaranga
Kuku wangu wa kulana manyoya
Waekee mifupa ya kutosha na chokaa
kaka niweke kwenye group plz 0759867309
Mko wapi?
Hata mimi uleaji vifaranga ndio unanisumbua sana
Naomba niungwe kwenye hili group whattsap 0768442860
Mashallah
Nahitaji vifaranga wa kienyeji mitawapataje?
Mayai mnauza?
Mayai mnauza?
Kaka vp hali yako mzima namba namba yako mm namaisha mangumu
Zola ndo nini kwa kizungu
Inaitwa Azolla
Hao kuku hamsini ndio wametaga mpaka wameongeza wengine au alichukua vifaranga wengne toka sehemu nyingne
Bro Mwenyezi Mungu akulipe
Namba namba ya huyo mfugaji samahani...0657073012
0622460105
@@changamkiafursa nmependa fursa hii Naomba mniunganishe ktk group namba yangu ni0767219832
Swali langu ni kama stima inaeza ikapotea na hapo mayai umeyaweka ndani yake inaeza ukafanyaje .
Nahitaji vifaranga vya kienyeji unauzaje?
Hongera sana, ninahitaji kuku wa kienyeji, niko Dar es Salaam...
Niunge kwenye group 0622153240
Hongera,,niongeze kwa group,,, 0743256658
Tunaitaji mawasiliano Ili kupata Ivo vifaranga
Na Kuku mmoja ninaweza kuanza naye juu l want to start & to try
🇧🇮🇧🇮asante
Hongera sana bro nimependa mafundisho yako
Mm nataka nianze kufunga kaka naomba namba yakoo
How hard is marketing
Yapa mkuu