Ukisikia Ufugaji UNATAJIRISHA Ni kweli Usibishe, KIJANA Anaingiza Mamilioni y Pesa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #shambadarasa #rubabatv

Комментарии • 55

  • @RubabaTv
    @RubabaTv  8 месяцев назад

    Kujinga na mafunzo ya ufugaji wa kuku kibiashara,wasiliana nasi 0764 148 221

  • @reginoherman3160
    @reginoherman3160 7 дней назад

    Mm nko Lindi Nachingwea nahitaj kufuga kuku aina ya sasso nawapataje

  • @dieukingman2653
    @dieukingman2653 4 месяца назад +1

    Mimi nipo usa 🇺🇸 na ninahitaji kufuga ila sina elimu kuhusu ufugaji na sijui ni wapi sehemu sahii ya kufugiya usa au Africa kama tz Kenya na burundi

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 месяца назад

      Wasiliana nasi tukusaidie kwa kila hatua +255764148221 whatsup

    • @basilbrian5278
      @basilbrian5278 3 месяца назад

      Usha pata mtu wa kuku elekeza ufugajii

    • @gbi380
      @gbi380 Месяц назад

      @@dieukingman2653 ukitaka kulia machozi mpe ndugu yako akufugie kuku

  • @mussamatondo4886
    @mussamatondo4886 Год назад

    Vipi naweza kukutembelea ndugu yangu ata Mimi nampenda sana ufugaji

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Год назад

      Wasiliana. Nasi 0764 148 221

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      Jamani Mimi nilfuga kuku 120 Tu Ila mpaka wanafikia miez 4 nilikuwa nimetumia m2,nikaamua kuwauza kwa bei ya hasara maana hawatagi

    • @vinnybway4750
      @vinnybway4750 Год назад

      @@lifeinmiddleeast8179 ulifuga kuku aina gan

  • @loycebuluba6080
    @loycebuluba6080 Год назад +1

    Mfugaji hujatoa namba yako

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Год назад

      Wasiliana nasi 0764 148 221

  • @annamwinuka5898
    @annamwinuka5898 Год назад +3

    Namaliza chuo soon nitafanya hvo bro big up 😊🙏

  • @ZaitunSaiddy
    @ZaitunSaiddy 4 месяца назад +1

    Nakubali nimejifunza kila kitu kinawezekana ata nami nina ndoto izo

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Год назад +1

    Ufugaji ni mzuri ila changamoto yetu huku kwetu ni pamoja na wizi sijui wenzetu mnalishughulikiaje

  • @EmmanueliKauzeni-f6d
    @EmmanueliKauzeni-f6d Месяц назад

    Xvideo kugombana

  • @RizikJoseph
    @RizikJoseph Месяц назад

    Je ulianza namtaji wa shilingi ngap

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Год назад +1

    Ahsante Sana kwa Elimu, Mfugaji mtarajiwa Nipo njiani🙏.

  • @dionisiamvungi
    @dionisiamvungi 2 месяца назад

    Jaman nahitaji kufuga kuku wa mayai nipo Arusha.

  • @LameckMachemko
    @LameckMachemko 4 месяца назад

    Engineer machemko nimekubari uzalishaji wenu wa kuku

  • @komanyaJanuary
    @komanyaJanuary 6 месяцев назад

    Bigg up xan kjan uskate tamaa nataman nkutan nawe maan hat me nataman xana kufuga npo mwanza kwimba

  • @kibibimimi3927
    @kibibimimi3927 Год назад +2

    Mungu akutunze kijana Amiiiin

  • @ualimuwakiroho5716
    @ualimuwakiroho5716 Год назад +1

    Nimebarikiwa sana na elim uliyotupa

  • @aidanfrancis7209
    @aidanfrancis7209 Год назад

    Kaka hongera Sana! Naomba kupata namba zako mwezi August nikija mwanza nifike kujifunza kwako kwa kuona.

  • @godfreymabula6858
    @godfreymabula6858 5 месяцев назад

    Hzo nywele asee unazingua, Vaa hata mzula asee

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    Naomba no ya huyo Kaka jamani nimefuga croiler hakuna nilichoambulia zaidi ya hasara

  • @johnmuna7428
    @johnmuna7428 Год назад +2

    Good boy

  • @dionisiamvungi
    @dionisiamvungi 2 месяца назад

    Naomba mnijuze aina gani jaman

  • @mwesigebandio9947
    @mwesigebandio9947 11 месяцев назад

    Napataje mashine ya kuparaza Chakula Cha kuku

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 3 месяца назад +1

    Hongera mwanangu Mungu azidi kukupa nguvu na Moyo ulionao ,mana vijanawengi wanasubiri Serikali iwaajiri ,nahulojambo siorahis , hatamimi mamaako napendasana mifugo ila ninashindwa naulishaji mana uwezosina

  • @rockyjr6314
    @rockyjr6314 Год назад +1

    Sam piga kazi kijana

  • @ReginaMasogo
    @ReginaMasogo 5 месяцев назад

    Asante kwaelim hii ya ufugaji

  • @emilianabernard4240
    @emilianabernard4240 7 месяцев назад

    Asante kaka Kwa elim, Niko njiani kufuga kuku na mm, subiri mrejesho wangu

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  7 месяцев назад

      Wasiliana nasi tukusaidie 0764 148 221

  • @nicodembrown7508
    @nicodembrown7508 4 месяца назад

    Dogo sam yupo safi

  • @aishahabib2837
    @aishahabib2837 Год назад +1

    rubaba tv
    🙌🙌

  • @MateiDanieli-nh6el
    @MateiDanieli-nh6el Год назад

    Nimewaellewa ni mefulaishwa

  • @ubworozibugezweho7985
    @ubworozibugezweho7985 Год назад +1

    Asante sana nawapenda kutoka🇷🇼

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Год назад

      Asante tunakupenda pia

  • @dionisiamvungi
    @dionisiamvungi 2 месяца назад

    Naomba mnijuze aina gani jaman.

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYA 7 месяцев назад

    Jambo

  • @ShijaKapagala-b9s
    @ShijaKapagala-b9s Год назад

    Bro ur namba ako tafadhari

  • @FatinaLose
    @FatinaLose Год назад

    Hongera sn kjana mpambabaji

  • @DanielRobert-un9pe
    @DanielRobert-un9pe 6 месяцев назад

    Safi sana

  • @MrEscober
    @MrEscober Год назад +1

    🔥🔥🔥

  • @ibrahimmagere5545
    @ibrahimmagere5545 Год назад

    Hao chotara unawezaje kuwauza mara mbili ndani ya miezi sita?

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад +1

    Hongera sana

  • @msuo7215
    @msuo7215 Год назад +1

    Malimbe ipo wapi

  • @aishahabib2837
    @aishahabib2837 Год назад

    tunampat vp mwamb huyu kuchukua oda

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Год назад

      Wasiliana nasi 0764 148 221