Hakika MODAL YA BBT haiko inclusive, wangetutumia vijana ambao tumekaa kwenye ujasiliamali ambao tumeshakuwa na uzoefu ili hao wagen wajifunze Kwa wenye uzoefu , nje ya hapo hao wanapofika chuo Moja Kwa Moja ni changamoto Zaid na wanahitaji mambo mengi kusimamia na kuanza tofauti na waliokwisha kuanza wanahitaji vitu vichache sana kufika juu na kuinua wenzao
@@liannsambu7264 Ndg yangu nikuambie Mungu ana kusudi na kila mtu aluyempa kuachilia masomo hays. unaweza ukasema wewe unajus kumbe huna hata kibali hivyo nikuombe uheshimu mawazo ya mwalimu anayefundisha. Mungu ana kusudi naye wewe kama hakuna unachopata kwake wapo wanaonufaika kwa masomo yake. nakupendaaa
Umeweza
Pole ndgu,utapata tu mtaji Kazana
Naomba kujua kuku wa wiki anatumia chakula gani
jamni kaka mm napenda
Nahitaji hivyo vifaranga vya 5000 view 100 na unie ok ekeze namba ya kuchanganya chakula
Habari naitaji kujuwa namna ya kuchanganya chakula Cha kuku kaka
😢Una hela?
Nahitaji kwenda kujifunzaa kwake
Kweli kabisa majirani ndio watu wanaoharibu vijana wa kazi...
Kaka habari za Leo, samahani naomba namba Yako ya simu
Jamani nyie chakula mnanunua WAP
Christopher anatengeneza chakula mwenyewe
nomezunguka nala kianzia asunihinhadi sasa cjakupata ni nala ya wpi
7:54 jambo mpendwa naitaji kujuwa namna yakuchanga chakula yakuku zamani
Kuku wa miezi minne wa kienyeji unapata kuku wa kuuza kweli
😅
mimi naomba namba mtaalam nijifunze zaidi
Hakika MODAL YA BBT haiko inclusive, wangetutumia vijana ambao tumekaa kwenye ujasiliamali ambao tumeshakuwa na uzoefu ili hao wagen wajifunze Kwa wenye uzoefu , nje ya hapo hao wanapofika chuo Moja Kwa Moja ni changamoto Zaid na wanahitaji mambo mengi kusimamia na kuanza tofauti na waliokwisha kuanza wanahitaji vitu vichache sana kufika juu na kuinua wenzao
Acheni wivu.
@@liannsambu7264 Ndg yangu nikuambie Mungu ana kusudi na kila mtu aluyempa kuachilia masomo hays. unaweza ukasema wewe unajus kumbe huna hata kibali hivyo nikuombe uheshimu mawazo ya mwalimu anayefundisha.
Mungu ana kusudi naye wewe kama hakuna unachopata kwake wapo wanaonufaika kwa masomo yake.
nakupendaaa
Nimeachana na medecine nafuga kuku na nguruwe ila bado ujuzi wangu upo chini mnooo
🎉🙌
Nahitaji vifaranga ni bei gan
NAOMBA FORMULA YA KUTENGENEZA CHAKULA CHA KUKU WANAOTAGA
Kaka nawezaje kupata elimu zaid kutoka kwako nipo Dodoma kikombo
Naomba number tafadhali.
Naomba namba yako
Hawa n chotara?
Kipindi kizuri lakini mbona hamtoi namba yake?
👏
Kifaranga bei gani
Naomba namba ya yako kaka
Na omba namba yako mie sasa hv nipo hapa nala
Naomba mawasiliano yake pls
Naomba mamba nahitaji SoMo la kuku
Kaka naomba ratio ya chakula chako piano ninahitaji vifaranga 30 wa mwezi niko mtwara
kaka kwemaa naomba namba tuwasiliane nije unielekeze
Nahitaji namba ya huyo jamaaa
naomba no yako pls
Aweke namba
Mkuu weka namba nikucheki hewani
Ukipata namba na mm nionganishe ndugu🎉❤
Funga camera
NAomba nikuone ninepi Nala nimekuja kwa akili Yako mtalaam
Jamaa haweki namba yake
Jamaa amesafiri ila akirudi nitamueleza ili niweke namba yake muweze kuwasiliana nae.
Asante
Fanya hivyo ni muhimu sana @@aminamollel6639
@@aminamollel6639 hi
@@aminamollel6639heheee😂