KUKU NI PESA - KUKU WANALIPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025

Комментарии • 55

  • @sebastianmaila2168
    @sebastianmaila2168 16 дней назад

    Umeweza

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 3 месяца назад

    Pole ndgu,utapata tu mtaji Kazana

  • @peterkauki4383
    @peterkauki4383 Месяц назад

    Naomba kujua kuku wa wiki anatumia chakula gani

  • @halimaMngara
    @halimaMngara 4 месяца назад +1

    jamni kaka mm napenda

    • @rehemandezi6741
      @rehemandezi6741 4 месяца назад

      Nahitaji hivyo vifaranga vya 5000 view 100 na unie ok ekeze namba ya kuchanganya chakula

  • @saimonjmai801
    @saimonjmai801 4 месяца назад

    Habari naitaji kujuwa namna ya kuchanganya chakula Cha kuku kaka

  • @IdrisaHatibu-m4u
    @IdrisaHatibu-m4u 27 дней назад

    😢Una hela?

  • @KaguruBoutz-ss3ge
    @KaguruBoutz-ss3ge Месяц назад

    Nahitaji kwenda kujifunzaa kwake

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 4 месяца назад

    Kweli kabisa majirani ndio watu wanaoharibu vijana wa kazi...

  • @bsrabbitfarm
    @bsrabbitfarm Месяц назад

    Kaka habari za Leo, samahani naomba namba Yako ya simu

  • @MAYALASAMWELI
    @MAYALASAMWELI 22 дня назад

    Jamani nyie chakula mnanunua WAP

  • @NeemaChibwana
    @NeemaChibwana 29 дней назад

    nomezunguka nala kianzia asunihinhadi sasa cjakupata ni nala ya wpi

  • @johnkavula8705
    @johnkavula8705 4 месяца назад

    7:54 jambo mpendwa naitaji kujuwa namna yakuchanga chakula yakuku zamani

  • @harithpusuleiman1472
    @harithpusuleiman1472 2 месяца назад

    Kuku wa miezi minne wa kienyeji unapata kuku wa kuuza kweli

  • @MorisGissey
    @MorisGissey 4 месяца назад

    mimi naomba namba mtaalam nijifunze zaidi

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 месяца назад +2

    Hakika MODAL YA BBT haiko inclusive, wangetutumia vijana ambao tumekaa kwenye ujasiliamali ambao tumeshakuwa na uzoefu ili hao wagen wajifunze Kwa wenye uzoefu , nje ya hapo hao wanapofika chuo Moja Kwa Moja ni changamoto Zaid na wanahitaji mambo mengi kusimamia na kuanza tofauti na waliokwisha kuanza wanahitaji vitu vichache sana kufika juu na kuinua wenzao

    • @ManswentusMathew
      @ManswentusMathew 4 месяца назад

      Acheni wivu.

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 4 месяца назад

      @@liannsambu7264 Ndg yangu nikuambie Mungu ana kusudi na kila mtu aluyempa kuachilia masomo hays. unaweza ukasema wewe unajus kumbe huna hata kibali hivyo nikuombe uheshimu mawazo ya mwalimu anayefundisha.
      Mungu ana kusudi naye wewe kama hakuna unachopata kwake wapo wanaonufaika kwa masomo yake.
      nakupendaaa

  • @neemaJulius-g2y
    @neemaJulius-g2y 3 месяца назад

    Nimeachana na medecine nafuga kuku na nguruwe ila bado ujuzi wangu upo chini mnooo

  • @jsmfarms71263
    @jsmfarms71263 4 месяца назад

    🎉🙌

  • @PetroChalinda-rh8of
    @PetroChalinda-rh8of 4 месяца назад

    Nahitaji vifaranga ni bei gan

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 4 месяца назад +2

    NAOMBA FORMULA YA KUTENGENEZA CHAKULA CHA KUKU WANAOTAGA

  • @JohnChitwangamunda
    @JohnChitwangamunda 4 месяца назад

    Kaka nawezaje kupata elimu zaid kutoka kwako nipo Dodoma kikombo

  • @ashurajumanne4638
    @ashurajumanne4638 4 месяца назад

    Naomba number tafadhali.

  • @GloriaNkerego-j3c
    @GloriaNkerego-j3c 2 месяца назад

    Naomba namba yako

  • @dicksonbenedict9005
    @dicksonbenedict9005 3 месяца назад

    Hawa n chotara?

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 4 месяца назад +1

    Kipindi kizuri lakini mbona hamtoi namba yake?

  • @18japhet
    @18japhet 4 месяца назад

    👏

  • @halimaMngara
    @halimaMngara 4 месяца назад

    Kifaranga bei gani

  • @masatujustine-vh9xs
    @masatujustine-vh9xs 4 месяца назад

    Naomba namba ya yako kaka

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 4 месяца назад +1

    Na omba namba yako mie sasa hv nipo hapa nala

  • @DotobuziloNtambi
    @DotobuziloNtambi 4 месяца назад

    Naomba mawasiliano yake pls

  • @PetroChalinda-rh8of
    @PetroChalinda-rh8of 4 месяца назад

    Naomba mamba nahitaji SoMo la kuku

  • @HafsaMwalimu
    @HafsaMwalimu 3 месяца назад

    Kaka naomba ratio ya chakula chako piano ninahitaji vifaranga 30 wa mwezi niko mtwara

  • @DawsonAkyoo
    @DawsonAkyoo 4 месяца назад

    kaka kwemaa naomba namba tuwasiliane nije unielekeze

  • @DotobuziloNtambi
    @DotobuziloNtambi 4 месяца назад

    Nahitaji namba ya huyo jamaaa

  • @halimaMngara
    @halimaMngara 4 месяца назад

    naomba no yako pls

  • @CRIFORDSUGWEJO
    @CRIFORDSUGWEJO 4 месяца назад

    Aweke namba

  • @japhetmathew1231
    @japhetmathew1231 4 месяца назад

    Mkuu weka namba nikucheki hewani

    • @ZaituniNyanje
      @ZaituniNyanje Месяц назад

      Ukipata namba na mm nionganishe ndugu🎉❤

  • @nicebatare2737
    @nicebatare2737 4 месяца назад

    Funga camera

  • @zunguzungu6068
    @zunguzungu6068 4 месяца назад

    NAomba nikuone ninepi Nala nimekuja kwa akili Yako mtalaam

  • @brownTv8076
    @brownTv8076 4 месяца назад

    Jamaa haweki namba yake

    • @aminamollel6639
      @aminamollel6639  4 месяца назад +2

      Jamaa amesafiri ila akirudi nitamueleza ili niweke namba yake muweze kuwasiliana nae.

    • @k.kswitzerland4168
      @k.kswitzerland4168 4 месяца назад

      Asante

    • @saimonjmai801
      @saimonjmai801 4 месяца назад

      Fanya hivyo ni muhimu sana ​@@aminamollel6639

    • @josephmasenga7718
      @josephmasenga7718 4 месяца назад

      ​@@aminamollel6639 hi

    • @ahz6907
      @ahz6907 4 месяца назад

      ​@@aminamollel6639heheee😂