Ote mlio komenti ujinga hamjielewi ila mimi niliewahi kufugatu mbwa koko wa wakuuza 10000,najua hesabu anazozipiga huyo jamaa ila mlioshidwa maisha tokea huko mmesha ingiza yenu daaaa watanzania bwana nishida sana hamchelewi hata kumpachika mtu mambo ya ajabu ajabu mungu awafanye mshindwe kwa kila mkifanyacho msifanikiwe kwa chochote katika maisha yenu mwacheni jamaa apige pesa na mbwa wake.
Baraka 🙏🙏 Kaka🇹🇿, nataka nikutembelee hivi karibuni kutoka kajiado🇰🇪🇰🇪. One of the best interview I have ever seen for those who understand the language.
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. ____________________ 🙏📖📖📖🙏(Wafilipi 2:3)
Tunamahukuru raisi wetu magufuli kwa sababu amesema "HAPA KAZI TU" na sisi vijana tumeipokea na tunafanyakazi" yani hii video itabaki kuwa kumbukumbu kwenye makablasha yangu hakika umenena na umeonyesha..!! Heshima sana mzee baba hakika magufuli alikuwa ni true leader na vijana wengi wenye akili tulimkubali ila mungu kamkubali zaidi..."#salute bro.... Much respect..." @la pweza Rip mr president.
Mtangazaji jitahidi kufanya mahojiano katika njia ambayo ni kama na wewe unataka kujua yaan zungumza(make conversations) sio kuuliza swali moja moja hivyo unamfanya anayehojiwa nae akae mkao wa kujibu maswali na si kuelezea pia hapo kwenye aina za mbwa ungeenda akuoneshe kila aina ili wasiojua wajue..Ni mawazo tu.
Jamaa ametuinsper sana vijana ila tunakuomba millard uende arusha kumuoji zaidi tunaamini utatuonyesha mali zake nyingi zilizo tokana na mbwa ili tuwe proud na tujifunze zaidi kazi iyo.Ndo maombi yangu mm kama fans wa millard
Tunashukuru kwa maelezo yako mazuri sana sasa jiandae mwezi wa 3 ujilete mwenyewe TRA kwa makadirio ya biashara yako sasa uache kuja sheria itafuata mkondo wake ...asante sana kwa uhujumu uchumi sio ombi amri ripoti babaangu .
Mafanikio yana siri kubwa ,, unaweza fikiria haraka kuwa Mbwa ndo zimemtoa lakini anasita kueleza,,but all in all Good plan,Creativity and innovation,,,,,NB:Don take things for Granted
@@officer1208 vizuri Mwamba,, kuenda south na kumnunua Mbwa kwa bei ile sio mchezo bdo ajasema target yake ni kuwauzia akina nani na wapi kuna demand but kaongea vzri uend ukajifunze kwake
Alianza kutafuta mapema ndo kama kaka zangu wameanza kujuwa maisha mapema Wana akil shule wenyew Lakin wameanza kujishugulisha na biashara hila nimesema wasiache shule kwasababu Wana akil wasome Kwanza tutawasaidia Kwa kipind hichi
mtangazaji hana maswali ya msingi kabisa,yani wengi wetu hatujui hao mbwa kazi yao kubwa ni nn kama mtu akiamua kumnunua?,wanauwezo gani mwengine zaidi ya ulinzi?,je wana mafunzo yyte wanapatiwa mbali na huduma za kawaida? hayo ni baadhi ya maswali tu.kuna vingi tunahitaji kujua kabla ya mafanikio,UNA VINGI VYA KUMUOMBA MUNGU KABLA HUJAMUOMBA UTAJIRI.
Dah Yan uyo Kaka Yuko vizur kwel maana tunao majilan zetu wanafunga mbwa lakin wanakula mifupa na vichwa vya dagaa mpaka sauti zao azibweki vizuri jaman tuangalige na vitu vya kufuga Kama atuna uwezo tusiige kwa wenzetu
Yeah...ukiconsider gharama iliyotumika kusoma halafu unataka unilipe laki tatu kwa mwezi....ASA c Bora nisingesoma chali yangu...meenda kupoteza kwa muda tyu
kusoma sana sio kuwa na maisha mazur gonga like km wakubal hili
True
Hiyo siyo nyumba ya kuishi. Hiyo ni site ya kufugia. Km umeona mtangazaji kashangaa gonga like
We we mjinga
Ote mlio komenti ujinga hamjielewi ila mimi niliewahi kufugatu mbwa koko wa wakuuza 10000,najua hesabu anazozipiga huyo jamaa ila mlioshidwa maisha tokea huko mmesha ingiza yenu daaaa watanzania bwana nishida sana hamchelewi hata kumpachika mtu mambo ya ajabu ajabu mungu awafanye mshindwe kwa kila mkifanyacho msifanikiwe kwa chochote katika maisha yenu mwacheni jamaa apige pesa na mbwa wake.
Baraka 🙏🙏 Kaka🇹🇿, nataka nikutembelee hivi karibuni kutoka kajiado🇰🇪🇰🇪. One of the best interview I have ever seen for those who understand the language.
Usikosi kutazama filamu ya kiswahili kutoka burundi kwenye compny ya TAMBWE
ruclips.net/video/OzGpc_tJgVo/видео.html
Embu kwenda fanya maisha yako wakenya mnawashwa na nini shida zenu
Nataka kuwa mteja wako ndakupata aje🇰🇪
Nakumbuka ulimuuzia baba yangu mbwa ,,Alikuwa mkali hata mmi nilikuwa siingiindani namkumbuka Sana yule mbwa..
Serekali tumekuskia na kuanzia sasa wafugaji mbwa wote kusajiliwa.
😂😂😂TRA
Hahahaaaa
Jicho la tatu wewee
😄
Tunapenda sana hivi, mafanikio kwa vijana wetu Asante Mungu. Hongera nondoz Big up
Usikosi kutazama filamu ya kiswahili kutoka burundi kwenye compny ya TAMBWE
ruclips.net/video/OzGpc_tJgVo/видео.html
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake.
____________________
🙏📖📖📖🙏(Wafilipi 2:3)
Great.
🙏🙏🙏🙏
Mungu akujalie kazi ya mikono yako
Wewe unawauzaje?
Plo hongela sana
Nimependa Sana, Kikubwa kupambana, Ila usije kuiga ukahisi utatoboa haraka ndugu yangu, Kikubwa fanya ambacho unaweza wewe kiwe mfano kwake na kwawengine.
Broo dah , Asante Sana mungu ,nanikweli hapa kazi tu
Tunamahukuru raisi wetu magufuli kwa sababu amesema "HAPA KAZI TU" na sisi vijana tumeipokea na tunafanyakazi" yani hii video itabaki kuwa kumbukumbu kwenye makablasha yangu hakika umenena na umeonyesha..!!
Heshima sana mzee baba hakika magufuli alikuwa ni true leader na vijana wengi wenye akili tulimkubali ila mungu kamkubali zaidi..."#salute bro.... Much respect..."
@la pweza
Rip mr president.
Jamani mbwa anakula vizuri kuliko binadamu.hongera kaka kwa kujali biashara yako.
ongera sana,kweli anayesubiri kuajiriwa hajajitambua bado licha ya elimu yake. Good job excellence idea
Good job
@gilli mwanaume anapewa kongole...
@@salimahmed6005 amina
Kwani huko nyumbani kwenu mnakula nini?
Hawa sasa ndo ma motivational speaker sio wale wengine waleee!! Big up broh, una inspire watu kufanya kwa moyo na kufikiri zaidi
Good interview ❤️🇧🇮
Mtangazaji jitahidi kufanya mahojiano katika njia ambayo ni kama na wewe unataka kujua yaan zungumza(make conversations) sio kuuliza swali moja moja hivyo unamfanya anayehojiwa nae akae mkao wa kujibu maswali na si kuelezea pia hapo kwenye aina za mbwa ungeenda akuoneshe kila aina ili wasiojua wajue..Ni mawazo tu.
ukweli tuseme kwa sisi waislamu tumekatazwa kuuza au kununua mbwa allah atuongoe na atuepushie kuingia ktk biashara hio
Kweli?
Hongera sana bro 🤩
msipende sana kuuliza shule ya mtu,elimu ni mafanikio ya mtu aliyonayo
Mh kwenye mke hapo bro umeteleza tengua kauli.
Chochote unachofanya ukiweka juhudi utafanikiwa
Nakubariana Nawe🇰🇪🇰🇪✔
Hata kuloga pia 😂😂😂
Na ukimweka Mungu mbele yess
@@anganilekajigilikajigili2641 kam ni unapenda yes ahhhh
@@allthingdranabeauty unasemaaa
Plan ni mtaji mungu akupiganie
Safi sana ,,kazi nzuri kwa watu wanaopenda kujishulisha🤝
Kaka Yuko vzr mbwa anakula wali nyama
Hongera Sana kwa Kaz nzur
Jamaa ametuinsper sana vijana ila tunakuomba millard uende arusha kumuoji zaidi tunaamini utatuonyesha mali zake nyingi zilizo tokana na mbwa ili tuwe proud na tujifunze zaidi kazi iyo.Ndo maombi yangu mm kama fans wa millard
Pongezi sana bro...mungu akubariki kwa upambanaji wako...mungu akufungulie zaidi ya hayo...
Safi sana broo
Hongera sana kaka Mungu abariki kazi ya mikono yako
Uko juu mkuu
Wivu utaniponza aliwezaje kutembea tembea nje za nchi kwa hy nyuma ya panzia bdo hatujui kijana usikulupuke kuona flani kafanya fanyia research kwnza.
Fact bro
Wee unaona mbali bigiapu
Kwao huyu inaonekana sio walala hoi
Maashaallah ,,,,all the best broo
Kuiga sio kitu kizuri. Hongera sana bro kazi nzuri sana.
Juhudi ndio msingi wa mafanikio na sio fina wala tunguli. ( BY ADAM MJOMBA)
Kazi ni kazi keep up bro
Nondo unatisha kweli big up mkali
Mtangazaji upo vizuri sana kaka
Ongera kaka
Nakukubali nondo
Kaloleni primary school ♥️♥️
Jamaaa kitambo sana aisee enzi ana duka la simu stand kuu pale arusha sijamwona mpk leo kumbe kawa millionaire
💥💥💥💥nakubal sana
Safi Sana na hongera
Heri ii kuliko wizi.congrats boo
Nazi ngumu mbona unafikiri kazi ndogo.Chakula
Unaeza ukalinganisha kaz ii Na wizi?
Nimekushangaa sana kwa kufananisha kazi hii na wizi
Pia bora hii kuliko kuvuta
We ndio mjinga kweli ..sasa hii kazi na wizi unaifananishaje?
Tunashukuru kwa maelezo yako mazuri sana sasa jiandae mwezi wa 3 ujilete mwenyewe TRA kwa makadirio ya biashara yako sasa uache kuja sheria itafuata mkondo wake ...asante sana kwa uhujumu uchumi sio ombi amri ripoti babaangu .
NILIWAZA UNAPOJITANGAZA HIVI HUONI TRA WANAKUANGALIA
Aje na mashine au kitabu cha risiti za mauzo
Mwanfunzi ujisikii Kusoma?? Huna mood ya Kusoma? ruclips.net/video/kfSl8z3XYqw/видео.html
Wewe unajiita TEACHER na unaandika " Ujisikii kusoma"🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄 sasa wewe ni Mwalimu gani!!!!@
@@minskbelarus7255napenda kujifunza nielekeze boss wang
Congratulations 🎊
Big up brother umenishangaza
Kaka nimejifunza jambo kwako nashuru sana mungu akutangulie
Lakini umeelewa kuwa mbwa wa kwanza kamto wap?
Napenda kabisa 👏
Msela nakujua sana mze baba nondoo
Safi sana bro...
Mafanikio yana siri kubwa ,, unaweza fikiria haraka kuwa Mbwa ndo zimemtoa lakini anasita kueleza,,but all in all Good plan,Creativity and innovation,,,,,NB:Don take things for Granted
Peleka mawazo mabovuu kale unaitwa na uncle
Bora wewe umewaza vyema,watu wanadanganywa na yale wanayoyaona au kusikia. Nyuma ya mafanikio makubwa kuna siri kubwa mnooo.
@@officer1208 vizuri Mwamba,, kuenda south na kumnunua Mbwa kwa bei ile sio mchezo bdo ajasema target yake ni kuwauzia akina nani na wapi kuna demand but kaongea vzri uend ukajifunze kwake
Nimekukubal Sanaa. Huo ndio ukweli. Mafanikio hayasemwi UKWELI.
@@bakarimwashiuya6244 umeona eeh,, watu washaanza kuwakejeli Magraduate kuwaona kma wao wnategemea kuajiliwa tu,,
Uyu kijana hana akili sana courage👏👏👏👍
I think all these dogs use for helping poice,Stay connected.
Aya maish ni hatali sana respect mzee nondo
kaka nimekukubali sana sana umechagua biashara ya pekee big up
Alianza kutafuta mapema ndo kama kaka zangu wameanza kujuwa maisha mapema Wana akil shule wenyew Lakin wameanza kujishugulisha na biashara hila nimesema wasiache shule kwasababu Wana akil wasome Kwanza tutawasaidia Kwa kipind hichi
Inahamasisha kwa kila mweny ndoto za mafanikio!! 🙏🙏🙏
Naomba namba mm nataka uxhauri nifuge
Happy new year
Hongera kwa fulsa yako ya ufugaji ingawa inaonekana ni gharama sana, nahisi inahitaji utaalam sana na ingefaa fulsa hii iwahusu vijana wanaotokea sua
Heshima kwako broo
🔥🔥🔥🔥🔥
Noma
Hongela sana kwa kazi swali kwanini mbwa wamekatwa mikia
Safi sana
Hongera sana
Masha Allah vjana wawe wambunifu kama nondo wwache wizi taifa iendelee nguvu za kazi ni vjana ongera brother mungu azindi kupambania amiin
Great project
Biashara ni siri,..mungu akubariki kaka...lol
Bravo kaka
Hongeraa sanaaa
Namjua vizr kabs hyu mshikj wang😅😅😅hongr bhna oscar
Hio gar la ku deliver mbwa kmmke😂
Pole saana
Hahahahahahahahhha
na swali kwa mr.Ndoto ....ni vyakula gani unapaswa kumpa mbwa ukiwa kama kijana anayetaka kuanzisha biashara ya mbwa
Huyu jamaa ni noma Boerboels anakula sio mchezo kweli huyu jamaa ni jembe😂😂Wangu nipo naye mmoja tu natokwa na jasho 😂😂
😂😂
Hivi we jamaa ndio nikuona umevimba kwenye harrier flani hivi white?
Kama umesukia mtangazaji aliposikia elfu stini kastuka gonga like
Mtangazaji be like after this interview i'm going to open my own dog shop.
🤣🤣🤣🤣🤣
Napenda mbwa anaitwa hulk
Hongera sana Kaka
Well done Kijana..
Congrats bro
Hongera.
Respect for you Brother
Mmh! Amazing!
nitafanya je mimi nataka mbwa mmoja
mtangazaji hana maswali ya msingi kabisa,yani wengi wetu hatujui hao mbwa kazi yao kubwa ni nn kama mtu akiamua kumnunua?,wanauwezo gani mwengine zaidi ya ulinzi?,je wana mafunzo yyte wanapatiwa mbali na huduma za kawaida? hayo ni baadhi ya maswali tu.kuna vingi tunahitaji kujua kabla ya mafanikio,UNA VINGI VYA KUMUOMBA MUNGU KABLA HUJAMUOMBA UTAJIRI.
I love dogs 👍👍👍
Dah Yan uyo Kaka Yuko vizur kwel maana tunao majilan zetu wanafunga mbwa lakin wanakula mifupa na vichwa vya dagaa mpaka sauti zao azibweki vizuri jaman tuangalige na vitu vya kufuga Kama atuna uwezo tusiige kwa wenzetu
Hongera bro
Hongera sana nondo
Amken amken amkeniiiiiii graduates wa mwaka jana wamesema bila milioni moja hawafanyi kazii. 😂😂😂
Tuwaache kwanza mkuu, usiwashtue.
Not easy ivo inatakiwa uhaso ao mbwa chakula chao zaid ya binadam
Yeah...ukiconsider gharama iliyotumika kusoma halafu unataka unilipe laki tatu kwa mwezi....ASA c Bora nisingesoma chali yangu...meenda kupoteza kwa muda tyu
Nimependa interview Sana TRA mkusanye Kodi Sasa
Huyo ni zaidi ya mpambanaji kweli hapa kazi tu
Hongera sana kaka hapa kazi tu
Aise Huyo yuko Marekani kabisaa
Hongera
Mungu amujarie
Hatariii
👍🏾👍🏾👍🏾
Nin Pit Bull ×4
🔥
tra hawachelewi kukuletea mashine ya efd kaka hahahaha
😂😂
True kaka