MWANAFUNZI MTANZANIA ANAYELIPWA LAKI 2 KWA SIKU SOUTH AFRIKA,KAJENGA NYUMBA YA MILLION 40

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2021
  • Erick Laizer ni mwanafunzi mtanzania anayesoma chuo cha African Leadership Academy kilichopo South Africa na alipata nafasi hiyo baada yakugundua mtambo wakumsaidia mtu kujilinda na majanga mbalimbali ikiwemo moto,wizi na hitilafu za umeme ambapo aliibuka nakushika nafasi ya kwanza kwenye mashindano ya kisayansi Tanzania
    Erick anasema kwenye chuo anachosoma cha African Leadership Academy analipwa zaidi ya laki mbili kwa siku kwa kutengeneza simu laptop ukiachia mbali fedha nyingine anazolipwa na wanafunzi kwa kuwatengenezea vifaa mbalimbali na amewajengea wazazi wake nyumba ya shilingi millioni 40

Комментарии • 553

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 3 года назад +12

    Hongera sana mtoto wa mwanamke mwenzangu namuomba Mungu namimi mtoto wangu awe mfano kama wewe

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 3 года назад +67

    Hongera mwanangu kwa kuwakumbuka wazazi, stay blessed son

    • @sadickmtoi2990
      @sadickmtoi2990 3 года назад +1

      Hi

    • @irenemagetamarwa4677
      @irenemagetamarwa4677 3 года назад

      Hongera brother

    • @danieldaniel5848
      @danieldaniel5848 3 года назад

      Habari ndugu zangu, ninawapenda sana naomba msapoti channel yangu ya neno Elimu TV kwa kubonueza alama nyekundu kama Utaipenda, ninankupenda sana❤

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 года назад +49

    Mtangazaji uko vizuri unampatia kijana muda wa kutosha na kazi yako iko makini, hongera kijana Tanzania tunajivunia kuwa na wewe.

    • @godfreymillardayoripota3002
      @godfreymillardayoripota3002 3 года назад +2

      Shukrani sana ndugu yangu

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 года назад

      Jmn mbona sie tusojua English tunakosa mazur uwiiii natamn kupata nafas huko na mie nijitafutoe maisha walah jmn naombe njia passport ninayo ila sasa English ndio mgongano otakuwaje na mm natak kujuja?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      @@munaahmed8499 unavyomuona huyo ameenda kwa vigezo vya English?

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 3 года назад

      @@onesmojustice2348 hilo si jibu kwa hiyo kam huwez nijibu vzr ni kher ujae mimya maan ukioita sitokufata nikakuuliza ok pls

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      @@munaahmed8499 sio ugomvi😀

  • @jrochuboy5802
    @jrochuboy5802 3 года назад +25

    Safi sana bro umenifurahisha sana kwa kuwakumbuka wazazi kwanza mungu akuongoze 🇹🇿🙏🏼🇹🇿❤️🙏🏼🙏🏼

  • @annachales9623
    @annachales9623 3 года назад +36

    Mungu alikupa ubongo mdogo wangu hongera sana

  • @editatairo9667
    @editatairo9667 3 года назад +63

    Utazidi kufanikiwa kwa sababu hukuwasahau wazazi. Mungu akubariki Genius

    • @ericksimon8323
      @ericksimon8323 3 года назад +5

      Amen nawapenda sana

    • @mwana4599
      @mwana4599 3 года назад +1

      Kabisa kabisa. Yaani kawafikiria wao kwanza.

    • @verifierempire
      @verifierempire 3 года назад

      @@ericksimon8323 niaje faza

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 3 года назад +19

    Angalia sana hayo makampuni makubwa yasikupe mikataba mibovu ukapoteza haki kwenye vitu unavyovitengeneza ama unavyovigunduwa.

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 3 года назад +29

    Umefanya mazur kwa wazazi Mungu atakulipa safi sana kijana angekuwa mwingine yeye na maden viwanja starehe lkn kwako Mungu akupe haja ya moyo wako.

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 3 года назад +28

    in Life, a Mentor is very important variable

  • @VictoriaCharlesMwanziva
    @VictoriaCharlesMwanziva 3 года назад +4

    Brilliant, M/Mungu aendelee kumsimamia katika hatua zake; Tunajivunia yeye 🇹🇿

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko 3 года назад +3

    Masai ni bright hatariii. @respect mdogo wangu. Mtaani Kuna PHD azijagundua hata kirahinishi

  • @michaelmauki6690
    @michaelmauki6690 3 года назад +4

    Hongera sana kijana. Mungu akujalie umri mrefu uweze kuwagusa vijana wengi na kuipaisha bendera ya Tanzania

  • @spsaguti8461
    @spsaguti8461 3 года назад +4

    Hongera sana kijana hiyo nineema uliyonayo,Allah akuepushe na macho ya husda ,umefanya ihsani nzur kwa wazazi wako hongera sana kijana.

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 3 года назад +17

    Serikali fanya chap, chukua kijana uyo jenga kiwanda cha kutengeneza iyo mitambo.... Uchumi wa kati

  • @justinkalika589
    @justinkalika589 3 года назад +9

    Bro Umeongea maneno machache Yenye Tija na Yenye kufundisha . Kuna watu wanataman kufanya unachoFanya hivyo usikate tamaa utawaangusha keep on fighting in case ya William its Good he is A friend with benefit keep on Man

  • @gaby06099
    @gaby06099 2 года назад +1

    Vijana wa Tz, haya ndio Mambo ya kuiga., Lkn sio lazima ni maamuzi binafsi. Wasanii wanadanganya sana mkiendelea kuwaiga hamna mtakacho pata.
    Mungu ambariki kila kijana mwene mlengo na matumaini ya kujituma Kwa kadri ya uwezo wake.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад +1

    Hongera Sana kijana kweli wazazi umewapa heshima🙏🙏 na baraka utazidi kuzivuna ktk maisha yako yote.

  • @fatumagodfey8838
    @fatumagodfey8838 3 года назад +36

    Huyu mtangazaj noma sana anaibua habar Kali sana Milady nyie Ni namba moja dunian

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch9706 3 года назад +18

    Yaani mie ndio maana napenda hii Ayo jamani. Mtangazaji anampa muda mtu anaeleza kila jambo hamkatishi. Na wanatuletea vitu vya maana. Hongera sana Laizer nitatafuta hiyo kidude

  • @najma3268
    @najma3268 3 года назад +24

    Hongera sana ,20 years umefanya makubwa hivyo ,Allah aendelee kukupa maarifa inshaallah

    • @utaani1
      @utaani1 3 года назад

      Naomba namba yako tafadhali

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +6

    Wangekua watu wengine wangekua wanastarehe na wanawake kwa wingi tuu, HONGERA SANA kijana

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 3 года назад +15

    So excited hearing all dat mamen from Smith compas USA river...... Fighting poverty through education!!!!!!

  • @sakinakaikai3511
    @sakinakaikai3511 3 года назад +2

    Hongera sana dogo, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu ili uweze kusaidia jamii ya kwetu n ulimwenguni, Mungu akulinde na hasada za sina yoyote, endeleakuwa mzalendo wa nyumbani Tanzania

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 года назад +76

    Yaani umenifurahisha uliposema umejenga Kwa Mil 40...wangekua jamaa zetu wangesema Mil 700...keep it up..!

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 3 года назад +2

      kweli

    • @sophiekivuyo6028
      @sophiekivuyo6028 3 года назад +3

      😄😄😄😄😄😄😄 wale bongo mavi

    • @hildaheart8830
      @hildaheart8830 3 года назад +3

      Yani true

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад +3

      @@sophiekivuyo6028 Ndio Hawo Hawo Na Wakiongea Lazima Waingize Kizungu Matope.

    • @geturdablatch9706
      @geturdablatch9706 3 года назад +2

      Mie nilijengewa kajumba kadogo ka vyumba viwili kwa zaidi ya 70m. Hakika a mungu amujalie zaidi

  • @IVAVOX
    @IVAVOX 3 года назад +8

    umetisha safi sana Mungu awe nawe daima

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 3 года назад +4

    Mashallah.M/MUNGU akuzidishie kila jema kwa wakati katika maisha yako

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 3 года назад +1

    Big up sana asee nimependa kuona kwamba hata sisi watanzania tunaweza kufanya vitu vikubwa san

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 3 года назад +6

    Mwenyeenzi mungu akujaalie nawe uwe bilionea kama wenzako akina Laizer

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 года назад +41

    Aisee huyu dogo ame onesha ile wanasema "FROM ZERO TO HERO"

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 3 года назад

      Jicho lahasad lisimpate huyu kijana yarabbi

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 3 года назад +23

    Well done to the young man, M/Mungu azidi kukuongoza.

  • @catherinekasoyaga9523
    @catherinekasoyaga9523 3 года назад +3

    Powerful & Inspiring! Kila kitu kinawezekan, ni kujiamini, kuthubutu na kupambana. Hongera sana na Mungu azidi kukuongoza. The fact that umekumbuka wazazi, utaendelea kubarikiwa sana!

    • @frankgikaro5159
      @frankgikaro5159 3 года назад +1

      Ukiwaheshimu wazazi unakuwa na siku nyingi za kuishi nami ni imani yangu ya kwamba hakika utajenga hiyo nyumba ya ndoto yako kwani tayari umejipatia siku za kukufanya utimize ndoto pale ulipoamua kuwapa wazazi wako ile faida ya awali. Sasa hv wanajivunia zile gharama walizotumia miaka yote jinsi zimerudi kwa pamoja kama vile mvua za ukame mrefu zikinyesha kwa mafuriko. Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu kijana, nakuomba uendelee kumtunza na kumpa kibali na maarifa zaidi.

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 года назад +1

    Hongera sana kijana kuwa makini usioneshe kipaji chako nje ya nchi hususan Afrika ya kusini wazungu wanawivu sana hawataki kuona waafrika wanakipaji kama Iran wszungu wanawauwa wa Iran wataalam wa nyuklia

  • @abdujr_tiktrends
    @abdujr_tiktrends 3 года назад +10

    Masha allah, Mungu akusimamie brother.

  • @owdenisaga4361
    @owdenisaga4361 3 года назад +1

    Hongera ziende kwake....
    Tuendelee kuona that tatizo sio raia wa Tanzania but ni system....Police watapata taarifa within 5seconds ila mda ambao wao watatumia kufika eneo la tukio ndo hatari....

  • @marympango9247
    @marympango9247 3 года назад +5

    Hongera sana mdogoangu.....daaah.....mungu akulinde sana...jmn.....!

  • @beatricesaru1624
    @beatricesaru1624 3 года назад +1

    Wow, go boy go, the sky is the limit. Hongera kwa kuwakumbuka wazazi.

  • @kanyewest1850
    @kanyewest1850 3 года назад +21

    Hongera sanaa kijanaa 🔥🔥

  • @julysusa5998
    @julysusa5998 3 года назад +1

    Hongera sana Simon, Mungu ni Mwema. I'm happy for all that.

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 3 года назад +7

    Masha Allah ❤❤❤ kazi nzuri sana 💪

  • @ezramabala5810
    @ezramabala5810 3 года назад +9

    Daaah tunaosubiri ajira tuspite bila kulike

  • @f.a6043
    @f.a6043 3 года назад +37

    Dogo you are among of the BRIGHT SHINNING START SCIENTISTS of TZ if not Africa or in the world

    • @animusstudio3302
      @animusstudio3302 3 года назад +1

      Venyee unamuita dogo as if umejenga nyumba ya milion 40😆😆

    • @f.a6043
      @f.a6043 3 года назад

      @@animusstudio3302 wewe venyee ndio mdudu gani maana hata kiswahili hujui ubamebaki tu venyee 😆 huna hata ndururu 😅
      Dogo yuko vizuri
      Tena ww ni mkenya njoo huku TZ usifikiri tunashida kama nyinyi njoo uone watu wanamiliki mashamba siwe umebaki kusema venyee
      Njooo TZ tukufundishe

  • @raytorrosy4402
    @raytorrosy4402 3 года назад +2

    Hongera Sana dogo na uckate tamaa kamwe

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 3 года назад

    Mungu wewe ni Mkuu na sifa zako ni za juu....Hongera sana mdogo angu kwa hekima Mungu akuongezee zaidi na hakika utabarikiwa.

  • @saidmatikti2783
    @saidmatikti2783 3 года назад

    Nmependa Sana huyu kijana alivyowafanyia wazazi wake, m. Mungu atujaalie kizazi Chenye manufaaa kwetu na Jamii kwa ujumla

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 3 года назад +3

    Millard Ayo uko Vizuri aiseee! Alafu huyu mtangazaji ni namba 1 because he is creative!! Kuna na yule jamaa anayetumiaga gharama kibao kwenda China... Yuko vizuri Sana aiseee, ni mpole na anauliza maswali ya mantiki kinomanoma!

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 года назад +13

    Kichwa sana huyu mtu😙😙😙😍

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 3 года назад +2

    Ongera sana,m.mungu akujaalie na kazi yko.m.mungu akuzidishie zaidi ya hapo.mungu awajalie wazazi wako.kukulea vizuri

  • @nyambirotrueinformation7500
    @nyambirotrueinformation7500 3 года назад +2

    Nakuona mtangazaji umemsalut Dogo Hongera Young boy

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 3 года назад +8

    Kuwa makini huko South Africa, siipendi Sana hio nchi. Wana maugomvi sn.

  • @jklymollel5992
    @jklymollel5992 3 года назад +2

    Hongera sana ....Mungu akupe haja ya moyo wako

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 3 года назад +1

    Usimsahau Mungu aliyekuwezesha hayo maono! Uzidi kubarikiwa. Wasaidie vijana wenzio wanaoshinda vijiweni kulalamika na kumlaumu kila mtu!

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 3 года назад

    Kijana MUNGU akubariki sanaa...HAYA SASA KILA MTANZANIA AKIENDELEA HUWA WANAMWAMBIA FREEMOSORY ..kwa kweli tuache ujinga huu WATANZANIA WANAUWEZO MKUBWA SAN NA KAMA WANAPATA FURSA WANAKUWA MABILIONEAA..nchi yetu watu wetu tunaakili sana sana na nchi yetu ni tajili sana ila TUMEJIKANDAMIZA WENYEWE.MUNGU IBALIKI TANZANIA NA WATU WOTE

  • @mjunimwombeki6664
    @mjunimwombeki6664 3 года назад +16

    We can do better all
    Big up bro!

  • @franklyimony7497
    @franklyimony7497 3 года назад

    Pamoja.African boy.Africa will reach where we want to be."Pongezi sana Young African Scientist "

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 3 года назад +5

    Am inspired...Keep it up

  • @prosperlupenza6359
    @prosperlupenza6359 3 года назад +4

    This boy is so organized than my life

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 3 года назад +8

    Salaam za pongezi kwako.

  • @imanilaizer9994
    @imanilaizer9994 3 года назад

    Wow nice sana laizer fanya kazi nchini kwako mwya usiibiwe na wajanja ika nice sana big up ginious wetu wa kimasae

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 года назад +6

    Congrats brother....🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one.

  • @farajhassan1775
    @farajhassan1775 3 года назад +12

    Hongera sana kwa ujuzi ulionao bro 💕👏👏👏🙏

  • @geroldmwinuka6411
    @geroldmwinuka6411 3 года назад +2

    Mungu ni mwema atakutimizia ndoto zake.....

  • @innocentgodwin5855
    @innocentgodwin5855 2 года назад

    Hongera sana na hongera pia kwa St.. Jude schools

  • @Donrugi
    @Donrugi 3 года назад +13

    Be blessed bro, Tanzania is so proud of you boy 🙌🏽🙏🏽💪🏽

  • @saraenock7600
    @saraenock7600 3 года назад

    Daaah hongera kwakutumia ujuzi wako kwa manufaa ya wengine!! Sio kungojea kuajiriwa ila kujiongeza.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +32

    Hongera wengn wangekula bata tuu

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад +10

    Mashallah nimependa saana

    • @hildaamsi8737
      @hildaamsi8737 3 года назад +1

      Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na.heri duniani mengine utaongezewa

  • @greenbirdschools1222
    @greenbirdschools1222 3 года назад +11

    Brilliant

  • @tinongolo2242
    @tinongolo2242 3 года назад +1

    Safi sana,thats very inspiring......

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 3 года назад +1

    Ongera sana, Mungu akutangulie

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 3 года назад +3

    Hongera San mungu akulinde

  • @jomba6514
    @jomba6514 3 года назад +2

    Ubarikiwe sana mungu ni mwema

  • @bilionealaucy8995
    @bilionealaucy8995 3 года назад +10

    MashaAllah

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 2 года назад

    Kwamazuri umefanya sikatai mdogowangu. Ila kale kadenikakangu nilipe bwana siunajua nilikufanyia kazi Erki. Japo uliamua kulipakidogo kidogo fanya mpango tumalizeee dogo langu au unataka zilekelele za mlinzi wa Nnkya ulipokuwa kwa zile Apatiment.

  • @samwelbeatz
    @samwelbeatz 3 года назад +4

    Hongera sana producer, keep it up!!!

  • @kibibaafrica
    @kibibaafrica 3 года назад

    Congratulations young Man..God bless you

  • @abdujr_tiktrends
    @abdujr_tiktrends 3 года назад +12

    Big Up Brother🥰🥰❤❤💯💯

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 3 года назад +3

    Ongera sana kijana

  • @LoferOnline
    @LoferOnline 3 года назад +13

    Babumtakeover the real king of interviews 254 wadau wapi likes za 254 1k the first person to comment

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 3 года назад +3

    HongerA mdogo wangu

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 3 года назад

    Ubarikiwe sana hiyo ni neema kubwa kwa wazazi amini.

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 3 года назад

    Hongera Sana mwanangu mungu akujalie zaidi na zaidi na ajalie pia wenetu insha'Allah

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 года назад +7

    Kwa kweli Mungu azd kutuinua watz na Afrika kwa ujumla

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 3 года назад +5

    Hongera sana

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 3 года назад

    Maa Shaa Allah
    Hongera sana Kijana
    Mungu Akubariki

  • @hidayaisimairy1553
    @hidayaisimairy1553 3 года назад +6

    Big up broo,Tanzania kuna vipaji vingi xana, sijui nini kinatukumbaga TZ but one day yes

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 3 года назад

    WOOUW BLESS UP YOUNG PULL UP GOD BLESS AND GIVE YOU LONG LIFE AND GOOD HEALTH 👊🏽

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 3 года назад +4

    Chukuwa hadhara sana kwasababu mabeberu hawapendi kuona mtu mweusi kufanyikiwa hongera mtoto ubarikiwe

  • @jamesmalika1244
    @jamesmalika1244 3 года назад

    Wooow...this is very inspiring

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 3 года назад

    Hongera sana mwenyezi mungu azidi kukuneemesha na kukuongezea ufahamu wa kujua mambo makubwa zaidi

  • @melkezedeckamos1148
    @melkezedeckamos1148 3 года назад

    Hongera sana qaqa ang....may the lord be with you always na uendeleee na moyo huooo💪✊

  • @vero57
    @vero57 3 года назад +4

    Hogera sana kijana

  • @joycemsafiri1066
    @joycemsafiri1066 3 года назад +1

    Schoolmate Kama schoolmate🥰 hongera Eric

  • @marymfugwa847
    @marymfugwa847 3 года назад +5

    Viongozi wengi huwa wanatoa ahadi kuwafurahisha wageni waalikwa utekekezaji F

  • @agathaseraphine1895
    @agathaseraphine1895 3 года назад +1

    Jmn tupende watoto wetu sanaaa watatufaa sana

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 3 года назад +2

    Your Born with Talent 😍

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 3 года назад +1

    Sana nakubaliiii appreciate for what you do congratulation Sana

  • @isakamalekela5195
    @isakamalekela5195 3 года назад +10

    Kwanza ni mtangazaji wa kweliiii

    • @jesustheoneandonly
      @jesustheoneandonly 3 года назад

      Hongera mwanangu, Mungu aendelee kukupa afya njema, ulinzi damu ya Yesu akutunze.

  • @liliangabriel3953
    @liliangabriel3953 3 года назад +1

    May God be with yuh on all step dat yuh a stepping.

  • @shukujoseph9796
    @shukujoseph9796 3 года назад +3

    Hongera sana kijana

  • @jewajua589
    @jewajua589 3 года назад +6

    Shule ya St Jude Arusha ndio imemtoa huyu dogo, hizi zingine zote mbwembwe tu.

    • @mussashamis2793
      @mussashamis2793 3 года назад

      inaweza kuwa chanzo lakini Young Scientist.. ndio imemfungulia Milango