MFANYABAISHARA ARUSHA AJENGA HOTELI YA KULAZA MBWA WA WATU WENGINE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 дек 2022
  • MFANYABAISHARA ARUSHA AJENGA HOTELI YA KULAZA MBWA WA WATU WENGINE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 44

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 Год назад +2

    Mbwa akai kwenye banda mzee, mbwa hali makomboo mzee.
    All in all bro uko Good Sana

  • @roggerskilongozi1195
    @roggerskilongozi1195 Год назад +4

    We mtangazaji hupo vizuri sana nimependa sana maswali yako mazuri hunaoji kama utaki taratibu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Kazi kazi

  • @fragrancetemu701
    @fragrancetemu701 Год назад +2

    Sijutii kuzaliw chugga🤗 mbwa anakula bichikuti haki tupo vizur chuggare😄

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 Год назад

    creative , good luck bro

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 Год назад

    Nampongeza Sana

  • @johnjonathan7502
    @johnjonathan7502 Год назад +2

    Huu ni uchezeaji wa ela

  • @praxedaandrewkato7472
    @praxedaandrewkato7472 Год назад

    That is the truth when you take care them well they don't have problem and eat well good job. Even in Europe they live like that and if some travel take there dogs to clinic center so brother who owns that business is really good man and kind with good heart. With his works. Yataka moyo mtu kweli na mtu asikuwe na choyo ya chakula otherwise will lose there dogs.

    • @ericmambele1230
      @ericmambele1230 Год назад

      Kumbe kiswahili unajua bwana mwanzoni nilijua mzungu

    • @praxedaandrewkato7472
      @praxedaandrewkato7472 Год назад

      @@ericmambele1230 no iam not white person Iam from east Africa but I live in Europe. For so long Napenda swahili but vitu ingine siwezi explain in swahili yatia shida kidogo even my kids doesn't speak swahili Ata all only litle bit they understand. But twafurahi sana kusikia swahili is wonderful you know how.e sweet home always will be our home that why I like to use media so I don't forget swahili. Na napenda ile msomo yasema hapa kazi tu now is kazi endelee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @chiccuchande5801
    @chiccuchande5801 Год назад +1

    East or west ,up or down money must be Eirned..

  • @babanewkennelbutembo1772
    @babanewkennelbutembo1772 Год назад

    Habari nataka namba ya mkubwa

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад

    Chakula special cha mbwa bei gani?

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 Год назад

    Jamaa Anaakili sana. Pongezi Kwake. Kuna watu wanasafiri na Mbwa toka Ulaya. Lkn Akifika huku siyo lazima kila anapokwenda awe na Mbwa wake. So Anamwacha hapo kwa Muda. Wanabadirisha Ujuzuzi na Mbwa wa Kibongo. Maisha Yanaenda. Good Aidia

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Год назад

    Nipo nchini marekani naomba number ya huyu mhusika wa’mbwa

  • @PendoYango-mp9qx
    @PendoYango-mp9qx 11 месяцев назад

    Shingapi

  • @nehemiahedward
    @nehemiahedward Год назад +4

    Hao mbwa kama mgeni anawazoeaje hao watunzaji maaana jamaa haulizi swali kama hili na hao mbwa aina ya German Shepherd na Rottweilers ni balaa wauaji usipochek vzr😂😂

    • @eltonmika2797
      @eltonmika2797 Год назад

      Mtu mwenye skills za mbwa hangatwi na mbwa hata kama ndyo first time, hata mbwa awe mkali vipi lazima waelewane, hawa wanyama wanahitaji upendo

  • @mohamedmasauni3609
    @mohamedmasauni3609 Год назад

    An echo Kula mkubwa mm siwahi kula😣😣

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 Год назад

    Mtangazaji alivyoguna😅😅😅

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 2 дня назад

    Huyu kafanya utafiti. Hawezi kuwekezs tu bila kufanya utafiti. Na anaweza kuingiza hela vibaya.
    Watalii wengi wanakuja na mbwa

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Год назад +4

    Hawaitwi mbwa wanaitwa 4 legs friends

  • @jamestupa3144
    @jamestupa3144 Год назад

    MAANA YA KUFUGA MBWA HAIJAELEWEKAAAAAAA NINIIIII ? TOKA LINI MBWA AKALALA NDANI WAKATI ANATAKIWA KULINDA ?????

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Год назад +4

    Nae kaamua kunyoa kufanana na mbwa🤣

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Ipo.siku yatakukata uboo.wako

  • @mcback4384
    @mcback4384 Год назад

    Nipo kwenye company ya mchina camp yetu tuna Germany shepherds kama 10 lakini watoto, nataka niwaibe nikauze

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Год назад

    Uyu mtangazaji ndg yake na jux nn? Maana ongea na muonekano ni jux japo jux ana mbavu

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Serikali inasemaje. Wakati kuna .wagonjwa.wanahitaji vitanda.mashuka yeye anadharau utu wa.watu???!!

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад +1

    Ni lichawi tu

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Год назад +2

      Mmmh mchawi anaogopa mbwa nyumba inayofugwa mbwa mchawi hawezi kuingia mn matokeo kibao tunaona na video jinc mbwa wanavyowasumbua wachawi sasa huyu atakuaje mchawi hii mbona nchi za ulaya Zipo na watu wanaajiriwa na kulipwa vizuri tuu naongea hivi kwa vile siishi Tz na kazini kwangu nje kuna daycare ya mbwa huyu hajakosea

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Год назад

      🤣🤣🤣🤣

    • @indiaboytz5731
      @indiaboytz5731 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @irambadc5167
      @irambadc5167 Год назад

      Safi sana broo,kazi ni ile inayopelekA MKONO KINYWANI

    • @josiahmollel5815
      @josiahmollel5815 Год назад +1

      Hakika yaonyesha sio mpenzi wa mbwa
      Mbwa ni mlinzi na rafiki wa binadam
      Mbwa hana tofauti ya wanyama wengine wafugwao na binadam