Fantastic 🎉 ! Unajua hata Brazil ilianza kukuza vipaji Kwa watoto na ikapata mafanikio Sana katika soka naamini as long as Rais wetu kipenzi Mama Samia the way ana support michezo tutafika mbali Tumuombee Afya njema na abaki Madarakani insha'Allah 🙏
Inaonekana kuwa WEMA hawakushiki au hawakushirikishwa kikamilifu ktk mashindano haya, nilitegemea wao wangeratibu na kuhamasisha wanafunzi wa skuli na vyuo kuhudhuria kwa wingi katika fainali hizi, wangekuja kuupamba uwanja katika tukio hili la kihistoria kwa Zanzibar kama inavyotokea ktk michezo ya elimu bila ya malipo au ZAHALIFE.
@shaviercharvinho18 sio kweli, bali hamasa na ubunifu wa kuhakikisha watu wanajaa uwanjani kilikosekana, Hapo ndipo Zanzibar ilishindwa kufanya. Kwasababu mashindano yalihusisha watoto ambao kimsingi hawana majina (umaarufu) katika Ramani ya soka so ilitakiwa ata kuratibu wanafunzi wa vyuo (college) Shule, na Team za Vijana waingie free, au hata wizara ya michezo kubeba Gharama za viingilio lakini wapi 😢😢😢
@@samwelingasa1638Bahati mbaya hufustilii kwenye vyombo vya habari kuhusu njama za Motsepe na Mamelody yake! Fuatilia ujue alichofanya katika mashindano ya "super cup" na figisu katika draw ya robo fainali ya CAF Club championship quarter.finals!
Kwa watu wenye akili zao mawazo yao hufikiria matokeo chanya (positive) na kutiana moyo kuyafikia malengo. Lakini wenye ufinyu wa fikira mara zote hujikita kwenye matokeo hasi (negativity) kwa kuwakatisha tamaa wenzao na kuzififisha ndoto zao! Hii ni tabia mbaya sana!
Hongera ndugu zetu watanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💚💚🌻🌻
Hongereni Tanzania
Duu,huyu Adebayor kweli ni gigante 🔥🔥🤣🤣
🎉🎉🎉🎉Kina lookman wa baadae
Fantastic 🎉 ! Unajua hata Brazil ilianza kukuza vipaji Kwa watoto na ikapata mafanikio Sana katika soka naamini as long as Rais wetu kipenzi Mama Samia the way ana support michezo tutafika mbali Tumuombee Afya njema na abaki Madarakani insha'Allah 🙏
Abaki madarakan kisa kusaport michezo awapi muda ufike asepe
Abaki madarakan kisa kusaport michezo awapi muda ufike asepe
Abaki madarakan kisa kusaport michezo awapi muda ufike asepe
Adebayo mguu wa ball
Swali ni moja.. Hawa watoto wataendelezwa ama ndio imeisha hiyooo. Maana Tanzania tunafeli sana kwenye kuendeleza vipaji vya watoto.
Hongera sana kijana uliyeamua mechi ❤❤Mechi ilikuwa ngumu sana
Aucho kuna kinda kakuona huku njoo uonee 💚🇹🇿💛🇹🇿💛🇹🇿💛🇹🇿💛🇹🇿
Pongezi kwa hawa vijana 🎉🎉🎉 muhimu watuzwe wasipotee
Hongera Tanzania ya Samia,,hangera vijana wetu
Wametisha saana Vijana 🇹🇿🇹🇿💚🇹🇿💛🇹🇿💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥲🇹🇿😋🇹🇿😋🇹🇿😋 nawapenda
Congrats to tz youngeens
Natamani hii team ingetunzwa kwa mwendelezo hadi ije kucheza afcon tutakapoaandaa 2027
Inaonekana kuwa WEMA hawakushiki au hawakushirikishwa kikamilifu ktk mashindano haya, nilitegemea wao wangeratibu na kuhamasisha wanafunzi wa skuli na vyuo kuhudhuria kwa wingi katika fainali hizi, wangekuja kuupamba uwanja katika tukio hili la kihistoria kwa Zanzibar kama inavyotokea ktk michezo ya elimu bila ya malipo au ZAHALIFE.
Hongera Tanzania
Hongera mwalimu
Ngoja tuone hawa 5 yrs to come watakua wapi
Hawa ndio wakuwapigania ili iwe timu ya ndoto zetu baadae
Hiv jamani hawa viongozi wa simba wakoje mbona matukio mengi hawashirik wana nini hawa viongozi?
Hawatambuliki siku hizi 😂😂😂
😂😂😂hawajulikan😂😂😂😂
Hersi ni mwenyekiti wa vilabu Africa ndo maana
Hao watoto sasa msiwapoteze wasimamieni
Wakenya tushangilieni
😂😂😂
Mbona uwanjani kuna watu 40 tuu whay?😢
Hongereni lkn karia hatumtaku
lkn vijana wa tanzania ni wakubwa kulio wengine
Wazanzibar hawana muamko wa kwenda uwanjani,ingekua benjamini mkapa uwanja ungejaa kusapot vijana
Shuda ya zanzibar neno Tanzania hawalipendi jama hujui
@shaviercharvinho18 sio kweli, bali hamasa na ubunifu wa kuhakikisha watu wanajaa uwanjani kilikosekana, Hapo ndipo Zanzibar ilishindwa kufanya. Kwasababu mashindano yalihusisha watoto ambao kimsingi hawana majina (umaarufu) katika Ramani ya soka so ilitakiwa ata kuratibu wanafunzi wa vyuo (college) Shule, na Team za Vijana waingie free, au hata wizara ya michezo kubeba Gharama za viingilio lakini wapi 😢😢😢
Zanzibar wanaotegemea tz kila kitu maana wengi wao wazenji niwavivu
Kilichokzuia wewe usiende uwanjani ndicho killichowazuia wso pia
Shida huku hata lig Yao kiingilio buku buku lakin hawaendag uwanjan yaan ule uwanja hawautendeag haki
viongozi wa simba akuna kitu ata awajifunzi kwa wengine kilchobaki simba atakuwa kama kizer chief kinacho mkuta saiv by p by tz
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯
Kumbe kuna unakibila ndan yake
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yupo sahihi wewe na yeye so watanga wote
Viongozi wa Simba hakuna, duh kweli tumepigwa na kitu kizito
Hersi ameenda kama Rais wa Vilabu barani Africa siyo kama Rais wa Yanga
@@namaraalexmbeikya1491Lakini haumvui dhamana ya uongozi wake kama President wa Young Africans!
mwambie huyo anaewaza usimba na uyanga muda mwingi
I hate this man so called Motsepe, the corrupt ghost!
Usimlaumu motsepe Hana shida mm naona
@@samwelingasa1638Bahati mbaya hufustilii kwenye vyombo vya habari kuhusu njama za Motsepe na Mamelody yake! Fuatilia ujue alichofanya katika mashindano ya "super cup" na figisu katika draw ya robo fainali ya CAF Club championship quarter.finals!
Huwez muona mangungu
Baada ya hapo wanapotezewa
Kwa watu wenye akili zao mawazo yao hufikiria matokeo chanya (positive) na kutiana moyo kuyafikia malengo. Lakini wenye ufinyu wa fikira mara zote hujikita kwenye matokeo hasi (negativity) kwa kuwakatisha tamaa wenzao na kuzififisha ndoto zao! Hii ni tabia mbaya sana!
XF xna,
hongera taifa tanzania