🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔴#Live: SOPHY YUKO kwa MWANAUME?- FAMILIA YASAMBARATIKA VILIO VYATAWALA | MAPITO...
    Karibu kwenye Kipindi cha KATAMBUGA cha kila JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia saa 6: 00 mpaka saa 8: 00 mchana upate kujua nini kinajiri kwenye mitaa yetu...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910) ( +255 657 693 210)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 28

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 месяца назад

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @rasheedkhalfan2017
    @rasheedkhalfan2017 4 месяца назад +6

    Mama huyo mlezi akamatwe akifikishwa kituo cha police lazma atasema ukweli alipokwenda Sophy anajua aliko

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 месяца назад +3

    Kosa la mama wakambo ni kumfu kuza mtoto tu, Lakini mwenye makosa ni mama mdogo yeye ndie wakuulizwa vizuri kwa sababu mtoto amepotelea kwake,

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 4 месяца назад +4

    Mtoto alifukunzwa na mama wa kambo akaenda kwa mama mdogo. Mama mdogo akamjulisha mama yake, mama yake alitoa amri apewe nauli aende kwake kwanini bado mnamtuhumu mama wa kambo? Akija patikana kitofauti mkumbuke kumsafisha mama wa kambo. Alafu km ukweli anauhakika huyo mama wa kambo hajui Sophia alipo kwanini asijiamini?. Hata mkinda Police wataanzia kwa mama mdogo maana alimpokea na kuanzia hapo hakupatikana.
    Professional mkiwa watangazaji hamkutakiwa kuchukua side kwenye issue senstive km hii nyie pia kisheria mnayakujibu

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd 4 месяца назад

      Huyu mtangazaji anatengeneza kesi anaishia kapotelea kwa mama wakamboa anamuweka mamdogo pembeni wakati mapito mwanzoni walisema mtoto kapotea akiwa kwa mamdogo mdogo wake mama sophy

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 месяца назад +2

    Huyo mama wa kambo ashikwe atasema kla itu mnyanyasaji sanaaaa

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 4 месяца назад +1

    Mabint zenu wakifika kidato cha pili wanachagua vyakula kabisaa. Utakuna anasema maharage sili, bamia sili mara ugali sili, dagaa sili. Mungu aingilie Kati

  • @zainab8251
    @zainab8251 4 месяца назад +1

    Wewe zari uy Sophia kapotelea Kwa mam mdogo wake kwa kufukuzwa na mamaa wa kambo cialifika kwani mamaake mdg alifikisha taarifa kuwa Sophia yako kwangu nyie mutaambika Sophia akipatika kama kwa mwalimu wema

  • @Maryam-qe5lb
    @Maryam-qe5lb 15 дней назад

    .
    Asalam. Alaikum. Huyubinti. Kama. Anamwanaume. Kwanini alifikiliya. Kwa. Mamamdogo. Hakuenda mojakwamoja kwamwanaume isijekuwa kamkoroga akili akawa hajijui

  • @theresiamilanzi5907
    @theresiamilanzi5907 4 месяца назад +2

    Mimi ningeomba baba na mama mlezi akamatw waseme mtoto yupo wapi?

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd 4 месяца назад

      Polisi hawawezi kuwakamata kwasababu sophy kapotea kutokea kwa mdogo wake mamasophy na sio mama wa kambo ila mamdogo kwasababu ni mdogo wake na mama sophy hawamuhoji why mana saingine mdogo wako wa kumzaa anaweza akakukomesha

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx 4 месяца назад

    Wengine wanaend kwa wanaume ila sisemi kwaubay lkn waschan wengine wapo kwa wanaume

  • @ceomom2213
    @ceomom2213 3 месяца назад

    Mnalaumu watoto badala ya kulaumu wazazi. Maadili yameporomoka kwa wazazi na hilo ndio chanzo cha yote. Watoto wanajikuza wenyewe, watoto wanazaliwa bila mipango yeyote, watoto wanakua na wanajua wasipojitafutia wanaume wenyewe wataozeshwa kwa wanaume wasio wapenda na kwenda kuteseka ili mradi wazazi wao wapate hela. Kwa nini wasitoroke wakishajua muda unakaribia wa kutafutiwa mwanaume? Wazazi waanze kujitafakari na kujua kuwa kukuza mtoto inahitaji hela nyinhi sana.Mtoto wa kike sio kitega uchumi. Mtu ana watoto wengiiiii wakati hata yeye mwenyewe kujitunza hawezi huyo mtoto kwa nini asitoroke akishapata akili? Sophie alichoka maisha hayo. Kuwa masikini haina maana ndio excuse ya kuzaa watoto wengi tu. Tajiri ana wstoto wawili ila masikini ana watoto wengiiii. Wazazi ndio tatizo.

  • @zahariawaziri6794
    @zahariawaziri6794 4 месяца назад

    Yan mm kwa kua niliwah kutoroka lakn c kwenda kwa wanaume japo ndugu wote walijua nmeenda kwa wanaume, tatizo mabinti wengi wakifikia umri huo anahitaji kusikilizwa maana wanandoto nyingi halafu wanaona hztimiii so anaamua kufanya hivyo Kimberly ndo anapotea Zaid suluhisho tukae na watoto wetu tuwasikilize wawe marafiki zetu

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 4 месяца назад +3

    Mama mlezi akamatwe anajua kila kitu na.anajiamini sana eti popote wampeleke tu kama.kapotea.kuki au mbuzi hana kauli mzuri kabisa

    • @Husnasalim-f2g
      @Husnasalim-f2g 4 месяца назад

      Kwann wakat kapotelea kwa mam yake mdogo bora angekuwa kapotelea uko saw ila kapotelea kwa ndugu wa mam yake mzaz

    • @Husnasalim-f2g
      @Husnasalim-f2g 4 месяца назад +2

      Watt wakiingia kweny bareh wasumbuf san wifi yangu mwanae anamiak 16 kapotea unaend mwaka sas mtoto atujui halip kulaum wazaz sio kwel watt haw awasikii usikut yup kwa bwan

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 4 месяца назад

      Uyo mama wa kambo na baba Yao ndo Wana makosa sasa mbona.hawaoneshi ushilikiano na anajiamini sana wamama wa kambo wengine Wana robo mbaya sana.tulio lelewa na wamama wa kambo tunajua ndo maana mimi mwenyewe sitaki kumpeleka mwanangu kulelewa na.mama wa kambo

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd 4 месяца назад

      Sasa ushirikiano utatoaje na u aonekana mchawi yani nikulelee mtoto toka mdogo mpaka form three uje umjaze mwanao machuki anichukie halafu siku apotee kwa ndugu zako lawama unipe mimi. Huyo mama wa kambo kafanya uamuzi wa busara kukaa kimya mana kuanzia mtangazaji mpaka huyo mama lawama kwa mama wakambo

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd 4 месяца назад

      Mama sophy hawezi kukwepa lawama kuwa yeyye ndo chanzo cha kuharibu maisha ya mwanae akubali alikosea kumjaza mtoto mana alimkuta yupo happy kwenda kwake likizo ndo kulimbadilisha mtoto na kumjaxa chuki dhidi ya mama wa kambo na ndo mana mtoto akaoosa utulivu na kuona anaonewa kwa kila kitu. Hujakaa na watoto wa kambo wanaoendaga kwa mama zao my dear wanakutaftia sababu hata umpendeje huwa hawaaprecuate hata mama zao huwa hawathamini malezi mtoto anayopewa hata umpende utaitwa mnafki. Mama wa kambo nae mama apewe thamani yake

  • @rasheedkhalfan2017
    @rasheedkhalfan2017 4 месяца назад

    Pengine huko aliko hakuna network wala hakuna mawasiliano kama ilivyotokea kwa Warda kulikuwa na shida ya mtandao mm wazo langu ni hilo Rashid Khalfan kutoja Oman

  • @MwanaHamis-y4e
    @MwanaHamis-y4e 4 месяца назад

    Makamateni uyo mama mlezi msipoteze mda aojiwe anajibu shotkati anamanq gani na hizo no zote. Zifatiliwe tu na mtandao mtajua zinatujika zikiwa sehem gn na mtumiaji ni nani mama anajibu jeuli kwa vile not ajazaa yy mkateni uyo

  • @fatumadiwani4098
    @fatumadiwani4098 4 месяца назад

    Hata ukisoma mtoto akitaka kufanya jambo lake hashindwi na mzazi ukawa huna la kumfanya na hasa watoto wa miaka hii

  • @zainab8251
    @zainab8251 4 месяца назад

    Twende nyuma na mbele Sophia kama alikuwa anateseka kwa mama wa kambo ciangekataa kurundi kwa mara ya pili tatizo nyie mko upande moja kwa ushauli tafuteni mtu ache kulaumu imetokea

  • @ImmanuelJulius-m4o
    @ImmanuelJulius-m4o Месяц назад

    Mamobo