HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
Mimi naona Aya matatatizo wakuu wa wilaya na mikoani shida sana mikoani awafanyi kazi kusaidia wananchi Bali kunyanyasa wananchi mshahara wanapata marupurupu gari nzuri shida Nini watatnzania inauma sana acheni dhuruma
Kwa nini watu wanawapenda Wanasiasa na sio Watumishi wa Umma Serikalini -; Hii ni alama kwamba Waajiriwa Wetu Kwenye Sekta za Umma Wana tatizo la kutowajibika ipasavyo Dhidi ya Shida za wananchi wetu Mifumo yetu ya utoaji haki Ina changamoto Pia ni vigumu kwa Wananchi wa kipato Cha kawaida (kina sisi ) kupata suluhulusho la kudumu katika Kutatua Migogoro yaani ni shida , tabu , changamoto Kila Mkoa daaahhh Eee MUNGU Ulie Mbinguni tusaidie Mh Makonda Mungu Akubariki sana
Makonda amejitowa Kwa akili ya wanyonge,mungu amulinde zidi ya wanaokula haku za watu maana duh pekeake hatoweza yuko wapi magufuli ,emungu mulindi makonda kadili uwezavyo
Ni watoo 50 kwa wake 6 ndugu yangu hata mimi mama yangu mmoja ana watoto 12 mke wa pili watoto 8 wake 2 watoto 20 ukiongeza wake watatu wakazaa hivohivo unapata wangapi?
Yani kusoma hujui ata picha huoni, sadik kakufafanulia kuwa walikuwa 6 wengne walifarik kabaki mama yao pekee bado tu hujaelewa mhmmmm was Tz mnatuaibisha bhana Yani miaka 7 shule ulifanya nn class✍️✍️
Aya ni matatizo ya viongizi mkuu wa wilaya yupo mkuu wa mikoa yupo Sasa hii migogoro kwanini wanashindwa kutatua shida za wananchi mpaka mtu atoke makao makuu Ili kutatua matatizo jamani watumishi wa umma mwogopeni mungu mtaukumiwa na mungu dhuruma sio nzuri
Makonda mtoto WA magufuri ulie funzwa ukafunzika ulie lelewa akaleleka magufuri amekuachia muguu mzuri huluma upendo upolole ukalimi mtoto mdogo lakini unafanya KAZI ngumu sana ongera sana mungu Azidi kukuongoza tunakupenda watanzania
NCHI IMEOZA NA KILA MTANGANYIKA ANATESEKA KIVYAKE NA SERIKALI HAIONI WALA HAISIKII, HAPO NI ARUSHA TU, JE MIKOA YOTE TANGANYIKA HALI IKOJE? KILA MBUZI ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE, MCCM MNATAKIWA KUJITAFAKARI SANA.
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
Mashallah namuona mzee magufuli kwa makonda Allah akulinde makonda na mama yetu samiha Aameen
Makonda mungu akubariki na kukulinda endelea kusimamia haki
asante sana Makonda. Natamani pia Mama ampatie kitengo Mh Sabaya kusaidia migogoro hiii pia. ni kiioingozi mzuri kama Makonda
Even Sabaya himself is are leader with ambition support u
@@HOOFCLANMEDIA true. it is in-born. he is very good. leave alone whatever weaknesses he has but my brother this Sabaya is very good.
Sabaya anastaili mungu amuinue
😢😢
am a lady lol thanks😄
Pole makonda mwenezi pambana usisahau maombi nami nakuombea hunijui ni mtu mdogo sana.
Noma sana.. Hitakuwa anachoka sana.. Sio kazi rahisi kabisa.. Jamaa linapiga kazi
Amen Mungu amemrudisha kwa sababu kaka yetu Makonda. Tulijiuliza nani atamrithi R.I.P Magufuli lakini naona ni Mh. Makonda vile abarikiwe mno .
Makonda aongezwe muda wa kazi angalau kila mkoa akae wiki
Kwa kweli😅😅😅
Kabisa
Ccm oyeeeeee mama samia oyeeeeee makonda oyeeeeee kidumu chama cha mapinduzi 🙏🙏
Kidumu chama tawala
kweli mimi ni ccm ila viongozi waliopewa madaraka wanatuangushaaa.chama kinaonekana ni C=chukua.C=chako.M=mapema
Kwakweri mubarikiwe
Mh,Makonda mimi ni chadema ila uwezo wako ni mkubwa unakipaji kikubwa mungu azidi kukubariki mkuu
🤝🤝🤝 uwezo anao 💐
Wakipatikana vingozi kumi kama makonda nchi itakiwa sawa makonda mungu akuhifadhi na akukinge na Shari zamaadui
NASEMA,MHESH MAKONDA KUWA, ROHO YA MAGUFULI IMO NDANI YAKO.NJOO PIA TANDAHIMBA...
makonda jamani amerudi mangufuli amerudi Tena mungu akuride popote ulipo
Nakuomba makonda ujasiri wako alio kupa mungu endelea kutetea wanyonge mungu akupandishe viwango Hadi viwango
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
Mungu akulinde makonda Yesu azidi kukuinua
Makonda aongezewe posho
MAKUFULI NO 2
Pole sana bb makonda tenda hak
One day, Makonda will be president of Tanzania.
Makonda wetu tunakupenda sana endelea piga kazi
Watu mnadhambi sana jamani yaani mnapata utajiri kwa mali za wenzenu
Nimeipenda hiyo Eeehe Eeehe
Wewe nakuombea Mungu akulinde sana,maana kazi ufanyayo ni takatifu kabisa
Mh makonda mungu akubariki uwe waziri waaridhi miaka Kumi tu
NINA WAOMBA MUMFUKUZE KAZI SHILIMA
Makonda ni mahakama inayotembee haisee piga kazi mwambaaaa
Kiukweli apo ulipo makonda alipo jamani akuna viongozii embu naomba mama wetu awatumbue tu awa watu wlioko madarakani
Mimi naona Aya matatatizo wakuu wa wilaya na mikoani shida sana mikoani awafanyi kazi kusaidia wananchi Bali kunyanyasa wananchi mshahara wanapata marupurupu gari nzuri shida Nini watatnzania inauma sana acheni dhuruma
Hilo ndio neno lakini wajuwe IPO siku mwenyezi mungu atawahukum juu ya hii dhulma
Kwa nini watu wanawapenda Wanasiasa na sio Watumishi wa Umma Serikalini -;
Hii ni alama kwamba Waajiriwa Wetu Kwenye Sekta za Umma Wana tatizo la kutowajibika ipasavyo
Dhidi ya Shida za wananchi wetu
Mifumo yetu ya utoaji haki Ina changamoto
Pia ni vigumu kwa Wananchi wa kipato Cha kawaida (kina sisi ) kupata suluhulusho la kudumu katika Kutatua Migogoro
yaani ni shida , tabu , changamoto Kila Mkoa daaahhh
Eee MUNGU Ulie Mbinguni tusaidie
Mh Makonda Mungu Akubariki sana
Umenena vema
Weee
🎉🎉🎉😂❤
Watumishi wa umma hawafatili ndo maana wanaichi wana angaika tu
Wananchi hawapewi elimu . Wao wanajua umpate kura ndio mwenye wajibu wakukusikiliza .
Umati huu unamkubali makonda je akigombea nafasi yoyote hapa nchin hakunawagomshinda makonda
Piga kazi mzee
Makonda maashaqllqh❤❤❤
Makonda amejitowa Kwa akili ya wanyonge,mungu amulinde zidi ya wanaokula haku za watu maana duh pekeake hatoweza yuko wapi magufuli ,emungu mulindi makonda kadili uwezavyo
Mungu akulinde mnooo mkuu
Masikini maisha haya yanejaa mtihani mkubwa
❤
Kesi za ardhi ni ngumu huwezi kumaliza jukwaani. Wengi wanauza wakimaliza hela wanashikwa tamaa wanarudi tena
Pole
Makonda utakuwa rais mungu atakupa kama jpm
Watoto 50 wa kwake pekeake au wakujuu humohumo na vitukuu?my Lord I wonder 😂😂😂
Mungu naomba makonda aje huku kwetu manyara tunateswa sana
Hawa watu Mungu awaona
Sabaya na makonda wawe pamoja
Nilisema huyu jamaa shilima ni mpigaji saaana afungwe
Hapo mmetudanganya watoto 50 alizaaje mmmm uongo mwingine
Ni watoo 50 kwa wake 6 ndugu yangu hata mimi mama yangu mmoja ana watoto 12 mke wa pili watoto 8 wake 2 watoto 20 ukiongeza wake watatu wakazaa hivohivo unapata wangapi?
Yani kusoma hujui ata picha huoni, sadik kakufafanulia kuwa walikuwa 6 wengne walifarik kabaki mama yao pekee bado tu hujaelewa mhmmmm was Tz mnatuaibisha bhana Yani miaka 7 shule ulifanya nn class✍️✍️
Huyo shirima kwanza anaonekana nidhamu yake ndogo sana anaongea kaegemea chuma kama vile yanayosemwa ayamtishi kitu daaaah 😢
Aya ni matatizo ya viongizi mkuu wa wilaya yupo mkuu wa mikoa yupo Sasa hii migogoro kwanini wanashindwa kutatua shida za wananchi mpaka mtu atoke makao makuu Ili kutatua matatizo jamani watumishi wa umma mwogopeni mungu mtaukumiwa na mungu dhuruma sio nzuri
Samia amuweke lengai sabaya washirikiane na makonda watumbue majipu
Huyo shirima anyongwe
Huyu Shirima kwa nini hajawekwa kizuizini?
Kwan sianafaa2 kuwa mkuu kwenye taifa hili
Uongoz nikipawa ambacho munhu Huwa anampatia mtu makonda anaweza jamani!!
Unachimbaje kifusi kiwanja cha mtu....?
Kwakweli iringa inaongoza kwa dhulma ya ardhi
Sana ndiomana mm niliwachia mashamba yangu ya urithi mara wanakuroga
Iv unayoyaona makonda hao viongoz wlkua hawaon iv nchi ndo inaanza sasa kw makonda na ninyi wnachi mnachagua viongoz wbovu
Makonda mtoto WA magufuri ulie funzwa ukafunzika ulie lelewa akaleleka magufuri amekuachia muguu mzuri huluma upendo upolole ukalimi mtoto mdogo lakini unafanya KAZI ngumu sana ongera sana mungu Azidi kukuongoza tunakupenda watanzania
Hee hichi kiswahi nacho au ligha nyengine 😂😂😂 usinune utni tu huu
Kuishi Tanzania ni laaana kubwa
Mvi ni matatizo 😅😅
NCHI IMEOZA NA KILA MTANGANYIKA ANATESEKA KIVYAKE NA SERIKALI HAIONI WALA HAISIKII, HAPO NI ARUSHA TU, JE MIKOA YOTE TANGANYIKA HALI IKOJE? KILA MBUZI ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE, MCCM MNATAKIWA KUJITAFAKARI SANA.
unafaa kuwa rais ase
Tatizo la wasomi wakisha ajiliwa hawana shida na kutetea haku za watu ivo hawafai kuigwa na jamii
watu wanamaumivu sana 😢
Mnoooo
Nchi inakuwa kama haina viongozi saiv kiongoz amekuwa makonda tu aise
😢😢😢😢😢😢
Huyu jamaa ameeleza Maelezo meengi mpaka simuelewi
Anaeleweka,ni uchungu likikukuta utaelewa
Yaani makonda ww utakua waziri mkuu kwamana sio poa
Why this Shirima is not in detention now?
Because he is a hardworker...
Danganyweni na ccm tu mtaipenda
MUNGU akutuze makonda
😂😂😂😂shirima hahahaaas
ngoja uchaguzi upite ndo mtaelewa maana ya siasa
😂😂😂umeona eee mh yetu nachoo walahi
Kunahajagani yakua nawakuu wa wilaya namikoa?
Ni kweli kabisa
KUMBE KUNA BAADHI YA RAIA WANAJUA MAKOMDA NDIYE RAIS.HIKI NDICHO WATU WALICHOACHIWA NA JPM
sabaya arudishwe kazini nchi ikae sawa
watu hawajui haya yoote maumivu ya wananchi ni yanafanyika na hao walioteuliwa na chama cha kiwafukuze wote kiweke wapya
Waandishi kibao wa matatizo nimengi watanzani wateseka lakini wote wanakimbilia kuchambua michezo nakuisifia yanga .
Bila maombi hii nchi hsitakuwa salama
Kabisaaaa
Makonda hawasaidii kitu uchaguzi ukishapita hamtamwona.
Shilima amechill kama sio yeye😂😂😂😂😂😂 huyu kazi hana atafute tu ajira nyingine
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana