BIBI MWENYE WATOTO 50 ASHINDWA KUONGEA ALIA, KERO YA ARDHI, MAKONDA AMBANANISHA AFISA ARDHI KUJIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 110

  • @SarahKherdin
    @SarahKherdin 4 месяца назад +6

    Mashallah namuona mzee magufuli kwa makonda Allah akulinde makonda na mama yetu samiha Aameen

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 8 месяцев назад +19

    Makonda mungu akubariki na kukulinda endelea kusimamia haki

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 8 месяцев назад +11

    asante sana Makonda. Natamani pia Mama ampatie kitengo Mh Sabaya kusaidia migogoro hiii pia. ni kiioingozi mzuri kama Makonda

    • @HOOFCLANMEDIA
      @HOOFCLANMEDIA 8 месяцев назад +2

      Even Sabaya himself is are leader with ambition support u

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 8 месяцев назад +1

      @@HOOFCLANMEDIA true. it is in-born. he is very good. leave alone whatever weaknesses he has but my brother this Sabaya is very good.

    • @futureyouthfoundation5801
      @futureyouthfoundation5801 8 месяцев назад +1

      Sabaya anastaili mungu amuinue

    • @josephminja7953
      @josephminja7953 4 месяца назад

      😢😢

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 4 месяца назад

      am a lady lol thanks😄

  • @songeza
    @songeza 8 месяцев назад +3

    Pole makonda mwenezi pambana usisahau maombi nami nakuombea hunijui ni mtu mdogo sana.

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 8 месяцев назад +3

    Noma sana.. Hitakuwa anachoka sana.. Sio kazi rahisi kabisa.. Jamaa linapiga kazi

  • @yasinthaprosper4226
    @yasinthaprosper4226 8 месяцев назад +2

    Amen Mungu amemrudisha kwa sababu kaka yetu Makonda. Tulijiuliza nani atamrithi R.I.P Magufuli lakini naona ni Mh. Makonda vile abarikiwe mno .

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 8 месяцев назад +15

    Makonda aongezwe muda wa kazi angalau kila mkoa akae wiki

  • @AlkhaAlkha-d4s
    @AlkhaAlkha-d4s 8 месяцев назад +11

    Ccm oyeeeeee mama samia oyeeeeee makonda oyeeeeee kidumu chama cha mapinduzi 🙏🙏

    • @highvoltages4169
      @highvoltages4169 8 месяцев назад

      Kidumu chama tawala

    • @gililwise
      @gililwise 8 месяцев назад

      kweli mimi ni ccm ila viongozi waliopewa madaraka wanatuangushaaa.chama kinaonekana ni C=chukua.C=chako.M=mapema

    • @ClementinaHabineza
      @ClementinaHabineza 8 месяцев назад

      Kwakweri mubarikiwe

  • @prospermbowe9075
    @prospermbowe9075 8 месяцев назад +8

    Mh,Makonda mimi ni chadema ila uwezo wako ni mkubwa unakipaji kikubwa mungu azidi kukubariki mkuu

  • @JasminiAlly-pu6gf
    @JasminiAlly-pu6gf 3 месяца назад

    Wakipatikana vingozi kumi kama makonda nchi itakiwa sawa makonda mungu akuhifadhi na akukinge na Shari zamaadui

  • @athanassimbila2603
    @athanassimbila2603 8 месяцев назад +2

    NASEMA,MHESH MAKONDA KUWA, ROHO YA MAGUFULI IMO NDANI YAKO.NJOO PIA TANDAHIMBA...

  • @SalahJuma-g4u
    @SalahJuma-g4u 5 месяцев назад +3

    makonda jamani amerudi mangufuli amerudi Tena mungu akuride popote ulipo

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 8 месяцев назад +1

    Nakuomba makonda ujasiri wako alio kupa mungu endelea kutetea wanyonge mungu akupandishe viwango Hadi viwango

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 8 месяцев назад +5

    HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana

  • @NeemaKamugisha
    @NeemaKamugisha 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde makonda Yesu azidi kukuinua

  • @RamadhanKidedede
    @RamadhanKidedede 8 месяцев назад +7

    Makonda aongezewe posho

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 4 месяца назад +3

    MAKUFULI NO 2

  • @MeriJohn-i7j
    @MeriJohn-i7j 22 дня назад

    Pole sana bb makonda tenda hak

  • @MmungaMbele-u1o
    @MmungaMbele-u1o 3 месяца назад +1

    One day, Makonda will be president of Tanzania.

  • @OmanOman-hz1qm
    @OmanOman-hz1qm 4 месяца назад

    Makonda wetu tunakupenda sana endelea piga kazi

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 8 месяцев назад +9

    Watu mnadhambi sana jamani yaani mnapata utajiri kwa mali za wenzenu

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 8 месяцев назад +2

    Nimeipenda hiyo Eeehe Eeehe

  • @masamakijames7837
    @masamakijames7837 8 месяцев назад

    Wewe nakuombea Mungu akulinde sana,maana kazi ufanyayo ni takatifu kabisa

  • @MichaelMfangavo
    @MichaelMfangavo 5 месяцев назад

    Mh makonda mungu akubariki uwe waziri waaridhi miaka Kumi tu

  • @muna1165
    @muna1165 8 месяцев назад +3

    NINA WAOMBA MUMFUKUZE KAZI SHILIMA

  • @MatthewSimonKanyanzulu
    @MatthewSimonKanyanzulu 8 месяцев назад +2

    Makonda ni mahakama inayotembee haisee piga kazi mwambaaaa

  • @josephatSwai
    @josephatSwai 8 месяцев назад +6

    Kiukweli apo ulipo makonda alipo jamani akuna viongozii embu naomba mama wetu awatumbue tu awa watu wlioko madarakani

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 8 месяцев назад +2

    Mimi naona Aya matatatizo wakuu wa wilaya na mikoani shida sana mikoani awafanyi kazi kusaidia wananchi Bali kunyanyasa wananchi mshahara wanapata marupurupu gari nzuri shida Nini watatnzania inauma sana acheni dhuruma

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 8 месяцев назад +1

      Hilo ndio neno lakini wajuwe IPO siku mwenyezi mungu atawahukum juu ya hii dhulma

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 8 месяцев назад +5

    Kwa nini watu wanawapenda Wanasiasa na sio Watumishi wa Umma Serikalini -;
    Hii ni alama kwamba Waajiriwa Wetu Kwenye Sekta za Umma Wana tatizo la kutowajibika ipasavyo
    Dhidi ya Shida za wananchi wetu
    Mifumo yetu ya utoaji haki Ina changamoto
    Pia ni vigumu kwa Wananchi wa kipato Cha kawaida (kina sisi ) kupata suluhulusho la kudumu katika Kutatua Migogoro
    yaani ni shida , tabu , changamoto Kila Mkoa daaahhh
    Eee MUNGU Ulie Mbinguni tusaidie
    Mh Makonda Mungu Akubariki sana

    • @mgonasipapune1383
      @mgonasipapune1383 8 месяцев назад

      Umenena vema

    • @RoseMhando-dg6yp
      @RoseMhando-dg6yp 8 месяцев назад

      Weee

    • @RoseMhando-dg6yp
      @RoseMhando-dg6yp 8 месяцев назад

      🎉🎉🎉😂❤

    • @richardchawenda5938
      @richardchawenda5938 8 месяцев назад

      Watumishi wa umma hawafatili ndo maana wanaichi wana angaika tu

    • @kiri5807
      @kiri5807 8 месяцев назад

      Wananchi hawapewi elimu . Wao wanajua umpate kura ndio mwenye wajibu wakukusikiliza .

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 4 месяца назад +1

    Umati huu unamkubali makonda je akigombea nafasi yoyote hapa nchin hakunawagomshinda makonda

  • @MatthewSimonKanyanzulu
    @MatthewSimonKanyanzulu 8 месяцев назад +2

    Piga kazi mzee

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 8 месяцев назад

    Makonda maashaqllqh❤❤❤

  • @ZaiKigwinya
    @ZaiKigwinya 7 месяцев назад

    Makonda amejitowa Kwa akili ya wanyonge,mungu amulinde zidi ya wanaokula haku za watu maana duh pekeake hatoweza yuko wapi magufuli ,emungu mulindi makonda kadili uwezavyo

  • @DorahMchome
    @DorahMchome 5 месяцев назад

    Mungu akulinde mnooo mkuu

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 8 месяцев назад +1

    Masikini maisha haya yanejaa mtihani mkubwa

  • @janethmitema1807
    @janethmitema1807 4 месяца назад

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 8 месяцев назад +1

    Kesi za ardhi ni ngumu huwezi kumaliza jukwaani. Wengi wanauza wakimaliza hela wanashikwa tamaa wanarudi tena

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 месяца назад

    Pole

  • @EmanuelSamwel-d1o
    @EmanuelSamwel-d1o 3 дня назад

    Makonda utakuwa rais mungu atakupa kama jpm

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 5 месяцев назад +1

    Watoto 50 wa kwake pekeake au wakujuu humohumo na vitukuu?my Lord I wonder 😂😂😂

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 7 месяцев назад

    Mungu naomba makonda aje huku kwetu manyara tunateswa sana

  • @J4UPro
    @J4UPro 8 месяцев назад +2

    Hawa watu Mungu awaona

  • @DannyWiston
    @DannyWiston 6 месяцев назад

    Sabaya na makonda wawe pamoja

  • @MussaSongo
    @MussaSongo 8 месяцев назад +3

    Nilisema huyu jamaa shilima ni mpigaji saaana afungwe

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 8 месяцев назад +1

    Hapo mmetudanganya watoto 50 alizaaje mmmm uongo mwingine

    • @mtahogarashid8488
      @mtahogarashid8488 8 месяцев назад

      Ni watoo 50 kwa wake 6 ndugu yangu hata mimi mama yangu mmoja ana watoto 12 mke wa pili watoto 8 wake 2 watoto 20 ukiongeza wake watatu wakazaa hivohivo unapata wangapi?

    • @mtamimuMgidange-cd4hi
      @mtamimuMgidange-cd4hi 7 месяцев назад

      Yani kusoma hujui ata picha huoni, sadik kakufafanulia kuwa walikuwa 6 wengne walifarik kabaki mama yao pekee bado tu hujaelewa mhmmmm was Tz mnatuaibisha bhana Yani miaka 7 shule ulifanya nn class✍️✍️

  • @kuhaniPetroCn
    @kuhaniPetroCn 8 месяцев назад

    Huyo shirima kwanza anaonekana nidhamu yake ndogo sana anaongea kaegemea chuma kama vile yanayosemwa ayamtishi kitu daaaah 😢

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 8 месяцев назад

    Aya ni matatizo ya viongizi mkuu wa wilaya yupo mkuu wa mikoa yupo Sasa hii migogoro kwanini wanashindwa kutatua shida za wananchi mpaka mtu atoke makao makuu Ili kutatua matatizo jamani watumishi wa umma mwogopeni mungu mtaukumiwa na mungu dhuruma sio nzuri

  • @SimonLukumay-cw4bd
    @SimonLukumay-cw4bd 7 месяцев назад

    Samia amuweke lengai sabaya washirikiane na makonda watumbue majipu

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 8 месяцев назад +1

    Huyo shirima anyongwe

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 8 месяцев назад +2

    Huyu Shirima kwa nini hajawekwa kizuizini?

  • @VascalChibilauli
    @VascalChibilauli 8 месяцев назад

    Kwan sianafaa2 kuwa mkuu kwenye taifa hili
    Uongoz nikipawa ambacho munhu Huwa anampatia mtu makonda anaweza jamani!!

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 месяца назад

    Unachimbaje kifusi kiwanja cha mtu....?

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 8 месяцев назад +1

    Kwakweli iringa inaongoza kwa dhulma ya ardhi

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 8 месяцев назад

      Sana ndiomana mm niliwachia mashamba yangu ya urithi mara wanakuroga

  • @jonathansehaba7441
    @jonathansehaba7441 5 месяцев назад

    Iv unayoyaona makonda hao viongoz wlkua hawaon iv nchi ndo inaanza sasa kw makonda na ninyi wnachi mnachagua viongoz wbovu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 8 месяцев назад

    Makonda mtoto WA magufuri ulie funzwa ukafunzika ulie lelewa akaleleka magufuri amekuachia muguu mzuri huluma upendo upolole ukalimi mtoto mdogo lakini unafanya KAZI ngumu sana ongera sana mungu Azidi kukuongoza tunakupenda watanzania

    • @SheikhIssaAbnau
      @SheikhIssaAbnau 8 месяцев назад

      Hee hichi kiswahi nacho au ligha nyengine 😂😂😂 usinune utni tu huu

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 8 месяцев назад

    Kuishi Tanzania ni laaana kubwa

  • @VianaKokutensa
    @VianaKokutensa 5 месяцев назад

    Mvi ni matatizo 😅😅

  • @samsonsengi7574
    @samsonsengi7574 4 месяца назад

    NCHI IMEOZA NA KILA MTANGANYIKA ANATESEKA KIVYAKE NA SERIKALI HAIONI WALA HAISIKII, HAPO NI ARUSHA TU, JE MIKOA YOTE TANGANYIKA HALI IKOJE? KILA MBUZI ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE, MCCM MNATAKIWA KUJITAFAKARI SANA.

  • @SevelnMasaka
    @SevelnMasaka 8 месяцев назад

    unafaa kuwa rais ase

  • @ZaiKigwinya
    @ZaiKigwinya 7 месяцев назад

    Tatizo la wasomi wakisha ajiliwa hawana shida na kutetea haku za watu ivo hawafai kuigwa na jamii

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 8 месяцев назад +2

    watu wanamaumivu sana 😢

  • @guyasidotto1198
    @guyasidotto1198 8 месяцев назад

    Nchi inakuwa kama haina viongozi saiv kiongoz amekuwa makonda tu aise

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 8 месяцев назад

    😢😢😢😢😢😢

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 8 месяцев назад

    Huyu jamaa ameeleza Maelezo meengi mpaka simuelewi

  • @TanziruJambia
    @TanziruJambia 8 месяцев назад

    Yaani makonda ww utakua waziri mkuu kwamana sio poa

  • @PhilkevinFelix
    @PhilkevinFelix 8 месяцев назад +1

    Why this Shirima is not in detention now?

    • @jessym8341
      @jessym8341 8 месяцев назад

      Because he is a hardworker...

  • @JascaMichael
    @JascaMichael 8 месяцев назад

    Danganyweni na ccm tu mtaipenda

  • @happyhayola6672
    @happyhayola6672 8 месяцев назад

    MUNGU akutuze makonda

  • @SurprisedAtom-vp5qe
    @SurprisedAtom-vp5qe 8 месяцев назад

    😂😂😂😂shirima hahahaaas

  • @tinamhimba307
    @tinamhimba307 8 месяцев назад

    ngoja uchaguzi upite ndo mtaelewa maana ya siasa

    • @SakinaJumapili
      @SakinaJumapili 8 месяцев назад

      😂😂😂umeona eee mh yetu nachoo walahi

  • @HassanKindururu
    @HassanKindururu 8 месяцев назад +1

    Kunahajagani yakua nawakuu wa wilaya namikoa?

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 8 месяцев назад

    KUMBE KUNA BAADHI YA RAIA WANAJUA MAKOMDA NDIYE RAIS.HIKI NDICHO WATU WALICHOACHIWA NA JPM

  • @danieltsaxara9199
    @danieltsaxara9199 8 месяцев назад +1

    sabaya arudishwe kazini nchi ikae sawa

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 8 месяцев назад

    watu hawajui haya yoote maumivu ya wananchi ni yanafanyika na hao walioteuliwa na chama cha kiwafukuze wote kiweke wapya

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 8 месяцев назад

    Waandishi kibao wa matatizo nimengi watanzani wateseka lakini wote wanakimbilia kuchambua michezo nakuisifia yanga .

  • @OliverThomas-z9c
    @OliverThomas-z9c 8 месяцев назад

    Bila maombi hii nchi hsitakuwa salama

  • @frankpeter-of8xp
    @frankpeter-of8xp 8 месяцев назад

    Makonda hawasaidii kitu uchaguzi ukishapita hamtamwona.

  • @chingaboy1149
    @chingaboy1149 8 месяцев назад +2

    Shilima amechill kama sio yeye😂😂😂😂😂😂 huyu kazi hana atafute tu ajira nyingine

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 8 месяцев назад

    HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana