RAIS SAMIA AMPIGIA SIMU RC MAKONDA, AONGEA MAZITO KAMBI YA WAGONJWA ARUSHA
HTML-код
- Опубликовано: 23 июн 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz Развлечения
Mko vizuri sana viongozi wetu.mwenyezi mungu awalinde baraka ziongezeke katika kaz nawapenda sana
Asante Dr samia kwa kuwajali wananchi wako, kumbe huwa unawafatilia viongozi kuhakikisha kazi inaendelea kama ilivopangwa unastahili sifa kwani una mengi ya kufanya lakini pia unajali walio chini kabisa
Mungu akubariki
Mungu awabariki sana kazi iendelee
Hongera sana mheshimiwa,chapa kazi.
Asante sana mungu kwawema na fadhira zako , naomba kwako mungu usiwaache nakuwapungukia madactar Hawa ambao wameamua kuwahudumia wangonjwa Hawa wa Arusha uwarinde uwaponye pia usimshau mkuu makonda pamoja mama yetu Samia ,mungu uwaponye uwalinde pia uwatunze
M.mungu atakubariki muheshimiwa makonda pamoja na mama yetu samia.
Nyinyi ndio viongozi tunao wapenda.
Sio kama mwingulu na bashe kazi yao ni kula pesa ya serikali tu.
Respect makonda
Makonda unaupiga mwingi sana unamuwakilisha MH na Dr Samia vizuri sana mm nakuombea Mungu akulinde endelea kuwapambania watanzania Mungu awe nawe
❤❤❤❤❤
Well done
Hadi raha
Jitihada zako zinakubalika.
Vizuli jembe makonda mungu anajambo nawewe uko mbelen mungu akubaliki mama
mimi Kenya zimutuobee
Mchungaji msigwa