RAIS SAMIA AMPIGIA SIMU RC MAKONDA, AONGEA MAZITO KAMBI YA WAGONJWA ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 16

  • @UpendoCharles-z5q
    @UpendoCharles-z5q День назад

    Mko vizuri sana viongozi wetu.mwenyezi mungu awalinde baraka ziongezeke katika kaz nawapenda sana

  • @ladooladoo1285
    @ladooladoo1285 6 дней назад +3

    Asante Dr samia kwa kuwajali wananchi wako, kumbe huwa unawafatilia viongozi kuhakikisha kazi inaendelea kama ilivopangwa unastahili sifa kwani una mengi ya kufanya lakini pia unajali walio chini kabisa
    Mungu akubariki

  • @PatrickMarko-z6u
    @PatrickMarko-z6u 17 часов назад

    Mungu awabariki sana kazi iendelee

  • @OkothAroko
    @OkothAroko 2 дня назад

    Hongera sana mheshimiwa,chapa kazi.

  • @ASHAYONGO
    @ASHAYONGO День назад

    Asante sana mungu kwawema na fadhira zako , naomba kwako mungu usiwaache nakuwapungukia madactar Hawa ambao wameamua kuwahudumia wangonjwa Hawa wa Arusha uwarinde uwaponye pia usimshau mkuu makonda pamoja mama yetu Samia ,mungu uwaponye uwalinde pia uwatunze

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 дня назад

    M.mungu atakubariki muheshimiwa makonda pamoja na mama yetu samia.
    Nyinyi ndio viongozi tunao wapenda.
    Sio kama mwingulu na bashe kazi yao ni kula pesa ya serikali tu.

  • @user-vs3wc8gv9s
    @user-vs3wc8gv9s День назад

    Respect makonda

  • @CHIZANOMBEDULE
    @CHIZANOMBEDULE 2 дня назад

    Makonda unaupiga mwingi sana unamuwakilisha MH na Dr Samia vizuri sana mm nakuombea Mungu akulinde endelea kuwapambania watanzania Mungu awe nawe

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770 29 минут назад

    ❤❤❤❤❤

  • @user-vs3wc8gv9s
    @user-vs3wc8gv9s День назад

    Well done

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 6 дней назад

    Hadi raha

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi День назад

    Jitihada zako zinakubalika.

  • @GodfreySimoni
    @GodfreySimoni 6 дней назад

    Vizuli jembe makonda mungu anajambo nawewe uko mbelen mungu akubaliki mama

  • @jacintanjogu944
    @jacintanjogu944 6 дней назад +1

    mimi Kenya zimutuobee

  • @IssaYassin-v5m
    @IssaYassin-v5m 16 часов назад

    Mchungaji msigwa