BILA WOGA MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA MBELE YA WAZIRI MKUU "ANAITWA MPEMMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
    We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
    #entertainment #news #music #funny

Комментарии • 28

  • @gtgmediaproduction764
    @gtgmediaproduction764 Год назад +2

    Nilikuwa tu mha lazima akichafue tu good job

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Год назад +4

    Mungu Yuko upande wetu,Waziri Mkuu ni Tunda la Inchi yetu Mungu ambaliki sana,

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 Год назад +2

    Kweli huyu Muha

  • @rahimukayela297
    @rahimukayela297 Год назад +3

    Brother K

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Год назад

    Safi sana 😂😂😂😂

  • @safinahanga476
    @safinahanga476 Год назад +1

    Asante chambu..pambana🙏🙏😂

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Год назад

    Yani nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utazani mazuri Aahhh

  • @keithapeter7854
    @keithapeter7854 Год назад +2

    Huko poa sana mzee

  • @rajabmadebo5570
    @rajabmadebo5570 Год назад

    Mwaga mafuta mzee baba umetisha mbaya mbaya

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 Год назад +1

    Sijui watu wanenda kusomea nini na kazi wanazofanya! Nchi hii inamhitaji Raisi mkali!!

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 Год назад

    Kwani mha anapaswa kuwa muoga, hafai kuwa muwazi?

  • @rajabmadebo5570
    @rajabmadebo5570 Год назад

    Sureeeeeee

  • @ndolepeter2770
    @ndolepeter2770 3 месяца назад

    mmh jaman Tanzania tunaishi kama wakimbiz,sababu tu viongozi wetu wanasbili kupelekewa taarifa ofisin cc wananch wanyonge tunaumia wengine wamefilisika sababu ya viongozi wetu

  • @adolphriwa3857
    @adolphriwa3857 Год назад

    Brother k

  • @PatricePaskalia-iw9zu
    @PatricePaskalia-iw9zu Год назад +1

    Inafika wakati hata police wenyewe wanataka rushwa kwa nguvu wakidai hawajala Toka Jana sijui serekali inajadili vipi swala hili kwamaana kama uchimi wa nchi hukuzwa na biashara afu police wanataka wale wao je Kuna kukua kiuchumi?

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Год назад +3

    Tanzania Toka umeondoka baba magu wengne nchi imewashinda msimpake mafuta mama haya yote hayakuepo kipindi Cha uhai wake

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Год назад

    Hapo nyuma kulikuwa na utaratibu wa viongozi kwenda kwa wananchi ili kusikiliza kero zao lkn sasa hivi utaratibu huo haupo (mfn mzuri ni huu ambao waziri mkuu umejionea hapo kariakoo. Lkn haya mambo yapo nchi nzima.

  • @andrewlimbe-vo8tg
    @andrewlimbe-vo8tg Год назад +1

    Mtam miss sana magufuli

  • @martinsokoi397
    @martinsokoi397 Год назад

    Heshima kwa watumishi wa uma wizara zote imeishiya kama magufuli alipoishia mbinguni wana kiburi ,magari ya stm stj su yamegeuka kuwa magari ya kuendea toroka uje ,shivas, hawatoi huduma bila kitu kidogo,Ili wapate Hela ya kwenda toroka uje,

  • @timotheomwamahonje-kb2tq
    @timotheomwamahonje-kb2tq Год назад

    Kunawatu mpaka wanauza magali kisa tialaie

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Год назад +2

    KUNA WATU WAMEPEWA DHAMANA NA WANATUMIA VIBAYA DHAMANA ZAO MAMA ANAONEKA MMBAYA. INAUMIZA SANA. MAMA PITISHA PANGA HUKO TRA

  • @OscarBosco-up5td
    @OscarBosco-up5td Год назад

    Mmmmm

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 18 дней назад

    Hakuna watu dhalimu kama tre niwatu laana kubwa yarabii mola watu hawa wape maradhi yalokosa dawa duniani

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Год назад +1

    Kiukwel sema ukwel ngoja tuone

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp Год назад +1

    kazi yaselikali asilimia 70 .wizimtupu 1 ospitali lushua.2 maakamani lushua.3 ..trufk.lushua. selikali zakijiji lushua.maliasili ndousiseme.wizi mtupu.tekibaya zaidi maliasili.awana mashamba yakupanda miti..kiongoz.waselikali kuupata ufalume wambingu.eli yangamia .kupita katka .tundu yasindano.

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Год назад

    A

  • @dicksonjailos670
    @dicksonjailos670 Год назад +1

    Nimekukubali hasa kigoma serikari iende kukagua reli zetu usafirishaji mbovu