MZEE MAKAMBA AMVAA BASHIRU / AMWAGIA SIFA SAMIA, AMTAJA MAGUFULI "Walimuita BULLDOZA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 510

  • @godfreyjulius5132
    @godfreyjulius5132 Год назад +21

    Anaeona huyo mzee amezeeka vibaya , weka like hapa,

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Год назад +12

    We mzee acha kujipendekeza kwa ajili ya uteuzi wa familia yako! Usitusemee watz acha watz wenyewe waseme! 😭😭😭😭Ungejua moyo unavotuuma kwa kuondolewa Magufuli kimagumashi Mungu anakuona kenge ww!

    • @fulgencemark7640
      @fulgencemark7640 Год назад +1

      Huyu mzee aliwahi kusema Magufuli ni sawasawa na Yohana mbatizaji na atatubatiza kwa moto Anayetumia moto dhidi ya watu wa mungu ni ibilisi tu Nukta. Leo mzee wetu amesema Ccm ni zawadi tuliyopewa na mungu.Hivi nyakati zile anadukuliwa hiyo mungu alikuwalikizo?Mzee wetu asisahahu kuwa nchi hii ni yetu sote na hati miliki yake wanayo wananchi wake na kamwe sio chama cha siasa k.m CDM,CUF ,UDP n k.hapana vyama vitakuja na kuondoka lini ni swala LA wakati tu ,kwani wakoloni walikuwa wanatupaka mafuta LA hasha,walitufanya walivyofanya kwa zaidi ya miaka 500.Tuombeane her I na tujiamini kwamba hakuna mtanzania nambari moja na mbili.wote sisi ni ndugu na tuko sawa na Tanzania ni yetu site hamna mwenye xaidi ya hapo tofsuti na kipsto ambacho hakijawshi kilinganisho cha utu tangia kuumbwa kwa dunia hii.Na hlil linakubalika kwa mungu wetu nfio sababu sada/zaka jazina daraja kwake kwamba aliyetoa milioni ni zaidi ya aliyetoa mia moja kutokana kipato chake.

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Год назад +14

    Mama Samia Anawafaa matajiri na watu nyie kikundi cha watu 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭🤝🤝🤝

  • @maryfonga2200
    @maryfonga2200 Год назад +3

    Chefuuuuuuuuuuu, unamsifia kwakuwa mnagawana asali huku wananchi Hali ya maisha ni duni

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 Год назад +6

    "Mama Samia Ni Raisi bora kwa sababu kamrudishia uwaziri mwanangu January "Yusuph Makamba

  • @muhammedfaky
    @muhammedfaky Год назад

    Hamna iyo mkuu ( m bora wetu ni mchamungu yn msimamisha ibaada ya Allah s.w)

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura6159 Год назад +2

    Toka hapa mzee una jipya kabisa bongo la mwizi na fisadi pamoja mwanao...mungu atawakumu Inshaallah.....mnatesa sana raia wa watanzani mnaona hiyo inchi yenu pekeenu nyinyi viongozi wa ccm mmetuburuza toka 1961 mpaka mnatutia sana umasikini...

  • @meryandrew6902
    @meryandrew6902 Год назад +9

    Anakufaa ww

  • @mrjaula7769
    @mrjaula7769 Год назад +16

    Mama Samia mambo ya hayati Magufuli yote ameyaharibu

  • @noelkisonga5534
    @noelkisonga5534 Год назад +2

    Mama angalia sana laiti ungejua tunayohitaji Watanzania usingeungana na faraja za uongo kiasi hiki. Tapenda sana mungu anisaidie hata siku moja niongee ana kwa ana ujue mioyo ya Watanzania nini ina hitaji.......

    • @berthatz
      @berthatz Год назад

      Unadhani hajui?Anajua sana ila kiburi cha madaraka kimemjaa.Watanzania wenzangu tusikate tamaa..tuendelee kumlililia Mungu..Baada ya dhiki faraja…Na Dhulma si njema na kila lenye mwanzo lina mwisho..

  • @sadickkinye2449
    @sadickkinye2449 Год назад +14

    Njaaa inakusumbua we mzee

  • @jacksongabriel4693
    @jacksongabriel4693 Год назад +7

    We mzee zeka sarama. Sio kusifia vyauongoo

  • @godfreybikukana2079
    @godfreybikukana2079 Год назад +2

    Mzee makamba unalamba Asali mmetuweza mmempoteza mzarendo wakwelimnatamba sasaulivyata Mkula

  • @johnmangaga4949
    @johnmangaga4949 Год назад +4

    Kina sera nzuri kweli LAKINI Kwa Sasa kinanuka rushwa!; Wewe mzee teteeni ulaji wenu TU!;

  • @pstshadrackmasagi9455
    @pstshadrackmasagi9455 Год назад +4

    Aisee jamani hakika kuna wakati mwanadamu anafikiria maisha haya yapo kila siku'namshukuru Mungu kwamba tulikuja uchi tutarudi uchi nchi hii msema ukweli hatakiwi ila muongo husifiwa na kupewa fursa kama huyu mzee makamba lazima autetee uovu kwasababu mwanae yuko kwenye keki kuleni kunyweni furahini pigeni makofi na vigelegele lakini hakuna atakaye ishi miaka miambili ila Mungu ni wa milele mtamkuta ametulia anawasubilia kwenye mahakama awahukumu vizuri

  • @salama1113
    @salama1113 Год назад +8

    R. I. P. Jpm

  • @festakapinga9044
    @festakapinga9044 Год назад +2

    Mungu wangu,nipo nafanya meditation

  • @chemelemakoye621
    @chemelemakoye621 Год назад +2

    uyu mzee hana jipya pia wanajisumbua tu sababu siku zote cha ovyo ni ovyo tu ata mkisifie vip.

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +4

    Mzee Makamba muogope Mungu..Anakufaa wewe na January

  • @ramahmdoe2660
    @ramahmdoe2660 Год назад +8

    nyinyi wanafiki sana mumetulia jpm mulaaniwe

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 Год назад

      Acha ndg yangu tupambanie family zetu Hawa jamaa cyo wtu vo

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 Год назад +1

    Usimkufuru mungu na Kama ni kweli mwenyezi mungu kwa kilio Cha wanyonge awalipe kwa matendo yenu

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 Год назад +4

    Bwanaeee hiii nchi bana

  • @reganuisso1256
    @reganuisso1256 Год назад +5

    Kwendraaaàaaa..

  • @petermagoye5482
    @petermagoye5482 Год назад +2

    Mnatumia nguvu nyingi sana,,, Mungu atawatoa kimya kimya maana mmezidi kuwaonea na kuiba rasilimali za tz

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 Год назад +5

    Anawafaa ninyi kwa vile amewarudisha watoto wenu kwenye system ,na amewaachia ulaji sasa hivi

  • @ostenmwakasita6960
    @ostenmwakasita6960 Год назад +2

    Njaa mbaya

  • @kelvinmboya5846
    @kelvinmboya5846 Год назад +8

    Mzee nilikuwa namkubali lkn sio mkweli

  • @antonywilliama2868
    @antonywilliama2868 Год назад +1

    kwenda zako

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад +2

    Mzee makamba anakwepa maswali ki-aina

  • @sabbob574
    @sabbob574 Год назад +4

    Mzee anakula Asali sasa.

  • @abbasjuma9400
    @abbasjuma9400 Год назад +2

    Mzee wa hovyo kabsa

  • @morotz6188
    @morotz6188 Год назад +1

    Yaani nyinyi mungu anawaona!

  • @emanhokilinda326
    @emanhokilinda326 Год назад +5

    Hayo ni maneno ya walamba asali😂😂😂

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri8669 Год назад +3

    Tuweke sawa unaongee sana wanaosema mama kaupiga mwingi bashiru kasema ndio wanao iba huku wanamsifia mama ni kama machawa kelele nyingi sasa wewe mzee unaongea tu

  • @renatusmatungwa2508
    @renatusmatungwa2508 Год назад +7

    Kweli nimeamini sio kila mzee ana busara wala akili

  • @championtv255
    @championtv255 Год назад +2

    Anakufaaa ww mzeee makamba.tunawaomba acheni jamani kutu chokonoa.naipenda Sana ccm

  • @ramadhanhushaymaa9622
    @ramadhanhushaymaa9622 Год назад +2

    Mtume hakusema ivo mtume amesem m'bora wao ni yul anae mcha mungu

  • @icclcharters3389
    @icclcharters3389 Год назад

    Na quran pia inasema"al munaafiqun finnaari jahhannam khaalidiina fiiha ABADAN"🏌️

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 Год назад

    Woooooh mtangazaji unapigwa maswali na Mzee hadi anataka akuone Hukusoma Duuuuu Mzee anatishaaaaa daaaaa atari mzee makamba

  • @alisonbyarugaba605
    @alisonbyarugaba605 Год назад +2

    Mwizi ww

  • @machoguhamery3731
    @machoguhamery3731 Год назад +2

    Kula asali mzee Makamba.Kumbukeni na familia ya Baba wa Taifa pia.

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 Год назад +6

    Huyu mzee anakula bure msimsikilize wametuibia sana huyu mzee hafai watanzania hawawez muelewa huyu mZee anakula bure abapenda sifa ni zawad yako wewe mzee kwakua unakula bure

  • @amospetro8789
    @amospetro8789 Год назад +2

    Mzee unazinguaa

  • @yangaebiasal3237
    @yangaebiasal3237 Год назад +3

    Kwakwer tumbo duuh mtu mzima unawatoto wapo serikalin lkn bado unachumia tumbo kwer miaka 80

  • @mzalendowaasili1727
    @mzalendowaasili1727 Год назад +8

    Sema SAMIA amewafaa MAFISADI

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 Год назад +6

    MZEE OVYO.
    CC TUTAAMUA 2025. WATZ TUMEICHOKA CCM

  • @bakaromar8135
    @bakaromar8135 Год назад +4

    We mzee acha unafiki njaa zitakuuwa

  • @michaeleustach3989
    @michaeleustach3989 Год назад +1

    Hili zee la clab nambari moja

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Год назад +2

    Daaaah hii nchi bana

  • @evanswinston5102
    @evanswinston5102 Год назад +1

    Kazee kahovy

  • @lazarodaudi1689
    @lazarodaudi1689 Год назад +2

    Hovyooooooo huyu Mzee, utakufa vibaya acha kumhusisha Mungu na chama kilichozeeka

  • @amirypyalla3306
    @amirypyalla3306 Год назад +1

    Kama kweli mungu yupo mzee wangu na ana kusikia ayo unayoyazungumza mzee wangu hakika haki itatendeka

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Год назад +1

    Mzee amerambaaaa asali tayarii....
    Enzi za Magu walipoaaaaaa

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Год назад +2

    We mzee bila shaka ni mchawi sana,eti ni zawadi na dhamana

  • @mohammedikingazi5109
    @mohammedikingazi5109 Год назад +3

    Bora kwako mzee na hicho chama chako

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 Год назад +1

    Huku uswahili vitu vinapanda bei kila kukicha maisha yamekuwa magumu Mama angalia watu wa ali ya chini

  • @aibanijr65
    @aibanijr65 Год назад

    Dah! Aisee

  • @OmanOman-bl1ij
    @OmanOman-bl1ij Год назад +6

    Haoo ndio wachawi walio bakia nchi hii

    • @rashidmontana480
      @rashidmontana480 Год назад

      Umenifurahisha sana kk amin hawa ndo wanga wenyewe

  • @jumamirajimkumbo9416
    @jumamirajimkumbo9416 Год назад +2

    Wewe mzeee hamna kitu tetea chakula cha January anayepiga mwingi ni majaliwa tu hao wengine hamna kitu

  • @deohaule8161
    @deohaule8161 Год назад +2

    Nchi inahitaji maendeleo siasa za kutokuambiana ukwel kwa masilahi ya wachache hazifai.

  • @sengengemangae3698
    @sengengemangae3698 Год назад +5

    Wapumbavu wako wengi sana nchi hii

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Год назад +2

    Wee mzee acha kuongeelea watanzania samia anawatesa wananchi yy umnaosifia wote ni mafisaidi tumechoka

  • @rashidilimaze4181
    @rashidilimaze4181 Год назад +2

    Wewe mzee mchawi

  • @elgardihali4386
    @elgardihali4386 Год назад +5

    Ovyo

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Год назад +5

    We mzee acha ujinga kama unamtaka ni ww sisi hatumtaki hata bure 😂

  • @Chef_Ammytz
    @Chef_Ammytz Год назад +1

    Uchawa

  • @florachogo243
    @florachogo243 Год назад +3

    Mgosi kalime viazi

  • @mustaphampandi137
    @mustaphampandi137 Год назад

    mtu Bora niyule anae mcha allah

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Год назад +1

    Sema baba,kwenye dini upo vizuri

  • @ibrahimmtunguja6315
    @ibrahimmtunguja6315 Год назад +1

    Njaa kali

  • @mzeeomary5780
    @mzeeomary5780 Год назад +1

    Zawadi ya mafisadi ww mzee umezeeka vibaya sana ameupiga mwingi kuwa watu na njaa kwenda huko unajishushia heshima mwanao yuko anakandamiza maendeleo

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 Год назад +2

    Mzee anatetea msosi kwa mwanae

  • @jamirually893
    @jamirually893 Год назад +4

    mafisad wanapeana vyeo

  • @josephatnyamageu1046
    @josephatnyamageu1046 Год назад +2

    Analamba asali anaongea nini huyu Mzee naliona giza zito katika nchi yetu ukweli unaongea daima RIP Magufuli

  • @lwingagabby7298
    @lwingagabby7298 Год назад +3

    Huyu mzee ana ubongo wa Mende

  • @mwingandele9641
    @mwingandele9641 Год назад

    Kweli kabisa Mzee wa busara,we love hoj Makamba

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Год назад +2

    Huyumzee nimubinafusi sijawahi kuona mzee namiakayote,nilimusikia anachekelea mamuzi mabaya yamagufuli yakutesa wapinzani,alitumia nenoamewabatiza kwamoto kwakejeri ninashangaa jamii moja watzwamoja lakini tunauana kwawivu wamadaraka inatiaaibu,

  • @abednego3876
    @abednego3876 Год назад +4

    Nataman hivi vizee vinafki vife vote mxiuuuw.

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 Год назад +3

    Mungu kwa nini hawa wazee usiwapende zaidi?

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 Год назад +2

    Daah hii inchii tutapigwa sana

  • @hf0882
    @hf0882 Год назад +2

    Mzee unazeeka vibaya

  • @fadhirimwaruka1905
    @fadhirimwaruka1905 Год назад

    Pesa bwana zimerudi mifano mingi kwenye mandiko mungu tupe mwisho mwema

  • @user-vk7im9ky5m
    @user-vk7im9ky5m 9 месяцев назад +2

    Msambaa tu ww usitumie maandiko ya Allah kwnye ujinga

  • @benardmasese6333
    @benardmasese6333 Год назад +1

    Kama kuendesha nchi Kwa mkopo ndio kupiga mwingi,mpeni na dk msukuma 2030 anajuana sana na wazungu atakopa kiraisi zaidi,naatatwanga na kupepeta,makamba mfagilie mwanao aendelee kupiga mwingi nchi ni yenu,

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Год назад +1

    Huyo mzeeee anajlikana sana kwa unafiki hon'vyooooo

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 месяцев назад

    Mzee karamba asali nying inamlevya dah nchi hii bwana watu wanazeeka hovyo sana

  • @rosemerrymasalakulangwa4456
    @rosemerrymasalakulangwa4456 Год назад

    Big up Mzed Makamba.

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 Год назад +3

    Tanzania hii tunawatu wa ajabu hovyo

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Год назад +2

    Toka hapa

  • @maulidhaji5711
    @maulidhaji5711 Год назад +1

    Hao ni wanafiki sana na uislam haumtaki mnafiki cku moja samia watamgeuka hao hao tena

  • @simonmajengo4025
    @simonmajengo4025 Год назад

    Hatmtakiiii

  • @pascalntandu1217
    @pascalntandu1217 Год назад +2

    Chefu!!!!

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 Год назад +3

    Mzee usitafute kuwafunga watu usifananishe mfano wa mtume na mwanmke hakuna mfano mte mwanamke

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Год назад

      Hahaa, Eti mtume aliulizwa ni nani aliye Bora, mtume akajibu M'bora wenu ni yule anaesaidia watu,...hahahaa'...!...Mzee Anachomekea Sana

  • @graysonaloyce4139
    @graysonaloyce4139 Год назад +1

    Aka kazeee kashenzi sanaaa

  • @husseingabo5497
    @husseingabo5497 Год назад +3

    Huyu makamba ni mnafiki tu akafie mbele

  • @maikobruno341
    @maikobruno341 Год назад +3

    We mzee ukaege kimya tu unatutia kichefuchefu

  • @mukhtaribura6159
    @mukhtaribura6159 Год назад +2

    Huyu mzee mimi simpendi sana ni mnafiki sana alivukua magufuri alipotea

  • @Abuu180
    @Abuu180 Год назад +3

    Huyu mzee anataka mwanae aje kuwa raisi ndoto ambayo itokaa ije kutokea, time ishafika watanzania wanahitaji mabadiliko integrity matters during this time.

  • @iskariotikiyoyo7839
    @iskariotikiyoyo7839 Год назад +3

    Wewe mzee acha kumushilikisha MUNGU mambo yako ya ajabuajabuhayo!

  • @sakayonsakihunga3496
    @sakayonsakihunga3496 Год назад +2

    Kwakipi sasa