We mzee acha kujipendekeza kwa ajili ya uteuzi wa familia yako! Usitusemee watz acha watz wenyewe waseme! 😭😭😭😭Ungejua moyo unavotuuma kwa kuondolewa Magufuli kimagumashi Mungu anakuona kenge ww!
Huyu mzee aliwahi kusema Magufuli ni sawasawa na Yohana mbatizaji na atatubatiza kwa moto Anayetumia moto dhidi ya watu wa mungu ni ibilisi tu Nukta. Leo mzee wetu amesema Ccm ni zawadi tuliyopewa na mungu.Hivi nyakati zile anadukuliwa hiyo mungu alikuwalikizo?Mzee wetu asisahahu kuwa nchi hii ni yetu sote na hati miliki yake wanayo wananchi wake na kamwe sio chama cha siasa k.m CDM,CUF ,UDP n k.hapana vyama vitakuja na kuondoka lini ni swala LA wakati tu ,kwani wakoloni walikuwa wanatupaka mafuta LA hasha,walitufanya walivyofanya kwa zaidi ya miaka 500.Tuombeane her I na tujiamini kwamba hakuna mtanzania nambari moja na mbili.wote sisi ni ndugu na tuko sawa na Tanzania ni yetu site hamna mwenye xaidi ya hapo tofsuti na kipsto ambacho hakijawshi kilinganisho cha utu tangia kuumbwa kwa dunia hii.Na hlil linakubalika kwa mungu wetu nfio sababu sada/zaka jazina daraja kwake kwamba aliyetoa milioni ni zaidi ya aliyetoa mia moja kutokana kipato chake.
Toka hapa mzee una jipya kabisa bongo la mwizi na fisadi pamoja mwanao...mungu atawakumu Inshaallah.....mnatesa sana raia wa watanzani mnaona hiyo inchi yenu pekeenu nyinyi viongozi wa ccm mmetuburuza toka 1961 mpaka mnatutia sana umasikini...
Mama angalia sana laiti ungejua tunayohitaji Watanzania usingeungana na faraja za uongo kiasi hiki. Tapenda sana mungu anisaidie hata siku moja niongee ana kwa ana ujue mioyo ya Watanzania nini ina hitaji.......
Unadhani hajui?Anajua sana ila kiburi cha madaraka kimemjaa.Watanzania wenzangu tusikate tamaa..tuendelee kumlililia Mungu..Baada ya dhiki faraja…Na Dhulma si njema na kila lenye mwanzo lina mwisho..
Aisee jamani hakika kuna wakati mwanadamu anafikiria maisha haya yapo kila siku'namshukuru Mungu kwamba tulikuja uchi tutarudi uchi nchi hii msema ukweli hatakiwi ila muongo husifiwa na kupewa fursa kama huyu mzee makamba lazima autetee uovu kwasababu mwanae yuko kwenye keki kuleni kunyweni furahini pigeni makofi na vigelegele lakini hakuna atakaye ishi miaka miambili ila Mungu ni wa milele mtamkuta ametulia anawasubilia kwenye mahakama awahukumu vizuri
Tuweke sawa unaongee sana wanaosema mama kaupiga mwingi bashiru kasema ndio wanao iba huku wanamsifia mama ni kama machawa kelele nyingi sasa wewe mzee unaongea tu
Kama kuendesha nchi Kwa mkopo ndio kupiga mwingi,mpeni na dk msukuma 2030 anajuana sana na wazungu atakopa kiraisi zaidi,naatatwanga na kupepeta,makamba mfagilie mwanao aendelee kupiga mwingi nchi ni yenu,
Huyu mzee anataka mwanae aje kuwa raisi ndoto ambayo itokaa ije kutokea, time ishafika watanzania wanahitaji mabadiliko integrity matters during this time.
Anaeona huyo mzee amezeeka vibaya , weka like hapa,
We mzee acha kujipendekeza kwa ajili ya uteuzi wa familia yako! Usitusemee watz acha watz wenyewe waseme! 😭😭😭😭Ungejua moyo unavotuuma kwa kuondolewa Magufuli kimagumashi Mungu anakuona kenge ww!
Huyu mzee aliwahi kusema Magufuli ni sawasawa na Yohana mbatizaji na atatubatiza kwa moto Anayetumia moto dhidi ya watu wa mungu ni ibilisi tu Nukta. Leo mzee wetu amesema Ccm ni zawadi tuliyopewa na mungu.Hivi nyakati zile anadukuliwa hiyo mungu alikuwalikizo?Mzee wetu asisahahu kuwa nchi hii ni yetu sote na hati miliki yake wanayo wananchi wake na kamwe sio chama cha siasa k.m CDM,CUF ,UDP n k.hapana vyama vitakuja na kuondoka lini ni swala LA wakati tu ,kwani wakoloni walikuwa wanatupaka mafuta LA hasha,walitufanya walivyofanya kwa zaidi ya miaka 500.Tuombeane her I na tujiamini kwamba hakuna mtanzania nambari moja na mbili.wote sisi ni ndugu na tuko sawa na Tanzania ni yetu site hamna mwenye xaidi ya hapo tofsuti na kipsto ambacho hakijawshi kilinganisho cha utu tangia kuumbwa kwa dunia hii.Na hlil linakubalika kwa mungu wetu nfio sababu sada/zaka jazina daraja kwake kwamba aliyetoa milioni ni zaidi ya aliyetoa mia moja kutokana kipato chake.
Mama Samia Anawafaa matajiri na watu nyie kikundi cha watu 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😭😭😭😭🤝🤝🤝
Ajiria wapi mnaongea tu.
Kuna tatizo ya domokrasia mufanye maboresho pia rushwa inatembea sana
Chefuuuuuuuuuuu, unamsifia kwakuwa mnagawana asali huku wananchi Hali ya maisha ni duni
"Mama Samia Ni Raisi bora kwa sababu kamrudishia uwaziri mwanangu January "Yusuph Makamba
Hamna iyo mkuu ( m bora wetu ni mchamungu yn msimamisha ibaada ya Allah s.w)
Toka hapa mzee una jipya kabisa bongo la mwizi na fisadi pamoja mwanao...mungu atawakumu Inshaallah.....mnatesa sana raia wa watanzani mnaona hiyo inchi yenu pekeenu nyinyi viongozi wa ccm mmetuburuza toka 1961 mpaka mnatutia sana umasikini...
Anakufaa ww
Mama Samia mambo ya hayati Magufuli yote ameyaharibu
Mama angalia sana laiti ungejua tunayohitaji Watanzania usingeungana na faraja za uongo kiasi hiki. Tapenda sana mungu anisaidie hata siku moja niongee ana kwa ana ujue mioyo ya Watanzania nini ina hitaji.......
Unadhani hajui?Anajua sana ila kiburi cha madaraka kimemjaa.Watanzania wenzangu tusikate tamaa..tuendelee kumlililia Mungu..Baada ya dhiki faraja…Na Dhulma si njema na kila lenye mwanzo lina mwisho..
Njaaa inakusumbua we mzee
We mzee zeka sarama. Sio kusifia vyauongoo
Mzee makamba unalamba Asali mmetuweza mmempoteza mzarendo wakwelimnatamba sasaulivyata Mkula
Kina sera nzuri kweli LAKINI Kwa Sasa kinanuka rushwa!; Wewe mzee teteeni ulaji wenu TU!;
Aisee jamani hakika kuna wakati mwanadamu anafikiria maisha haya yapo kila siku'namshukuru Mungu kwamba tulikuja uchi tutarudi uchi nchi hii msema ukweli hatakiwi ila muongo husifiwa na kupewa fursa kama huyu mzee makamba lazima autetee uovu kwasababu mwanae yuko kwenye keki kuleni kunyweni furahini pigeni makofi na vigelegele lakini hakuna atakaye ishi miaka miambili ila Mungu ni wa milele mtamkuta ametulia anawasubilia kwenye mahakama awahukumu vizuri
appreciate on you my brother ( big brain)
R. I. P. Jpm
Mungu wangu,nipo nafanya meditation
uyu mzee hana jipya pia wanajisumbua tu sababu siku zote cha ovyo ni ovyo tu ata mkisifie vip.
Mzee Makamba muogope Mungu..Anakufaa wewe na January
Umeliona hilo na wewe…!!
nyinyi wanafiki sana mumetulia jpm mulaaniwe
Acha ndg yangu tupambanie family zetu Hawa jamaa cyo wtu vo
Usimkufuru mungu na Kama ni kweli mwenyezi mungu kwa kilio Cha wanyonge awalipe kwa matendo yenu
Bwanaeee hiii nchi bana
Kwendraaaàaaa..
Mnatumia nguvu nyingi sana,,, Mungu atawatoa kimya kimya maana mmezidi kuwaonea na kuiba rasilimali za tz
Anawafaa ninyi kwa vile amewarudisha watoto wenu kwenye system ,na amewaachia ulaji sasa hivi
Njaa mbaya
Mzee nilikuwa namkubali lkn sio mkweli
kwenda zako
Mzee makamba anakwepa maswali ki-aina
Mzee anakula Asali sasa.
Mzee wa hovyo kabsa
Yaani nyinyi mungu anawaona!
Hayo ni maneno ya walamba asali😂😂😂
Tuweke sawa unaongee sana wanaosema mama kaupiga mwingi bashiru kasema ndio wanao iba huku wanamsifia mama ni kama machawa kelele nyingi sasa wewe mzee unaongea tu
Kweli nimeamini sio kila mzee ana busara wala akili
Anakufaaa ww mzeee makamba.tunawaomba acheni jamani kutu chokonoa.naipenda Sana ccm
Mtume hakusema ivo mtume amesem m'bora wao ni yul anae mcha mungu
Na quran pia inasema"al munaafiqun finnaari jahhannam khaalidiina fiiha ABADAN"🏌️
Woooooh mtangazaji unapigwa maswali na Mzee hadi anataka akuone Hukusoma Duuuuu Mzee anatishaaaaa daaaaa atari mzee makamba
Mwizi ww
Kula asali mzee Makamba.Kumbukeni na familia ya Baba wa Taifa pia.
Huyu mzee anakula bure msimsikilize wametuibia sana huyu mzee hafai watanzania hawawez muelewa huyu mZee anakula bure abapenda sifa ni zawad yako wewe mzee kwakua unakula bure
Mzee unazinguaa
Kwakwer tumbo duuh mtu mzima unawatoto wapo serikalin lkn bado unachumia tumbo kwer miaka 80
Sema SAMIA amewafaa MAFISADI
MZEE OVYO.
CC TUTAAMUA 2025. WATZ TUMEICHOKA CCM
We mzee acha unafiki njaa zitakuuwa
Hili zee la clab nambari moja
Daaaah hii nchi bana
Kazee kahovy
Hovyooooooo huyu Mzee, utakufa vibaya acha kumhusisha Mungu na chama kilichozeeka
Kama kweli mungu yupo mzee wangu na ana kusikia ayo unayoyazungumza mzee wangu hakika haki itatendeka
Mzee amerambaaaa asali tayarii....
Enzi za Magu walipoaaaaaa
We mzee bila shaka ni mchawi sana,eti ni zawadi na dhamana
Bora kwako mzee na hicho chama chako
Huku uswahili vitu vinapanda bei kila kukicha maisha yamekuwa magumu Mama angalia watu wa ali ya chini
Dah! Aisee
Haoo ndio wachawi walio bakia nchi hii
Umenifurahisha sana kk amin hawa ndo wanga wenyewe
Wewe mzeee hamna kitu tetea chakula cha January anayepiga mwingi ni majaliwa tu hao wengine hamna kitu
Nchi inahitaji maendeleo siasa za kutokuambiana ukwel kwa masilahi ya wachache hazifai.
Zimepitwa na wakati
Wapumbavu wako wengi sana nchi hii
Wee mzee acha kuongeelea watanzania samia anawatesa wananchi yy umnaosifia wote ni mafisaidi tumechoka
Wewe mzee mchawi
Ovyo
🤣🤣🤣
We mzee acha ujinga kama unamtaka ni ww sisi hatumtaki hata bure 😂
P1
Uchawa
Mgosi kalime viazi
mtu Bora niyule anae mcha allah
Sema baba,kwenye dini upo vizuri
Njaa kali
Zawadi ya mafisadi ww mzee umezeeka vibaya sana ameupiga mwingi kuwa watu na njaa kwenda huko unajishushia heshima mwanao yuko anakandamiza maendeleo
Mzee anatetea msosi kwa mwanae
mafisad wanapeana vyeo
Analamba asali anaongea nini huyu Mzee naliona giza zito katika nchi yetu ukweli unaongea daima RIP Magufuli
Huyu mzee ana ubongo wa Mende
Kweli kabisa Mzee wa busara,we love hoj Makamba
Huyumzee nimubinafusi sijawahi kuona mzee namiakayote,nilimusikia anachekelea mamuzi mabaya yamagufuli yakutesa wapinzani,alitumia nenoamewabatiza kwamoto kwakejeri ninashangaa jamii moja watzwamoja lakini tunauana kwawivu wamadaraka inatiaaibu,
Nataman hivi vizee vinafki vife vote mxiuuuw.
Mungu kwa nini hawa wazee usiwapende zaidi?
🤣
Daah hii inchii tutapigwa sana
Mzee unazeeka vibaya
Pesa bwana zimerudi mifano mingi kwenye mandiko mungu tupe mwisho mwema
Msambaa tu ww usitumie maandiko ya Allah kwnye ujinga
Kama kuendesha nchi Kwa mkopo ndio kupiga mwingi,mpeni na dk msukuma 2030 anajuana sana na wazungu atakopa kiraisi zaidi,naatatwanga na kupepeta,makamba mfagilie mwanao aendelee kupiga mwingi nchi ni yenu,
Huyo mzeeee anajlikana sana kwa unafiki hon'vyooooo
Mzee karamba asali nying inamlevya dah nchi hii bwana watu wanazeeka hovyo sana
Big up Mzed Makamba.
Tanzania hii tunawatu wa ajabu hovyo
Toka hapa
Hao ni wanafiki sana na uislam haumtaki mnafiki cku moja samia watamgeuka hao hao tena
Hatmtakiiii
Chefu!!!!
Mzee usitafute kuwafunga watu usifananishe mfano wa mtume na mwanmke hakuna mfano mte mwanamke
Hahaa, Eti mtume aliulizwa ni nani aliye Bora, mtume akajibu M'bora wenu ni yule anaesaidia watu,...hahahaa'...!...Mzee Anachomekea Sana
Aka kazeee kashenzi sanaaa
Huyu makamba ni mnafiki tu akafie mbele
We mzee ukaege kimya tu unatutia kichefuchefu
Huyu mzee mimi simpendi sana ni mnafiki sana alivukua magufuri alipotea
Huyu mzee anataka mwanae aje kuwa raisi ndoto ambayo itokaa ije kutokea, time ishafika watanzania wanahitaji mabadiliko integrity matters during this time.
Wewe mzee acha kumushilikisha MUNGU mambo yako ya ajabuajabuhayo!
Kwakipi sasa